Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wenyeviti wa vijiji na vitongoji kupatiwa posho kutoka serikali kuu

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      MWANAIDEA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 352
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Post Wenyeviti wa vijiji na vitongoji kupatiwa posho kutoka serikali kuu

      Ni zaidi ya miaka 35 toka serikali ianzishe serikali za vijiji ,ambazo ndio msingi wa maendeleo na demokrasia zikiongozwa na wenyeviti wa vjiji na vitongoji ,lakini viongozi hawa wamekua wakifanya kazi bila ya kua na posho wala mishahara na kupelekea kudhoofisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao naombeni michango yenu

    2. Miaka 50

    3. #2
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Wenyeviti wa vijiji na vitongoji kupatiwa posho kutoka serikali kuu

      Quote By MWANAIDEA
      Ni zaidi ya miaka 35 toka serikali ianzishe serikali za vijiji ,ambazo ndio msingi wa maendeleo na demokrasia zikiongozwa na wenyeviti wa vjiji na vitongoji ,lakini viongozi hawa wamekua wakifanya kazi bila ya kua na posho wala mishahara na kupelekea kudhoofisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao naombeni michango yenu
      Kwa kuwa hakuna anayejitolea kutaka uongozi wa ccm, wameona nafuu wawape posho!! Inafurahisha kweli!!! CCM inawapa wananchi posho wakati CDM inapewa posho na wananchi!!

    4. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...