Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 434
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

      Wakuu heshima mbele.

      Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.

      Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.

      Mubarikiwe sana.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      916

      Default Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

      Quote By Ngarenaro
      Wakuu heshima mbele.

      Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.

      Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.

      Mubarikiwe sana.

      Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    4. #3
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 434
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Kichuguu
      Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.

      Mkuu nakumbuka lakini nimejitahidi sana kukitafuta bila mafanikio, kuna wakati walikua wamekiwekea STICK kwahiyo kilikua kinapatkana kwa urahisi, sasa hivi kukipata imekua shida, kama unaweza kunipa link utakua umenisaidia sana.

      Natanguliza shukrani zangu.

    5. #4
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 1113
      Likes Received
      1411
      Likes Given
      1838

      Default Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

      Quote By Ngarenaro
      Wakuu heshima mbele.

      Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.

      Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.

      Mubarikiwe sana.
      Quote By Kichuguu
      Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.
      .

      Mkuu
      .
      Mkuu Ngarenaro kama jinsi alivyosema Mkuu Kichuguu. ukitafuta vizuri utakipata ... ILA unaweza ku-download hapa

      Hiki hiki kitabu kipo sehemu mbili

      Kuna kimoja Original cha Mwl Nyerere na kingine nafikiri Mkuu aliki-edit kuendana na mazingira ya sasa .. nafikiri yeye alikiita Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania (Toleo ya Kizazi kipya)



      Link za Ku-download hizi hapa


      1: Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (1994) - Mwl Nyerere

      Download: http://dl.dropbox.com/u/52629254/dot...JK_Nyerere.pdf



      2: Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania - (Toleo la Kizazi Kipya)

      Download: http://dl.dropbox.com/u/52629254/dot...wanakijiji.pdf


      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    6. #5
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 434
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Dotworld
      .

      Mkuu
      .
      Mkuu Ngarenaro kama jinsi alivyosema Mkuu Kichuguu. ukitafuta vizuri utakipata ... ILA unaweza ku-download hapa

      Hiki hiki kitabu kipo sehemu mbili

      Kuna kimoja Original cha Mwl Nyerere na kingine nafikiri Mkuu aliki-edit kuendana na mazingira ya sasa .. nafikiri yeye alikiita Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania (Toleo ya Kizazi kipya)



      Link za Ku-download hizi hapa


      1: Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (1994) - Mwl Nyerere

      Download: http://dl.dropbox.com/u/52629254/dot...JK_Nyerere.pdf



      2: Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania - (Toleo la Kizazi Kipya)

      Download: http://dl.dropbox.com/u/52629254/dot...wanakijiji.pdf



      Mkuu DotWorld heshima kwako nimefanikiwa kukipata hiki kitabu kwa msaada wa Link uliyonipa, nakushukuru sana ndugu yangu.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 1113
      Likes Received
      1411
      Likes Given
      1838

      Default Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

      Quote By Ngarenaro
      Mkuu DotWorld heshima kwako nimefanikiwa kukipata hiki kitabu kwa msaada wa Link uliyonipa, nakushukuru sana ndugu yangu.
      Tuko pamoja Mkuu Ngarenaro nakutakia usomaji mwema!
      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    9. #7
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 856
      Rep Power : 966
      Likes Received
      544
      Likes Given
      601

      Default Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere

      Quote By Dotworld
      Tuko pamoja Mkuu Ngarenaro nakutakia usomaji mwema!
      Mimi ninacho yaani copy zote mbili Swahili na English. Nilikinunua pale TPH Bookshop, D'Salaam. Binafsi sikuwa nacho kwa miaka mingi kwani nilikipoteza wakati nahama kwa kaka yangu mwaka 1996.

      Madukani kikapotea kwa kipindi kirefu. Inawezekana walikuwa hawataki kionekane mitaani na wakakificha. Lakini mara kilipokuwa uploaded humu JF ndipo kikafunguka na madukani. Ni wazi kuwa kama kimeshawekwa Jamii Forum basi hakuna ujanja zaidi isipokuwa kuacha kisambae huko mitaani.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...