Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 51
    1. #1
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
      ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.

      Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
      Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
      alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
      alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
      Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni

      nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama
      mwongozo likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default

      Quote By barak obama
      kaskazini ijitenge - Nassari
      jk ni dhaifu: mnyika
      wavuta sigara na wanywa pombe wakioko serikali mapato yatatoka wapi?: kafulila

    4. #22
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Yan wanapopitisha bajeti kama hile ni wazi wanamsaidia dhaifu jk.

    5. FJM
      #23
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Quote By barak obama
      ushindani bungeni ni hoja sio vijembe na taarabu.wabunge wetu kwa sasa hawana hoja wanaimba tu taarabu
      Wabunge wa ccm wametishiwa kama bajeti haikupita rais atavunja bunge na kuitisha uchaguzi! Uroho wa madaraka na kiwango cha juu cha usaliti ndicho kinachoendelea sasa hivi Dodoma. Lakini hakuna shida, bajeti itapita, makampuni makubwa yatalindwa, na wapambe wengine wataendelea kutumbua nchi. That's CCM.

      2015

    6. #24
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 18,931
      Rep Power : 9474
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1192

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Wabunge wa CCM wapuuzi sana
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    7. #25
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,066
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      478
      Likes Given
      72

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Quote By nipo hapa
      Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
      ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.

      Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
      Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
      alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
      alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
      Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni

      nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama

      Hakuna kitu hapo. Wanachofanya CCM ni kama kwenye mpira timu inacheza deffeceve bila kushambulia. Kila mpira ukija wanatoa kona au wanasababisha free kick au penalt. Matokeo yake watafungwa goli jingine baada ya lile la jana na mshambuliaji machachari Mnyika.
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mr EWA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th March 2007
      Posts : 171
      Rep Power : 657
      Likes Received
      8
      Likes Given
      9

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Wananchi ndio watatoa hukumu ya mpambano huo.

    10. #27
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Quote By barak obama
      Mbona bunge lililopita Dr Slaa alijizolea umaarufu mkubwa kwa wananchi,hii ni kwa kuwa alikuwa anajenga hoja sio kucheza ngonjera kama hizi za kina mnyika
      Kwa taarifa yako Mnyika kwenye medani za siasa tokea jana yupo juu kichizi mwaka huu wenu mtapiga yowe sana
      parameter likes this.

    11. mob
      #28
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 599
      Likes Received
      103
      Likes Given
      32

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      mkuu kinachoonekana kule dodoma bungeni ni kuwa hakuna mjadala ila wako kwa ajili ya kujibu mapigo ya chadema.ila ninachoelewa ni kuwa mpaka itakapofika september 2012 mwisho wa bunge hili lazima chadema wataibuka washindi.nawashukuru sana chadema kwa kuongea point zenye maana sana na zinazogusa maisha ya kila mtanzania kuliko kuzungumzia mambo ya mipasho yanayofanya na watu kutoka kwenye chama kingine.

    12. #29
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Quote By barak obama
      hilo utapima mwenyewe na kujua upo upande gani,mchezaji au mpiga ngoma
      Mpiga ngoma kama m kwere?

    13. #30
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      BUNGE LA KIISTAARABU LA CHIFU ADAM SAPI MKWAWA NA USHINDANI MKALI MIJADALA KWA NGUVU ZA HOJA' HIVI SASA NI JUKWAA LA WANAMIPASHO, WAIMBA TAARAB NA MIDOMO KAYA MIGUUNI MWAKE JOB NDUGAI

      Mkuu 'Nipo Hapa',

      Hakika inasikitisha kweli kweli kuona bunge linageuzwa kuwa soko la WAPIGA KELELE MAHIRI, walanguzi, na mizabizabina (Rweyemamu et al, Kurugenzi za Mawasiliano Magogoni, 2011) ambapo wenye HOJA ZA NGUVU, MIPASHO NA MATUSI hupewa nguvu zaidi na kiti cha spika huku wenye kukosoa bajeti kwa faida ya walalahoi wakikejeliwa na wakati mwingine hata kutupwa nje ya bunge.

      Mpaka hapa wala si siri tena kwamba kwa mara nyingine baadhi ya wabunge wa CCMwameamua kwa makusudi kutugeuza WaTanzania walipakodi kuwa ni watu wa mzaha na kuchezewa ovyo tu jinsi mtu yeyote apendavyo ilmradi tu mbele ya jina lake kuna maaneno ya 'Mheshimiwa M<bunge' basi tu.

      Naam, ndio kusema y kwamba ni nani aliyetarajia sehemu panapoitwa bunge kuweza kusheheni lugha zisizo na staha kiasi kile, je ni nani aliyetarajia kuona kiti kinachotarajiwa kusimamia U-Mwanana wa MIJADALA YA KISTAARABU NA USHINDAANISHAJI WA NGUVU ZA HOJA (na si hoja za nguvu) pale sebuleni pindi anapobadilika ghafla na kudondosha filimbi yake chini na kuanza kuwakabili vilivyo wabunge wa ushindani kwa mtindo ule tena kwa mshaangao mkubwa wa taifa zima????

      Kama kuna kitu mwananchi wa kawaida anatafuta kusikia kutoka Bungeni Dodoma wakati wote ni jinsi gani Ugali utakavyoongezeka zaidi mezani kwake kutokana na mikakati murua kwenye Bajeti ya serikali. Hivyo, ni vema serikali kupitia bunge ikawapa sikio pana zaidi hasa wenye KUKOSOA BAJETI KWA LENGO LA KULIBORESHA ZAIDI kuliko kutafutaa kuwaziba midomo kwa mikakati ya kitoto kiasi kile cha kupanga KIKOSI CHA WAPIGA KELELE mbele yaake ili hoja yake isifue dafu.

      Ni vema ikaeleweka bayana kwamba Bajeti ni mali ya serikali na wapinzani kwa pamoja hivyo kila anayezungumza anayo maslahi pale na wala si kuwaona wengine kuwa kama tishio vile kwa ajenda za KIFISADI kibao zilizofichwa ndani ya hii Bajeti ya Mgimwa'.

      Ni wazi pia kwamba Bajeti isiopembuliwa KISAWASAWA mwisho wa siku hukosa kuleta tiza za ki-maendeleo kwa wananchi. Hali ya aina hii inapotokea siku zote husalimiwa na maandamano mengi, madai ya ufisadi na kero nyingine za aina hiyo.

      Sasa kwa vile nguvu za hoja huonekana kupewa kisogo na wanamipasho kupata kuunganishiwa vipaza sauti zao ghafla tu kwenye amplifier ya Spika Ndugai pale mbele hadi hapo ni kwamba kwetu sie huku mitaani ni kwamb Bunge sasa lishaageuzwa kuwa kilabu cha pombe ki-aina vile.

      Nasema hivi kwamba wala si utani kwamba Watanzania tuliowengi hivi sasa tunajihisi zaidi kuchukuliwa mzaha na sehemu kubwa ya wabunge wa CCM kwenye kile kinachotarajiwa kuwa ni JUKWAA RASMI NA LENYE KUSTAHILI HESHIMA TELE kitaifa na vile vile kuwa ni sehemu au kikao cha wastaarabu tupu Dodoma Bunge sasa kuwa kama kikao cha mapunguani vile kule Mirembe Hospital.

      Na ni kwa maan hiyo hiyo hapo juu ndio maana vile vile nikaonelea kua ni vema huyu ndugu yetu NIKO HAPA naye akatuomba radhi wana-CHADEMA pamoja na wapinzani wote bungeni kwa ujumla wetu tena bila kusita. Sifa hizo ulizoziainisha hapo chini za VIJEMBE NA KEJELI hata siku moja hutozikuta kwa wabunge wa upinzani maana kamwe hatuna haja nazo wala haziongezei Mtanzania mhangaikaji unafuu wowote katika maisha yake.

      Kimsingi, inashangaza tena sana kuona kuna MJADALA MZITO BUNGENI kuhusu NAMNA GANI YA KUBORESHA BAJETI YA TAIFA ili ikatufae zaidi sisi walipa kodi wa nchi hii na baadhi ya wabunge wa CCM (wapo wengine ambao ni waelewa sana mle tofauti na hao vilaza uliowataja wewe hapo chini) wakiendelea tu kuonyesha umahiri wao wa kugeuza mijadala ya kiwabunge wenye sifa hizo.

      Lakini, yote juu ya yote, wapiga kura wa nchi hii UWEZO TUNAO wa kuondokana na wabunge wa aina hii siku za usoni ili kule Dodoma wapate kwenda tu wale wtu ambao wanajua nini sisi walipakodi tunahitaji kusikia kikijadiliwa kwenye bajeti pale sebuleni na wala si kuonyeshanga UMAASHUHURI KATIKA MEDANI HIZO aDIMU ZA nani-mjinga zaidi vile.


      Quote By nipo hapa
      Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
      ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.

      Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
      Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
      alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
      alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
      Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni

      nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama

    14. #31
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By barak obama
      kaskazini ijitenge - Nassari
      Naomba kujuzwa, kasema hayo bungeni ama? maana mimi sijaangalia.
      The unseen is illustrated by the seen.

    15. #32
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 408
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Mchemba na Zitto leo asubuhi katika kipindi cha jambo Tanzania, Karibu mtu alie, Marini hasan nae mchokozi kweli, ndio sababu hapati ubosi pale TBC, Sera zake zinakaribia ha Tido. Aliyeshuudia aseme ilikuwaje

    16. #33
      hoyce's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 478
      Rep Power : 529
      Likes Received
      106
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Hawajacna kitu. Wameshikwa hadi wanaunda kamati ya mawaziri 6 kuokoa bajeti! Wanaona jahazi linazama.

    17. #34
      Tetty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,132
      Rep Power : 566
      Likes Received
      315
      Likes Given
      204

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Wakati mwingine kwenda shule siyo lazima uelimike unaweza ukawa umefuta ujinga tu.

    18. RMA
      #35
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 518
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Wananchi wa kusini wasipopelekewa maendeleo wahamie Malawi - Komba

    19. #36
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 834
      Likes Received
      107
      Likes Given
      66

      Default Siasa za usimba na uyanga

      KATIKA GAZETI LA MAJIRA LA LEO, KUNA KICHWA CHA HABARI TFF yazitaka Simba na Yanga kukaza buti!! '' Habari inaanza kwa kusema Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limezitaka Simba na yanga kuhakikisha zinalibakisha kombe la Kagame, linaloandaliwa na vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki na kati (CECAFA). Kauli kama hii ni nzuri ila kinachonisikitisha hapa nakuona ni jinsi gani hata viongozi wetu wa soka wamejaa siasa za Simba na Yanga ni Kitendo cha kuzitaka Simba na Yangu tu bila Kuzungumzia Azam!!!. Tunakwenda wapi kwa staili hii. Hivi kichwa cha mwendawazimu kitaaisha. Itakuwaje kwa viongozi wa TFF pale Azam itakapolichukua kombe?. Au Azam si timu ya Tanzania hata isizungumziwe ? Nawaasa viongozi wanguwa tiefu efu acheni hizo. Kichwa cha mwendawazimu kinaanzia kwenu na unazi wa kijinga!
      Wazungu wanamsemo ambao wanapenda kuutumia kwa mtu mkubwa mwenye akili ya kitoto au anayefanya utotototo....wanasema '''SHAME ON YOU'''. Namimi nasema shame on TFF

    20. #37
      MPAMBANAJI.COM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2011
      Location : IN THE PLANNET
      Posts : 381
      Rep Power : 492
      Likes Received
      117
      Likes Given
      105

      Default CCM vs. CHADEMA

      nipo Pwani hapa kwa mkuu wa kaya...watu wanfuatilia bunge huku wakichapa kazi....anapozungumza mbunge wa CCM watu hawashangai.Ila anaposimama mbunge wa CHADEMA, redio zinaongezwa sauiti na hata TV....WAKO MAKINI KWELI.


      nASHINDWA ELEWA NI KWAMBA WANIPENDA chadema AU NI KWMABA WAVIZIA KUSIKIA wabunge wa watanzania kupitia CHADEMA wakiboronga wapate cha kuozungumza?
      Am not sure if all Leaders knows everything and therefore am a Leader of Myself.

    21. #38
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Bajeti yetu bungeni safari hii ni sharti itenge fedha kwa ajili ya MAENDELEO kwa asilimia 75 % na fedha kwa ajili ya gharama za UTAWALA, POSHO NA MIKONGAMANI safari hii kamwe isizidi asilimia 25 %.

      Fedha kwa ajili ya Mikopo Elimu ya Juu nayo lazima iende juu 4 fold ili Tanzania yetu iweze kuwekeza zaidi katika elimu kuongeza ubora wa watu wetu kushindana kwa tija katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    22. #39
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 764
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      579
      Likes Given
      111

      Default Re: CCM vs. CHADEMA

      CHADEMA wanaongea kinachoeleweka

    23. #40
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Ni wazi sasa CCM imewabana CHADEMA bungeni

      Quote By barak obama
      kwa hiyo dawa yao imeshapatikana????
      hyo ina maana CCM ina majembe sema tu ilikuwa haiyatumii
      Ina majembe haswaaaa ya mipasho......yaani majembe ya ccm yakishindanishwa na isha mashauzi lazima yaibuke kidedea!
      Life without problems never make a strong and good person!

    24. Study Abroad
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...