BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
Communist umegusa chimbuko la tatizo mie naongeza kama ifuatavyo unajua tatizo la Watanzania wengi ni kwamba wana imani sana na mbunge katika kutatua matatizo yao sasa wanasahau wanapomchagua mbunge wanatakiwa na huku chini wam-support kwa kuweka watu wa chama chake katika serikali za mitaa nikiwa na maana ya madiwani na wenyeviti wa mitaa ili waweze kuunda halmashauri na mwisho wa siku Mnyika na timu yake wanakuwa na nguvu ya kufanya maamuzi.
Mtoa hoja tatizo hapa ni mbunge ni CDM ila serikali ya mtaa na halmashauri imeundwa na CCM mwisho wa siku wao wapo wengi. Ushauri wangu tunapomchagua mbunge na chini pia tuchague watu wa chama chake.
Kama ni kweli kijana atakuwa anautumia URAISI wa babaye ipasavyo!
Ila mkuu ungaeambatnisha na source ya info ingekuwa njema usije ukawa unamsingizia
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
Mhh! Kama ni kweli basi hatazami mbele kuna nini ki namsubiri. Kama ni uzushi, jamani si vema kutengenezeana habari maana zinaweza kuwaweka wahusika kwenye matatizo yasiyo ya lazima. Ila ingependeza kama unaletwa ushahidi
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
wakati wake huu,mtoto wa raisi ni raisi au hamjui.????????
Dhaifu kma baba yake
Kama unataka mabadiliko ya kweli katika Taifa hili hamia CHADEMA hujachelewa bado
hebu bandika vidhibitisho/ushahidi. Tumechoka na majungu. kila siku riz,
complains always hide opportunity
asulubishwe kama ni kwli kachakachua hivyo viwanja.yamkute ...''tumechoka jamani, ka"!
Calm down Mr Obama
Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it
Unafahamu majukumu ya mbunge kikatiba? Au kwa vile umezoea kuona wabunge wakinunua madawati na kugawa,na wakifanya shughuli zingine kwa pesa zao za mfukoni,basi ndiyo ukaona ndiyo majukumu yao?
Mbunge ana majukumu ya kutunga sheria na kuisimamia serikali ili itekeleze sheria hizo na majukumu mengine kama ilivyoainishwa kwenye katiba na sera za chama kilichounda serikali.
Sasa anachokifanya John ni sahihi kabisa,anaisimamia serikali ili ifanye majukumu yake kwa ufanisi. Kama unaona maji,umeme,ajira na afya bado ni shida,basi ujue serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake kama inavyoshauriwa na John na wenzake.
Bunge lingekuwa lenye kufanya kazi zake kwa haki na uzalendo,basi hii serikali ilikuwa ya kupiga chini (kwa kukataa bajeti na kutokuwa na imani na rais). Lakini unafahamu fika jinsi wabunge wa CCM walivyo ndumilakuwili.
Bunge,serikali na viongozi wake wamekuwa ni wataalamu wa "silly talking na promises".
Nchi hii?????
Mkuu naona tomato sauce haipo sijui unaweza kunipatia habari ipate ladha vizuri?
Follow Us Here