Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,504
      Rep Power : 1189
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Wana jamvi kuna jambo linatatiza sana kichwa changu toka bajeti hii ya serikali isomwe. Kitakwimu deni la taifa linakisiwa kuwa trillion 20. Na uwezo wa pato letu la ndani ni wastani wa trillion 8 kwa mwaka huu. Hapa sasa ndipo shida yangu ilipo, ambapo naomba wasomi na wajasiriamali wote waliofanikiwa katika biashara zao bila hata ulazima wa elimu ya shule. Tutawezaje kulilipa deni letu kufikia zero huku matumizi ya kawaida yakizingatiwa achilia mbali miradi ya maendeleo? Hatujauzwa kweli? Hebu tueleweshane kwa kujaribu kuweka mbali itikadi za vyama vyetu zinazotupofusha katika masuala ya msingi yanayotuhusu. Nawakilisha.
      .

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      S.Liondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 340
      Rep Power : 478
      Likes Received
      55
      Likes Given
      6

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Hapo hakuna kulipa, labda kupunguza kidogo tu na kisha kusubiri awamu nyingine ya msamaha wa madeni kutoka kwa wahisani. Sisi ni watumwa kwasababu ya madeni tuliyonayo. Inashangaza sana kuona mbunge wa CCM mwenye akili timamu akidai kwamba hakuna kukopa kwetu hakujafikia kiwango kibaya. Kama ni hivyo basi serikali ilipe deni lote tuone kama haijaanguka.

    4. #3
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,872
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Huo ndiyo uchizi wa wabunge wa magamba
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    5. #4
      nahavache's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2009
      Posts : 502
      Rep Power : 616
      Likes Received
      142
      Likes Given
      281

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Kudaiwa sio tatizo, tatizo ni kuwa hizo ulizokopa umepeleka wapi? Sisi tatizo ni kuwa tumepeleka kwenye matumbo ya wajanja wachache

    6. #5
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1933
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Kama unalipa kwa nn deni liongezeke..kuongoza nchi inataka watu waliotulia akili wanaojua wanafanya nn tofauti ya hapo lazima ukope hata kwa ajili ya mishahara
      ,,mimi naipenda hii hali iendelee ili ukombozi wetu usichukue muda mrefu

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,177
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2297

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Deni la taifa mpaka mimba inadaiwa sh. Laki nne na themanini elfu.

    9. #7
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,504
      Rep Power : 1189
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By nahavache
      Kudaiwa sio tatizo, tatizo ni kuwa hizo ulizokopa umepeleka wapi? Sisi tatizo ni kuwa tumepeleka kwenye matumbo ya wajanja wachache
      .
      Nini sasa kifanyike ili kushinikiza pesa zinazokopwa hasa zile za mabenk ya ndani kuwekwa wazi matumizi yake? Na ni sababu ipi inayopelekea bajeti kutofika katika baazi ya zilikokusudiwa wakati deni la kuikopea hiyo bajeti likizidi? NCHI YETU INAITWA DANGANYIKA!!
      .

    10. #8
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,653
      Rep Power : 927
      Likes Received
      587
      Likes Given
      83

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      tungeona fly overs japo kwenye junction za dar tu tusingekuwa tunalaumu. Shida ni pale wanapokopa kujenga barabara aafu ujenzi unasimama kwa kukosa pesa! Zimeenda wapi mlizokopa? Kuna mchwa wanakula? Kila siku wanazungumzia kupunguza matumizi,mbona ndo yanaongezeka? Pesa zinakopwa kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo lakini hazifiki mashambani na hawajui nani kala hizo pesa! Are they serious? Hilo deni wamekopa kina wasira aafu tutalipa sisi na watoto wetu,kuna uhalisia hapo? Kwa nini tusiwachukie?

    11. FJM
      #9
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,175
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default Re: Tunakopesheka kwa kuwa tunalipa deni.

      Ili kukuonesha jinsi wabunge wa ccm wanashangilia biashara kichaa ni hivi: budget ya mwaka huu 2012/13 ni Tsh 15 trillion. Now, zaidi ya Tshs 2 trillion zimetengwa kulipa deni! CCM wanasema ni madeni ya miaka mingi i.e 50 lakini hata kama ni miaka mia nani atalipa? Ni mzazi gani anayekopa na kujigamba watoto na wajuu ndio watalipa? Tena unakopa kununulia wanzuki na posho na sio hata kuwekeza ili huyo mtoto/mjukuu apate nyenzo ya kulipa deni alilolikuta!

      Kwa kifupi mambo sio mazuri kabisa - deni la taifa linaongezeka, inflation inapaa, industrial base is very weak, population inakuwa sana, ardhi inaanza kupewa kwa wawakezaji kwa 99 yrs lease! Na kama haitoshi aprox 90% ya nyenzo kubwa za uchumi wetu kwa sasa ziko chini ya watu wa nje (madini, gas, oil, utalii). 50 yrs of independence.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...