Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Tangopori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 361
      Rep Power : 427
      Likes Received
      81
      Likes Given
      19

      Default Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Habari zenu wanajf
      safari za kila mara za rais kikwete zimekuwa ndo chanzo kikubwa cha deni letu la taifa kwani kila akienda nje anakuwa beneti na bakuli la kuombea misaada na akifika kule anaanza kuelezea tanzania kama vile nchi isiyokuwa na chochote wakati anaowaelezea utajiri wao wameupata huku kwenye nchi zetu za kiafrica. cha ajabu mtu anayeenda kuomba msaada amekaa 'bussines class' kwenye ndege wakati balozi anayetumwa kuleta huo msaada 'anakaa economy class'

    2. Miaka 50

    3. #2
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 566
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Mwenzetu wanavyo safiri awaendi na vijembe kama hata houseboy yakufanya nini ??? Huyo KIKWETE amesomea Uchumi wapi jamani... mbona anafanya mavitu vya ajabu ajabu kama mtoto mdogo ??? He has to pay the loan otherwise we will teach him a lesson kutuacha kwenye madeni which hata vituku na vilembwe awataweza kulipa

    4. #3
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      inasikitisha kuona kuwa safari moja ya MUKULU ni kama tsh million 400..kwa safari za kila siku za jk kwa mwaka mmoja sidhani kama anatumia chini ya tsh billion 10 sawa na bajeti ya wizara mojawapo hili ni janga kubwa sana

    5. #4
      Masabaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Niliwahi kusema humu JF kuwa Kikwete ni JANGA LA KITAIFA

    6. #5
      Masabaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Na ndugu zangu watanzania wakristo kwa waislamu na wasiokuwa na dini tumuombe Mungu wetu atuondolee hili JANGA KUBWA AMBALO HALIJAWAI KUTOKEA MAHALA POPOTE DUNIANI TOKA DUNIA IMEUMBWA ILA LIMEKUJA KUIKUMBA NCHI YETU TANZANIA LAZIMA TUMLILIE MUNGU ATUONDOLEE HILI JANGA KUU.


    7. #6
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,664
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Ni aibu kubwa kwa Tanzania kua ombaomba, anatutia aibu, kama anaona ni vizuri kuwa ombaomba nae tumkute kwenye mataa ya Chang'ombe akiombaomba! we mtu na akiliyako unakua ombaomba Aibu!

    8. #7
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,933
      Rep Power : 1031
      Likes Received
      761
      Likes Given
      333

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      yule jamaa aliyekuwa engineer wa kuchora mchongo wa kuzipiga zile nauli za jamaa, angefanikiwa angetakiwa apewe tuzo kwa hisani ya watu wa tanganyika -- wote mnajua bila nauli hakuna safari..

    9. #8
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13048
      Likes Received
      1557
      Likes Given
      1137

      Default

      Quote By FUSO
      yule jamaa aliyekuwa engineer wa kuchora mchongo wa kuzipiga zile nauli za jamaa, angefanikiwa angetakiwa apewe tuzo kwa hisani ya watu wa tanganyika -- wote mnajua bila nauli hakuna safari..
      Pokea 'like' mkuu

    10. #9
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 257
      Rep Power : 489
      Likes Received
      83
      Likes Given
      62

      Default Re: Safari za kikwete moja ya sababu za kuongezeka deni la taifa.

      Quote By Bob G
      Ni aibu kubwa kwa Tanzania kua ombaomba, anatutia aibu, kama anaona ni vizuri kuwa ombaomba nae tumkute kwenye mataa ya Chang'ombe akiombaomba! we mtu na akiliyako unakua ombaomba Aibu!

      Mkuu Bob, mbaya zaidi mtu anakwenda kutembeza kibakuli lakini utashangaa huo msafara wake! Tungalikuwa na demokrasia ya kweli tungalidai iundwe Tume kuchunguza kila safari yake ya nje aliandamana na nani na ajili gani, iligharimu kiasi gani, na returns zake zilikuwa nini! Mungu ibariki Tanzania!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...