habari ndio hii.huku madaktari wakiambiwa milioni 3.5 kamwe haiwezekani
habari ndio hii.huku madaktari wakiambiwa milioni 3.5 kamwe haiwezekani
Ili uweze kumtetea mtu toyote ni lazima uyajue mazingira ya kila kitu kuhusu unaemtetea lakini kama wewe mtetezi unakula keki huwezi kumtetea anaekula kibama (aina ya kitumbua kitengenezwacho kwa ndiz na unga wa ugali) mbunge ml 10 anajua nini kuhusu ask,mwl,nk anaepata 150 ? kuna siku watu wote watakuwa wabunge
kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac
Kwa kuzomea tu wanapewa 10m najisikia uchungu kweli
Mwisho wa Ubaya Aibu.
kasungura bado ni kidogo!ngoja wazee wapate kwanza halafu ndio tuwafikirie ninyi wengine
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Follow Us Here