Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,411
      Rep Power : 795
      Likes Received
      377
      Likes Given
      264

      Default Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Nimesikia habari za Bwana Mwigulu Nchemba jinsi alivyosimama na kutetea Bajeti ya kipuuzi ya Serikali ya CCM huku akiiponda na kuitukana Bajeti Mbadala ya Wapinzani. Mwigulu Nchema alitamba na kusema Bajeti ya Wapinzani ni takataka na akafikia mahali pa kukitupa chini kitabu cha Bajeti ya Upinzani akidai kuwa Freeman Mbowe anawadanganya Watanzania!

      Bwana Mwigulu Nchemba akiongea kwa mipasho kama anayoitumia kwenye Kampeni zake za CCM alitamba kuwa yeye ni msomi na mchumi wa Daraja la 1 toka BOT kwa hiyo anajua sana Uchumi na kwa maana hiyo anaijua Bajeti ya Serikali na hasa Bajeti ya CCM.

      Mwigulu Nchemba kama vile aliyepagawa na mapepo aliendelea kupasha mipasho yake kwamba Wapinzani wameshindwa kuelewa kati ya Matumizi ya Kawaida na Matumizi ya Maendeleo. Kwamba 30% iliyotengwa kwa Matumizi ya Maendeleo siyo kweli maana inazidi hizo 30%! Akaendelea kumwaga radhi kuwa katika 70% ya Matumizi kuna pesa za kusomesha Wanafunzi katika Vyuo Vikuu ni sehemu ya fedha ya Maendeleo siyo matumizi maana ni uwekezaji katika Raslimali watu!


      Haya ni maelezo ya Mwigulu Nchemba,Mchumi Daraja I(1ST CLASS) kutoka BOT. Kijana aliyepikwa na kuiva kisawasawa na aliyekuwa Gavana wa BOT Daudi Balali(RIP?) kwa utaalamu wa KUIBA PESA ZA EPA. Nchemba akiwa kama FISADI MZOEFU toka BOT anajaribu kuwapotosha Watanzania kwa hila zilezile za ki-EPA kuwa kuna PESA iko kwenye MATUMIZI lakini ni ya MAENDELEO!!??Hapa Nchemba anazuga tu na anajua kuwa hawezi kueleweka kwa watu makini na Watanzania wote wanaojua tofauti ya kati ya Fedha ya Matumizi na ya Maendeleo. Kama anayosema yana ukweli basi aseme kuwa ile 70% ya matumizi ni fedha ya MAENDELEO. Maana hata fedha iliyotengwa kwa ajili ya CHAI NA VITAFUNWA kwenye Wizara ili kushibisha matumbo ya Wafanyakazi ni maendeleo maana ni kuwekeza kwenye matumbo ya Raslimali watu. Fedha iliyotengwa kununulia MASHANGINGI ya Serikali nayo ni maendeleo. Kwa hiyo basi kwa maelezo ya huyu MWIGULU NCHEMBA MCHUMI CLASS 1, BAJETI YOTE 2012/13 NI YA MAENDELEO!!!!!!!!!!!

      Hapo hapo kuna Mibunge ya CCM imeshangilia na kumtunza huyu kwa pesa na kila aina ya bashasha. Kwa Wabunge wa CCM huyu ni DAUDI BALALI mpya anayeibukia maana ndiye anayetengeneza dili za ULAJI ZA CCM na kuwatafutia CCM PESA ZA KAMPENI KWA CHAGUZI ZINAZOKUJA. Kwangu mimi NCHEMBA ni sawa na kibaka tu. Tunajua na tumesikia KASHFA zake kuhusu UZINZI MKUBWA anaofanya na wake za watu na kwamba aliyefumaniwa na mke wa mtu huko Igunga wakti wa kampeni za Ubunge 2011. Hakika ni huzuni na inasikitisha. Nimalize kwa kuunga mkono tamko la Mhe. John Mnyika kwa kusema kwamba kweli tumefika hapa tulipo kwasababu ya UPUUZI WA CCM!

      Nawasilisha.
      MPAMBANAJI.COM likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 663
      Rep Power : 566
      Likes Received
      76
      Likes Given
      114

      Default re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Tusimpe umaarufu asiostahili

    4. #3
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,596
      Rep Power : 22054
      Likes Received
      992
      Likes Given
      771

      Default re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Mtu aliyekosa hoja za msingi mara zote huwa na jazba sana!
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    5. #4
      KirilOriginal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 494
      Likes Received
      174
      Likes Given
      96

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Kwa nini huyu shetani Mwigulu kuitukana bajeti ya upinzani na kuitupa? Hii si bajeti ya Zito wala Mbowe ni bajeti ya watanzania ametudharau. Na kumwita Mbowe mwenyekiti wa disco na Lisu mwanasheria wa wachawi ni tusi kubwa, na je mwenyekiti wa ccm sisi tumwite mkuu wa machangudoa? Mbona mnatafuta balaa?

    6. #5
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By makoye2009
      Nimesikia habari za Bwana Mwigulu Nchemba jinsi alivyosimama na kutetea Bajeti ya kipuuzi ya Serikali ya CCM huku akiiponda na kuitukana Bajeti Mbadala ya Wapinzani. Mwigulu Nchema alitamba na kusema Bajeti ya Wapinzani ni takataka na akafikia mahali pa kukitupa chini kitabu cha Bajeti ya Upinzani akidai kuwa Freeman Mbowe anawadanganya Watanzania!

      Bwana Mwigulu Nchemba akiongea kwa mipasho kama anayoitumia kwenye Kampeni zake za CCM alitamba kuwa yeye ni msomi na mchumi wa Daraja la 1 toka BOT kwa hiyo anajua sana Uchumi na kwa maana hiyo anaijua Bajeti ya Serikali na hasa Bajeti ya CCM.

      Mwigulu Nchemba kama vile aliyepagawa na mapepo aliendelea kupasha mipasho yake kwamba Wapinzani wameshindwa kuelewa kati ya Matumizi ya Kawaida na Matumizi ya Maendeleo. Kwamba 30% iliyotengwa kwa Matumizi ya Maendeleo siyo kweli maana inazidi hizo 30%! Akaendelea kumwaga radhi kuwa katika 70% ya Matumizi kuna pesa za kusomesha Wanafunzi katika Vyuo Vikuu ni sehemu ya fedha ya Maendeleo siyo matumizi maana ni uwekezaji katika Raslimali watu!


      Haya ni maelezo ya Mwigulu Nchemba,Mchumi Daraja I(1ST CLASS) kutoka BOT. Kijana aliyepikwa na kuiva kisawasawa na aliyekuwa Gavana wa BOT Daudi Balali(RIP?) kwa utaalamu wa KUIBA PESA ZA EPA. Nchemba akiwa kama FISADI MZOEFU toka BOT anajaribu kuwapotosha Watanzania kwa hila zilezile za ki-EPA kuwa kuna PESA iko kwenye MATUMIZI lakini ni ya MAENDELEO!!??Hapa Nchemba anazuga tu na anajua kuwa hawezi kueleweka kwa watu makini na Watanzania wote wanaojua tofauti ya kati ya Fedha ya Matumizi na ya Maendeleo. Kama anayosema yana ukweli basi aseme kuwa ile 70% ya matumizi ni fedha ya MAENDELEO. Maana hata fedha iliyotengwa kwa ajili ya CHAI NA VITAFUNWA kwenye Wizara ili kushibisha matumbo ya Wafanyakazi ni maendeleo maana ni kuwekeza kwenye matumbo ya Raslimali watu. Fedha iliyotengwa kununulia MASHANGINGI ya Serikali nayo ni maendeleo. Kwa hiyo basi kwa maelezo ya huyu MWIGULU NCHEMBA MCHUMI CLASS 1, BAJETI YOTE 2012/13 NI YA MAENDELEO!!!!!!!!!!!

      Hapo hapo kuna Mibunge ya CCM imeshangilia na kumtunza huyu kwa pesa na kila aina ya bashasha. Kwa Wabunge wa CCM huyu ni DAUDI BALALI mpya anayeibukia maana ndiye anayetengeneza dili za ULAJI ZA CCM na kuwatafutia CCM PESA ZA KAMPENI KWA CHAGUZI ZINAZOKUJA. Kwangu mimi NCHEMBA ni sawa na kibaka tu. Tunajua na tumesikia KASHFA zake kuhusu UZINZI MKUBWA anaofanya na wake za watu na kwamba aliyefumaniwa na mke wa mtu huko Igunga wakti wa kampeni za Ubunge 2011. Hakika ni huzuni na inasikitisha. Nimalize kwa kuunga mkono tamko la Mhe. John Mnyika kwa kusema kwamba kweli tumefika hapa tulipo kwasababu ya UPUUZI WA CCM!

      Nawasilisha.
      Kaka edit post yako hapo juu umeandika nchema huyu ni nichemba ya mavi na sio nchema kaka hili ni bogas mamluki nipo radhi nipigwe BAN kuliko kumjadili huyu ***nge ninaumia kuona watu wanaojiita wasomi wa daraja la kwanza wanasifia miupuuzi kama huyu mnyaturu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4285
      Likes Given
      1187

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Yan nchemba ni kichwa maji sana nimemuona anaongea utafikiri yeye hakutukana bungeni. Nilishangaa sana, yan huyu ni mchumi wa kudesa hata leo asubuhi nilishuhudia.

      Nahaya ni matunda ya dhaifu kikwete kuwalea watu kama hawa na wakina lowasa

    9. #7
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Yan nchemba ni kichwa maji sana nimemuona anaongea utafikiri yeye hakutukana bungeni. Nilishangaa sana, yan huyu ni mchumi wa kudesa hata leo asubuhi nilishuhudia.

      Nahaya ni matunda ya dhaifu kikwete kuwalea watu kama hawa na wakina lowasa
      Magumegume matupu hayo

    10. #8
      Dumelang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 307
      Rep Power : 454
      Likes Received
      178
      Likes Given
      144

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      **Hili la kutupa Kitabu cha Bajeti hili! hili..ndilo mimi ahhh

      Naondoka nicje nikapigwa BAN...aaaghh!!
      Never say more than is necessary.

    11. #9
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,967
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      kama kwel nch hii ingekuwa na wachumi gredi A tusingekuwa kweye 3 bora ya nch omba omba duniani.
      FJM likes this.

    12. FJM
      #10
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Kama kweli Mwigulu anajiamini yeye ni 1st class yake ya Economics like no other, basi I challenge him, aje awafafanulie KPMG, PWC, na CTI kuhusu bajeti ya mwaka huu 2012/13 na ubora wake kama alivyofanya bungeni. Aje na theoeris zake zooote aeleze uzuri wa deni la taifa na uimara wa uchumi wa Tanzania. I dare him! Aje, nitamnunulia safri lager licha ya kuongeza ushuru na pia nitamkodishia 'professional' ladies to entertain him.

    13. #11
      Godwin Mneng'ene's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th September 2010
      Location : Dodoma Tanzania
      Posts : 217
      Rep Power : 482
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Nafuatilia kwa makini sana michango ya hawa wabunge wa chama tawala kusema kweli sioni tofauti ya uchangiaji wa wabunge wa ccm ambao ni wasomi wa ngazi za shahada na uzamivu na ambaye shule yake ni ya sekondari wote michango yao inafana . du kweli siasa si mchezo ,hawa wasomi wamegeuka kuwa wajasiliasiasa.

    14. #12
      Van persie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 375
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Jaman nchemba ni mshamba wa kutupwa, eti mimi nina first class inatusaidia nini watzania kila cku uchumi wa tz unadidimia.Halafu anatokea m2 mwenye first class ya mapenzi anasema yeye anatoka bot. Wizi wa epa umetokea pale, kwanini hakugundua mapema mpaka chama dume cdm ndio wakaja kuguandua kuwa bot inaungua?.Achaneni na mwizi huyo nchemba mzee wa igunga.

    15. #13
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 629
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default

      Quote By afwe
      Tusimpe umaarufu asiostahili
      Big like from my mchina tochi. Huyu mi nimesoma nae namjua vizuri sana. Hastahili kulinganishwa na mtaalam kama Balali.

      Kasoma arts general mlimani na anadanganya watu sana!

      Hivi kwa aliesoma uchumi aniambie kuna topic ya budgeting kwenye uchumi?, huo utaalam wa budget aliusoma wapi?

    16. #14
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 629
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default

      Quote By FJM
      Kama kweli Mwigulu anajiamini yeye ni 1st class yake ya Economics like no other, basi I challenge him, aje awafafanulie KPMG, PWC, na CTI kuhusu bajeti ya mwaka huu 2012/13 na ubora wake kama alivyofanya bungeni. Aje na theoeris zake zooote aeleze uzuri wa deni la taifa na uimara wa uchumi wa Tanzania. I dare him! Aje, nitamnunulia safri lager licha ya kuongeza ushuru na pia nitamkodishia 'professional' ladies to entertain him.
      Thubutu yake, hii ni level ya Lipumba sio Mwigulu. Akiweza hili nitampa na mke wangu bure!
      FJM likes this.

    17. #15
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,411
      Rep Power : 795
      Likes Received
      377
      Likes Given
      264

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Nawashukuru wote mliochangia issue hii ya huyu Mnyaturu kichaa Nchemba Mwigulu.

      Inasikitisha kuwa huyu jamaa ni kichwa maji hasa na bado anaendeleza MIPASHO YAKE kwa upinzani. Leo kwenye media news amenukuliwa akidai ETI WAPINZANI WAMEHONGWA PESA NA MATAIFA YA NJE ILI WAIKATAE BAJETI YA SERIKALI!!

      Lakini kichekesho kinakuja pale media hizohizo zikidai Waziri Mkuu Mizengwe Kayanza Peter Pinda AKIUNDA KAMATI YA KUIOKOA BAJETI YA SERIKALI KWA KUIFANYIA MAREKEBISHO!!!Very interesting!

      Mimi natoa ushauri kwa Kambi ya UPINZANI ikiongozwa na watu makini kina Freeman Mbowe,Zitto Kabwe,Tundu Lissu,John Mnyika,Halima Mdee na wengineo WAKAE PAMOJA NA WAAZIMIE KUMKOMESHA HUYU JUHA MWIGULU NCHEMBA KWA KUTOA MADAI YA UONGO KUWA WAPINZANI WAMEHONGWA KUIKATAA BAJETI. NAOMBA WAOMBE MWONGOZO WA SPIKA ILI NCHEMBA KAMA ANA USHAHIDI AULETE BUNGENI ILI ATHIBITISHE KAMA NI KWELI ANACHOKISEMA.

      Hili siyo Bunge la Komedi Show, kampeni za CCM wala mipasho.

      Nawasilisha.
      FJM likes this.

    18. #16
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      jamani tumsamehe.bure huyu mwigulu,unajua kuwa na cheti kizuri cha uchumi, si kuwa mchumi mzuri,kwanza wachumi wazuri hawapo tz, mara mia botswana wangesema wana wachumi wazuri maana unashabihiana na maendeleo.kuliko kuongelea mwigulu anaezidiwa maono na wachumi wenye "gentleman degree” sana sana tunampa umaarufu asiostahili,

    19. #17
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 951
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Quote By afwe
      Tusimpe umaarufu asiostahili
      Kweli mkuu !
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    20. #18
      silver25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Location : DSM
      Posts : 700
      Rep Power : 587
      Likes Received
      23
      Likes Given
      18

      Default Re: Mwigulu nchemba: The return of a new daudi balali ?

      Asamehewe bure labda hana akili timam

      Jaman naomba msaada wa Link nitakayo ingia ili nisikilize live Bungeni nakosa mambo muhimu

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...