Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 65 of 65
    1. #1
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 6,424
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME

    2. Miaka 50

    3. #61
      Thesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2010
      Posts : 728
      Rep Power : 4676
      Likes Received
      187
      Likes Given
      321

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Quote By nipo hapa
      chadema kama wanakanusha hawatumikiikanisa. WAHOJI MATUMIZI YA MOU yanayotolewa na serekali kwa kanisa.
      Walioidhinisha hiyo MoU ni CDM au ccm? Kwa Kweli kama ni ccm au cuf ndio wanafanya huo ujinga wa kuwatumia hao wachumia tumbo wanaojiita viongozi wa dini, narudia tena kama ni ccm au cuf hawafai hata kuitwa vyama vya siasa. Hawafai hata kuongoza nyumba kumi. Hivi waislamu hawaoni dini yao inadhalilishwa na watu kama hawa wanaoeneza upuuzi huu? Nadhani ni wakati wanaopenda uislamu kukataa hawa wachumia tumbo wanaotumiwa na wanasiasa.
      Jakaya Mrisho Kikwete unapeleka nchi yetu wapi na hizi siasa za kugawa watu kidini unazozipalilia?

    4. #62
      Thesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2010
      Posts : 728
      Rep Power : 4676
      Likes Received
      187
      Likes Given
      321

      Default Re: Udini watumika kuizamisha chadema mikoa ya kusini

      Nape Nnauye na Julius Mtatiro naomba mkanushe kama hao wajinga hawaenezi chuki za kidini kama njia ya kuokoa vyama vyenu ccm na cuf kisiasa. Nape kama Kweli ccm haihusiki kemeeni upumbavu huu na kama unavoagiza mawaziri, iagize serikali kuchukua hatua. Mnawaziba mdomo.Uamsho huku mkiachia wanaofanya kazi kama ya uamsho kutamba kwa vile wanawasaidia kuzima nguvu ya CDM. Huu ni usaliti wa nchi kwa maslahi ya kisiasa.

    5. #63
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Udini watumika kuizamisha CHADEMA mikoa ya kusini

      Eti kirefu cha CDU ni nini?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #64
      sambamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 392
      Likes Received
      23
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mzito K
      Nipo Mkoani Mtwara kikazi kwa wiki karibu mbili sasa.
      Njia ya kuelekea Masasi mbele kidogo na ile round about yanapopaki magari ya zimamoto mbele kidogo ya njia panda ya airport kuna mhadhara unafanyika wiki ya pili sasa.

      Mashekhe hao ambao wamepita katika kila eneo ambalo chadema wamepita na kufanya mihadhara wanapita na wao kueneza chuki na ghiliba za kidini kuwa asili ya chadema ni ukristo na malengo yake ni kustawisha ukristo

      Wanakwenda mbali zaidi kwa kusema Adui wa muislam ni mkristo hivyo hakuna haja ya kukishabikia chadema.
      Ingawa hawasemi chama gani kiko neutral wala hawasemi wafuasi wao wanatakiwa wafuate chama gani lakini wanawahamasisha wahakikishe kuwa kuna haki na usawa

      Kampeni hii ambayo inafanyika katika mwavuli wa mikutano ya dini ambapo huanza kwanza kwa kuikosoa biblia kwa kutumia quran mwishowe humalizikia kwa kuiponda chadema kidini.

      Nimefanikiwa kuhudhuria mkutano mmoja na nimesikiliza mwanzo hadi mwisho, kwa kweli wanafanikiwa kupata wafuasi na waamini wengi. Akili za vijana wengi ambao hapo awali tulidhani zimekombolewa kwa ujio wa cdm zimerud kule kule kwenye enzi za ujima na udini
      MUNGU INUSURU TANZANIA NA DHORUBA INAYOWEZA KUTOKEA ANY TIME
      Dont wor mkuu hawa wanashda na njaa zao wanataka sadaka2 na mawazo mgando yasiyo na tja unauulaani ukristo huku ukifuatilia vzr pengne watoto, dada, shangazi, kaolewa na mkristo sasa cjui mkweo anaweza kuwa adui wako sababu ya dini vivyo hivyo hakuna sababu ya mkristo kumbagua muislaam kwan cku hz dini sio mpaka wala sababu ya kuwatenga watu kimsingi tumuombe mungu awafungue akili hawa wenzetu wenye mawazo mgando yasiyo na tija udini ni upuuz mtupu i hate sana huu ujinga

    7. #65
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,246
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Edwin Mtei
      CHADEMA wawapeleke Makamu Mwenyeti Taifa, Mhe. Said Arfi, Mbunge wa Mpanda Kati, Naibu Katibu Mkuu, Mhe. Zitto Zubeir Kabwe, Mbunge wa Kigoma Kaskazini,labda pamoja na Mhe. Mhonga Saidi Mbunge wa Viti Maalum wakathibitishe uzushi wa hawa watu.
      mzee umemsahau profesa Safari

    8. FemaTV & Radio

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...