Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu TANESCO

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu TANESCO

      Waziri wa Nishati na Madini, Profesa, Sospiter Muhongo, amewataka wananchi kuvuta subira wakati akishughulikia orodha ya watumishi wanaolihujumu Shirika la Umeme (Tanesco) kwani yeye si mtu wa kukurupuka.

      Aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na NIPASHE mjini hapa juzi.

      “Vuta subira…unajua mimi nimelelewa katika sayansi, si mtu wa kukurupuka tu, ni lazima tufanye uchunguzi kwanza suala si kuyataja tu,” alisema.
      Alisema hataki kumuonea wala kumpendelea mtu, hivyo watafanya uchunguzi wa kina, kuyaanisha matatizo na kisha kuja na njia za utatuzi kabla ya kutoa taarifa kwa umma.

      Profesa Muhongo, alisema hayuko tayari kusema mambo nusu nusu katika vyombo vya habari na kutaka wananchi kuvuta subira.

      Hivi karibuni, Profesa Muhongo, alikwenda kutembelea Tanesco na kuwataka watumishi kuwataja watu wanaolihujumu shirika hilo kwa kutumia kura za siri.

      sosi: Ippmedia.com

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,375
      Rep Power : 662
      Likes Received
      447
      Likes Given
      262

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu Tanesco

      Ukisikia maamuzi magumu nchini Tanzania ujue mkuu wa kaya amelindwa. na ndio maana wanakuwa wagumu kuamua ili wapate watu wa kuwatoa kafara kwa ajili ya mkuu wa kaya.
      Ndahani likes this.
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    4. #3
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu Tanesco

      Mi hofu yangu ni kuzimwa kwa watu hao kutokana na nguvu kubwa waliyonayo Mafisadi, baadae tutaanza kusikia siasa ama anaweza asichukue tena maamuzi magumu ni muda toka ametajiwa wahujumu hao wa tanesco

    5. #4
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu Tanesco

      Asije akaenda mbali mpaka akakutana na mkono wa chuma kutoka magogoni.

    6. #5
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 480
      Likes Received
      149
      Likes Given
      295

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu Tanesco

      tunasubiri,ila tusije kusubiri kwa karne!maana wote aliotupa ahadi pamoja na yeye tutakuwa hatupo duniani!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Midavudavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 409
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu Tanesco

      Anatia matumaini tunakuombea usibadirike kama wenzio wengine. Kumbuka cheo ni dhamana. Siku ya mwisho utakuja kuulizwa ulikifanyia nini.

    9. #7
      TWIZAMALLYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : NG'WAMAGUNGULI
      Posts : 392
      Rep Power : 464
      Likes Received
      69
      Likes Given
      155

      Default Re: Prof. Muhongo: Subirini maamuzi magumu TANESCO

      Quote By Tume ya katiba
      Waziri wa Nishati na Madini, Profesa, Sospiter Muhongo, amewataka wananchi kuvuta subira wakati akishughulikia orodha ya watumishi wanaolihujumu Shirika la Umeme (Tanesco) kwani yeye si mtu wa kukurupuka.

      Aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na NIPASHE mjini hapa juzi.

      “Vuta subira…unajua mimi nimelelewa katika sayansi, si mtu wa kukurupuka tu, ni lazima tufanye uchunguzi kwanza suala si kuyataja tu,” alisema.
      Alisema hataki kumuonea wala kumpendelea mtu, hivyo watafanya uchunguzi wa kina, kuyaanisha matatizo na kisha kuja na njia za utatuzi kabla ya kutoa taarifa kwa umma.

      Profesa Muhongo, alisema hayuko tayari kusema mambo nusu nusu katika vyombo vya habari na kutaka wananchi kuvuta subira.

      Hivi karibuni, Profesa Muhongo, alikwenda kutembelea Tanesco na kuwataka watumishi kuwataja watu wanaolihujumu shirika hilo kwa kutumia kura za siri.

      sosi: Ippmedia.com
      Aanze na mafundi wote kwani wao ndio vishoka wakubwa

      No man can stand on top because he is put there.
      H.H. Vreeland



    10. #8
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default Prof.muhongo afunguka kuhusu tanesco

      limeanzishwa 1930 mpaka leo just 20% ndio wenye umeme!hataki mambo ya tume ni upuuzi!PUBLIC HEARING ITAANZA
      Mu-sir likes this.

    11. #9
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default Re: Prof.muhongo afunguka kuhusu tanesco

      box la spear ya tanesco toka uk imelipiwa pound 50000 kumbe ni misumari
      Mu-sir likes this.

    12. #10
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Prof.muhongo afunguka kuhusu tanesco

      Quote By BONGOLALA
      box la spear ya tanesco toka uk imelipiwa pound 50000 kumbe ni misumari
      Kuu ni kweli ? Kama ni hivyo huyo aliyefanya hivyo anastahili china style. risasi tu tena anazinunua kwa hela yake mwenyewe.

    13. #11
      raymg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 643
      Rep Power : 475
      Likes Received
      143
      Likes Given
      15

      Default St. Mary's international school wezi wakubwa wa umeme

      Wamejiunganishia umeme kinyume cha sheria, hawaripi bils, imebainishwa na Waziri wa nishati na madini leo bungeni

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...