Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Post Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuitukana CHADEMA

      Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.

      Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa

      Source:Mwananchi
      Last edited by Molemo; 20th June 2012 at 08:07. Reason: heading updates


    2. #2
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 394
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Quote By fmpiganaji View Post
      Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.

      Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa

      Source:Mwananchi
      Pia alisema ana Degree ya uchumi first class, hivyo anaujua sana uchumi. Pengine ndiyo maana hata kule Igunga alijitahidi asifumaniwe
      Nivea likes this.

    3. #3
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5982
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Huo ndiyo uchizi wenyewe
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    4. #4
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      531
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      First class honours degree, inamruhusu ku pursue academic career, siasa ya nini bana?

    5. #5
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 611
      Rep Power : 479
      Likes Received
      90
      Likes Given
      45

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      mwigulu hana jipyaaa!


    6. #6
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,907
      Rep Power : 1857
      Likes Received
      625
      Likes Given
      421

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Ukitupa jiwe gizani na kisha ukasikia kelele basi ujue limempata mtu.

      Kufa kufaana ya mwiguru yanachoma kotekote.... ameamsha hasira ya wapinzani.

    7. #7
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,462
      Rep Power : 24251
      Likes Received
      5099
      Likes Given
      2738

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Kutoka Tanzania Daima


      TIMU ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeingia katika msukosuko mkubwa wa chini kwa chini baada ya kiongozi mmoja mwandamizi anayeongoza kampeni hizo (jina tunalihifadhi) kudaiwa kufumaniwa na mke wa mtu, Tanzania Daima limebaini.


      Habari za uhakika ambazo gazeti hili limezipata kutoka vyanzo vya kuaminika katika Ofisi Ndogo za CCM Makao Makuu jijini Dar es Salaam na kutoka Igunga zinaeleza kuwa tukio hilo limesababisha kujeruhiwa vibaya kwa mwanamke huyo.


      Ofisa mmoja wa juu wa CCM aliyezungumza na Tanzania Daima kwa sharti la jina lake kutoandikwa gazetini alisema sakata hilo lilianza baada ya mume wa mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kigogo huyo anayeongoza kampeni za chama hicho kuvamia chumba ambacho watuhumiwa hao walikuwamo na kuanza kumwadhibu mkewe kwa kipigo.


      Kwa mujibu wa ofisa huyo, wakati vuta nikuvute kati ya mke na mume ikiendelea chumbani, kigogo huyo wa CCM alifanikiwa kutoroka na kuwaacha wanandoa hao ambao wote wawili ni makada wa CCM wakiendelea kupambana.


      Habari zinaeleza kwamba mtafaruku huo ulimsababishia mwanamke huyo aliyekuwa miongoni mwa kundi la mabinti wapatao 10 wanaotumika kuhamasisha kwenye kampeni hizo majeraha makubwa yaliyomlazimisha apelekwe hospitalini kwa ajili ya matibabu.


      Chanzo kingine cha kuaminika cha habari kililieleza gazeti hili kwamba kabla ya kwenda hospitalini, mwanamke huyo alilazimika kupita katika kituo cha polisi cha Igunga ili akapatiwe fomu maalum ya idhini ya matibabu (PF3).


      Inaelezwa kwamba mara baada ya kufikishwa kituoni hapo na wasamaria wema, mwanamke huyo (jina tunalo) alitakiwa kwanza kulitaja jina la mtu aliyemsababishia majeraha hayo na akajikuta akipata wakati mgumu kumtaja mumewe.


      Habari zinaeleza kwamba taarifa za tukio hilo zilipofika katika ofisi za CCM wilaya ya Igunga, maofisa wa chama hicho waliingilia kati na kuamua kulizima jambo hilo chini kwa chini ili kuepukana na hatari ya kuvuruga kampeni nzima za ubunge cha chama hicho.


      “Ni kweli tumepokea habari za kusikitisha kuhusu kiongozi wetu mmoja wa juu katika kampeni kukumbwa na kashfa ya kufumaniwa na kusababisha mwanamke aliyadaiwa kuwa na uhusiano naye kupata kipigo kikali kutoka kwa mumewe ambaye pia ni kada maarufu wa chama chetu Igunga,” alisema ofisa mmoja wa juu wa CCM aliyezungumza na gazeti hili.


      Hata hivyo, ofisa huyo alisema uchunguzi walioufanya awali kuhusu tukio hilo umebaini taarifa za kigogo huyo wa CCM kuwa na uhusiano usiofaa na mke wa mtu zilivujishwa na kundi la vijana wengine wa kiume walio katika timu hiyohiyo ya kampeni ya CCM ambao ndiyo waliopenyeza taarifa hizo kwa mume wa mwanamke anayetuhumiwa.


      Wakati chama hicho kikihaha kulifunika sakata hilo ili lisivuje, viongozi wake waandamizi walipata wakati mgumu kumnadi mgombea wao, Dk. Peter Kafumu, kwenye ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika Kata ya Nyandekwa, katika jimbo la Igunga.
      fredmlay and Nivea like this.

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    8. #8
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 610
      Likes Received
      387
      Likes Given
      348

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Kama siasa ya tanazania ni ya aina hii basi mungu aniepushe na kikombe hiki.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    9. #9
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,550
      Rep Power : 1065
      Likes Received
      1285
      Likes Given
      619

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Wasanii wanapokuwa kwenye maigizo na wanapofaulu kuigiza huwa wanatuzana.....hawakuwa na jipya bali kututhibitishia usanii wao....
      Daudi Mchambuzi likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    10. #10
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,553
      Rep Power : 1606
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      first class honours in Bachelor of Aldultery and information Spinning!

    11. #11
      tabu kuishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 397
      Likes Received
      12
      Likes Given
      10

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuitukana CHADEMA

      Quote By fmpiganaji View Post
      Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.

      Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa

      Source:Mwananchi
      Achekelee tu lakini yanamwisho hayo

    12. #12
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 512
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Mwigulu ndio nani jamani?
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    13. #13
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,685
      Rep Power : 2121
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1601

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Sasa si umeona "wabunge wa CCM" ni mwendelezo wa akili ndogo kutawala akili kubwa, ujinga kutawala akili na busara!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    14. #14
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Quote By Kimbito nyama View Post
      Pia alisema ana Degree ya uchumi first class, hivyo anaujua sana uchumi. Pengine ndiyo maana hata kule Igunga alijitahidi asifumaniwe
      hii kali ngoja nikatafutee na mimi degree ya tatu ya uchumi
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    15. #15
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1362
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuitukana CHADEMA

      Quote By fmpiganaji View Post
      Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.

      Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa

      Source:Mwananchi

      Sijawahi kuona hiyo ya utuzwaji bungeni. huu ni ukilaza wa hali ya juu. Mtu anaongea kinyesi watu wanampa pesa eti wanamtuza. Sijui hiyo point ya kumtuza imeongeza nini katika taifa hili. Nyie wabunge mliotoa tuzo pelekeni mambo hayo kwa ISHA MASHAUZI - Wanamipasho wakubwa nyie!!!!

    16. #16
      Hebron Caleb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 173
      Rep Power : 388
      Likes Received
      44
      Likes Given
      3

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Kama yale maneno machafu yasiyofaa mbele ya watu na mbele ya wasomi ndiyo yaliyomfanya atuzwe basi kuna tatizo kwa viongozi wetu. Because wanapalilia uchafu, how can a man who insult others infront of children and others and he is awarded?? What is the meaning of Award, means to encourage him to speak such words?? Can Pastors in the House help him please!!! He needs counselling.

    17. #17
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,096
      Rep Power : 1444
      Likes Received
      484
      Likes Given
      72

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Inabidi watu wa dini wakutane na walifanyie Taifa letu maombi maalumu!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    18. #18
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 556
      Likes Received
      108
      Likes Given
      16

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      ukweli ni kwamba wanachezea mali za taifa letu,tunaomba kuwambia siku zinahesaboka 2015 sio mbali wahamia ughaibuni na familia zao.ukeli hawa magamba wana kera sana watu walala njaa,watoto wa masikini hawaendi shule,madawa hospitalini hakuna, vyakula bei juu, mama zetu wajawazito wana kufa kwa kukosa madawa, kisha wao wana sifiana na kupeana pesa za sisi walalahoi, nasema walahi waombe NCHI TUSICHUKUE.

    19. #19
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 987
      Rep Power : 551
      Likes Received
      187
      Likes Given
      251

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuitukana CHADEMA

      Quote By fmpiganaji View Post
      Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.

      Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa

      Source:Mwananchi
      Kijogolo sina nyumba eeh!! kajenga barabarani!! Kajenga nyumba ya mawe eeh!! ghorofa ndani kwa ndani!! Hiyo ndiyo CCM mwana wanahonga mabinti na wanaume!! Laana kum!! Au huyo kijogoo ni balaa kote kote!!

    20. #20
      Gwalihenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,490
      Rep Power : 909
      Likes Received
      648
      Likes Given
      413

      Default Re: Mwigulu Nchemba atuzwa mapesa bungeni kwa kuituna CHADEMA

      Quote By MAMA POROJO View Post
      wanaume lijali wanakwazwa na picha hii?????????????? picha haitoe nafuu ya maisha
      Haitoi nafuu ya maisha kwa nani?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...