Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

    Report Post
    Page 7 of 20 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 399
    1. #1
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".

      Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.

      Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".

      Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?

      Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.

      Kikwete humuwezi.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    2. Miaka 50

    3. #121
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 5,798
      Rep Power : 5233
      Likes Received
      3284
      Likes Given
      8968

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By zomba
      Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".
      zomba, umenikumbusha hadithi ya Biblia pale shetani (in the form of a serpent) alipokuja kwa Eva/Hawa na kumuuliza, "Eti Mungu amewakataza kulila tunda la mti huu!??"

      Kumbuka tu mtu anapotumia hilo neno, huwa anamaanisha kuwa anaujua ukweli wa alichokisema na anajuakiko sahihi, so it just remains to be a rhetorical question.
      Thank you for acknowledging that.
      Mchana mwema...
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    4. #122
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,628
      Rep Power : 11267
      Likes Received
      1457
      Likes Given
      570

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      mleta thread soma alama ya nyakati tafadhali!

    5. #123
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,100
      Rep Power : 6358
      Likes Received
      1450
      Likes Given
      407

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      "Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete"!! Mleta mada hivi ni vita binafsi na Kikwete? au ni vita kwaniaba ya watanzania wote wapenda maendeleo??????!!!!!

      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    6. #124
      Alexism's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : Iringa Municipal TZ
      Posts : 843
      Rep Power : 564
      Likes Received
      119
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By zomba
      Unasema tu ni "dhaifu" lakini
      unashndwa kuonesha maendeleo yaliofanywa na Rais yeyote wa kabla yake
      ambayo Kikwete hajafanya zaidi.

      Mnaposhindwa hoja mnaanza viroja, si humu JF tu, hata bungeni.
      Mfumko wa bei,madawa hospitalini hamna,mishahara ya watumishi ni kiduchu. Ni viwanda vingapi vya serikali vimejengwa?

    7. #125
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 255
      Rep Power : 488
      Likes Received
      83
      Likes Given
      62

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By Ngoromiko
      Unachoita mipasho na kejeli havikuwa matusi. Lakini mtoto anapomsikia Mbunge kama Mnyika (kwa umri wake wengi wanatamani wajifunze kutoka kwake), akimdhihaki Rais wa nchi aliyechaguliwa na majority, anamdhalilisha live na kwa makusudi ndani ya Bunge, huyo mtoto anajifunza nini kama si kupotoka kimaadili?
      Huyo mtoto anajifunza kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa jamii! Kama kiongozi ni dhaifu na hata hao watoto wanaliona hilo wazi, haisaidii kimalezi kuendelea kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa! Hebu jaribu kufanya utafiti kidogo tu hapo mtaani kwako kwa kuwauliza watoto kama waliisikia kauli ya Mnyika na wana maoni gani - naamini watakushangaza sana mkuu!

    8. FemaTV & Radio

    9. #126
      MTU POLI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 366
      Likes Received
      10
      Likes Given
      9

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Acha kutishia nyau wewe, huna lolote na hamtanfanya lolote.Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli nyie magamba.

    10. #127
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 653
      Rep Power : 508
      Likes Received
      137
      Likes Given
      195

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By zomba
      Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".

      Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.

      Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".

      Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?

      Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.

      Kikwete humuwezi.
      Kwenda zako husitishe watu wakati wewe mwenyewe ni dhaifu kwa ulichoandika hapo juu!

    11. #128
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 885
      Rep Power : 526
      Likes Received
      292
      Likes Given
      78

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By Daudi mchambuzi
      "Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete, kwa uzembe wa Bunge, na kwa sababu ya upuuzi wa CCM."
      Tuma kwa watu 10 kama unamsapoti Mh. Mnyika bungeni.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Mkuu hii imenyooka kweli kweli. Miaka 50, 100 ijayo itakuwepo kwenye Dictionary of quotations. Wakati huo wajukuu zangu watakuwa wanastaajabu tuliwezaje kuchagua hawa wanaotuongoza kwa hiyo hata na sisi tutaitwa wapuuzi pia
      Daudi Mchambuzi likes this.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    12. #129
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 885
      Rep Power : 526
      Likes Received
      292
      Likes Given
      78

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By mkomatembo
      Nadhani imefika wakati sasa Rais inabidi aoneshe udikteta kama wa Mkapa , enzi zile midono ya watu kama hawa ilifyata kama mikia ! Rais tunaomba uwashikishe adabu watu kama hawa ambao hawana nidhamu kabisa, hata iweje huwezi kuwa na kiburi na dharau kiasi hicho kwa kiongozi wako wa nchi! Rais tunaomba huyu aadabishwe ! na iwe fundisho kwa wengine !
      Acha ujinga wewe! Akiwa kama Mkapa unafikiri anaweza kupatikana mwanaume wa kutangaza hadharani kuwa atasusia SENSA?
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    13. #130
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 948
      Rep Power : 685
      Likes Received
      114
      Likes Given
      144

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By zomba
      Mimi inawezekana simuwezi kwa kuwa sipo pale mjengoni wala Serikalini, lakini nasema Mnyika Kikwete hamuwezi. Amuone vile vile anacheka cheka, lakini "mtoto akichezea wembe muache". Sisi tunalitazama hili sakata litaishia wapi.

      Hatutomwachia kabisa "mpaka kieleweke", kitoto kidogo kile hakiwezi kuja kututukana tukakiacha kicheke cheke hovyo. Lazima ajuwe maana ya Serikali ni nini, maana ya Rais ni nini, maana ya Bunge ni nini na maana ya kutukana ni nini.

      Naanza kampeni rasmi, ya kuhamasisha kushikishwa adabu. Na hapa nimeanza tu, kukumbusha kuwa Mnyika Kikwete hamuwezi.

      Wana macho hawaoni.. wana masikio hawasikii...umaskini ni ugonjwa mbaya sana kuliko hata UKIMWI.. maana ukimwi hudhoofisha mwili na sasa kuna ARV, lakini umaskini hudumaza AKILI na hakuna tiba ya akili, na akili ikidumaa hata uwezo wa kufikiri hudumaa na hii ndio silaha kubwa ya CCM na imetumika kwa watu kama Zomba samahani sijui jina lako lina "M" maana nilifikiri lingefaa zaidi kama ungeondoa hiyo "M" kati ya"o" na "B"! maana watu wa aina yako hilo jina ndilo linawafaa!

    14. #131
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By Las Mas Bobos

      Mnyika alikosea.


      Mbunge anayeanza kwa kueleza matatizo ya jimbo lake, ufinyu wa bajeti iliyoelekezwa huko na jinsi serikali ilivyolisahau jimbo hilo kimaendeleo halafu mbunge huyo huyo anamaliza kwa kusema "...Mh. Spika, baada ya kusema hayo, naunga mkono bajeti hii kwa 100%....bajeti hii itapita.....na ndugu zetu msiojua ustaarabu jifunzeni kwetu" (hapa misukule mingine iliyobaki inapiga makofi na kushangilia) kamwe mbunge wa namna hii hawezi kuwa MPUUZI kamwe, huyu ni MPUMBAVU kabisa.

      Ni vile Mnyika hajui kutofautisha wapuuzi na wapumbavu mpaka amefikia kuwadhalilisha wapuuzi kwa kuwafananisha na wabunge wa namna ya Lusinde
      Halafu hili neno 'mpuuzi' watu wanalitafsiri kwa maana mbaya while neno hili linam-refer mtu anayepuuza mambo ama jambo,
      Je CCM haijapuuza maswala la msingi yanayohusu maslahi ya taifa(refer mgomo wa madaktari).
      Kwa upande wangu haya ni maneno ya kawaida na yalipaswa kueleweka kwa maana na si kwa intonation kwa maneno hayo yalivyosemwa na kaka mkubwa Myika.
      Tunahitaji wataalamu wa kiswahili watafsiri maneno haya: uzembe, upuuzi na dhaifu alafu tupime kama ni matusi au la!!

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    15. #132
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 724
      Rep Power : 567
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Zomba wewe ni sawa tu Msukule.Usitishe watu na wala usimtishe Mnyika na Mdhaifu wako huyo.Kama unataka kupima reaction ya ujinga wako kwa jambo ili ni kwamba wewe na wana magamba wote ni dhaifu na goigoi.Mnyika atishwi kwa uchawi wa Mlingotini Bagamoyo wala wapi maana Yeye amefunikwa kwa damu ya kristo na mtetezi wake yu Hai siku zote.

    16. #133
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By zomba
      Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".

      Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.

      Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".

      Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?

      Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.

      Kikwete humuwezi.
      we kibatari kweli

    17. #134
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,644
      Rep Power : 4014
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Do we know our limitations? I think that could give us wisdom to trade our life with care. Kutishiana ni sign ya weakness kubwa individuals waliyonayo. Ukiona mtu akiambiwa ukweli anaanza kutishia wenzake just know he has got low security inside him/herself...We have a lot that we do not know and in fact, the only power that the national has is
      the mandate of Tanzanians. Do we know that the power we are seeking is earned and not given for free as most of the politicians would like to?
      Madaraka yasitudanganye kwamba we are untouchables...yanakuja na kwenda and what matters today could probably be not important tomorrow. Tuwatumikie watanzania kwa wakati muafaka wataamua nani awe nani na hukumu yao itakuwa ni ya ukweli mtupu. Mhhh...what a weakness!!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    18. #135
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      908

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By ruttashobolwa
      sina mengi sana ya kusema na subiri tuone utakacho mfanya mnyika maana wewe unaongea mambo ambayo wana ccm hawawezi kuongea kwani unajua madhara yake.

      Sasa mi nasema tusubiri maneno yako yatimie tuone utamfanya nini mnyika wewe!
      Unakataa nini wewe jk ni dhaifu unatokwa povu zaidi ya riz na mwanaasha.

      Unatatizo gani wewe kwni huoni kama jk ni dhaifu,basi mnyika kauona.
      Hahaa amechemka huyo zomba anatoa vitisho utadhani amepanga kwenda kwa Sheikh Yahya
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    19. #136
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 783
      Rep Power : 536
      Likes Received
      136
      Likes Given
      55

      Default

      alaah!,we kweli ni zomba,yaani unataka kujustify udhaifu wake kuwa ni sawa kwa kuwa viongozi wengine nao walikuwa dhaifu kama yeye kwa hiyo tuchukulie poa tu badala ya kumshauri ajirekebishe,daaah,nina shaka na upeo wako zombiiiiiii

    20. #137
      Chesty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Posts : 1,036
      Rep Power : 701
      Likes Received
      155
      Likes Given
      18

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By zomba
      Wewe anza kwa kuonesha ni lipi la maendeleo alilofanya Rais yeyote wa kabla yake, ambalo yeye hajafanya zaidi.

      Mnaleta matusi na ktukana lakini hoja za wazi kabisa zinawashinda. Mnyika kashindwa hoja ya bajeti akaamuwa awatukane wabunge wote, wana CCM wote na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Namwambia hvi; Kikwete asimjaribu, hamuwezi hata kidogo.
      Kwa nini zomba, au madhabahu yake imeshiba.

    21. #138
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 885
      Rep Power : 526
      Likes Received
      292
      Likes Given
      78

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Quote By Ngoromiko
      Mnyika ameharibia watoto wetu wanaofuatilia kwa makini Bunge kwa lengo la kujifunza jinsi wawakilishi wetu wanavyoongea na kuijadili bajeti.

      Pamoja na kufurahia bunge, watoto pia wanajifunza jinsi watakavyoongea wakikua iwapo wataamua kuingia kwenye siasa.

      Walichojifunza kwa huyu mpuuzi Mnyika ni jinsi ya kuwatukana baba zao hadharani.

      Aibu sana, nimewapiga marufuku wanangu kuangalia kipindi cha Bunge ....until further notice.
      Unaweza kuwazuia watoto wako wasiujue ukweli lkn huna jitihada za kuwafanya wasiwe dhaifu kama baba yao, hapo ndio unaponishangaza.
      Ngoromwiko, mtu mzima akijamba mbele za watu, halafu mtoto akasema 'baba' kajamba, aliyefanya kosa hapa si mtoto aliyesema, bali ni baba aliyejamba mbele za watu.

      Be reasonable and fair, mtukanaji ni aliyefanya upuuzi na sio aliyesema fulani ni mpuuzi.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    22. #139
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,831
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      208

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Yes, he is. We all knows that..
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    23. #140
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,836
      Rep Power : 5945
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Re: Mnyika huwezi vita binafsi na Kikwete

      Mnyika hana Mashindano wala Vita yoyote na Kikwete ametumia haki yake ya msingi kueleza yale anayoyaamini kuwa ni sahihi.Hayo ambayo wewe unayasema na uliyoyaona ni mtazamo wako na una haki kufanya hivyo!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    24. Study Abroad
    Page 7 of 20 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...