Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      mwinukai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 659
      Rep Power : 543
      Likes Received
      134
      Likes Given
      52

      Default Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      Akiwasilisha mpango wa maendeleo Wasira alisema uchumi wa Africa ulikua kwa asilimia 2% kitu iklichopingwa vikali na Mh Silinde kuwa inawezaje? uchumi wa Africa kupanda kwa asilimia 2 ilhali nchi za mwisho uchumi huo ulipanda kwa asilimia 3 ? cha msingi Wasira anatia propaganda hata kwenye mambo muhimu bila kujali nani anamsikiliza, ama alichoambiwa asome hakujuajua undani wake


    2. #2
      Van persie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 380
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      Kadanganywa na mzee wa igunga nchemba mwigulu. Ambaye ajiita mchumi mwenye first class, wakati uchumi wa nchi unadidimia. Sasa hata mimba inadaiwa na wazungu. Nchembaaaaa!!. Upo?.

    3. #3
      Chaimaharage's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 0
      Likes Received
      72
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      Wasira ni muumini mwenzangu wa Kanisa la Wasabato na huwa tunasali wote pale Magomeni Mwembechai. Sasa huwa nikimuangalia pale kanisani anavyo jifanya mnyenyekevu nikifikiria madudu anayo yafanya nje ya kanisa ukweli huwa nachoka kabisa. Ninacho taka kusema ni kwamba huyu jamaa analichafua jina la kanisa. Wasabato ni watu wanao heshimika sana na ni watenda haki na tulitarajia huyu jamaa kulitangaza jina la kanisa letu huko aliko kwa kutenda haki lakini yuko kinyume kabisa na mafundisho ya imani anayo ifuata.

      Nina muomba sana aamue kuwa Msabato mkamilifu au abaki Duniani na maovu yake. Sijui wanao mfahamu huyu jamaa kuwa ni msabato wanapata picha gani juu ya wasabato. Nahisi aibu sana.

    4. #4
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,553
      Rep Power : 813
      Likes Received
      715
      Likes Given
      64

      Default Re: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      Msimlaumu, matatizo ya usingizi hayo. Analala facts zinapita.

    5. #5
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,887
      Rep Power : 2171
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      561

      Default Re: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      jamani huyo ni mgeni toka hifadhi ya gombe, alimtoroka dr jane goodall na kukimbilia bunda hahaaa tumrudishe kwenye hifadhi anatuharibia tu taratibu zetu mjini hapa


    6. #6
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,232
      Rep Power : 887
      Likes Received
      328
      Likes Given
      758

      Default

      Quote By Chaimaharage View Post
      Wasira ni muumini mwenzangu wa Kanisa la Wasabato na huwa tunasali wote pale Magomeni Mwembechai. Sasa huwa nikimuangalia pale kanisani anavyo jifanya mnyenyekevu nikifikiria madudu anayo yafanya nje ya kanisa ukweli huwa nachoka kabisa. Ninacho taka kusema ni kwamba huyu jamaa analichafua jina la kanisa. Wasabato ni watu wanao heshimika sana na ni watenda haki na tulitarajia huyu jamaa kulitangaza jina la kanisa letu huko aliko kwa kutenda haki lakini yuko kinyume kabisa na mafundisho ya imani anayo ifuata.

      Nina muomba sana aamue kuwa Msabato mkamilifu au abaki Duniani na maovu yake. Sijui wanao mfahamu huyu jamaa kuwa ni msabato wanapata picha gani juu ya wasabato. Nahisi aibu sana.
      Afutwe ushirika huyu!

    7. #7
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,803
      Rep Power : 13851
      Likes Received
      432
      Likes Given
      571

      Default

      Quote By Chimunguru View Post
      jamani huyo ni mgeni toka hifadhi ya gombe, alimtoroka dr jane goodall na kukimbilia bunda hahaaa tumrudishe kwenye hifadhi anatuharibia tu taratibu zetu mjini hapa
      Nipe namba ya mama yako nimpatie nasikia mama yako anaiweza sana shughuli ya kuwarudisha Gombe kama alivyofanikiwa kwa baba yako hadi leo tupo na wewe hapa.

    8. #8
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 489
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default

      Nasikia adui Yake no.1 ni kioo

    9. #9
      Mundali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2010
      Posts : 697
      Rep Power : 649
      Likes Received
      144
      Likes Given
      77

      Default Re: Wasira anapiga uwongo wa wazi hadi bungeni

      Mwigulu ni kati ya wale wachumi copy n paste, kakopi madesa kakariri akahamishia kwenye UE. 1st class darasani, zero kwenye application.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...