Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 50
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,523
      Rep Power : 46715
      Likes Received
      16439
      Likes Given
      8471

      Default Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21342
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      MM huyu bwana sioni kama ana charisma ya kuokoa Zanzibar, katika watu ambao mpaka leo huwa nawaona kama wasio kuwa na ushawishi wa kisiasa upande wa Zanzibar ni huyu Mapuri pamoja na Ali Ameir, Kama watu wana kumbukumbu nzuri kilichomtoa Mapuri wizara ya mambo ya ndani na ukatibu mwenezi wa CCM ni kauli ya kutetea Askari magereza waliojichukulia sheria mkononi kuwapiga waandishi wa habari na kuwajeruhi vibaya. Utetezi ule ulifanya waandishi wasusie kuandika habari zake zote.

      Kwa kweli sioni kama jamaa ana charisma ya kutuliza watu, ila kitu pekee ambacho tunaweza kuwaambia wazanzibar ni kuwa Jamaa alipelekwa kuwa barozi China (sina uhakika kama hajabadilishwa), na haya ni matunda ya muungano. Mtu pekee wa kusikilizwa kama angekuwa hai ni Marhum Ahmed Hassan Diria, jamaa alikuwa mwanadiplomasia mzuri.
      Last edited by Hofstede; 21st June 2012 at 04:49.

    4. #3
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,276
      Rep Power : 36773
      Likes Received
      9636
      Likes Given
      688

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Asaidie kuokoa jahazi kwani linazama? Kama linazama acha lizame tu. Who cares?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    5. #4
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,259
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      i dont care! Let bygones be bygones!
      muyaka binHaji likes this.

    6. #5
      Negotiator's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th August 2010
      Posts : 301
      Rep Power : 510
      Likes Received
      36
      Likes Given
      36

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?
      Yule jamaa ni jeuri sana, badala ya kuokoa jahazi ataliongezea uzito maradufu na kuharakisha kuzama kwake. MM CCM inakufa hakuna wa kuiokoa. cha muhimu ni abiria waliomo kenye jahazi hili(CCM) kujitosa na kupiga mbizi wajiokoe wenyewe, vinginevyo wanazama nalo. Sink...Sink...CCM..Sink
      Mzee Mwanakijiji and Kisoda2 like this.
      '


    7. #6
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,188
      Rep Power : 24275
      Likes Received
      4682
      Likes Given
      2300

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Hii ni sawa na kusema Nyerere angekuwepo! lini tutasimama wenyewe wadanganyika?


      Another Silly Season........................ .............................. ..
      Kisoda2 likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    8. #7
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      mambo ya kutegemea personalities badala ya kufuata sheria

    9. #8
      Kabembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2009
      Location : ITETE-Kandwesi
      Posts : 879
      Rep Power : 703
      Likes Received
      170
      Likes Given
      170

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Mwanakijiji,do you mind CCM au Muungano kufa? Really!
      'Wasiwasi Ndio Akili Yenyewe'

    10. #9
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,340
      Rep Power : 3367
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      770

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Namzungumzia Ramadhani Omar Mapuri...do u guys still remember him!?
      Mara ya mwisho nikikutana naye mwaka jana kwenye shanghai expo akiwa ni balozi wa Tanzania china..

    11. #10
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 242
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Quote By Hofstede
      MM huyu bwana sioni kama ana charisma ya kuokoa Zanzibar, katika watu ambao mpaka leo huwa nawaona kama wasio kuwa na ushawishi wa kisiasa upande wa Zanzibar ni huyu Mapuri pamoja na Ali Ameir, Kama watu wana kumbukumbu nzuri kilichomtoa Mapuri wizara ya mambo ya ndani na ukatibu mwenezi wa CCM ni kauli ya kutetea Askari magereza waliojichukulia sheria mkononi kuwapiga waandishi wa habari na kuwajeruhi vibaya. Utetezi ule ulifanya waandishi wasusie kuandika habari zake zote.

      Kwa kweli sioni kama jamaa ana charisma ya kutuliza watu, ila kitu pekee ambacho tunaweza kuwaambia wazanzibar ni kuwa Jamaa alipelekwa kuwa barozi China (sina uhakika kama hajabadilishwa), na haya ni matunda ya muungano. Mtu pekee wa kusikilizwa kama angekuwa hai ni Marhum Ahmed Hassan Diria, jamaa alikuwa mwanadiplomasia mzuri.
      Zanzibar kama inavyojiita kuwa ni nchi ni aibu kuendeshwa kwa kutegemea ufanisi wa mtu mmoja. Kumbuka viongozi wa dini ndo wenye sauti kuliko wa serikali kule Zanzibar na mapuri si kiongozi wa dini. Naamini leo hii kama asingekuwepo Seif Sharif Hamad,ungeomba arudi kuokoa jahazi kama suala ni ushawishi. Tatizo Zanzibar kama nilivyokwambia wenye ushawishi ni viongozi wa dini ambao wengi wao nikiwaangalia sisiti kuhoji uzalendo wao na kama kweli wana nia njema na Zanzibar. Lakini pia elimu yao inanipa mashaka,maana mtu hupata elimu imsaidie kutatua matatizo na sio kuyaongeza.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    12. #11
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Quote By Viper
      Mara ya mwisho nikikutana naye mwaka jana kwenye shanghai expo akiwa ni balozi wa Tanzania china..
      China si yupo Marmo?
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    13. #12
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      with ignorance zanzibarians will seize sniffing mainland given resources free

    14. #13
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9502
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Usikute nae ROM yupo uamsho
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    15. #14
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4738
      Likes Given
      2652

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Kwani Komandoo wao kafa?
      Ndahani likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    16. #15
      Technician's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 796
      Rep Power : 624
      Likes Received
      191
      Likes Given
      163

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Hatuwezi kuwaacha wazanzibar waende zao bure,kamwe haliwezekani hili
      kama kuna mambo ya kutisha na ya hatari kutokea hapa Jamhuri ya muungano
      wa Tanzania ,TANGANYIKA NA ZANZIBAR(UNGUJA NA PEMBA) basi ni hili la kuwaacha
      wazanzibar waende zao.
      Sintakubali hata kwa neno moja kukubali kutengana na zanzibar.Ni dhambi kubwa sana.tunaongea kwa
      kwa maneno rahisi sana lakini hatujui implications zake,hatujui effects zake,hatujui nini kitatokea baada ya
      mfarakano huu.Hakuna anayejua nini kitatokea,

      Wa-Tanzania tuungane kwa nguvu zote kuhakikisha MUUNGANO unadumu milele daima na kizazi chetu kinaukuta.
      Mungu ibariki Tanzania,
      Mungu ibariki Africa
      Mungu Bariki Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      Mzee Mwanakijiji and Ndahani like this.
      The best lovers are those with well developed sensitivity and a wide imagination.

    17. #16
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Quote By Safari_ni_Safari
      Kwani Komandoo wao kafa?
      Haaahaaa! Ali parachute kwenye mchanga mambo yake si mazuri tena. Inaelekea macho kama yamekufa kufa vile
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    18. #17
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,854
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      The man severely distorted history of Zanzibar kupitia kitabu chake 1964 revolution for selffish reason. Hatufai kabisa his not the man to foster Zanzibar unity.
      www.unpo.org/article/9830
      Last edited by simplemind; 21st June 2012 at 10:17.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    19. #18
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Quote By Technician
      Hatuwezi kuwaacha wazanzibar waende zao bure,kamwe haliwezekani hili
      kama kuna mambo ya kutisha na ya hatari kutokea hapa Jamhuri ya muungano
      wa Tanzania ,TANGANYIKA NA ZANZIBAR(UNGUJA NA PEMBA) basi ni hili la kuwaacha
      wazanzibar waende zao.
      Sintakubali hata kwa neno moja kukubali kutengana na zanzibar.Ni dhambi kubwa sana.tunaongea kwa
      kwa maneno rahisi sana lakini hatujui implications zake,hatujui effects zake,hatujui nini kitatokea baada ya
      mfarakano huu.Hakuna anayejua nini kitatokea,

      Wa-Tanzania tuungane kwa nguvu zote kuhakikisha MUUNGANO unadumu milele daima na kizazi chetu kinaukuta.
      Mungu ibariki Tanzania,
      Mungu ibariki Africa
      Mungu Bariki Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      Wengine tunaofikiria mbali zaidi ya hapa tulipo tunaona hilo ni jambo jema. Ingekuwa vema kama tungeamua kutatua matatizo yaliyopo ili muungano uweze kuwa imara. Sasa Zenj hawataki na wamekuwa kero kubwa itakuwaje? Let them go....
      Technician likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    20. #19
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 867
      Rep Power : 604
      Likes Received
      267
      Likes Given
      120

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Binafsi naona Muungano wa kinafiki,au ambao upande mmoja una sintofahamu nyingi hauna maana,kama zanzibar wanaamua kusepa wasepe tu! Ila kifo cha muungano kiende sambamba na kifo cha CCM

    21. #20
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,056
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Kikwete mrudishe ROM asaidie kuokoa jahazi Zanzibar

      Hana Jipya. kumbukumbu zangu ni kwamba, Huyu ROM alishindwa kazi wakati akiwa mmoja wa vigogo wa serikali ya CCM, nafuu yake kama ilivyo kwa akina Dr. B .Buriani & co vigogo wenzake wa serikali ya CCM walikwenda kumficha China kama balozi.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...