Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ridhiwani Again

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 101
    1. #1
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,175
      Rep Power : 640
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Ridhiwani Again

      BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
      vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
      4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
      WAPI?

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Mkosoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 331
      Rep Power : 562
      Likes Received
      28
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By barak obama
      tunataka kazi ya mbunge ionekane,ilete tija na mabadiliko.huko unakotaka ni kukwepa ukweli
      Obama, kama madiwani hawatoi ushirikiano mbunge atawezaje kufanikiwa, kila mtu ana role yake

    4. #62
      BABU CHONDO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Posts : 278
      Rep Power : 458
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Chakaza
      Kwako wewe kazi yenye tija ni kuunga mkono bajeti ambayo haitekelezeki na Ubungo iendelee na shida zake? Tija kwako ni utendaji wa kujipendekeza hata pale wananchi waliokutuma wanaendelea kutaabika ili wakubwa serikalini wakusifie na kukupa wewe sukhiiari ulambe?
      Acha umbumbumbu wako, Mnyika alikuwa anaelekea kuzuri na ndio maana wakamtoa bila kumpa nafasi afafanue udhaifu huo uko kwenye nini.
      Wenye akili wote hata wale walio ndani ya CCM wanamuunga mkono Mnyika na move yake kwa faida yetu sote wananchi.
      Nyie mliolishwa limbwata na wenye upeo wa kuona kadiri ya pua zenu endeleeni kubwabwaja tuu.
      Lakini kwa taarifa zenu, sasa hivi hata wale mnaowaona hawajaelimika hata matumizi ya computer hawajui kama wewe tayari wameshaelewa nini kinaendelea hapa nchini na hao ndio watakao lazimisha mageuzi ya kiutawala kwa box la kura wakati ukifika. Jee mmeshajipanga wapi pa kukimbilia?
      Thread za JJ ziko huko,hapa issue ni Riz1,


      Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

    5. #63
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,291
      Rep Power : 896
      Likes Received
      788
      Likes Given
      1491

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By Communist
      Nafikiri umesema kitu cha maana, lakini hujagusa kabisa mzizi. Karibu serikali zote za mitaa katika jimbo la ubungo ni za CCM na hazifanyi kazi kabisa, ni uizi na kuuza maji. Sasa wananchi wa Ubungo labada tukubaliane kuzipiga chini hizi serikali za mitaa. huku kwetu golani Msewe wamekula milioni 60 kwenye mradi wa tanki la maji la GODI. Sijui huko kwenu mnajiandaaje. huku msewe kitanuka muda sio mrefu. Kuna mradi wa vijana wa workshop nao umekwamiswa na hawa, kuna police post imejenwa kwa miaka karibu 20 haijaisha. matanki ya maji ya dawasco yanatumika na watu binafsi kuuza maji, kwa bei hiyo unayosema. Hapo vipi. Tuwangoe hawa ili tupate watakaofanya kazi na Mnyika.
      Communist umegusa chimbuko la tatizo mie naongeza kama ifuatavyo unajua tatizo la Watanzania wengi ni kwamba wana imani sana na mbunge katika kutatua matatizo yao sasa wanasahau wanapomchagua mbunge wanatakiwa na huku chini wam-support kwa kuweka watu wa chama chake katika serikali za mitaa nikiwa na maana ya madiwani na wenyeviti wa mitaa ili waweze kuunda halmashauri na mwisho wa siku Mnyika na timu yake wanakuwa na nguvu ya kufanya maamuzi.

      Mtoa hoja tatizo hapa ni mbunge ni CDM ila serikali ya mtaa na halmashauri imeundwa na CCM mwisho wa siku wao wapo wengi. Ushauri wangu tunapomchagua mbunge na chini pia tuchague watu wa chama chake.

    6. #64
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 652
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      mkuu mbona havijagawiwa bado???

      huo ni unafiki na chuki zako tu,ila utawapata wajinga wenzako wa kukuunga mkono
      Mbona kama una hasira sana mkuu??tehe tehe tehe
      Ipycalypse likes this.
      ***********To Do is to Know***********

    7. #65
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,291
      Rep Power : 896
      Likes Received
      788
      Likes Given
      1491

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By Ipycalypse
      BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
      vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
      4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
      WAPI?
      Tupe source maana sidhani kama kwa sasa kuna bei ya kiwanja cha 100,000 (laki moja kwa maneno kuonyesha sijapunhuza sifuri), vinginevyo tutaichukua kama udaku au kama umesahau sifuri kadhaa kwenye hiyo milioni 4

    8. Miaka 50

    9. #66
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Ridhiwani Again

      Kama ni kweli kijana atakuwa anautumia URAISI wa babaye ipasavyo!
      Ila mkuu ungaeambatnisha na source ya info ingekuwa njema usije ukawa unamsingizia
      Ipycalypse likes this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    10. #67
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ridhiwani Again

      Mhh! Kama ni kweli basi hatazami mbele kuna nini ki namsubiri. Kama ni uzushi, jamani si vema kutengenezeana habari maana zinaweza kuwaweka wahusika kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Ila ingependeza kama unaletwa ushahidi
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    11. #68
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,609
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2299

      Default Re: Ridhiwani Again

      wakati wake huu,mtoto wa raisi ni raisi au hamjui.????????
      Ipycalypse likes this.

    12. #69
      Zemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 427
      Rep Power : 645
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default Re: Ridhiwani Again

      Dhaifu kma baba yake
      Ipycalypse likes this.

    13. #70
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 526
      Likes Received
      131
      Likes Given
      60

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Mbona hiki ulichoandika hakiendani na mada inayojadiliwa hapa?
      Ipycalypse likes this.

    14. #71
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 508
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Hayo yote Mnyika angeweza kufanikiwa kuyatekeleza kama tusingekuwa na rais Dhahifu jamani! Sasa Huelewi nini wewe gamba hapo!
      Ipycalypse likes this.
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    15. #72
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,349
      Rep Power : 684
      Likes Received
      341
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      sawa kama shetani ni baba wa uwongo,ccm ndo baba wa uwongo tanzania ndo alowafundisha uongo vyama vingne vilivyotokana na siasa zake
      Ipycalypse likes this.

    16. #73
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      si mahala pake hapa soma heading!aaah!
      Ipycalypse likes this.

    17. #74
      nashy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MANG'ORA
      Posts : 663
      Rep Power : 556
      Likes Received
      134
      Likes Given
      124

      Default Re: Ridhiwani Again

      Quote By barak obama
      USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
      Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
      Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

      Goodluck Mwangolombe kumbe hii ndo ID unayotumia JF, anyway ushauri wako ni mzuri japo una mapungufu lakini pia nadhani hii post na ulicho comment ni vitu viwili tofauti tafuta post husika useme
      Ipycalypse likes this.
      Kama unataka mabadiliko ya kweli katika Taifa hili hamia CHADEMA hujachelewa bado

    18. #75
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,591
      Rep Power : 1747
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Ridhiwani Again

      hebu bandika vidhibitisho/ushahidi. Tumechoka na majungu. kila siku riz,
      complains always hide opportunity

    19. #76
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 754
      Rep Power : 573
      Likes Received
      162
      Likes Given
      140

      Default Re: Ridhiwani Again

      asulubishwe kama ni kwli kachakachua hivyo viwanja.yamkute ...''tumechoka jamani, ka"!
      Ipycalypse likes this.

    20. #77
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,175
      Rep Power : 640
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Ridhiwani Again

      Calm down Mr Obama
      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    21. Nzi
      #78
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,322
      Rep Power : 21625
      Likes Received
      947
      Likes Given
      828

      Default

      Quote By barak obama
      tunataka kazi ya mbunge ionekane,ilete tija na mabadiliko.huko unakotaka ni kukwepa ukweli
      Unafahamu majukumu ya mbunge kikatiba? Au kwa vile umezoea kuona wabunge wakinunua madawati na kugawa,na wakifanya shughuli zingine kwa pesa zao za mfukoni,basi ndiyo ukaona ndiyo majukumu yao?

      Mbunge ana majukumu ya kutunga sheria na kuisimamia serikali ili itekeleze sheria hizo na majukumu mengine kama ilivyoainishwa kwenye katiba na sera za chama kilichounda serikali.

      Sasa anachokifanya John ni sahihi kabisa,anaisimamia serikali ili ifanye majukumu yake kwa ufanisi. Kama unaona maji,umeme,ajira na afya bado ni shida,basi ujue serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake kama inavyoshauriwa na John na wenzake.

      Bunge lingekuwa lenye kufanya kazi zake kwa haki na uzalendo,basi hii serikali ilikuwa ya kupiga chini (kwa kukataa bajeti na kutokuwa na imani na rais). Lakini unafahamu fika jinsi wabunge wa CCM walivyo ndumilakuwili.

      Bunge,serikali na viongozi wake wamekuwa ni wataalamu wa "silly talking na promises".

    22. #79
      wade kibadu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 380
      Likes Received
      5
      Likes Given
      11

      Default Re: Ridhiwani Again

      Nchi hii?????

    23. UKI
      #80
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Ridhiwani Again

      Mkuu naona tomato sauce haipo sijui unaweza kunipatia habari ipate ladha vizuri?

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...