Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 101
    1. #1
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Aliongea hayo baada ya kauli ya Mnyika; ni kuhusu kauli yake kwamba JK ni dhaifu
      source: habarileo

      MY TAKE
      Kama rais ni dhaifu halafu anadumu miaka 7. ni wazi wanaongozwa nao wamechoka mara 1000.
      Maana hao waliokuwa wamejikaza hata Ikulu hawaingii mpaka waalikwe kwa barua rasmi.

      TUACHE KEJELI KWA WATZ
      Last edited by Malaria Sugu; 21st June 2012 at 15:09.

    2. Miaka 50

    3. #61
      waziri/saidi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      64

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      natamani hata viongozi wetu wa kiislamu wawe na elimu kama wakristo kwani wanatujenga kuwa walalamishi bila kutumia logic,hata ukweli tunaubishia,angalia hata mashuleni hatuna logic ya kubishana ila ubabe,big up mnyika huyo jamaa ni dhaifu pia mdini saaaana sema wakristo wavumilivu tu.i hate unafiki

    4. #62
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By Tuko
      Nadhani sasa tumewavumilia vya kutosha. Sipendi kukashifu dini ya mtu lakini mnakoelekea tutaonana wabaya...
      hiii kali. yaani umechukua hiyoooooo na hayo matusi kwa waislam umeyaruka? REDIO IMAAN IPO TUTATOA DUKUDUKU LETU KAMA NYINYI MNAVYOTOA MADUKUDUKU YENU HUMU

    5. #63
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By waziri/saidi
      natamani hata viongozi wetu wa kiislamu wawe na elimu kama wakristo kwani wanatujenga kuwa walalamishi bila kutumia logic,hata ukweli tunaubishia,angalia hata mashuleni hatuna logic ya kubishana ila ubabe,big up mnyika huyo jamaa ni dhaifu pia mdini saaaana sema wakristo wavumilivu tu.i hate unafiki
      elimu ya ufisadi mungu awaepushe

    6. #64
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By nipo hapa
      wewe kama unaakili. umesaidia nini taifa?
      You are the prisoner of your faith!

    7. #65
      Mwanandani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 152
      Rep Power : 390
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Mimi ni mwiislamu safi ila nipo tofauti kabisa na bakwata,na nina waomba waiislamu wenza tuipuuze Bakwata sababu wao pia ni DHAIFU kama RAISI na puuzi kama CCM.

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Mwanandani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 152
      Rep Power : 390
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Mimi ni mwiislamu safi ila nipo tofauti kabisa na bakwata,na nina waomba waiislamu wenza tuipuuze Bakwata sababu wao pia ni DHAIFU kama RAISI.

    10. #67
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By mwanandani
      mimi ni mwiislamu safi ila nipo tofauti kabisa na bakwata,na nina waomba waiislamu wenza tuipuuze bakwata sababu wao pia ni dhaifu kama raisi.
      ulijuaje kama muislam safi? Ushakufa ukafufuliwa?

    11. #68
      NIMO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 431
      Likes Received
      3
      Likes Given
      33

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      JK ni dhaifu, ameshindwa kutimiza ahadi yake ya 2005 ya kuanzisha mahakama ya kadhi.

    12. #69
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 930
      Rep Power : 536
      Likes Received
      176
      Likes Given
      239

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      GOOD GOVERNANCE
      Islam:
      Quran: 6:151-2
      Say: Come, I will rehearse what God hath realy prohibited from you: Join not anything as Equal with God; Be Good to your parents; Kill not your children on a plea of want; We provide sustainance for you and for them; come not nigh to shameful deeds, whether open or in secret; Take not life, which God has sacred, except by way of Justice and Law; Thus doth God Command you, that you may learn wisdom.
      And come not nigh to the orphan’s property, except to improve it, until attaining the age of full strengh; give measure and weight with full justice; no burden do God place on any soul, but that which it can bear; whenever you speak, speak justly, even if a near relative is concerned, and fulfil the convenant of God; Thus do the God command you, that you may remember.

      Christians
      Deuteronomy 16: 18-20 18 Judges and officers shalt thou make thee in all thy gates, which the Lord thy God giveth thee, throughout thy tribes: and they shall judge the people with just judgment. 19 Thou shalt not wrest judgment; thou shalt not respect persons, neither take a gift: for a gift doth blind the eyes of the wise, and pervert the words of the righteous. 20 That which is altogether just shalt thou follow, that thou mayest live, and inherit the land which the Lord thy God giveth thee.

      HInduism
      “The world looks to the religious bodies for PEACE, BROTHERHOOD, AMITY, TOLERANCE, FAIRNESS AND GUIDEANCE.
      Let us stand united to provide a lead to the government on the above matters.”

    13. Nzi
      #70
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,321
      Rep Power : 21625
      Likes Received
      943
      Likes Given
      828

      Default

      Quote By nipo hapa
      research inaonyesha, wanaochukia ndevu wengi ni mashoga. sijabahatika kumuona shoga akifuga ndevu ktk maisha yangu
      Duh! Aisee. nipo hapa,naona unataka upigwe ban au usababishwe watu wapigwe ban. Kwa maana kwa maneno yako hayo umewatukana wanaume wote (wakiwemo rais, makamu,waziri mkuu,mawaziri,majaji,mashehe,m apadre,wanajeshi,polisi,TISS etc.) ambao hawafugi ndevu.

      Tafadhali chifu,futa kauli na utuombe radhi.

    14. #71
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,185
      Rep Power : 1536
      Likes Received
      764
      Likes Given
      597

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By nipo hapa
      ni kuhusu kauli yake kwamba JK ni dhaifu
      source: habarileo

      MY TAKE
      Kama rais ni dhaifu halafu anadumu miaka 7. ni wazi wanaongozwa nao wamechoka mara 1000.
      Maana hao waliokuwa wamejikaza hata Ikulu hawaingii mpaka waalikwe kwa barua rasmi.

      TUACHE KEJELI KWA WATZ
      UPO HAPO WAPI? MICHANGO YAKO INA HARUFU YA ----- KAMA UPO ------- VILE? Halafu unaleta habari za habari leo unalosomea -------.

      Unaweweseka na ikulu kana kwamba ndiyo dunia yote; maisha yanaendelea bila ikulu ndugu tafakari chukua hatua
      Ukweli utakuweka huru daima

    15. #72
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4312
      Likes Given
      1263

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Hao viongozi wa dini nao ni dhaifu sana,kwani wameshindwa kutambua kuwa kikwete si malaika.
      * wanatumia vitabu vya dini vibaya kwani wanatakiwa kujua dhaifu si tusi,bila shaka kisomo kidogo
      *walishindwa kukemea matusi ya lusinde,nchemba kwani hivyohivyo vitabu vya dini vinakataza lugha chafu,bila shaka wanatumiwa.
      * wameshindwa kukemea kikundi cha uamsho kwani vitabu vya dini vimepinga uchomaji wa nyumba za ibada,bila shaka hawakujipanga.

      *wameshindwa kujua bunge ni sehemu ya siasa,bila sha wanajichanganya.

      Mi napenda kusema hawa viongozi wa dini ni wanafiki tu hawana lollote swala la uamsho walijiweka pembeni wakati walihitajika, bila shaka walishindwa kufikiri kwa kina.

    16. #73
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Hao ndiyo watetezi wa Kikwete/CCM ingawa ndiyo wenye kulalamika kila siku...unafiki...!

    17. #74
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Hao viongozi wa dini pia ni dhaifu
      Life without problems never make a strong and good person!

    18. #75
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 566
      Rep Power : 538
      Likes Received
      94
      Likes Given
      21

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By PPM
      Dini Gani? Uhamsho nini?
      Hawana uwezo wa kulaani labda waroge wameshalaaniwa kwanza sababu ya kukumbatia unafiki. Mbona hawakulaani kuchomwa makanisa Zanzibar? Kukosa elimu kunawasumbua
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    19. #76
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 566
      Rep Power : 538
      Likes Received
      94
      Likes Given
      21

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By sweke34
      Hao ndiyo watetezi wa Kikwete/CCM ingawa ndiyo wenye kulalamika kila siku...unafiki...!
      uchambuzi wa mambo unataka elimu mkuu. Hawajui wanataka nini? hapo ndo penye tatizo mara sensa mara muungano hawaeleweki
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    20. #77
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,830
      Rep Power : 736
      Likes Received
      180
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By nipo hapa
      ni kuhusu kauli yake kwamba JK ni dhaifu
      source: habarileo

      MY TAKE
      Kama rais ni dhaifu halafu anadumu miaka 7. ni wazi wanaongozwa nao wamechoka mara 1000.
      Maana hao waliokuwa wamejikaza hata Ikulu hawaingii mpaka waalikwe kwa barua rasmi.

      TUACHE KEJELI KWA WATZ
      mlianza na mandamano leo umekuja na viongozi wa dini, kesho mtakuja na ukabila,. Heheheee wafwasi wa chama dhaifu bwana

    21. #78
      NGUVUMOJA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 863
      Rep Power : 572
      Likes Received
      138
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By Bondpost
      Hapa ndipo mtu anapodhihiri ubongolala wake! Tushawapeni siri kuwa someni ndugu zetu, mkasome na muishike elimu, hebu angalia, wenzenu wanafuga ng'ombe nyie mnafuga ndevu! Tena chafu kwa kula madafu, kahawa, pilau! You guys are disgusting creatures! Mnamlaani Mnyika sababu kamsema mpenda ubwabwa mwenzenu? Kweli hamna maana bora tuwahamishe mkawe watumwa wa waarabu! Nafahamu ni jinsi gani muislam anakuwaga na furaha akiwa na bosi mwarabu! Hata kama hakuna mshahara, anatumwa hadi sokoni lenyewe na kikofia chake linafurahia tu! Majitu mengine bana!
      Ama kweli BANGI za kujifunzia ukubwani nooma.

    22. #79
      ismathew's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 456
      Likes Received
      37
      Likes Given
      76

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Siasa na dini havihusiani kabisa, na Ikulu sio mahali patakatifu, kusema ni Kanisa au Msikiti.
      Kwa ufahamu zaidi Ikulu inamuhusu kila mtanzania, wa kila umri kuingia pale bila mwaliko.
      Na kueleweshwa na kufahamishwa utendaji wa kazi zinazohusu nchi.
      Inahitajika kila mwaka itengwe siku maalum, kwa milango ya Ikulu kuwa wazi, kuwaruhusu
      wananchi kutembelea na kuelewa nini kinachofanyika Ikulu, kwa mtendaji mkuu mwenye
      dhamana anayetuongoza Watanzania.

    23. #80
      Eros's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 67
      Rep Power : 385
      Likes Received
      20
      Likes Given
      20

      Default re: Sheikh Mustapha Shaban Rajab wa Dodoma: Wabunge watakiwa kuacha kutoa kauli zenye Kumfedhehesha Rais

      Quote By nipo hapa
      Mnalumu JK. kumbe mnasahau. matatizo ya tz inatokana na CCM kulibeba kanisa badala ya tz.
      haya mapesa ya MOU yanayliwa na makanisa yangalitumika kwa watz kupitia serekali. tz ingalikuwa mbali sana.nangoja katiba mpya nilizungumze hili kwa upana ili tz tuendelee
      Vipi kuhusu yale yanayoliwa na Aghakhan? Hayajaturudisha nyuma?

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...