Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 65
    1. #1
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,524
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      8

      Default Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME


    2. #2
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By Mzito K View Post
      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME
      chadema kama wanakanusha hawatumikii kanisa. WAHOJI MATUMIZI YA MOU yanayotolewa na serekali kwa kanisa.
      Ndumbayeye and mwongozo like this.

    3. #3
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,055
      Rep Power : 923
      Likes Received
      578
      Likes Given
      162

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      usiogope mkuu..! UAMSHO WAMESHINDWA SEMBUSE HAO WAGANGA NJAA...! kwani kamanda Zitto ni mkristo..Bob makani je??
      genekai likes this.
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    4. #4
      wajinawangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 389
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      ngoja tuone cdm watajibu nini!

    5. #5
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,424
      Rep Power : 25474
      Likes Received
      1146
      Likes Given
      913

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      kama yanayo fanyika ni kweli hao Waislamu ni watu wa kuzimu, huwezi ukawa unaichukia imani ya mwenzako bila sababu tena kwa chuki na jaziba, hao ni watu wa kuzimu, mbona leo hii duniani kuna Magaidi,Machangudoa,Majambazi na watu wenye kila aina ya uovu wanaishi na wanapumua kama hao Masheikh njaa? Hapa hua inatufundisha ya kwamba Mungu wetu ni mstahimilivu,mpore na hana ubaguzi. Sasa hao chuki na ukiristo halafu baadae wanaenda swala tano si upuuzi huo?
      mizambwa and sweke34 like this.


    6. #6
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 798
      Rep Power : 587
      Likes Received
      321
      Likes Given
      416

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Wasiosoma ni chakula cha wasomi.Hao masheikh wanataka hao waislamu waendelee kuwa chakula cha ccm ambayo kila siku wanaituhumu kuwa ina mikataba na makanisa.Hawajajitambua na wanatumika kama condomu tu.
      sweke34 likes this.

    7. #7
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,981
      Rep Power : 3414
      Likes Received
      1345
      Likes Given
      498

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      wametumwa na ccm.! Na hiyo mikoa wasipobadilika wataiona miaka mingine hamsini ikikatika hivihivi.!
      sweke34 likes this.

    8. #8
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      143
      Likes Given
      76

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini


    9. #9
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,928
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      641
      Likes Given
      813

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Simple life is healthier than egoism.

    10. #10
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,630
      Rep Power : 11256
      Likes Received
      648
      Likes Given
      551

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Hizi propaganda za cdm ni chama cha kikristo taratibu zinakosa nguvu maana chdm inasonga ikiteka mateka.Mwanzo walisingizia uchaga imefeli,na ukristo itafeli vilevile.
      Rai yangu kwa cdm ni kudumu kujenga hoja za kutetea watanzania ndani na nje ya bunge;lazima itafika mbali tu.
      MUNGU IBARIKI TANZANIA

    11. #11
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      652

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      NyinyiEm inatapatapa tu end of Day kitaeleweka tu mkuu wala usiwe na shaka kamanda, message delivered, mwenyekiti wao ni DHAIFU
      mizambwa likes this.

    12. #12
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,390
      Rep Power : 2666
      Likes Received
      3055
      Likes Given
      14019

      Default

      Quote By nipo hapa View Post
      chadema kama wanakanusha hawatumikii kanisa. WAHOJI MATUMIZI YA MOU yanayotolewa na serekali kwa kanisa.
      Try to think big, are you sure huu ndo mwisho wako wa kufikiri??

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      mizambwa likes this.

    13. #13
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 988
      Rep Power : 551
      Likes Received
      187
      Likes Given
      251

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By Mzito K View Post
      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME
      Hakuna shida waendelee tu na CCmagamba watumieni faida mtazipata siku si nyingi.

    14. #14
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 988
      Rep Power : 551
      Likes Received
      187
      Likes Given
      251

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By nipo hapa View Post
      chadema kama wanakanusha hawatumikii kanisa. WAHOJI MATUMIZI YA MOU yanayotolewa na serekali kwa kanisa.
      Nimehoji mara nyingi watu wanakuwa kasuku MOU! MOU! MOU! MOU! iletwe hapa tuichambue jamani!!
      Mtumishi Wetu likes this.

    15. #15
      Malaria Sugu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 2,408
      Rep Power : 0
      Likes Received
      247
      Likes Given
      18

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By mangikule View Post
      Nimehoji mara nyingi watu wanakuwa kasuku MOU! MOU! MOU! MOU! iletwe hapa tuichambue jamani!!
      mwambie Mh Mbowe aiulize Bungeni. wallah ndio mwisho wa Chadema kuungwa mkono na jamaa --------.
      Huko pesa haina internal wala external auditor. Toa , tumia, kula tu

    16. #16
      mchaichai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 382
      Rep Power : 461
      Likes Received
      33
      Likes Given
      25

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By Mzito K View Post
      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME
      mchawi ni mtu mbaya sana kila wakati mihadhara kuponda imani za wenzao wakati ya kwao ni ya kichawi hakuna dini inaongoza kwa tunguri kama uislam nenda kila mikoa yenye waislamu wengi inaongoza kwa uchawi na umasikini kwa sababu wao wanataka watu wasifunguke ili wote wawe watu wa kulalamika tu bila kutumia akili shenzi kabisa hao...kama na wale wenye upeo wanfumbia macho watavuna wanachotaka maana mashekhe hao wamepewa hela na ccm...watu hawana kazi ni kijiwe vya ghahawa tu na fitina, uongo, kijicho, kuloga na ushabiki wa dini na umasikini kila wakati serikali kulalamika inawapendelea wakristo

    17. #17
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 5,080
      Rep Power : 13995
      Likes Received
      2582
      Likes Given
      2485

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Kiongozi dhaifu hutumia mbinu dhaifu kuwahadaa watu dhaifu kwa kutetea udhaifu kwa hoja dhaifu...

    18. #18
      MgungaMiba's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 28th August 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 569
      Likes Received
      262
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Manyanza View Post
      kama yanayo fanyika ni kweli hao Waislamu ni watu wa kuzimu, huwezi ukawa unaichukia imani ya mwenzako bila sababu tena kwa chuki na jaziba, hao ni watu wa kuzimu, mbona leo hii duniani kuna Magaidi,Machangudoa,Majambazi na watu wenye kila aina ya uovu wanaishi na wanapumua kama hao Masheikh njaa? Hapa hua inatufundisha ya kwamba Mungu wetu ni
      mstahimilivu,mpore na hana ubaguzi. Sasa hao chuki na ukiristo halafu baadae wanaenda swala tano si upuuzi huo?
      Unapoulaani Uislam kwa sababu kuna kikundi cha waislam wanapinga CDM, inaonesha una mapungufu katika uwezo wako wa kufikiri, au umetumwa na Magamba ili uthibitishe kuwa CDM Ina chuki na Waislam. CDM inahitaji support ya dini zote kuu mbili hapa nchini ili kushika dola, kwa taarifa yako CDM ina Makamanda wengi Waislam walioko mstari wa mbele wanaipigania CDM iungwe mkono na Waislam wenzao wote, Wakati kuna Wakristo wa CCM wanashiriki kupanga mipango ya kuiangamiza CDM usiku na mchana, hata kule Arumeru kuna Maaskofu walitumia nguvu zao zote kuhakikisha CDM inashindwa, Je, kwa standard yako ya kufikiri una maana Ukristo au Wakristo wote Walaaniwe kwenda kuzimu kwa sababu wameipinga CDM? Nijuavyo, na ndivyo ilivyo, CDM ni chama cha Watanzania wote, bila kujali Rangi, Kabila wala dini ya mtu, watu kama nyie wenye kudhsrau dini za wenzenu, ni bora msiwe kwenye chama chochote cha kisiasa, mbakie makanisani na misikini, mnaharibu ulingo wa Siasa!

    19. #19
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,890
      Rep Power : 3559
      Likes Received
      558
      Likes Given
      5243

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By Manyanza View Post
      kama yanayo fanyika ni kweli hao Waislamu ni watu wa kuzimu, huwezi ukawa unaichukia imani ya mwenzako bila sababu tena kwa chuki na jaziba, hao ni watu wa kuzimu, mbona leo hii duniani kuna Magaidi,Machangudoa,Majambazi na watu wenye kila aina ya uovu wanaishi na wanapumua kama hao Masheikh njaa? Hapa hua inatufundisha ya kwamba Mungu wetu ni mstahimilivu,mpore na hana ubaguzi. Sasa hao chuki na ukiristo halafu baadae wanaenda swala tano si upuuzi huo?
      Hao Mashehik wacha wazunguke na siasa zao za udini CHADEMA waendelee kuwaelimisha wananchi umasikini wa Tanzania unaletwa na nini, mwishowe watu wataelewa!!! Kwanza wewe jiulize hao watu wanatumia funds kutoka wapi??? Aliye watuma ni nani, sio kweli kuwa kuna mkono wa mtu pale???? Nina hakika Mungu wetu anatupenda Watanzania hawezi kutuacha kwenye giza siku zote, hatimaye nuru itachomoza tuu!!!!

      Mwikimbi likes this.

    20. #20
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Wamefilisika hoja hao!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...