Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ridhiwani Again

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 101
    1. #1
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,172
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Ridhiwani Again

      BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
      vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
      4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
      WAPI?

    2. Study Abroad

    3. #81
      WOWOWO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 561
      Rep Power : 595
      Likes Received
      348
      Likes Given
      266

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By Ipycalypse
      BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
      vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
      4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
      WAPI?
      Guys let us be serious katika issue kama hizi. I hope una chanzo chako cha hii taarifa why can't you disclose? Tulitegemea kwa mfano; ungetuwekea orodha ya waliopata viwanja ili jina la Riz One tulione

    4. #82
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,499
      Rep Power : 1187
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By samora10
      Hivi ni vile viwanja vya Gezaulole? bora mimi hata fomu sikujaribu kuchukua
      .
      Aise mimi hivi viwanja nilijaza form na kulipa Tsh. 20,000 na sikuwahi kuona hata dalili ya kupata jibu la kukosa au kufanikiwa. Kumbe masikini watanzania fukara walikuwa wanachangishwa na halmashauri za miji kumnunulia mwana mfalme mashamba? Laana hii haitawaacha hawa watawala washuke kaburini kwa amani hata kidogo.
      .

    5. #83
      kaguru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 361
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Ridhiwani Again

      mmmmh!!!!!!!!!!!!!!

    6. #84
      Alfred Daud Pigangoma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : TABORA, TANZANIA
      Posts : 645
      Rep Power : 645
      Likes Received
      263
      Likes Given
      209

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Ewe unayejiita Barak Obama, Nakushauri kama hujui kuanzisha mada mpya basi usichanganye mada ndani ya mada ili kupoteza watu ushahidi. Pia ujue kuwa Mh. Mnyika sio mzazi wako kwa kutegemea akutatulie matatizo yako ushauri wangu ni kwamba rudi kijijini kwenu maisha bado nafuu sana kama kasi ya mfumuko wa kupanda kwa gharama za maisha ya DSM huiwezi.

      Katika Bajeti ya Taifa yeye Mh. Mnyika ni Waziri kivuli hivyo ni wajibu wake kuelezea kwa upana wa Taifa na sio Ubungo pekee.... Kwanza yaelekea hata kura yako hukumpatia sasa unadai nini! Si uende kwa Hawa Ngúmbi akakusaidie!
      “The person who says it cannot be done should not interrupt the person doingit.” Chinese proverb

    7. #85
      josephmasamaki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2011
      Location : Nyumbani
      Posts : 11
      Rep Power : 410
      Likes Received
      3
      Likes Given
      37

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Sasa ndg unalalama kununua maji lita 20 kwa shilingi 1000 wakati huohuo unanunua maji ya Kilimanjaro lita 1 kwa shilingi 1000!?!?!.

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      MBUTAIYO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Posts : 292
      Rep Power : 489
      Likes Received
      49
      Likes Given
      325

      Default Re: Ridhiwani Again

      Ngoja wamalizie kujivinjari kwani miaka miwili kabla ya kiama sio mbali!

    10. #87
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Re: Ridhiwani Again

      Hivi ni network zimeingiliana? Au macho yangu. Maana naona mara riz 1 mara mnyika. Sielewi wakuu.

    11. #88
      Mazoea's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st May 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 357
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Tatizo siyo Mnyika kama unavyotaka kujifariji na kumsukumia lawama zisizo zake unataka mbunge achimbe visima au wewe ni msahaulifu kiasi hicho bunge lililopita hukusikia Mnyika akiongelea kuhusu maji wabunge wana mambo mengi na tatizo ni mfumo mbovu ulo wekwa na nyie mafisadi ambao mmetawala miaka 50 mpaka sasa lkn hakuna maendeleo unayoyataja eti mbunge ayalete jimbo la umbungo mafisadi mmelifanyia nini kabla ya Mnyika hizo ni shutuma za uongo wakati mnajua ufisadi wenu ndo umeua hii nchi na sasa mnaona kiama kinakuja mnabaki kitapatapa mwisho wenu umefika jiandaeni kwenda jera kwa wizi wenu

    12. #89
      peri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 651
      Likes Received
      372
      Likes Given
      40

      Default Re: Ridhiwani Again

      Tupe chanzo mkuu, tusije tukadhani ni udaku.

    13. #90
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 397
      Rep Power : 438
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default Re: Ridhiwani Again

      Watz hatufiki kokote ,,,, wengine wanakula kuku kwa mrija wengine twashashabikia,,,, we are not serious kwenye mambo ya msingi,,,, viwanja bado lakini ....................... hilo lawezekana maana hao watawala ( kula kuku kwa mrija)

    14. #91
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,104
      Rep Power : 630
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By Bigirita
      wewe na huyo mleta huu uzi wote mpo pori moja.........wasaka nyoka.

      aliyeleta hajathibitisha, na wewe unayekanusha hujathibitisha kanusho!!

      sawa na kenge mwenye mkia anayefikiri kenge asiye na mkia sio kenge bali ni mjusi.!
      Labda ni riz mwenyewe au nduguye au anajua ukweli wa mambo ulivyo. Atujuze basi

    15. #92
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 387
      Likes Received
      61
      Likes Given
      96

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Alitaka kuyazungumzia wakamtoa nje.....angemaliza bila kuongea unachotaka kukisikia then ungelalamika,bunge halijaisha,vuta subira.

    16. #93
      zululima's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Location : tz dar es salaam
      Posts : 84
      Rep Power : 412
      Likes Received
      14
      Likes Given
      257

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      we labda unakaa mtera, hakuna bei hiyo ya maji kwenye jimbo letu, silly thread, silly gamba. Tunajua njama zenu magamba za kumhujumu mnyika lakini sie wapiga kura wake tupo nyuma yake. Mnyika anafanya kazi kubwa sana jimboni, usirudi kutuletea us.....e wako hapa

    17. #94
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 907
      Rep Power : 530
      Likes Received
      174
      Likes Given
      235

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      mkuu mbona havijagawiwa bado???

      huo ni unafiki na chuki zako tu,ila utawapata wajinga wenzako wa kukuunga mkono
      msituletee ujinga hapa tutafuatilia mali zetu hata mwemba yanga mlikataa.

    18. #95
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Ridhiwani Again

      Viwanja 40 for 4m? What a joke! Hata kijijini kuwezi kuvipata kwa hiyo bei.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    19. #96
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,220
      Rep Power : 906
      Likes Received
      283
      Likes Given
      59

      Default Re: Ridhiwani Again

      Nadhani hesabu zako haziko sawa, kwa viwanja 40, bei ya chini ni Tshs 4,800,000 ......ingekuwa 192,000,000

      Lakini Ridhiwani kweli anaweza kununua High density? Jipange uje sawa sawa



      Quote By Ipycalypse
      BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
      vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
      4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
      WAPI?

    20. #97
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Ridhiwani Again

      Acheni wivu wa kijinga.

    21. #98
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 557
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: Ridhiwani Again

      Out-of-focus!
      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.


    22. RMA
      #99
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Ridhiwani Again

      Tupo hapa tulipo kwa sababu ya UDHAIFU wa Rais Kikwete, Bunge legelege na upuuzi wa CCM- J J Mnyika - Mbunge Ubungo

    23. #100
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 565
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Ridhiwani Again

      Aisee this is Dhambi--- we will kill him and we want to let him know that his days are numbered na kama TEMEKE --- TUKO BENET Asubiri tuu kama anatumia nguvu ya baba yake kutufilisi baasi ataiona. THIS IS A WARNING

    24. Miaka 50
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...