
By
Chaimaharage
Wasira ni muumini mwenzangu wa Kanisa la Wasabato na huwa tunasali wote pale Magomeni Mwembechai. Sasa huwa nikimuangalia pale kanisani anavyo jifanya mnyenyekevu nikifikiria madudu anayo yafanya nje ya kanisa ukweli huwa nachoka kabisa. Ninacho taka kusema ni kwamba huyu jamaa analichafua jina la kanisa. Wasabato ni watu wanao heshimika sana na ni watenda haki na tulitarajia huyu jamaa kulitangaza jina la kanisa letu huko aliko kwa kutenda haki lakini yuko kinyume kabisa na mafundisho ya imani anayo ifuata.
Nina muomba sana aamue kuwa Msabato mkamilifu au abaki Duniani na maovu yake. Sijui wanao mfahamu huyu jamaa kuwa ni msabato wanapata picha gani juu ya wasabato. Nahisi aibu sana.
Follow Us Here