Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JamiiForums Premium Member Subscription

    Report Post
    Page 3 of 17 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 329
    1. #1
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 333
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      593
      Likes Given
      759

      Default JamiiForums Premium Member Subscription

      Ndugu wana JF

      Awali ya yote, niwashukuruni nyote!

      Tumeliongelea hili jambo kwenye andiko hii, Na sasa ni utekelezaji wake.

      Lengo kubwa la kuanzisha utaratibu huu ni kuiwezesha JamiiForums kujiendesha kwa ufanisi zaidi ndani na nje ya Tanzania.

      Tunayo mikakakati tuliyoianda ya jinsi gani tunafikiri JF inatakiwa iende, na tunaahidi kuwashirikisha kwanza "Premium Members" wetu kabla haijaanza kutekelezwa.

      Hizi alama maalumu zitadumu kwa mwaka moja.

      Baada ya mazungumzo marefu ya jinsi ya kupanga hii michango tulikubaliana hivi


      Annual Membership Subscriptions

      JF Bronze Member 20,000 - 99,000

      JF Gold Member 100,000 - 249,000

      JF Platinum Member 250,000 - 490,000

      JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...





      Utaratibu wa Malipo



      M-Pesa

      Tumefanikiwa kupata utaratibu mzuri sana wa kulipia kupitia M-Pesa. Utalipia Subscription Fee kama vile unavyonunua Luku au DSTV na kutuma kwenda kwenye number 888 888


      Jinsi ya Kutuma


      1. *150#

      2. Bonyeza 4 (Pay Bill)

      3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)

      4. Weka 888888

      5. Enter Reference No. (tumia 1234)

      6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma)

      7. Weka password yako na kisha utume.

      Ukishatuma, tuma PM kuja kwangu Mike McKee ukituambia receipt no. uliyoweka na jina lako unalotaka liwekewe Premium Member au tuma email kwenda [email protected] ukituambia receipt number.


      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront


      Ukishaweka pesa tuma SMS kwenda number hii 0755 642 929 kutuambia jina gani umetumia wakati unaweka hela, na nikiasi gani umeweka, na kutuambia jina unalotaka liwekewe alama maalumu (premium membership).

      Sisi tutaithibitisha kwa alama maalum (icon) na kukuwekea kwa hilo jina.

      Kwa wale watakaotumia malipo kwa njia ya mtandao (online transfer) ya CRDB, wanaweza wakatutumia receipt kwenda kwenye email ya [email protected]


      WesternUnion

      Name: Mike Mushi
      Address: P.O.BOX 4203 Dar es Salaam
      Phone: 0755 642 929
      Email: [email protected]


      PayPal

      Tuma kwenda kwenye email hii [email protected]



      Maswali na Majibu


      Alama maalumu kwa mtumiaji(Verified User) ni nani?

      Verified Users ni wale wanachama wa JF wanaotumia majina yao halisi. Sisi tuna hakikisha kujua kwamba yale majina ni yao kweli na kuwawekea alama maalumu inayoonesha kweli anayeandika kwa jina hili ni yeye halisi.

      Naweza kulipia kwa kidogokidogo?

      Malipo kidogokidogo yanaruhusiwa kwa wale Platinum na Tanzanite members na zinatakiwa kukamilishwa ndani ya miezi minne.

      Nataka kuchangia ila sitaki kuwekwa kwenye makundi

      Unaweza ukachangia kwa kutumia viwango hapo juu na usiwekwe kwenye hayo makundi ila ukawekewa “alama” ya premium member inayoonekana hapo juu.

      Kuna faida gani nikiwa Bronze Member na nikiwa Tanzanite Member?

      Lengo la hii program ni kuwezesha JF, hapa kinachofanywa ni uchangiaji na sisi tunachofanya ni kukutunuku “badge” kutoka na ulichochangia ili kutambua na kuthamini uchangiaji wako.

      Lengo letu ni mwakani tuweze kutoa packages nzuri kwa kila package. Na sisi pia inatupa mwangaza wa kutambua ni watu kiasi gani wapo, na wenye nia ya kuchangia na kununua hizo packages zitakapoanza.

      Kwa kipindi cha mwaka mzima kuna vitu vingi vitakuwa vinaanzishwa na vingi mtakuwa mnatuambia “premium members” mnataka nini.

      Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza kujua na kuvitumia kabla havijaanza kuwa wazi ni hawa premium members wetu. Maana yake maoni, ushauri unaanza kutolewa na hawa kwanza.

      Kuchangia JF na kuwa premium member kunakupa nafasi wewe kuwa mmoja ya wanachama muhimu watakaoongoza mabadiliko na kuwa mmoja wa watakaoshuhudia mabadiliko hayo ya JF.

      Je Subscption fee yangu ya mwaka mzima inaanza lini?

      Subscription fee yako ya mwaka mzima inaanza pale utakapolipia. Kama utalipa July, itakwisha july mwaka kesho.

      Kwanini hakuna malipo ya TigoPesa na Airtel Money?

      Utaratibu kama tulioupata Mpesa ndio tulikuwa tunautaka kama huo TigoPesa, sasa TiGo wamesimamisha hiyo huduma mpaka mwezi wa nane. Hatuna tunachoweza kufanya ni kusubiri mpaka mwezi wa nane. Njia ya kawaida ya kuchukua line ya tigopesa na kuiweka hapa sio salama na wote tunafahamu hii, mtu anaweza kudurufu laini na akaenda kuchukua hiyo pesa.

      Airtel Money bado tupo kwenye mchakato wa kupata utaratibu mzuri, na itakapokamilika itawekwa hapa.

      Je, inamaana nisipolipia premium members sitoweza tena kuipata JF?

      Hapana, JF itaendelea kuwepo kama kawaida.

      Hamuoni kuweka hizi “levels” mtaleta matabaka ya waliokuwanacho na wasiokuwa nacho na wachangiaji watawaogopa Tanzanite au Platinum members?

      Kwanza lazima tuelewe kwamba “levels” zipo kama “incentive” ya kuwapa hao waliochangia na kiasi gani wamechangia pia kuvutia wengine wachangie. Hii ni kama harambee hivi. Na pia unaweza ukachangia na pia usitake kuwekewa hiyo “alama” ya premium member wala hizo “badge” za levels ukabaki kama kawaida.

      Na pia kama kweli utaogopa username ya mtu yenye “alama” ya tanzanite na utashindwa kuongea au kubishana kwenye mada kwasababu unaogopa labda anapesa, sasa hapo tatizo ni kwako wewe. Inakuwaje unaogopa username ya mtu na inakunyima wewe uhuru?

      Na kama kweli italeta matabaka na itaondolea watu uhuru wa kuongea, basi itakuwa haina faida na hatutasita kuitasitisha.

      Mwisho wa siku, kama wewe ni tanzanite member na hufuati sheria za JF, unapata BAN kama kawaida.


      .......

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 763
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Ina maana baada ya mwaka kuisha na status nayo itapotea kama member hayuko tayari ku renew status yake? Mfano alikuwa Senior expert then akawa premier, anaweza tena kurudi kuwa senior expert kama hajarenew hiyo status?
      Papizo and Dotworld like this.
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    4. #42
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,870
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      802
      Likes Given
      228

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Noted Mkuu!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    5. #43
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Tunashukuru kwa taarifa mkuu
      Mike McKee likes this.

    6. #44
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,599
      Rep Power : 3333
      Likes Received
      1224
      Likes Given
      461

      Default

      Quote By Mtoto Wa Mbale
      Suala la 'UsIri' kwa wale wasiotumia majina yao halisi kutokana na sababu mbalimbali mtalilinda vipi? Tunajua kuwa ukitumia malipo kwa njia ulizotaja hapo, M-pesa na Bank, lazima jina kamili litaonekana.

      Naomba ufafanuzi tafadhali.
      asante kwa swali zuri nadhani watatusaidia kwa hili.!
      Mike McKee and MSEZA MKULU like this.

    7. #45
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default

      Quote By Mtoto Wa Mbale
      Suala la 'UsIri' kwa wale wasiotumia majina yao halisi kutokana na sababu mbalimbali mtalilinda vipi? Tunajua kuwa ukitumia malipo kwa njia ulizotaja hapo, M-pesa na Bank, lazima jina kamili litaonekana.

      Naomba ufafanuzi tafadhali.
      Nimelitafakari hili jambo hata mimi. Nadhani hapo ndipo watu watakuwa traced kiurahisi sana. Mie kwaukweli sina uhakika kama nitajaribu kufanya hivyo mambo mengi tumeyaongea humu jamvini na watu watakuwa waoga kuleta mada au kuchangia. Mpesa, crdb, lazima zitadisplay anaetuma!

      Na ukipiga simu kwao hata namba itaonekana, napata kigugumizi sana kwa hii forum sasa! Fanyeni marketing ya kutafuta matangazo. Kama jf imekuwa na members wengi ni moja ya sababu ya mtu kutangaza biashara zake humu! Sijui marketing officer hajaangalia hilo suala? Pia unapoanza kuweka matabaka madharau yatakuwa zaidi.

      Nimeona sana hapa jamvini waweza kutoa mchango wa mawazo mtu anaibuka kusema sijui junior member, kwani kuwa junior member inamaana hata umri, upeo wa kufikiri, elimu na pesa ni junior pia? Nadhani instead ya kuongeza viewers ili mpate matangazo mengi zaidi inaweza kuwa vice versa.
      Mike McKee, cartura and Endangered like this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      muwaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : Lake Duluti
      Posts : 701
      Rep Power : 651
      Likes Received
      124
      Likes Given
      56

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Nimekupata Mkuu...ngoja nianze kukusanya fedha ili niipate 'platinum badge'
      Mike McKee likes this.

    10. #47
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      259

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Mkuu Mike, wakati umeweka ile post yako ya kwanza nilikuuliza kama naweza kupata akaunti ya NBC ili nilipie kupitia huko na ukaniahidi kunipa namba. Nashangaa hadi sasa sijaipata hiyo namba na hivyo kunichelewesha kufanya malipo. Pia katika hiyo post yako ulitoa offer ya Gold membership kwa wale watakaolipia katika kipindi cha mwezi mmoja. Je hii offer bado ipo au imeshaondolewa?
      Mike McKee likes this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    11. #48
      mysteryman's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 987
      Rep Power : 0
      Likes Received
      164
      Likes Given
      39

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      nikitumia jina langu halisi na at the same time nina lets say platinum.......je nitawekewa nembo zote???
      Mike McKee likes this.

    12. #49
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By Roulette
      Kuna members wanao tumia jina zao halisi kwa kujiunga JamiiForums na kuchangia hoja mbali mbali. Kuna utaratibu wa kuthibitisha kua members hao are who they claim to be. Baada ya kujiridhisha kua ni wenyewe, wanapewa status ya verified member ambayo inaonekana pamoja na premium membership yao.
      Kuna mtu alishawahi kupost thread hapa Jf,
      Alivyotoka nje akakana Katu katu kua hakua yeye na leo mmemuwekea "verified user", maana yake nini sasa??

    13. #50
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Ninaimani jukwaa letu litazidi kuimarika na kuwa chombo muhimu katika mabadiliko chanya, kuelimishana na kukosoana kwa mantiki.
      Mike McKee likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    14. #51
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,630
      Rep Power : 959
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Kazi nzuri, taarifa safi inajitosheleza twende kazi. Mi mwaka wangu wa bajeti ni September so let's meet there
      Mike McKee likes this.

    15. WFM
      #52
      WFM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 43
      Rep Power : 433
      Likes Received
      12
      Likes Given
      25

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Umetusaidia mkuu..! Binafsi ckujua wajibu wangu kwa JF kwa sababu tunaingia humu kwa kuiba muda wa kazi, hvo sazingine sio rahisi kujua mambo mengi. Naomba uiweke kwny sticky ili na wengine wapate hii knowledge.

      Eng. Willy
      Mike McKee likes this.

    16. #53
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,786
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      umeeleweka arifu.......

      hivi pesa zatumwa kweli twaona...lakini ni vema kama mngekuwa mnatuambia pia mapato na matumizi ya hiyo michango.....
      mfano..mmetumia kiasi gani kulipia server au fedha kiasi gani mmetumia kulipia gharama za watumishi na kiundeshaji..nikiwa zimechanguliwa kihasibu....nasema haya najua litakalotokea later....na ni jambo jema kwa mtu kujua fedha yake inatumika vipi?
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    17. #54
      Chamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 1,381
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      478
      Likes Given
      355

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By mzurimie
      Ninapenda kuuliza tu, pesa hizi zinachangia kufanya nini?
      yaani nikitoa hiyo laki... ni kupata jina tu kwa mwaka basi, baada ya hapo nisopolipa narudi kuwa nani?
      mzurimie kuendesha hii forum siyo mchezo tukianza na ukarabati (maintenence) inahitaji mtu wa kuangalia kila wakati kama kuna tatizo. Na hapa siongelei moderators bali mtaalamu anayeangalia ulizi wa data na attacks kutoka sehemu mbalimbali mtandaoni.

      Pia nafikiri umeone jinsi JF inavyobadilika mara kwa mara, ujue kuna mtu/watu hawalali kuiboresha hii huduma.

      Software (Vbulletin) inayoendesha hii forum siyo bure na ni lazma ilipiwe kila mwaka. Pili, lazima ile kwenye servers (dedicated) ambazo gharama zake si chini ya shilingi milioni moja ($800) kwa mwezi ili iweze kutoa huduma maridadi.

      Tatu, data zote hizi (mabandiko, picha n.k) lazima zihifziwe mahala fulani kama akiba (backup) endapo tatizo litatokea, hayo yote yanahitaji pesa na hapa sijaongelea malipo ya wafanyakazi, domain name n.k.

      Kwahiyo dada yangu usifikiri kuwa watu wanataka kula vichwa bali hizi ni gharama halisi kabisa za uendeshaji.

      Hizo forums unazozisema ambazo ni bure sijui ni zipi kwasababu ninavyojua mimi lazima kuwe na njia ya kuingiza mapato, iwe kwa subsription, matangazo au njia nyingine. Binfsi sijui menejimenti ya JF ikoje lakini nauhakika kama wangeweza endesha JF kwa matangazo tuu wasingeweka subscription.

      JF wamewahi kuweka matangazo ya google adsense mara kadhaa na kuyatoa na hii nafikiri ni kutokana na matangazo hayo kutokidhi gharama za uendeshaji. Matangazo ya google hayalengi watumiaji wa JF kwahiyo wengi wetu hatu-click hizo ads (Kumbuka unapo-click matangazo ya google JF inalipwa).

      Pia wengi wetu tunapokuja JF tunataka kuganda hapa hapa tukisoma mabandiko mbalimbali, hatutaki ku-click ads ambazo zitatutoa JF na kutupeleka sehemu nyingine.

      Elewa kwamba makampuni makubwa ya kitanzania ambayo yanajitangaza kwenye blog kama za michuzi, MO n.k hayataki kuweka matangazo yao hapa kwasababu zao za kimaslahi kwahiyo JF imekuwa mkiwa aliyekosa mtu wa kumfadhili.

      Eniwei niliona nitoe maelezo yasiyo na upendeleo wala maslahi yoyote kama member wakawaida tu isijeonekana jamaa wa JF wanataka kula vichwa kumbe gharama za uendeshaj ni kubwa.
      Mike McKee, palalisote and mpole1 like this.
      If numbers are not beautiful, I don't know what is. - Paul Erdős

    18. #55
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1035
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Umesomeka mkuu kinachofuata utekelezaji....
      Mike McKee likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    19. #56
      kibakwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Location : KIKURUNGE
      Posts : 160
      Rep Power : 439
      Likes Received
      21
      Likes Given
      61

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      asante mkuu nimekupata
      Mike McKee likes this.
      '"PROBLEMS CAN BE SOLVED AT THE SAME LEVEL OF AWARENESS THAT CREATED THEM'"

    20. #57
      Delegate's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 126
      Rep Power : 398
      Likes Received
      58
      Likes Given
      28

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Mike vipi sisi tunaoishi nje ya nchi,anyway nilifikiria jinsi ya kutuma hela naona kama ni ngumu kidogo,au tuwekee hapa itakuwaje
      Mike McKee likes this.

    21. #58
      Delegate's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 126
      Rep Power : 398
      Likes Received
      58
      Likes Given
      28

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Mike kama umetembelea facebook na baadhi ya forum kubwa online,je kuna kitu mmjifunza pale??manake mimi ni member wa facebook lakini sijawahi kupata ujumbe kwamba nilipie huduma,facebook wanafanyeje kazi zao mpaka kuweza kuwa na member mil100???je kuna ulazima wa kujifunza kitu pale?
      Mike McKee likes this.

    22. PPM
      #59
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription


      Kwa watu ambao hawataki ID zao zifahamike tutalipaje?
      Mike McKee likes this.

    23. #60
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Akaunti ya Max pale NBC inaweza kuendelea kutumika?
      Mike McKee likes this.

    Page 3 of 17 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...