Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 69
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji



      Rais amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji

      RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha kuwa Jaji wakili wa kujitegemea, Joaquine De-Mello ambaye alikuwa akimtetea msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) anayetuhumiwa kwa mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba.

      Wakili huyo, ambaye ni mshindi wa tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King ya mwaka 2012 na ambaye alikuwa pia alikuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) ni miongoni mwa majaji 10 walioapishwa jana na Rais Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
      De-Mello ni miongoni mwa mawakili wanne waliojitokeza Aprili mwaka huu kumtetea Lulu katika kesi hiyo ya mauaji inayomtuhumu kumuua usiku wa kuamkia Aprili 7, mwaka huu.

      Mawakili wengine wanaomtetea Lulu ambaye umri wake umekuwa na utata ni Kennedy Fungamtama, Peter Kibatala na Fulgence Massawe.

      Akizungumza kwenye viwanja vya Ikulu, De-Mello alisema baada ya kuteuliwa kuwa Jaji, sasa atafanya kazi hiyo na moja ya mikakati yake ni kukabiliana na changamoto za wingi wa kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By IPECACUANHA
      Siamini kwamba kesi ya Lulu ndio imempa ujaji. Hivi Mheshimiwa Raisi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili kuwa Majaji?
      Nashangaa, sababu inaonekana ghafla wakati wa utawala wake ndio wanasheria wengi wamekuwa na weredi mkubwa sana, no wonder hata malaymen wanaweza kuquestion maamuzi ya majaji wetu wa sasa.

    4. #22
      nyanzalapy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 366
      Likes Received
      11
      Likes Given
      18

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Candid Scope
      What ever namanisha amemteua wakili kuwa jaji wa mahakama, labda kutokana na handling ya kesi ya Lulu imempandisha Chat.
      Quote By Candid Scope
      Wakuu wanamkingia kifua kwa manufaa ya wanawe mlalahoi ameokoka.

      Kama hujui kigezo kilichotumika katika uteuzi si ukae kimya kuliko kujifanya much know, mnajishushia hadhi zenu bure pale unapotaka tukuone unajua jambo fulani wakati hujui, ni bora mkaanzisha kikundi cha mipasho ambayo sio lazima ujue sababu ya unaloliongea, Halafu unataka tukuone nawe ni great thinker???
      Kwa staili hii nchi yetu haita endelea hata aje nani.

      HII NDIO SABABU ILIYOFANYA ATEULIWE NA SIO UNAVYOPOTOSHA WATU KWA CHUKI ZAKO BINAFSI,

      Tuesday, 19 June 2012 21:30
      0digg
      Leon Bahati
      RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha kuwa Jaji wakili wa kujitegemea, Joaquine De-Mello ambaye alikuwa akimtetea msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) anayetuhumiwa kwa mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba.

      Wakili huyo, ambaye ni mshindi wa tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King ya mwaka 2012 na ambaye alikuwa pia alikuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) ni miongoni mwa majaji 10 walioapishwa jana na Rais Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
      De-Mello ni miongoni mwa mawakili wanne waliojitokeza Aprili mwaka huu kumtetea Lulu katika kesi hiyo ya mauaji inayomtuhumu kumuua usiku wa kuamkia Aprili 7, mwaka huu.
      Rais amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji
      Last edited by nyanzalapy; 20th June 2012 at 07:57.
      Kongosho likes this.
      "Never Make Someone your priority ,While they make you just an option"

    5. #23
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By nyanzalapy
      Kama hujui kigezo kilichotumika katika uteuzi si ukae kimya kuliko kujifanya much know, mnajishushia hadhi zenu bure pale unapotaka tukuone unajua jambo fulani wakati hujui, ni bora mkaanzisha kikundi cha mipasho ambayo sio lazima ujue sababu ya unaloliongea, Halafu unataka tukuone nawe ni great thinker???
      Kwa staili hii nchi yetu haita endelea hata aje nani.

      HII NDIO SABABU ILIYOFANYA ATEULIWE NA SIO UNAVYOPOTOSHA WATU KWA CHUKI ZAKO BINAFSI,

      Tuesday, 19 June 2012 21:30
      0digg
      Leon Bahati
      RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha kuwa Jaji wakili wa kujitegemea, Joaquine De-Mello ambaye alikuwa akimtetea msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) anayetuhumiwa kwa mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba.

      Wakili huyo, ambaye ni mshindi wa tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania ya Martin Luther King ya mwaka 2012 na ambaye alikuwa pia alikuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) ni miongoni mwa majaji 10 walioapishwa jana na Rais Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
      De-Mello ni miongoni mwa mawakili wanne waliojitokeza Aprili mwaka huu kumtetea Lulu katika kesi hiyo ya mauaji inayomtuhumu kumuua usiku wa kuamkia Aprili 7, mwaka huu.
      Rais amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji
      Unaposema nchi yetu haitaendelea hata aje nani unamaanisha nini? ni nani amekuambia hii nchi itaendelezwa na wageni? Kichwa maji kabisa wewe.

    6. #24
      nyanzalapy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 366
      Likes Received
      11
      Likes Given
      18

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Sangarara
      Hivi hakuna limit ambayo ya majaji wa kuteua kwa Rais? sababu hata jana kuna kiongozi nadhani naibu waziri wa sheria kama sikosei kasema Kikwete ndio Rais anayeongeza kwa kuchagua majaji wengi mpaka sasa toka nchi yetu ipate uhuru.

      Au ndio anajiwekea shield mapema?
      Unaonekana hata hujui idadi ya Majaji wanaotakiwa unaanza kuzungumzia habari ya limit,

      Tafuta kwanza habari kamili ili ujue kama wamezidi mahitaji ya nchi then anza kuzungumzia habari ya limit.

      kwa taarifa yako hata idadi ya haoaliowateua ukijumlisha na waliokuwepo hawatoshelezi mahitaji.
      "Never Make Someone your priority ,While they make you just an option"

    7. #25
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 619
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Candid Scope
      Sikujua kilichokuwa moyoni mwa Mnyika kumbe kuna mengi ambayo yamemsukuma kutoa kauli ile bungeni. Makubwa bado yaja.
      Samaki anamengi yakusema lakini maji(job ndugai) yanamzinga,this country bwana!

    8. Miaka 50

    9. #26
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,844
      Rep Power : 1154
      Likes Received
      508
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Candid Scope
      hongera kwa kumpa mlo mtetezi wake au kwa kuongoza jopo la majaji watendea haki sheria za Tanzania?
      Hawezi kuwa wakili halafu baada ya kuteuliwa akawa jaji kesi kesi ya lulu kwa sababu ya Conflict of intrest

    10. #27
      Ruppy karenston's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 396
      Rep Power : 481
      Likes Received
      69
      Likes Given
      26

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Aiseee,kazi ipo!

    11. #28
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By nyanzalapy
      Unaonekana hata hujui idadi ya Majaji wanaotakiwa unaanza kuzungumzia habari ya limit,

      Tafuta kwanza habari kamili ili ujue kama wamezidi mahitaji ya nchi then anza kuzungumzia habari ya limit.

      kwa taarifa yako hata idadi ya haoaliowateua ukijumlisha na waliokuwepo hawatoshelezi mahitaji.
      uchache wa majaji unajulikana na unakera lakini hiyo sababu tosha ya kuchagua majaji kiholela kila kukicha. Unatakiwa kukumbuka kwamba Majaji wanatakiwa kuwa ni watu wenye weledi wa hali ya juu wa sheria na zaidi wawe ni watu independent kiasi cha kutosha kabisa kufanya maamuzi yao bila kuingiliwa na nguvu zozote kutoka nje, including rais wa nchi.

      Kwa hapa tulipofikia, hivyi vyeo naona vinatolewa kama zawadi

    12. mka
      #29
      mka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 234
      Rep Power : 732
      Likes Received
      46
      Likes Given
      203

      Default

      Quote By Candid Scope
      Hatakuwa mtetezi wa Lulu tena, bali atakuwa jaji atakayepangiwa kutoa hukumu kesi ya Lulu. Nimesomeka na umelisoma tukio lenyewe?
      Mkuu Candid Scope, De Mello ameteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu, ila hatokuwa jaji kwenye kesi ya Elizabeth Michael (Lulu). Kumbuka kuna kanuni kwenye sheria kuwa huwezi kuwa jaji/muamuzi kwenye kesi ambayo inakuhusu ie una 'interests'. Akipangwa kuwa jaji upande wa mashitaka unaweza mtaka ajitoe maana ashakuwa wakili wa Lulu.

    13. #30
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 668
      Likes Received
      128
      Likes Given
      131

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.


      huyu ndo mwenyewe....she deserves that post
      Mwakalinga Y. R likes this.

    14. #31
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      lulu ni malaya tu.. Kama malaya wengine huko mtaani.. Na umalaya wake lulu ndo umem3mfanya ashindwe kutulia na kanumba.. Bcoz lulu ana jini mahaba.. Na kama lulu angekuwa muaminifu haya yote yasingetoke..!
      huyo jaji ameteuliwa .. Jaman kikwete tumeisha ambiwa ni DHAIFU ..Sasa inamaana kama yeye ni dhaifu ndo maana anashabikia majaji dhaifu na watendaji dhaifu.. Dhaifu mno.. Na kuwapa vitengo na uongozi watu dhooful hali..Juzi hapa jamaa zake riz1 wamepewa ukuu wa wilaya..na huyo mama ndo wale wale kasoro majina...!

    15. #32
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      tatizo kama hujui hujui tu...sioni tatizo la kumteua huyu mama..ni wakili wa mda ,refu ,wenye uzoefu katika nyanja ya sheria nimeshafanya naye kazi na ni mtu mzuri tu sio ni ubaya kuteuliwa kuwa jaji...mawakili wengi wanateuliswa kushika hizo nafasi..kama aliekua rais wa tls Dr. fauz twaib...kuna ubaya hapo????? udhaifu wa kikwete uko wapi hapo???
      Kongosho likes this.

    16. #33
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By ZionTZ

      huyu ndo mwenyewe....she deserves that post
      Tunamuomba aharakishe kumkamata, kumshitaki na kumfunga KAPU10 JOHN KOMBA haraka iwezekanavyo kwa kumbaka mtoto wetu LULU
      Sangarara likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    17. #34
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By ZionTZ

      huyu ndo mwenyewe....she deserves that post
      naungana na wewe mkuu

    18. #35
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 602
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Nyani Ngabu
      "Raisi amempandisha cheo jaji anayemtetea Lulu"?

      Toka lini majaji wakatetea watuhumiwa?
      Nyani gabu naona umesoma vibaya..Raisi amempandisha cheo wakili anayemtetea Lulu kuwa Jaji

    19. #36
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Sangarara
      uchache wa majaji unajulikana na unakera lakini hiyo sababu tosha ya kuchagua majaji kiholela kila kukicha. Unatakiwa kukumbuka kwamba Majaji wanatakiwa kuwa ni watu wenye weledi wa hali ya juu wa sheria na zaidi wawe ni watu independent kiasi cha kutosha kabisa kufanya maamuzi yao bila kuingiliwa na nguvu zozote kutoka nje, including rais wa nchi.

      Kwa hapa tulipofikia, hivyi vyeo naona vinatolewa kama zawadi
      Majaji hawatoshi...nyie ambao mpo nje ya proffession hamjui kero zilizomo...basi kama hamjui uchache wa majaji ndio mojawapo ya sababu kubwa za rushwa katika mahakama maana kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara kutokana na wingi wamashauri na uchache wa majaji na mahikimu..wafanyakazi wengine wa mahakama hutumia mwanya huo kufanya michezo michafu kwa minajili ya kujipatia kipato..ila kama mashauri yanasikilizwa kwa wakati basi hata mianya ya rushwa itapungua

    20. #37
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      tatizo sio uteuzi wa huyo mama kua jaji ..bali ni jinsi media ilivyotoa hiyo habari..kwa kutumia title ya kuuzia magazeti which was very unnecessary " Raisi amteua wakili wa "LULU" hapo "LULU" katumika kuuzia magazeti...ila title ingekuwa " Rais kamteua mwanasheria wa mda mrefu kuwa jaji , gazeti lisinge uza wala kusingekua na mijadala

    21. #38
      nyanzalapy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 366
      Likes Received
      11
      Likes Given
      18

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Sangarara
      uchache wa majaji unajulikana na unakera lakini hiyo sababu tosha ya kuchagua majaji kiholela kila kukicha. Unatakiwa kukumbuka kwamba Majaji wanatakiwa kuwa ni watu wenye weledi wa hali ya juu wa sheria na zaidi wawe ni watu independent kiasi cha kutosha kabisa kufanya maamuzi yao bila kuingiliwa na nguvu zozote kutoka nje, including rais wa nchi.

      Kwa hapa tulipofikia, hivyi vyeo naona vinatolewa kama zawadi
      http://www.mwananchi.co.tz/habari/5-...lulu-kuwa-jaji

      Yupi katika walioteuliwa unafikiri hana weredi?
      Nashauri tuwe tunafuatilia kwanza weredi wao ndio tuseme huyu hafai huyu anafaa.
      Hapo juu nimetoa link ambayo unaweza pata kwa kifupi weredi wa huyo tunaemjadili hapo na si tujadili sababu alikuwa wakili wa Lulu kama wengi wanavyoelezea hapo.

      Pia kuteuliwa haimaanishi lazima uwe kibaraka wa aliyekuteua hata siku moja, hiyo ni hulka ya mtu binafsi kama ana dhana ya uoga hata asipoteuliwa akipewa nafasi fulani atakuwa hivyo tuu. Tunao watu wa namna hiyo wengi tu na sio wa nafasi za kuteuliwa, pia wapo wa nafasi za kuteuliwa ambao wanafanya kazi kwa kufuata
      sheria misingi na Taratibu.
      Sangarara likes this.
      "Never Make Someone your priority ,While they make you just an option"

    22. #39
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By mkaliwakitaa
      Majaji hawatoshi...nyie ambao mpo nje ya proffession hamjui kero zilizomo...basi kama hamjui uchache wa majaji ndio mojawapo ya sababu kubwa za rushwa katika mahakama maana kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara kutokana na wingi wamashauri na uchache wa majaji na mahikimu..wafanyakazi wengine wa mahakama hutumia mwanya huo kufanya michezo michafu kwa minajili ya kujipatia kipato..ila kama mashauri yanasikilizwa kwa wakati basi hata mianya ya rushwa itapungua
      Acha kujishaua, Kama ujaji ni profession, ni profession inayowajibika kwa UMA, unaposema hapa kwamba iko corrupted hauwezi kujustify kwamba ongezeko la majaji litapunguza corruption.

      Kama kuna incompetence yoyote ambayo inajikita kwenye mahakama zetu kutokana na appointment za namna hii, utegemee Rushwa kuongezeka zaidi.

      Labda niende kwenye Point sasa.
      Rais Kikwete ni maarufu sana kwa kufanya teuzi za watu dhaifu kwenye utendaji wao, tunaendelea kuliona hili kutoka kwenye baraza lake la mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, na wakurugenzi wa mashirika ya UMA na hata kwenye Chama, analalamikiwa kwamba anafanya teuzi hizi kwa misingi ya ulafiki na mahusiano ya kifamilia mpaka mahusiano ya Kingono, sasa kwa namna tunavyoelewa umuhimu wa majaji katika mahakama zetu au Taifa kwa ujumla unategemea ni kwa nini nisiwe na wasi wasi kwamba uteuzi wa namna ile ile unatumika kutupatia majaji. Unanihakikishia vipi professionalism katika mazingira kama haya?

    23. #40
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Kikwete amteua wakili wa Lulu kuwa Jaji.

      Quote By Safari_ni_Safari
      Tunamuomba aharakishe kumkamata, kumshitaki na kumfunga KAPU10 JOHN KOMBA haraka iwezekanavyo kwa kumbaka mtoto wetu LULU
      Alibakwa huko mahabusu?
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    24. Study Abroad
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...