Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 69
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji



      Rais amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

      RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha kuwa Jaji wakili wa kujitegemea, Joaquine De-Mello ambaye alikuwa akimtetea msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) anayetuhumiwa kwa mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba.

      Wakili huyo, ambaye ni mshindi wa tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King ya mwaka 2012 na ambaye alikuwa pia alikuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) ni miongoni mwa majaji 10 walioapishwa jana na Rais Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
      De-Mello ni miongoni mwa mawakili wanne waliojitokeza Aprili mwaka huu kumtetea Lulu katika kesi hiyo ya mauaji inayomtuhumu kumuua usiku wa kuamkia Aprili 7, mwaka huu.

      Mawakili wengine wanaomtetea Lulu ambaye umri wake umekuwa na utata ni Kennedy Fungamtama, Peter Kibatala na Fulgence Massawe.

      Akizungumza kwenye viwanja vya Ikulu, De-Mello alisema baada ya kuteuliwa kuwa Jaji, sasa atafanya kazi hiyo na moja ya mikakati yake ni kukabiliana na changamoto za wingi wa kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Mzimu wa kifo cha Kanumba unaendelea kuzunguka na Rais Kikwete amejitahidi kuituliza familia ya Kanumba kwa kutoa ubani wa Tsh 10,000,000 hivi karibuni ilivyoripotiwa na vyombo vya habari.

      Leo tena Mheshimiwa Rais amempandisha cheo jaji anayemtetea Lulu mwenye kesi ya mauaji mahakama kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Stephen Kanumba. Kazi kwelikweli.

    4. #3
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Lele lile lele lele ehee x2 bora niimbe maaana ndio nchi inavyokweta na katiba inamruhusu,tutafanya nini?kanyaga twende mpaka wadanganyika watie akili!kudadadekiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiii!
      Candid Scope and chamgema12 like this.

    5. #4
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By MANGUNGO
      Lele lile lele lele ehee x2 bora niimbe maaana ndio nchi inavyokweta na katiba inamruhusu,tutafanya nini?kanyaga twende mpaka wadanganyika watie akili!kudadadekiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiii!
      Sikujua kilichokuwa moyoni mwa Mnyika kumbe kuna mengi ambayo yamemsukuma kutoa kauli ile bungeni. Makubwa bado yaja.
      Mr. Bigman likes this.

    6. #5
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,213
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9600
      Likes Given
      683

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Candid Scope
      Leo tena Mheshimiwa Rais amempandisha cheo jaji anayemtetea Lulu mwenye kesi ya mauaji mahakama kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Stephen Kanumba. Kazi kwelikweli.
      "Raisi amempandisha cheo jaji anayemtetea Lulu"?

      Toka lini majaji wakatetea watuhumiwa?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Che-lee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 463
      Likes Received
      85
      Likes Given
      3

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Kwahiyo kesi ya lulu atajitoa au ataendelea nayo?

    9. #7
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Nyani Ngabu
      "Raisi amempandisha cheo jaji anayemtetea Lulu"?

      Toka lini majaji wakatetea watuhumiwa?
      What ever namanisha amemteua wakili kuwa jaji wa mahakama, labda kutokana na handling ya kesi ya Lulu imempandisha Chat.

    10. #8
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13047
      Likes Received
      1556
      Likes Given
      1137

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Duh,mpaka 2015 ifike wengi watapandishwa vyeo!

    11. #9
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Che-lee
      Kwahiyo kesi ya lulu atajitoa au ataendelea nayo?
      Hatakuwa mtetezi wa Lulu tena, bali atakuwa jaji atakayepangiwa kutoa hukumu kesi ya Lulu. Nimesomeka na umelisoma tukio lenyewe?

    12. #10
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.



      Huyu mtoto kagonganisha na kuchanganya vichwa vya watu, hata akina Komba wamo sasa nani atabaki kuhusishwa katika sokomoko hili?
      KOMBESANA likes this.

    13. #11
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,678
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Hongera lulu
      KOMBESANA likes this.

    14. #12
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Tume ya katiba
      Hongera lulu
      hongera kwa kumpa mlo mtetezi wake au kwa kuongoza jopo la majaji watendea haki sheria za Tanzania?

    15. #13
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,301
      Rep Power : 1234
      Likes Received
      405
      Likes Given
      2253

      Default

      Dogo lulu ndio basi tena ameshaokoka tayari,kesi yake itaenda powa kabisaaa

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    16. #14
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Papizo
      Dogo lulu ndio basi tena ameshaokoka tayari,kesi yake itaenda powa kabisaaa

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Wakuu wanamkingia kifua kwa manufaa ya wanawe mlalahoi ameokoka.

    17. #15
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,301
      Rep Power : 1234
      Likes Received
      405
      Likes Given
      2253

      Default

      Quote By Candid Scope
      Wakuu wanamkingia kifua kwa manufaa ya wanawe mlalahoi ameokoka.
      Kabisa mkuu,unadhani kama huyo mama ndio akiwa jaji na vile vile before alikuwa anamtetea unadhani kutakuwa na nini hapo??kuna mengi yamejificha hapo na utaona tu hii kesi ya huyu dogo itakavyoisha kiulani kabisaaaaa

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    18. #16
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 636
      Likes Received
      223
      Likes Given
      50

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Siamini kwamba kesi ya Lulu ndio imempa ujaji. Hivi Mheshimiwa Raisi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili kuwa Majaji?

    19. #17
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Candid Scope


      Huyu mtoto kagonganisha na kuchanganya vichwa vya watu, hata akina Komba wamo sasa nani atabaki kuhusishwa katika sokomoko hili?
      mtu mzima na litumbo lake kama ana mimba ya watoto 20 alikuwa anakapumulia. Aaargh! Silly person

    20. #18
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,950
      Rep Power : 753
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By Papizo
      Kabisa mkuu,unadhani kama
      huyo mama ndio akiwa jaji na vile vile before alikuwa anamtetea unadhani
      kutakuwa na nini hapo??kuna mengi yamejificha hapo na utaona tu hii
      kesi ya huyu dogo itakavyoisha kiulani kabisaaaaa

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      principles of justice haziruhusu apangiwe kesi hiyo

    21. #19
      Mponella's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Posts : 22
      Rep Power : 381
      Likes Received
      2
      Likes Given
      27

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Shughuli ndiyo imeanza yetu macho#

    22. #20
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,311
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1557

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Hivi hakuna limit ambayo ya majaji wa kuteua kwa Rais? sababu hata jana kuna kiongozi nadhani naibu waziri wa sheria kama sikosei kasema Kikwete ndio Rais anayeongeza kwa kuchagua majaji wengi mpaka sasa toka nchi yetu ipate uhuru.

      Au ndio anajiwekea shield mapema?
      vngenge likes this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...