Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lowassa anaona mbali

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Lowassa anaona mbali

      sasa naona kwanini lowasa anapingwa na wanaccm mle ndani,lowasa hawezi kukubali mawazo ya mwanakwaya komba au mtu kama lusinde nape na wengine wa aina hiyo.sababu upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana,lowasa aliposema ajira kwa vijana wapuuzi ndani ya ccm walimpinga sasa kwa mlango wa nyuma wanaanzisha jkt,wanapigania ajira kwa kutumia bodaboda hili si suluhisho kwani jkt ni kuwaweka pamoja bila future ili ccm iwatumie kuiba kura na kutumia bodaboda kutorosha masanduku ya kura.hivi ma dr wote na maprofesa ndani ya ccm hamuoni huruma kwa future ya vijana wetu kwa mpango huu iwapo ccm ya akina lusinde ikirudi madarakani tutegemee ya congo,mali,misri,algeria kwani hakutakuwa na mwelekeo
      Profesa likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Mi nina hakika Lowasa akifunguka kwa kumshushia mtu mzima zigo lake siasa za Tanzania zitabadilika saana, na anajua anachokifanya Lowasa, wengine tunasema anasubiri kupewa penati 2 afunge gori
      Profesa likes this.

    4. #22
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,526
      Rep Power : 2542
      Likes Received
      2110
      Likes Given
      1840

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Nimecheka sana juzi nilivyosikia ishu ya JKT maana nikiwa napata picha sasa ndio wametoka JKT halafu wamejiunga na chuo halafu LOAN BOARD hawajawawekea mshiko wao, yaani watatemebezewa bakora kwa kwenda mbele na polisi nao wakija wakijipendekeza nao pia wanakula mbata....mmmh nendeni JKT mje tuwatie adabu hawa
      Profesa likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    5. #23
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,585
      Rep Power : 6850
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      131

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Ameweka darubuni kwenye macho?
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    6. #24
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,623
      Rep Power : 2892
      Likes Received
      3842
      Likes Given
      12234

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Lowassa hajaona mbali. Ni opportunist. Ameanza kuimba ajira ya vijana baada ya kuona matokeo ya uchaguzi wa 2010 ambapo vijana wengi hawakuipigia kura CCM. Alikuwa wapi wakati wote kutambua kuwa tatizo la ajira ya vijana ni bomu linalosubiri kuripuka? Na ili kujiweka sawa kwa 2015 ndio akataja ajira ya vijana na kuanza kutoa michango makanisani. Hana lolote!

    7. #25
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Lowassa anaona mbali


      kwa viongozi wote wa ccm ni nani alishaliona hili raisi kila kukicha yuko angani hajuio
      matatizo ya vijana na ndio waliomuweka madarakani ,naamini lowasa ana upeo mkubwa ndani ya ccm kuweza kuongoza nchi hii sababu lowasa hataendesha nchi kiswahili

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      No comment
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    10. #27
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,532
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      1573

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Quote By Andrew Nyerere
      Kwa nini uansema ''Lowassa for President?'' Kinachofuatia sasa hivi ni uchaguzi wa Uenyekiti wa CCM. Kwa husemi ''Lowassa for CCM Chairman?''
      Mkuu, ndo maana huwa nasema hao jamaa ni very myopic!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    11. #28
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Quote By WEMBE WENGE
      Kwanza ndugu yangu Mungongo wewe una elimu gani? kwa maana ni vizuri kujuana viwango vya elimu ili tuongee kwa kiwango chako cha Elimu.
      Hoja hapa si nani alifanya nini hapa ni tatizo la vijana kukosa Ajira ni ukweli ulio wazi ambao hata wewe juu ya kuandika pumba hizi huwezi kuukataa, sasa kama EL aifanya lolote ama hakufanya lolote lakini tatizo hilo lipo na anajaribu kuwakumbusha hata wale ambao wanajifanya hawalioni kama wewe na hata yeye EL.
      Hoja ya msingi sana hiyo utaisaidia Tanzania zaidi kama utachangia kuwa tatizo hilo lipo na ni kubwa sasa tufanyeje kukabiliana nalo hata kama aliyelisema si NEPI ama MUkwama mbovu, ama yeyote. sasa kama unayo elimu ya kutosha nenda kwenye thread nyingine ili utoe maoni yako yatakayo somwa na watanzania yawasaidie, siyo kupinga kila kitu kwa vile aliyesema siyo Nape.
      Lowassa naye anazungumza Pumba tupu... Rais ataweza vipi ku create ajira kwa vijana?. Ebu tuambieni hizo ajira kwa vijana unazianzisha vipi maanake muhimu ktk maendeleo ya nchi ni kuunda policies ambazo zinawawezesha wawekezaji kuwekeza zaidi ama kufungua miradi ya maendeleo nchini, nani anapata ajira hizo sii kazi ya rais. Sasa EL atueleze ni policies (sera) zipi zinazolenga kutoa ajira kwa vijana?..

      Hizi habari za kusema wazee wamechoka vijana wachukue jukumu la kuiendeleza nchi ilihali uwezo wao hautofautiani na wazee wenyewe ni pumazo la watu kuamini kwamba vijana wa leo wana uwezo zaidi wa kuongoza na uzalishaji wakati shule zenyewe matokeo yanatisha. Binafsi yangu, Hili li nchi hili, limekosa Uongozi bora, limekosa kiongozi mwenye vision ya Tanzania ya kesho tunaishi siku kwa siku na kupangiwa mikakati ya bailout na IMF. Ni jukumu la vijana kuonyesha uwezo wa kuchapa kazi, na mabadiliko hutokea bila kulazimisha wazee wataondoka pale mnapokamata mpini nasii habari zakuweka madai ilihali uwezo hamna. Mbona wanawake wanajituma wenyewe wanaanzisha miradi mbali mbali nchini?.. Leo hii kati ya magari matano mjini yanayokupita, matatu wanasukuma wanawake..Vijana amkeni msimsubiri Lowassa na kumlalamikia Mungu.

      Tuna kila uwezo wa kuwa na umeme, maji safi, shule bora na Hospital zakutosha hili pekee yake ni ajira millioni kwa vijana. Lowassa akiwa waziri mkuu hakufanya lolote zaidi ya kujijenga yeye na rahisi kwake kulaumu wakati anajaribu kujisafisha kama bata maana penye tope hapakosekani maji. Nirahisi sana kwa Bata kukoga tope akifikiri ni maji na ndio usafi wa bata hivyo inatakiwa umsome Lowassa anazungumzia nini (kukoga tope) ili ujue anazungumzia usafi upi..
      KOMBESANA likes this.
      Exploration of reality

    12. #29
      KOMBESANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2009
      Posts : 525
      Rep Power : 611
      Likes Received
      114
      Likes Given
      1485

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Lowassa ni Mheshimiwa Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM.Kwa kuwa huwezi kusukuma gari ukiwa ndani ya gari kwa vile utasukuma uzito wako mwenyewe,utakuta kwamba nafasi pekee ya EL kurudi kileleni walau kwa maana ya kuaminiwa na umma ni kufanya mambo mawili matatu:
      1.Aseme kweli yote kuhusu Dowans na Richmond hususan kumtaja mmiliki wa Dowans hadharani,
      2.Aseme ukweli jinsi MTANDAO ulivyomtumia kuingia Ikulu na makubaliano maalumu ya kugawana madaraka na kama kuna namna yalivyokiukwa
      3.Ataje mali anazomiliki na njia alizotumia kuchumia maana na wengine wangependa kumwiga ili wapate thawabu kwa kuchangia hafla kadha wa kadha

      4.EL awe kama Zakayo wa kwenye Biblia yaani awe tayari kumrudishia yeyote aliyemdhulumu MARADUFU.Kwa kuwa atakuwa ameshataja mali zake zikahakikiwa,nusu awape maskini kwa njia yeyote.Kule Italia kwenye mji wa Torino miaka ya 1400 Baada ya Kristo,kuna tycoon alijenga Chuo Kikuu kwa ajili ya MASKINI!Leo Universita degli Torino ni Chuo Kikuu maarufu sana kule Turin,kijiji cha OLIMPIKI YA MAJIRA YA THELUJI .Kama kweli anaamini katika ELIMU KWANZA na si KILIMO KWANZA, pa kuanzia ni EDWARD LOWASSA MEMORIAL FREE UNIVERSITY,
      5.Kwa kuwa EL ni Mlutheri mwenzangu,aamue kuongozwa sala ya kweli ya toba na MCHUNGAJI,siyo ASKOFU,wakati wa ibada au hata kwa style ya Nikodemo-anaijua sina haja ya kufafanua toba ya Nikodemo.
      6.Akitembea hatua hizi TANO ATAKUWA AMEJIVUA GAMBA !Ataweza kuikemea CCM bila kujali hali, atakuwa ameijua kweli amewekwa huru,HALELUYA!
      K.Msese likes this.

    13. #30
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By mtemiwao
      lowasa 4 president.......yes yes yes yes
      Mna muda hamjampimia upepo humu jf au kwa vile hajaendelea na harambee za makanisani pamoja na kuwalipa mje kumsafishia njia humu jf?

    14. #31
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By K.Msese
      Wakati EL akiwa Pm alifanya nini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira, ili awe na nguvu ya kuwasema wenzie katika hilo?

      Kibanga Msese
      Hata kama hakufanya ila ukweli upo pale pale na tatizo la waTz ukiwaambia ukweli wanakuwa wakali sana mfano John Mnyika jana aliposema ukweli kuhusu jk wabunge wa ccm wamekuwa wakali sana angali wanalitambua hilo ila tu hawataki waambiwe ukweli wamezoea kudanganywa na kudanganya tu.

    15. #32
      Manumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Location : Close to U
      Posts : 1,127
      Rep Power : 724
      Likes Received
      259
      Likes Given
      760

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      aisee wanaomzungumzia lowassa nadhani hawana cha kusema. ni bora wajinyamazie tu kuliko kujisumbua na huyu kaputi
      "Falling Down does not mean being Buried" - Manumbu on 1st June 2011

    16. #33
      K.Msese's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 407
      Likes Received
      145
      Likes Given
      219

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Ajenda ya kuwa vijana wapewe ajira, hapo yeye hayupo sawa, ila ajenda ipo sawa. EL hayupo sawa kwakuwa alikuwa na fursa yakulitekeleza hili lakini hakulifanya akiwa PM, pili pamoja na mali zoote anazomiliki ametengeneza ajira ngapi kwa vijana (sio wanae na nduguze tu) bali kwa watanzania wote?

      Kibanga Msese

    17. #34
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Yan umemtaja lowasa,sasa utaona jinsi ccm walivyo dhaifu.

    18. #35
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 566
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Quote By K.Msese
      Wakati EL akiwa Pm alifanya nini ili kuhakikisha vijana wanapata ajira, ili awe na nguvu ya kuwasema wenzie katika hilo?

      Kibanga Msese

      Sawa Kabisa Lowasa atujibu wakati alikua Prime Minister, alifanya nini kwa wavijana ?? Akiweza basi wavijana watamtetea lakini asitupe hewa tumechoka. Anasema kwa sababu anataka kwa Rais nae pia sio. ZERO GRAZING

    19. #36
      Tiote's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 128
      Rep Power : 441
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Quote By andrews
      sasa naona kwanini lowasa anapingwa na wanaccm mle ndani,lowasa hawezi kukubali mawazo ya mwanakwaya komba au mtu kama lusinde nape na wengine wa aina hiyo.sababu upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana,lowasa aliposema ajira kwa vijana wapuuzi ndani ya ccm walimpinga sasa kwa mlango wa nyuma wanaanzisha jkt,wanapigania ajira kwa kutumia bodaboda hili si suluhisho kwani jkt ni kuwaweka pamoja bila future ili ccm iwatumie kuiba kura na kutumia bodaboda kutorosha masanduku ya kura.hivi ma dr wote na maprofesa ndani ya ccm hamuoni huruma kwa future ya vijana wetu kwa mpango huu iwapo ccm ya akina lusinde ikirudi madarakani tutegemee ya congo,mali,misri,algeria kwani hakutakuwa na mwelekeo

      Kwa taarifa yako hao wote uliowataja ni wapiganaji wakubwa wa jeshi la Lowassa. Hujui unachoongea!

    20. #37
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 225
      Rep Power : 410
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Kiongozi mzuri atatoka ccm (Nyerere 1995). Hata mimi nakubaliana naye kwani ukitaka kuwa kiongozi mzuri ni lazima utoke kwanza ccm, kwani ukiwa huko bado utawaondea mafisadi aibu.

    21. #38
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Kidogo chetu
      kama hujui EL aliyoyafanya katika muda mfupi akiwa pm ugonjwa wako nadhani tiba yake ni kifo hakuna dawa itakayokuponya
      sasa hapo ndo umechangia nini?

    22. #39
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Deofm
      Kiongozi mzuri atatoka ccm (Nyerere 1995). Hata mimi nakubaliana naye kwani ukitaka kuwa kiongozi mzuri ni lazima utoke kwanza ccm, kwani ukiwa huko bado utawaondea mafisadi aibu.
      umeona eeeh!

    23. #40
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,623
      Rep Power : 2892
      Likes Received
      3842
      Likes Given
      12234

      Default Re: Lowassa anaona mbali

      Quote By Deofm
      Kiongozi mzuri atatoka ccm (Nyerere 1995). Hata mimi nakubaliana naye kwani ukitaka kuwa kiongozi mzuri ni lazima utoke kwanza ccm, kwani ukiwa huko bado utawaondea mafisadi aibu.
      Usichukue nusu tu ya quote ya Nyerere. Malizia na tahadharisho alilolitoa. Alisema: "kama CCM itashindwa kutoa uongozi bora Watanzania watautafuta kwingineko." Ndicho hicho kinachotokea sasa.
      Mkandara likes this.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...