Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naunga mkono mgomo wa walimu

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Naunga mkono mgomo wa walimu

      Wakati umefika sasa wa serikali kusikia kilio cha walimu cha miaka nenda rudi. Nakubali kwa asilimia zote kwamba walimu nao wagome. Haiwezekani mwalimu wa degree alipwe sana na mwenye certificate katika kada zingine! Hapana enough is enough! Solidality forever.

    2. Miaka 50

    3. #21
      bohha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 367
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Waalimu acheni unafiki wa kuamua mambo yanayohusu maisha haiwezekani mwalimu wa degree anamshahara sawa na nesi wa certificate wanaishi nchi moja, mkoa moja, wilaya moja , kata mmoja na kijiji kimoja wananunua vitu kwa bei inayofana .HUU NI WAKATI WA KUAMKA AMASIVYO WASEME MADACTARI WANASHERIA NA WENGINE WAMEFUNDISHWA NA NANI? NAUNGA MKONO MGOMO.
      mtamanyali likes this.

    4. #22
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,384
      Rep Power : 678
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      NIMESOMA HOJA NYINGI inaonesha walimu hawawezi kugoma! Basi waheshimiwa walimu, msigome maana serikali IMEFULIA haina kitu nasikia hata wabunge wameshauriwa kutoagiza mashangingi. Hata politicians nasikia wamepunguza ZIARA za kwenda kununua hirizi india, wananunua nchirizi na ulozi wa bei nafuu wa bagamoyo. Wanavaa hirizi ambazo ni Made in Tanzania.

    5. #23
      Welu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 262
      Rep Power : 451
      Likes Received
      54
      Likes Given
      1

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Wenzetu waganga wametangaza mgomo kesho 23/6/2012. Je sisi walimu lini? Au ni mgomo wa mdomoni tu! Maana sisi kwa midomo tuko juu. Walimu kugoma ni ngumu kama ilivyo ngumu ccm-magamba kushinda uchaguzi mkuu mwaka 2012)

    6. #24
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 400
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      mimi ni mwalimu na nimejiandaa kugoma siogopi kutishiwa kufukuzwa kazi kwa kuwa nazijua haki zangu, ni kweli walimu wengi hasa wale wa msingi nyeti vyao ni vya kusadikika hasa wale wa miaka ya nyuma kidogo hao ndio wanaoweza kutuangusha lakini wale wengi wa sekondari naamini tutakuwa nao pamoja, mungu jalia hili lifanikiwe ili serikali ijue dharauo kwa watu wanaowakata kodi bila kelele soi nzuri
      mtamanyali likes this.

    7. #25
      Absine's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mtamanyali
      Wakati umefika sasa wa serikali kusikia kilio cha walimu cha miaka nenda rudi. Nakubali kwa asilimia zote kwamba walimu nao wagome. Haiwezekani mwalimu wa degree alipwe sana na mwenye certificate katika kada zingine! Hapana enough is enough! Solidality forever.
      kwa walimu haiwezekani kugoma.


    8. BAK
      #26
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,666
      Rep Power : 44978
      Likes Received
      8395
      Likes Given
      8376

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Quote By Mirhea
      Hakuna watu waoga kama waalimu. Hawataweza kugoma.
      Hilo ni neno Mkuu hawana umoja kama madaktari, wana mibwabwajo mingi lakini ikija kwenye vitendo ni ZERO, ZILCH, SIFURI
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #27
      Masabaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Walimu serikali ya CCM imeishawafanya ndondocha hawana kitu ni wasanii tu wameridhika na wanachopata kila siku tutagoma halafu ugomi sasa ni nini kama siyo usanii. Sina imani na walimu kwa sababu ndiyo wanailea serikali ya MAGAMBA. Big up madaktari huwa hawabeep

    10. #28
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Quote By Masabaja
      Walimu serikali ya CCM imeishawafanya ndondocha hawana kitu ni wasanii tu wameridhika na wanachopata kila siku tutagoma halafu ugomi sasa ni nini kama siyo usanii. Sina imani na walimu kwa sababu ndiyo wanailea serikali ya MAGAMBA. Big up madaktari huwa hawabeep
      mwalimu wa juzi sio sawa na waleo, hebu fikilia ni walimu wangapi wameajiriwa miaka ya karibuni ambao ni vijana? kama CHADEMA imepata kuaminika na kusambaza fikra za kimapinduzi siku chache tu sembuse walimu? kwani walimu ni kina nani mpaka washindwe kubadilika kifikra? naamini walimu watagoma na matunda tutayaona. MUngu wabariki WALIMU watanzania.

    11. #29
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Quote By Masabaja
      Walimu serikali ya CCM imeishawafanya ndondocha hawana kitu ni wasanii tu wameridhika na wanachopata kila siku tutagoma halafu ugomi sasa ni nini kama siyo usanii. Sina imani na walimu kwa sababu ndiyo wanailea serikali ya MAGAMBA. Big up madaktari huwa hawabeep
      fikra zinabadilika ndugu, mwalimu wa jana sio wa leo.

    12. #30
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,662
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Inawezekana mtoto wako yuko Stnini si wenzio kwa akina Kayumba wakigoma imekula kwetu 1 kwa 1

    13. #31
      dada jane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 507
      Rep Power : 478
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Tusiandikie mate wino upo.

    14. #32
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 682
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      wanagoma wakati wa likizo!?

    15. #33
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,341
      Rep Power : 873
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Quote By mkurugenz
      mimi ni mwalimu na nimejiandaa kugoma siogopi kutishiwa kufukuzwa kazi kwa kuwa nazijua haki zangu, ni kweli walimu wengi hasa wale wa msingi nyeti vyao ni vya kusadikika hasa wale wa miaka ya nyuma kidogo hao ndio wanaoweza kutuangusha lakini wale wengi wa sekondari naamini tutakuwa nao pamoja, mungu jalia hili lifanikiwe ili serikali ijue dharauo kwa watu wanaowakata kodi bila kelele soi nzuri
      mkuu ndoto zako zitaisha asubuhi uatashangaa kumekucha na hakuna hata harufu ya mgomo

      huo unao uita mgomo nani atakaye uitisha ?? utanza lini ?? sababu ya mgomo ni nini ??

      nakumbuka kuna kipindi mgomo ulikuwa hot na tarehe ilipangwa lakini JK aliuzima walimu wakawa hoi

      kwa taarifa yako kama walimu wa shule za msingi wataamua kugoma serikali lazima itajali lakini si ninyi wa sekondari chini ya CWT nasikia kuna chama kipya kinafuta usajli kinaitwa UMET - Umoja wa Maafisa Elimu Tanzania labda hicho kinaweza kuwa na msimamo kuliko hawa CWT ya sasa

      kwa maana hii mgomo wa kweli utawezekana hadi hapo UMET itakapo pewa usajili wa kudumu
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    16. #34
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,935
      Rep Power : 988
      Likes Received
      516
      Likes Given
      239

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Solidarity forever

    17. #35
      JULIUS MBIAJI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 390
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Walimu kugoma wanaweza na wana kila sababu.Wakitaka kugoma kwa mafanikio wagome kikanda yaani wagome Walimu wa Singida peke yao,Arusha peke yao,Kigoma peke yao,Lindi peke yao n.k.Madai yao yanaweza kuwa tofauti ila kubwa ni mshahara mdogo na posho kuwa hakuna.Pia Wakuu wa shule kuamua hatima ya Walimu kwa utashi na manufaa yao mfano kama haujipendekezi kwao hupati nafasi ya hela.Pia kuna ukabila mkubwa sana Wilaya ya Iramba wa Afisa mmoja kuweka Wakuu wa shule wa kabila lake na wakiharibu shule hawafanywi chochote.Pia Kilombero kuna kujuana kupita kiasi ambapo ndiyo wilaya inayofanya vibaya sana kimasomo ila Wakuu wamewekana na hawawajibishwi ingawa wengi wao wameshindwa kazi.Hali ya matatizo ya Walimu ilivyo ni taswira tosha ya hali ya Watanzania.Tusiwalaumu Walimu kuwa ni waoga siyo waoga ila mpangilio wa madaraka ndiyo unaowaumiza.Wakuu wamewekwa kiswahiba hivi Mwalimu gani atakuwa tayari kusimama peke yake kutetea maslahi wakati Mkuu wake hataki kugoma eti yeye yuko upande wa Mwajiri.Hivyo ili Walimu wafanikiwe katika madai yao hawana budi kudai madai yao Kikanda na Wakuu wao nao waungane kwenye huo mgomo wasitegemee kugoma nchi nzima kwa sababu mawasiliano ni magumu na pia ugumu wa maisha unatofautiana miongoni mwa maeneo ya Tanzania.Huwezi kulinganisha ugumu wa maisha Iramba na Igunga.Igunga kuna unafuu.Kingine kinachowafanya Walimu washindwe kuwa wamoja ni utofauti wa Elimu yao,madaraja na kukosa moyo wa kizalendo wa kujali kizazi kijacho.Ukweli uliopo Walimu wengi wako kwenye mgomo wa chini kwa chini kwa muda mrefu hawafanyi kazi kwa moyo na kujituma.Wengi wanafanya mambo yao ndiyo maana elimu inazidi kuwa duni kwa Watanzania.Ikiwa Walimu wanafunzi wa UDSM,UDOM NA SUA WANAWEZA KUGOMA WALIOKO KAZINI WATASHINDWAJE?Serikali inayojali maslahi ya Watanzania itasikia kilio cha Walimu.

    18. #36
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,096
      Rep Power : 24559
      Likes Received
      3180
      Likes Given
      362

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Mchawi wa migomo ya walimu iliyoshindwa ni
      1.0. C. W. T
      2.0. Walimu wa msingi

      1.0.1
      C. W. T hawana nia ya dhati ya kuendesha mgomo wenye mafanikio maana viongozi wake wengi wako pale kama mapandikizi na mawakala wa chama tawala.
      Teaching allowance ilifutwa mara baada ya kuundwa kwa C. W. T, jiulize kwa nini hawakukomaa palepale isifutwe wameacha ifutwe kwanza ndio waje wadai kuirudisha?

      1.0.2
      C. W. T wamekaa kideal deal kuliko kusimamia maslahi ya wanachama wake kwa dhati ya kusimamia. Jiulize michango wanayo katwa wanachama halafu jiulize juhudi na ukaribu wa cwt kufuatilia matatizo ya kila mwanachama, mfano kupandishwa madaraja, kudai malimbikizo na stahili nyingine, kama jinsi wanavyokata michango yake mwisho wa mwezi. Je kuna uwiano?

      2.0.1
      walimu wa msingi wengi ni kikwazo kwa kuwa wengi wameingia ki magumashi kwa vyeti vya watu. (Kumbukeni sakata la eckernforde na chuo cha kange) walimu makanjanja Kugoma, kwao itakuwa ni sawa na kujiingiza kwenye mdomo wa mamba.

      Ili mgomo ufanikiwe.
      Walimu walimu wa sekondari wajipange wapige mgomo wao peke yake. Period

    19. kpm
      #37
      kpm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 376
      Likes Received
      12
      Likes Given
      13

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Quote By BAK
      Hilo ni neno Mkuu hawana umoja kama madaktari, wana mibwabwajo mingi lakini ikija kwenye vitendo ni ZERO, ZILCH, SIFURI
      Mkiamua kugoma gomeni na muwe tayari kwa lolote,lakini mnapogoma bila ya kuwa tayari kukabiriana na hali yoyote itakayotokea dhidi ya uamuzi wenu hamuwezi kufanikisha mgomo. Wanasiasa (ambao wengine ni walimu kitaaluma) hawawezi kutekeleza matakwa yoyote bila msukumu thabiti toka nje. Walimu wekeni kunji la uhakika na mtaona mambo yenu yanaanza kutekelezwa. Kwa nini huwa mnaogopa sana harakati na kuishia kutamani kugoma bila ya vitendo? Kujifanya na mgomo baridi ni kuathiri wasiohusika, na madai yenu hayawezi kutekelezwa kwa mgomo wa siri (eti mnauita baridi), weka kunji mambo yaeleweke!!!!!


    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...