Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?
Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?
MM huyu bwana sioni kama ana charisma ya kuokoa Zanzibar, katika watu ambao mpaka leo huwa nawaona kama wasio kuwa na ushawishi wa kisiasa upande wa Zanzibar ni huyu Mapuri pamoja na Ali Ameir, Kama watu wana kumbukumbu nzuri kilichomtoa Mapuri wizara ya mambo ya ndani na ukatibu mwenezi wa CCM ni kauli ya kutetea Askari magereza waliojichukulia sheria mkononi kuwapiga waandishi wa habari na kuwajeruhi vibaya. Utetezi ule ulifanya waandishi wasusie kuandika habari zake zote.
Kwa kweli sioni kama jamaa ana charisma ya kutuliza watu, ila kitu pekee ambacho tunaweza kuwaambia wazanzibar ni kuwa Jamaa alipelekwa kuwa barozi China (sina uhakika kama hajabadilishwa), na haya ni matunda ya muungano. Mtu pekee wa kusikilizwa kama angekuwa hai ni Marhum Ahmed Hassan Diria, jamaa alikuwa mwanadiplomasia mzuri.
Last edited by Hofstede; 21st June 2012 at 04:49.
Asaidie kuokoa jahazi kwani linazama? Kama linazama acha lizame tu. Who cares?
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
i dont care! Let bygones be bygones!
Yule jamaa ni jeuri sana, badala ya kuokoa jahazi ataliongezea uzito maradufu na kuharakisha kuzama kwake. MM CCM inakufa hakuna wa kuiokoa. cha muhimu ni abiria waliomo kenye jahazi hili(CCM) kujitosa na kupiga mbizi wajiokoe wenyewe, vinginevyo wanazama nalo. Sink...Sink...CCM..Sink
'
Hii ni sawa na kusema Nyerere angekuwepo! lini tutasimama wenyewe wadanganyika?
Another Silly Season........................ .............................. ..
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
mambo ya kutegemea personalities badala ya kufuata sheria
Mwanakijiji,do you mind CCM au Muungano kufa? Really!
'Wasiwasi Ndio Akili Yenyewe'
Zanzibar kama inavyojiita kuwa ni nchi ni aibu kuendeshwa kwa kutegemea ufanisi wa mtu mmoja. Kumbuka viongozi wa dini ndo wenye sauti kuliko wa serikali kule Zanzibar na mapuri si kiongozi wa dini. Naamini leo hii kama asingekuwepo Seif Sharif Hamad,ungeomba arudi kuokoa jahazi kama suala ni ushawishi. Tatizo Zanzibar kama nilivyokwambia wenye ushawishi ni viongozi wa dini ambao wengi wao nikiwaangalia sisiti kuhoji uzalendo wao na kama kweli wana nia njema na Zanzibar. Lakini pia elimu yao inanipa mashaka,maana mtu hupata elimu imsaidie kutatua matatizo na sio kuyaongeza.
with ignorance zanzibarians will seize sniffing mainland given resources free
Usikute nae ROM yupo uamsho
Kwani Komandoo wao kafa?
Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te
Hatuwezi kuwaacha wazanzibar waende zao bure,kamwe haliwezekani hili
kama kuna mambo ya kutisha na ya hatari kutokea hapa Jamhuri ya muungano
wa Tanzania ,TANGANYIKA NA ZANZIBAR(UNGUJA NA PEMBA) basi ni hili la kuwaacha
wazanzibar waende zao.
Sintakubali hata kwa neno moja kukubali kutengana na zanzibar.Ni dhambi kubwa sana.tunaongea kwa
kwa maneno rahisi sana lakini hatujui implications zake,hatujui effects zake,hatujui nini kitatokea baada ya
mfarakano huu.Hakuna anayejua nini kitatokea,
Wa-Tanzania tuungane kwa nguvu zote kuhakikisha MUUNGANO unadumu milele daima na kizazi chetu kinaukuta.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Africa
Mungu Bariki Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
The best lovers are those with well developed sensitivity and a wide imagination.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
The man severely distorted history of Zanzibar kupitia kitabu chake 1964 revolution for selffish reason. Hatufai kabisa his not the man to foster Zanzibar unity.
www.unpo.org/article/9830
Last edited by simplemind; 21st June 2012 at 10:17.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Binafsi naona Muungano wa kinafiki,au ambao upande mmoja una sintofahamu nyingi hauna maana,kama zanzibar wanaamua kusepa wasepe tu! Ila kifo cha muungano kiende sambamba na kifo cha CCM
Hana Jipya. kumbukumbu zangu ni kwamba, Huyu ROM alishindwa kazi wakati akiwa mmoja wa vigogo wa serikali ya CCM, nafuu yake kama ilivyo kwa akina Dr. B .Buriani & co vigogo wenzake wa serikali ya CCM walikwenda kumficha China kama balozi.
Follow Us Here