Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      mumburya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 372
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Wakuu, katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa Mh. Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete. wa kwanza alikuwa Mbunge wa Urambo - Mh. Samweli sitta alipomwambia KIKWETE live kuwa awe mkali kwa mafisadi nga kidogo, au kama kuna sheria inamtatiza ailete bungeni irekebishwe. NAOMBA KUWASILISHA.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Quote By mumburya
      Wakuu, katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa Mh. Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete. wa kwanza alikuwa Mbunge wa Urambo - Mh. Samweli sitta alipomwambia KIKWETE live kuwa awe mkali kwa mafisadi nga kidogo, au kama kuna sheria inamtatiza ailete bungeni irekebishwe. NAOMBA KUWASILISHA.
      Katika nukuu yako ya maneno ya Sitta, wapi kuna neno mdhaifu?

    4. #3
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Yaani kama kuna sheria inamtatiza ailete bungeni irekebishwe. Ambayo sitta alikuwa haioni na kifupi anashangaa kwa nini rais alikuwa haadabishi mafsadi. Yaani Sitta alikwisha kuuona udhaifu wa JK na akamwambia wazi wazi, sioni siri hapo.

    5. #4
      mumburya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 372
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      soma kwa makini - nimeandika kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete kwa maana hiyo sitta maneno yake yalikuwa juu ya udhaifu wa Kikwete ingawa hakusema direct. unapoambiwa uwe makali kwa wezi maana yake usicheke nao, usijikombe kwao, usiwe legelege bali uwachukulie hatua madhubuti. huo ni udhaifu na wala sio ushupavu kama unavyojilazimisha kuamini.

      Na je, ndege ya Qatar inapoingia anga la TZ na kubeba wanyama hai huo si udhaifu wa serikali inayoongozwa na Rais ambaye ni amri jeshi MKUU, Kikwete. Je, huo nao ni ushupavu au udhaifu?
      samstevie likes this.

    6. #5
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      rais Jakaya kikwete ni dhaifu by mnyika

    7. Study Abroad

    8. #6
      NICE LAMECK's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 206
      Rep Power : 400
      Likes Received
      26
      Likes Given
      37

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Ni kweli

    9. #7
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Quote By mumburya
      Wakuu, katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa Mh. Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete. wa kwanza alikuwa Mbunge wa Urambo - Mh. Samweli sitta alipomwambia KIKWETE live kuwa awe mkali kwa mafisadi nga kidogo, au kama kuna sheria inamtatiza ailete bungeni irekebishwe. NAOMBA KUWASILISHA.
      Ni kweli mkuu hata mimi nakumbuka hayo yote tatizo la wabung wengi wa CCM ni vilaza wao huangalia upande wao tu...na ndiyo maana mimi nawaona ni wachumia matumbo huogopa kusulubiwa wakati wa uchaguzi kuawafika maafa kwa kusimamia ukweli. Ipo haja sasa ya Watanzania kuwakataa watu wanafiki hawa wasio na tija.BTW namkubali MNYIKA ni mpiganaji wa ukweli na amesema ukweli kwa anachokiamini ila ndiyo hivyo tena serikali haitaki kukosolewa hata kwa madudu wanayoyafanya waige nchi za wenzetu wenye maendeleo wanaokubali challenges.
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    10. #8
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,100
      Rep Power : 6358
      Likes Received
      1450
      Likes Given
      407

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Tatizo la naibu spika bwana Ndungai ni kwamba hakutaka kufafanuliwa nini maana ya udhaifu wa JK!, kwa wana CCM wamekwenda mbali mno kulitafakari neno UDHAIFU, neno UDHAIFU lina maana nyingi kulingana na nini kilichokua kinajadiliwa ndani ya bunge hapo jana! kwamtazamo wangu mimi nilivyomuelewa bwana John Mnyika alichokua anamaanisha ni kua JK ni mdaifu wa kutokufuatilia muenendo mzima wa kiutendaji kama kiongozi wa nchi, sasa wanaCCM nini kinachowauma?? Kwani siku ile pale Dodoma kwenye kikao cha CCM mbona Lowassa alimshupalia JK kua anajua ni nani wamiliki wa Dowans na yeye hakujibu je huo si udhaifu? wa kuwadanganya watanzania kua hausiki na wala hawajui wamiliki wakubwa wa Dowans? je raisi wa nchi unashauriwa vibaya na wasaidizi wako na wewe unakubali je huo si Udhaifu? Kweli JK utamaliza kipindi chako cha uraisi lakini utaondoka kwa aibu kubwa mno.
      Ndechumia likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    11. #9
      swrc's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 442
      Rep Power : 548
      Likes Received
      35
      Likes Given
      18

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Ni kweli kaka, KIKWETE ni dhaifu na udhaifu wake ndio uliotufikisha hapa.

    12. #10
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 545
      Rep Power : 665
      Likes Received
      137
      Likes Given
      98

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      I am siding with Mnyika. Kama mnabisha mpeni nafasi afafanue kauli yake! Period.
      Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable.
      John F. Kennedy

    13. #11
      Mpemba asilia's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st July 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 412
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Kijana yupo sahihi ila hawataki mildew ukweli tu.keep it up Mnyika one day wataelewa.

    14. #12
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,045
      Rep Power : 917
      Likes Received
      570
      Likes Given
      156

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      FISADI ANAPORUDISHA BILLION 60 ZA WIZI, BILA KUSHITAKIWA...!JE??

      MY PRESIDENT IS HANDSOME..!lol SORI I MEAN NI DHAIFU..!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    15. #13
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,223
      Rep Power : 1535
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Ni dhaifu tu!

    16. #14
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 478
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      Inategemea udhaifu wake upo kwa wapi. Nadhani jamaa si dhaifu ktk nyanja zote. mbona anao vijana wazuri tu wenye afya tele hadi wengine wamezunguka round about?
      Mnyika alihitaji muda zaidi awafafanulie wabunge ila haraka za Ndugai zimeharibu.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    17. #15
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: Mnyika sio wa kwanza kutoa kauli ndani ya Bunge juu ya udhaifu wa Kikwete

      kuna kipindi kama sijakosea alikuwa Kafulila au Mkosamali alisema serikali ni Legelege

    18. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...