Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 54
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,647
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      1699

      Default Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.

      Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?

      Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?

      Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
      Last edited by Sangarara; 20th June 2012 at 10:51.
      JokaKuu, Mentor, KOMBESANA and 3 others like this.


    2. #21
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,095
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      484
      Likes Given
      72

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Utetezi wangu uko pale pale.

      Sasa Rais kwenda kuomba msaada NBA siyo udhaifu huo............. ama unataka kutumia lugha tofauti!!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    3. #22
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,647
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      1699

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Sasa Rais kwenda kuomba msaada NBA siyo udhaifu huo............. ama unataka kutumia lugha tofauti!!!
      Hivi Mr. Zero. unaweza ukanionyesha ni wapo nimesema rais sio Dhaifu?

    4. #23
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,095
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      484
      Likes Given
      72

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Utetezi wangu uko pale pale.
      Quote By Sangarara
      Hivi Mr. Zero. unaweza ukanionyesha ni wapo nimesema rais sio Dhaifu?
      Kwa hiyo unakubali kuwa Rais ni dhaifu siyo??
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    5. #24
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,652
      Rep Power : 4020
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5067

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By SILENT WHISPER
      MY PRESIDENT IS HANDSOME..! o!
      SILENT WHISPER, hizo sio discussion la jukwaa lenu lile? Huku ni siasa mkuu,lol!
      SILENT WHISPER likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #25
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,652
      Rep Power : 4020
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5067

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Udhaifu ni kitu cha ajabu sana...kama mtu ni dhaifu especially kwenye leadership, atajitahidi kadri awezavyo kufanya compensation kwenye mambo anayoamini yatamuongezea strength....ndio maana tulianza kwa kuandama individuals na kashfa zao term ya kwanza. Halafu term ya pili tunaenda na udini na kuonewa kwa msingi wa udini. Hata hivyo mi siwezi kujua nani ni dhaifu, labda Mnyika.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson


    7. #26
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Nyakageni
      almasi moja size ya pipi ni milioni 800. Size ya karanga ile ya kutafuna ni sh mil 280
      mh! Salaaaaleh, afanalek kifo hakina breki!!

    8. UKI
      #27
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 688
      Rep Power : 490
      Likes Received
      153
      Likes Given
      178

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.

      Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?

      Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?

      Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
      mkuu unatwanga kote kote sio jana ilikuwa ni kuitwanga chadema leo ni jk dhaifu msimamo wako uko wapi? au ni mzee usiofungamana na upande wowote? kura yako itaangukia wapi au jamii inayokuzunguka utawapa elimu gani wawe upande gani na wawe na maamuzi gani?
      Kimox Kimokole and Ndechumia like this.

    9. #28
      MTU POLI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 370
      Likes Received
      10
      Likes Given
      9

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Wakatae wkubali lakini message sent.

    10. #29
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,348
      Rep Power : 3064
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4229

      Default

      Quote By Sangarara
      Utetezi wangu uko pale pale.
      Ni Udhaifu tu!!

    11. #30
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,631
      Rep Power : 1227
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      1021

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.

      Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?

      Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?

      Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
      Ni dhaifu
      Haiwezekani Kabisa Twiga kupakiwa ndani ya ndege tayari kupelekwa nje ya nchi bila Polisi na Usalama wa Taifa kujua....

    12. #31
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,647
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      1699

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By UKI
      mkuu unatwanga kote kote sio jana ilikuwa ni kuitwanga chadema leo ni jk dhaifu msimamo wako uko wapi? au ni mzee usiofungamana na upande wowote? kura yako itaangukia wapi au jamii inayokuzunguka utawapa elimu gani wawe upande gani na wawe na maamuzi gani?
      Mkuu msimamo wangu ni thabiti kuona kwamba chama cha mapinduzi kinaondoka madarakani, lakini siko tayari kufanikisha hilo huku damu ikinitoka,

      Pili, Rais ni symbol ya Taifa langu, siko tayari kumdharirisha kwa sababu hiyo tu. ndio maana msimamo wangu wa jana ulikuwa ni kuangalia kama tuko tayari kumuita rais wetu ni dhaifu hata mbele ya wageni, yaani unamvua mzazi wako nguo waaaaaa mbele ya majirani, as simple as that

    13. #32
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,647
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      1307
      Likes Given
      1699

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Mr. Zero
      Kwa hiyo unakubali kuwa Rais ni dhaifu siyo??
      Naona nia yako ni kunidharirisha.

    14. #33
      Kizotaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 396
      Rep Power : 452
      Likes Received
      72
      Likes Given
      284

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.

      Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?

      Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?

      Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
      Hakya Mungu, kwa hiyo muda si mrefu anasepa! si wali sema wakwiba hela za mishe mishe zake! huyu mdingi noma

    15. #34
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,055
      Rep Power : 923
      Likes Received
      577
      Likes Given
      162

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Ndahani
      SILENT WHISPER, hizo sio discussion la jukwaa lenu lile? Huku ni siasa mkuu,lol!
      HAHAHAHA...!heheheheh..! mkuu kwani siruhusiwi kumsifia presida wangu..??
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    16. #35
      zimmerman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 346
      Rep Power : 567
      Likes Received
      260
      Likes Given
      66

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Ndugu Sangarara, mwanzoni tu nilipojiunga JF post zangu nyingi ilikuwa kumponda JK. Baadae nikafikiri nikaona labda hii ya kuponda ponda tu kila wakati na kuwa too negative na rais wangu labda siyo njia sahihi. Ninajiumiza bure na kichwa kuuma kwa ajili ya kumponda mtu ambaye kwake yeye maisha ameshayaweza, kwa namna ya kushangaza yupo ikulu, na watanzania wenzangu wala hawaoni kama huyu mtu tulienae sie. Nikaamua kutojishughulisha na mambo ya Kikwete, after all amebakiza miaka michache tu tuanze historia nyingine ya utawala.

      Lakini kila ninapojitahidi kutomwazia mabaya....rais wangu hasaidiki. Miongoni mwa maeneo yanayonikera sana kwa huyu mzee ni issue zake za marekani na wazungu. Ukiachia mbali kupuyanga kwake kwa ajabu, anatuaibisha sana pia watanzania kwenye ulimwengu sasa. Anaomba omba mno mpaka inakuwa mtu unakosa raha kujitambulisha kama mtanzania kwenye ramani ya dunia. Heshima ya taifa ni mambo mengi lakini kubwa mno ni kijisitiri. Huyu bwana hajui hata kujisitri, rais wa nchi unaenda kuomba hela kwenye vyama vya michezo? Oh come on!

      Anyway, nitaendelea na policy yangu ya kutomweka sana akilini mwangu huyu mtu. Mke wangu na mwanangu watanipa raha kwenye hii nchi ya aibu.
      Sangarara likes this.

    17. #36
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Kifupi kikwete ni dhaifu..tena sana tuuu ndio maana na serikali yake ni legelege

    18. #37
      kilikiliani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th April 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 363
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default

      tunaomc jibu jaman mr Sangara, Mr Ziro anauliza is it TRUE OR FALSE

    19. #38
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 478
      Likes Received
      90
      Likes Given
      45

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      rais ni dhaifuuh kama zomba na ritz

    20. #39
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 910
      Rep Power : 536
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      Quote By Sangarara
      Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.

      Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?

      Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?

      Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
      Japo jana ulimtetea, kwa matamshi yaliyopigiwa mstari na mengine in Bold umetoa ujinga na ukurutu katika akili yako na kukiri JK ni Dhaifu.......

    21. #40
      jamiif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 957
      Rep Power : 551
      Likes Received
      242
      Likes Given
      513

      Default Re: Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

      mvaa tai, hichi kipiha hapo nimekipenda...jamaa kama anatembea kuelekea mbele au nyuma?hahahahahaha!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...