Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 104
    1. #1
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 0
      Likes Received
      183
      Likes Given
      1

      Default Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Leo tarehe 20 rais ametia timu Dodoma na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali waandamizi akiwemo waziri mkuu japo mpaka sasa ajenda haijajulikana lakini hii ni shku moja baada ya kuitwa dhaifu na Mbunge wa Ubungo J .J Mnyika

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Kengedume's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 381
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Raisi wa tanzania ni dhaifu na chama cha mapinduzi ni wapuuzi pamoja na wabunge pia mawaziri wote. ndo maana walimkalisha chini kumzuia kusoma report yake ktk mkutano wa nchi za ..............., alichofuata dodoma ni ku prove udhaifu wake, aibu kwa taifa na taasisi ya urais!

    4. #22
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,232
      Rep Power : 1293
      Likes Received
      1361
      Likes Given
      2656

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      mkuu wa usalama wa ccm ameambatana naye?kama ndio mnyika ondoka dodoma kimyakimya kwa usalama wako

    5. #23
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 758
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Nai nai kila siku wajua nakuziimia!

    6. #24
      Kengedume's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 381
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
      Wakumfundisha adabu mnyika ni wapiga kura wake tu huyo Jk wako hana uwezo huo labda amuuwe! na akifanya hivyo the Haigue ina muita!!!!!!!

    7. #25
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Hana jipya huyo JK a.k.a Mdhaifu

    8. Miaka 50

    9. #26
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 662
      Rep Power : 510
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Quote By Tume ya katiba
      Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
      Sasa mimi kila nitakapoandika chochote kuhusu jk lazima nitaweka neno dhaifu kwenye mabano ili kuhainisha ninacho andika. Mfano: Jk (dhaifu) atua dodoma.

    10. #27
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Hahahaaa!! Kiongozi legelege, mdhaifu na mwenyekiti ya chama cha kipuuzi ametia timu dodoma! Kweli chadema kiboko!
      jayp1617 and Kaitampunu like this.

    11. #28
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Kweli anazidi kudhihirisha yeye ni dhaifu. Yan anatia aibu.

    12. #29
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 644
      Rep Power : 542
      Likes Received
      169
      Likes Given
      29

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      sio mchangiaji ktk jukwaa hili, bt kwa dharau ndogo ndogo ambazo serikali inaonyesha hasa dhidi ya madaktar na walimu....mh i xpect to see nchi ya aina ake soon....let us wait.

    13. #30
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      JK kukutana na Mbowe Mnafiki leo jioni ikulu ndogo Dodoma
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    14. #31
      Hardwood's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 518
      Likes Received
      42
      Likes Given
      16

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Namkumbuka Nyerere aliposema....ikulu sio mahala pa kukimbilia.... Maskini JK kazi anayo!!!

    15. #32
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Quote By Ninaweza
      kama ni ufafanuzi wa udhaifu angeenda BAKITA!
      Au wazee wa CCM wa D'salaam.

    16. #33
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Mods naomba kutumia lugha kali ya kuuzi kwa wote wanaomkawhifu Rais wa Nchi yetu Tanzania
      Quote By Bob G
      Hana jipya huyo JK a.k.a Mdhaifu
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    17. #34
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 734
      Rep Power : 569
      Likes Received
      156
      Likes Given
      138

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      kama kweli JK SIYO DHAIFU...Jenga hoja kuhusu mafanikio juu ya sekta hizi 2 tu tangu aingie madarakani.
      AFYA
      MIUNDOMBINU-RELI

    18. #35
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 668
      Rep Power : 581
      Likes Received
      242
      Likes Given
      75

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
      hoja zako ni kama mtoto asiye rizki.
      tedo likes this.

    19. #36
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Quote By Tume ya katiba
      Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
      Kweli wewe nakuaminia, kama ulivyoshiriki kuchoma makanisa kule Zanzibar!

    20. #37
      Mujanjabi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 70
      Rep Power : 437
      Likes Received
      6
      Likes Given
      6

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      dhaifu tu si kidogo kaenda kuwaomba wadhaifu wenzake wafunike mwanaharamu apite.aibu tupu.

    21. #38
      Mboja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 130
      Rep Power : 465
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Hata hilo neno mdhaifu halimtoshi kwa sababu yeye ni zaidi ya mdhaifu.

    22. #39
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 973
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2279

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Sizani kama ana jipya lililompeleka Dodoma
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    23. #40
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,882
      Rep Power : 2291
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      1488

      Default Re: Baada yakuitwa dhaifu JK atua Dodoma

      Tehe tehe tehe tehee ... atua Dodoma tehee tehe tehe!!!

      Quote By DOMA
      Leo tarehe 20 rais ametia timu Dodoma na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali waandamizi akiwemo waziri mkuu japo mpaka sasa ajenda haijajulikana lakini hii ni shku moja baada ya kuitwa dhaifu na Mbunge wa Ubungo J .J Mnyika

    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...