Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.
Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.
Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere
By Ngarenaro
Wakuu heshima mbele.
Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.
Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.
Mubarikiwe sana.
Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.
Mkuu nakumbuka lakini nimejitahidi sana kukitafuta bila mafanikio, kuna wakati walikua wamekiwekea STICK kwahiyo kilikua kinapatkana kwa urahisi, sasa hivi kukipata imekua shida, kama unaweza kunipa link utakua umenisaidia sana.
Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere
By Ngarenaro
Wakuu heshima mbele.
Nina shida na kitabu cha baba wa Taifa, Uongozi wetu na Hatima Ya Tanzania. Niliwahi kukiona hapa Jukwaani lakini nimekitafuta bila mafanikio, kwa yoyote ambaye anaweza kunipa Link, atakua amenisaida sana.
Pia si vibaya mwenye Link ya Tujisahihishe akatuwekea hapa ili Tuweze kujifunza na kuchukua hatua katika Ujenzi wa Taifa letu.
Mubarikiwe sana.
By Kichuguu
Kilishakuwa uploaded hapa JF tangu mwaka 2007, wewe search vizuri tu utakipata.
.
Mkuu
.
Mkuu Ngarenaro kama jinsi alivyosema Mkuu Kichuguu. ukitafuta vizuri utakipata ... ILA unaweza ku-download hapa
Hiki hiki kitabu kipo sehemu mbili
Kuna kimoja Original cha Mwl Nyerere na kingine nafikiri Mkuu aliki-edit kuendana na mazingira ya sasa .. nafikiri yeye alikiita Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania (Toleo ya Kizazi kipya)
Link za Ku-download hizi hapa
1: Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (1994) - Mwl Nyerere
Mkuu
.
Mkuu Ngarenaro kama jinsi alivyosema Mkuu Kichuguu. ukitafuta vizuri utakipata ... ILA unaweza ku-download hapa
Hiki hiki kitabu kipo sehemu mbili
Kuna kimoja Original cha Mwl Nyerere na kingine nafikiri Mkuu aliki-edit kuendana na mazingira ya sasa .. nafikiri yeye alikiita Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania (Toleo ya Kizazi kipya)
Link za Ku-download hizi hapa
1: Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (1994) - Mwl Nyerere
Re: Uongozi wetu na hatima ya Tanzania by Mwl Nyerere
By Dotworld
Tuko pamoja Mkuu Ngarenaro nakutakia usomaji mwema!
Mimi ninacho yaani copy zote mbili Swahili na English. Nilikinunua pale TPH Bookshop, D'Salaam. Binafsi sikuwa nacho kwa miaka mingi kwani nilikipoteza wakati nahama kwa kaka yangu mwaka 1996.
Madukani kikapotea kwa kipindi kirefu. Inawezekana walikuwa hawataki kionekane mitaani na wakakificha. Lakini mara kilipokuwa uploaded humu JF ndipo kikafunguka na madukani. Ni wazi kuwa kama kimeshawekwa Jamii Forum basi hakuna ujanja zaidi isipokuwa kuacha kisambae huko mitaani.
.."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.
Follow Us Here