Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Prof. Muhongo umetisha

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 70
    1. #1
      ASHA NGEDELE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 405
      Likes Received
      9
      Likes Given
      21

      Default Prof. Muhongo umetisha

      Nimetoka muda si mrefu kumsikiliza waziri wa nishati na madini na amefafanua kwa kifupi baadhi ya mambo ambayo ameamua kuyabadili kwenye utendaji kazi wa Tanesco. Kwa maelezo yake amesema kuanzia Mei 2012 mtu yeyote atayeomba kuunganishwa na Tanesco kupata umeme, anatakiwa kupatiwa huduma hiyo ndani ya mwezi mmoja.

      Nadhani amefanya uamuzi wa busara, si tu kwetu wananchi bali atasaidia hata Takururu kwa upungufu wa rushwa kwenye kuunganisha umeme.

      Kwa umeo wangu mdogo nafikiri huyu waziri atafanya mambo makubwa sana kama tu mipango yale ni kweli itatekerezeka kama inavoonekana.

      Asante Muhongo

    2. Study Abroad

    3. #2
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      nguzo wanazo?
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    4. #3
      Maarko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 480
      Rep Power : 506
      Likes Received
      81
      Likes Given
      26

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Tatizo sio Tanesco,Tatizo ni Mfumo (System)
      Jasusi and Mpalisya Imbogo like this.

    5. #4
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      ....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.

    6. #5
      Soze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 25
      Rep Power : 438
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Anashindwa nini kutoa maelezo yanayoeleweka kuhusu mgodi wa kiwira .

      Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Mhungo si ni mwanasiasa tu, anasema ili muone serikali inafanya kazi? Muulize huyo Mhungo ni kwa kiasi gani wameiwezesha TANESCO ili iweze kutekeleza hilo agizo? Maana nguzo tunauziwa, waya na wenyewe tunauziwa. Mara utaambiwa Luku zimeisha. Mtu unaambiwa nguzo lazima ununue halafu wakishakuwekea umeme wanakwambia nguzo si mali yako. Mimi nilinunua nguzo kwa about milioni moja na bado siku chache baadaye majirani wakawa wanaunganisha umeme bure tu kutoka kwenye nguzo yangu. Kuwauliza TANESCO wananambia hakuna mtu anayemiliki nguzo aaarghh! Hakuna serikali niliyowahi kuichukia kama ya Kikwete.
      KOMBESANA, Tuko and MAKAH like this.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    9. #7
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By Lukolo
      Mhungo si ni mwanasiasa tu, anasema ili muone serikali inafanya kazi? Muulize huyo Mhungo ni kwa kiasi gani wameiwezesha TANESCO ili iweze kutekeleza hilo agizo? Maana nguzo tunauziwa, waya na wenyewe tunauziwa. Mara utaambiwa Luku zimeisha. Mtu unaambiwa nguzo lazima ununue halafu wakishakuwekea umeme wanakwambia nguzo si mali yako. Mimi nilinunua nguzo kwa about milioni moja na bado siku chache baadaye majirani wakawa wanaunganisha umeme bure tu kutoka kwenye nguzo yangu. Kuwauliza TANESCO wananambia hakuna mtu anayemiliki nguzo aaarghh! Hakuna serikali niliyowahi kuichukia kama ya Kikwete.
      Tanesco ilikuwa inauza nguzo tangu enzi za Mkapa, so ungeichukia serikali ya Mkapa kabla ya kikwete au serikali ya ccm kwa ujumla

      Huyu waziri anaongea maneno matupu Tanasco hatoiweza... alijaribu Idrisa kuwanyoosha kwasababu ya siasa za kidin waka muondoa..

      siasa tupu hamna kitu hapo..
      KOMBESANA likes this.
      "Mbowe for Presidency 2015""

    10. #8
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,645
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By PrN-kazi
      ....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.
      Ule mzigo mzito ataweza kuubeba kweli?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    11. #9
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Muhongo ....ni jembe kweli kweli ameanza kazi yake vizuri sana.

    12. #10
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ndahani
      Ule mzigo mzito ataweza kuubeba kweli?
      ni yaleyale tu hamna kitu.

    13. #11
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By MAMA POROJO
      Muhongo ....ni jembe kweli kweli ameanza kazi yake vizuri sana.
      Hata mimi namkubali hilo jembe

    14. #12
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 577
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By Lukolo
      Mhungo si ni mwanasiasa tu, anasema ili muone serikali inafanya kazi? Muulize huyo Mhungo ni kwa kiasi gani wameiwezesha TANESCO ili iweze kutekeleza hilo agizo? Maana nguzo tunauziwa, waya na wenyewe tunauziwa. Mara utaambiwa Luku zimeisha. Mtu unaambiwa nguzo lazima ununue halafu wakishakuwekea umeme wanakwambia nguzo si mali yako. Mimi nilinunua nguzo kwa about milioni moja na bado siku chache baadaye majirani wakawa wanaunganisha umeme bure tu kutoka kwenye nguzo yangu. Kuwauliza TANESCO wananambia hakuna mtu anayemiliki nguzo aaarghh! Hakuna serikali niliyowahi kuichukia kama ya Kikwete.
      acha uongo mkuu huyu ni mwana geolojia si mwana siasa kamwe kama una yako ulotumwa kayajadili na mkeo sio kusingizia watu makini kama professor muhongo . ndo maana hajawahi kuomba ubunge mahala popote na amesema kuwa asiposikilizwa anrudi kufundisha.
      nyumba kubwa likes this.

    15. #13
      chubio's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 356
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Pambafuu..!!hyu mhongo mbona ana mawazo finyu kiasi hki,watu 2meshatapeliwa mpka bac hlo haliwezekan serikali DHAIFU haishiwi porojo kwa wananchi wake..huu ni upuuzi

    16. #14
      Zemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 422
      Rep Power : 643
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      zisije zikawa kerere za chura tu huku tembo akinywa maji kwa kwenda mbele.

    17. #15
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,931
      Rep Power : 749
      Likes Received
      280
      Likes Given
      144

      Default

      Quote By PrN-kazi
      ni yaleyale tu hamna kitu.
      tumpe nafasi

    18. #16
      Gad ONEYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 2,542
      Rep Power : 946
      Likes Received
      122
      Likes Given
      558

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Je kama mtu atalipa na asiwekewe umeme kwa visingizio vingi tu vya mara nguzo, mara luku, mara nyaya hakuna, atawafukuza kazi au na yeye ashaanza yale yale ya shemeji umeniona?!

    19. #17
      Micha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 441
      Likes Received
      100
      Likes Given
      48

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Mwezi mmoja kuanganishiwa umeme baada ya kulipa ni muda mrefu sana, anagesema hata baada ya wiki mbili ningeelewa.
      Kumbuka mteja analipia karibu kila kitu kuunganisha umeme, Tanesco wanatakiwa waje na vifaa na mafundi wa kuanganisha (hata vifaa vingine wanakwambia mteja ununue) halafu bado tena nisubiri kwa mwezi mmoja! Huyo prof atakuwa hayuko serios aisee...!

    20. #18
      Baba Collins's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Location : Naabi Gate
      Posts : 455
      Rep Power : 478
      Likes Received
      74
      Likes Given
      269

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By PrN-kazi
      ....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.
      Mbona Anna Makinda anamkingia kifua Waziri wa Nishati na Madini? Ningefurahi sana kama bunge letu lingeweza kugeuka bunge la Ukraine hata kwa siku moja tu. Huyu mama ni DHAIFU na kichefuchefu pale bungeni.
      'Mwoga hana makovu'

    21. #19
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,922
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      5247
      Likes Given
      5097

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By Utingo
      nguzo wanazo?
      Ukifuata utaratibu utaambiwa nguzo hazipo, lakini ukiwapa bahasha nguzo inapatikana saa hiyo hiyo.
      Hakuna watu wapuuzi nchi hii kama TANESCO.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    22. #20
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,922
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      5247
      Likes Given
      5097

      Default Re: Prof. Muhongo umetisha

      Quote By PrN-kazi
      ....kwanza atoe maelezo sahihi juu ishu ya Kiwila...vinginevyo bado hajatisha.
      Hiyo ni ngoma nzito sana kwake, hawezi kuicheza katu.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    23. Miaka 50
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...