Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JamiiForums Premium Member Subscription

    Report Post
    Page 2 of 17 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 329
    1. #1
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 333
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      593
      Likes Given
      759

      Default JamiiForums Premium Member Subscription

      Ndugu wana JF

      Awali ya yote, niwashukuruni nyote!

      Tumeliongelea hili jambo kwenye andiko hii, Na sasa ni utekelezaji wake.

      Lengo kubwa la kuanzisha utaratibu huu ni kuiwezesha JamiiForums kujiendesha kwa ufanisi zaidi ndani na nje ya Tanzania.

      Tunayo mikakakati tuliyoianda ya jinsi gani tunafikiri JF inatakiwa iende, na tunaahidi kuwashirikisha kwanza "Premium Members" wetu kabla haijaanza kutekelezwa.

      Hizi alama maalumu zitadumu kwa mwaka moja.

      Baada ya mazungumzo marefu ya jinsi ya kupanga hii michango tulikubaliana hivi


      Annual Membership Subscriptions

      JF Bronze Member 20,000 - 99,000

      JF Gold Member 100,000 - 249,000

      JF Platinum Member 250,000 - 490,000

      JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...





      Utaratibu wa Malipo



      M-Pesa

      Tumefanikiwa kupata utaratibu mzuri sana wa kulipia kupitia M-Pesa. Utalipia Subscription Fee kama vile unavyonunua Luku au DSTV na kutuma kwenda kwenye number 888 888


      Jinsi ya Kutuma


      1. *150#

      2. Bonyeza 4 (Pay Bill)

      3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)

      4. Weka 888888

      5. Enter Reference No. (tumia 1234)

      6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma)

      7. Weka password yako na kisha utume.

      Ukishatuma, tuma PM kuja kwangu Mike McKee ukituambia receipt no. uliyoweka na jina lako unalotaka liwekewe Premium Member au tuma email kwenda [email protected] ukituambia receipt number.


      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront


      Ukishaweka pesa tuma SMS kwenda number hii 0755 642 929 kutuambia jina gani umetumia wakati unaweka hela, na nikiasi gani umeweka, na kutuambia jina unalotaka liwekewe alama maalumu (premium membership).

      Sisi tutaithibitisha kwa alama maalum (icon) na kukuwekea kwa hilo jina.

      Kwa wale watakaotumia malipo kwa njia ya mtandao (online transfer) ya CRDB, wanaweza wakatutumia receipt kwenda kwenye email ya [email protected]


      WesternUnion

      Name: Mike Mushi
      Address: P.O.BOX 4203 Dar es Salaam
      Phone: 0755 642 929
      Email: [email protected]


      PayPal

      Tuma kwenda kwenye email hii [email protected]



      Maswali na Majibu


      Alama maalumu kwa mtumiaji(Verified User) ni nani?

      Verified Users ni wale wanachama wa JF wanaotumia majina yao halisi. Sisi tuna hakikisha kujua kwamba yale majina ni yao kweli na kuwawekea alama maalumu inayoonesha kweli anayeandika kwa jina hili ni yeye halisi.

      Naweza kulipia kwa kidogokidogo?

      Malipo kidogokidogo yanaruhusiwa kwa wale Platinum na Tanzanite members na zinatakiwa kukamilishwa ndani ya miezi minne.

      Nataka kuchangia ila sitaki kuwekwa kwenye makundi

      Unaweza ukachangia kwa kutumia viwango hapo juu na usiwekwe kwenye hayo makundi ila ukawekewa “alama” ya premium member inayoonekana hapo juu.

      Kuna faida gani nikiwa Bronze Member na nikiwa Tanzanite Member?

      Lengo la hii program ni kuwezesha JF, hapa kinachofanywa ni uchangiaji na sisi tunachofanya ni kukutunuku “badge” kutoka na ulichochangia ili kutambua na kuthamini uchangiaji wako.

      Lengo letu ni mwakani tuweze kutoa packages nzuri kwa kila package. Na sisi pia inatupa mwangaza wa kutambua ni watu kiasi gani wapo, na wenye nia ya kuchangia na kununua hizo packages zitakapoanza.

      Kwa kipindi cha mwaka mzima kuna vitu vingi vitakuwa vinaanzishwa na vingi mtakuwa mnatuambia “premium members” mnataka nini.

      Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza kujua na kuvitumia kabla havijaanza kuwa wazi ni hawa premium members wetu. Maana yake maoni, ushauri unaanza kutolewa na hawa kwanza.

      Kuchangia JF na kuwa premium member kunakupa nafasi wewe kuwa mmoja ya wanachama muhimu watakaoongoza mabadiliko na kuwa mmoja wa watakaoshuhudia mabadiliko hayo ya JF.

      Je Subscption fee yangu ya mwaka mzima inaanza lini?

      Subscription fee yako ya mwaka mzima inaanza pale utakapolipia. Kama utalipa July, itakwisha july mwaka kesho.

      Kwanini hakuna malipo ya TigoPesa na Airtel Money?

      Utaratibu kama tulioupata Mpesa ndio tulikuwa tunautaka kama huo TigoPesa, sasa TiGo wamesimamisha hiyo huduma mpaka mwezi wa nane. Hatuna tunachoweza kufanya ni kusubiri mpaka mwezi wa nane. Njia ya kawaida ya kuchukua line ya tigopesa na kuiweka hapa sio salama na wote tunafahamu hii, mtu anaweza kudurufu laini na akaenda kuchukua hiyo pesa.

      Airtel Money bado tupo kwenye mchakato wa kupata utaratibu mzuri, na itakapokamilika itawekwa hapa.

      Je, inamaana nisipolipia premium members sitoweza tena kuipata JF?

      Hapana, JF itaendelea kuwepo kama kawaida.

      Hamuoni kuweka hizi “levels” mtaleta matabaka ya waliokuwanacho na wasiokuwa nacho na wachangiaji watawaogopa Tanzanite au Platinum members?

      Kwanza lazima tuelewe kwamba “levels” zipo kama “incentive” ya kuwapa hao waliochangia na kiasi gani wamechangia pia kuvutia wengine wachangie. Hii ni kama harambee hivi. Na pia unaweza ukachangia na pia usitake kuwekewa hiyo “alama” ya premium member wala hizo “badge” za levels ukabaki kama kawaida.

      Na pia kama kweli utaogopa username ya mtu yenye “alama” ya tanzanite na utashindwa kuongea au kubishana kwenye mada kwasababu unaogopa labda anapesa, sasa hapo tatizo ni kwako wewe. Inakuwaje unaogopa username ya mtu na inakunyima wewe uhuru?

      Na kama kweli italeta matabaka na itaondolea watu uhuru wa kuongea, basi itakuwa haina faida na hatutasita kuitasitisha.

      Mwisho wa siku, kama wewe ni tanzanite member na hufuati sheria za JF, unapata BAN kama kawaida.


      .......

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Mike McKee
      Ndio Mkuu inawezekana



      Sijakuelewa mkuu
      kwenye maelezo yako mkuu nimeona umetumia hiyo term package na incetive,kidogo nahitaji unielewe inakua ni namna na mimi nitanufaika vipi?
      Mike McKee likes this.

    4. #22
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 333
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      593
      Likes Given
      759

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By MANGUNGO
      kwenye maelezo yako mkuu nimeona umetumia hiyo term package na incetive,kidogo nahitaji unielewe inakua ni namna na mimi nitanufaika vipi?
      Mkuu, huu ni uchangiaji wa kuwezesha JF.

    5. #23
      mzurimie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Location : Mtaa Mmoja
      Posts : 808
      Rep Power : 545
      Likes Received
      359
      Likes Given
      87

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Ninapenda kuuliza tu, pesa hizi zinachangia kufanya nini?
      yaani nikitoa hiyo laki... ni kupata jina tu kwa mwaka basi, baada ya hapo nisopolipa narudi kuwa nani?

      najua forums zenye members (Africa) karibu millioni na hawaombi pesa wala kujali hizi status. Kwa nini nyie na members wachache? matangazo hayawapi income ya kutosha?

      nauliza tu labda nitavutiwa kutoa zaidi ya hiyo 20k nikitaka.

      je mtaongeza vipengele zaidi? maana naona issue nyingi zinachanganyika sana humu tabu kutafuta topic, marudio mengi sana mngeweka ziwe tofauti eeeh inakuwa rahisi kwa members na wanje kuingia na kusoma threads.

      Pia nimezoea kuona kwingine mods wanakuwa wa sehemu fulani, yaani wanakuwa namba fulani wanafuatilia topics fulani sio hapa kila kitu kinaendeshwa na mod yoyote, na at times kupendelea walio JF prem kwa kulalamika na kuanza kunyanyasa wengine kupata ban etc bila issue kubwa. topics kutolewa bila mtu kuambiwa kwanini etc.

      nitashukuru ukinielewesha.
      jisome tabia, jibadili ikiwa duh na raha utapata sana tu.

    6. #24
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Mike McKee
      Mkuu, huu ni uchangiaji wa kuwezesha JF.
      asente.tupo pamoja
      Mike McKee likes this.

    7. #25
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 333
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      593
      Likes Given
      759

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By mzurimie
      Ninapenda kuuliza tu, pesa hizi zinachangia kufanya nini?
      yaani nikitoa hiyo laki... ni kupata jina tu kwa mwaka basi, baada ya hapo nisopolipa narudi kuwa nani?

      najua forums zenye members (Africa) karibu millioni na hawaombi pesa wala kujali hizi status. Kwa nini nyie na members wachache? matangazo hayawapi income ya kutosha?

      nauliza tu labda nitavutiwa kutoa zaidi ya hiyo 20k nikitaka.

      je mtaongeza vipengele zaidi? maana naona issue nyingi zinachanganyika sana humu tabu kutafuta topic, marudio mengi sana mngeweka ziwe tofauti eeeh inakuwa rahisi kwa members na wanje kuingia na kusoma threads.

      Pia nimezoea kuona kwingine mods wanakuwa wa sehemu fulani, yaani wanakuwa namba fulani wanafuatilia topics fulani sio hapa kila kitu kinaendeshwa na mod yoyote, na at times kupendelea walio JF prem kwa kulalamika na kuanza kunyanyasa wengine kupata ban etc bila issue kubwa. topics kutolewa bila mtu kuambiwa kwanini etc.

      nitashukuru ukinielewesha.
      mzurimie

      Kuchangia uendeshaji wa JF. Hiyo kupata jina au kuwekewa icon ni kama sisi kusema asante ila zaidi ya hapo inakuingiza kwenye "inner circle" ya watu tutakao consult nao katika maswala mbali mbali ya mabadiliko tutakayoanza kufanya hapa JF.

      Naomba pia nisaidie link ya hizo Forums za Africa zenye members karibu na million naamini tutaweza kujifunza mengi kutoka kwao katika uendeshaji wa Forums.

      Matangazo yalikuwa yanalipa gharama za servers miaka miwili iliyopita ila sio sasa hivi na ongezeko kubwa la watu wanaotumia JF. Inatulazimu sisi kutumia pesa zetu wenywe kuendesha JF.

      Sasa mkuu utakapoweza kuchangia maana yake unatuwezesha sisi maana yake tunakuwa katika wakati mzuri sasa wakuanza kuongelea maboresho unayotaka kuyaona JF na sisi ndipo tunaweza kurekebisha.

      Kuna changamoto kwenye swala zima la Mods ila hichi sio sababu ya mods kupendelea yeyote yule. Tuna jukwaa la malalamiko kama umehisi umeonewa au hujatendewa wema sehemu yeyote ni wajibu wako wewe kwenda kule na kureport hilo tatizo na sisi tutalifanyia kazi.
      NasDaz, Vinci, RGforever and 7 others like this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13047
      Likes Received
      1556
      Likes Given
      1137

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Shukrani mkuu!ngoja njipange!

    10. #27
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Umesomeka mkuu!

      La msingi, michango hii itumiwe kwa maendeleo mazima ya JF Only. ikiwa pamoja na kuuboresha zaidi mtandao, sometimes frame za page zinashake.

      Tupo pamoja mkuu, ina maana Precise pangolin, kachangia kilo hadi kilo 2 na nusu? du ngoja nijikongoje japo nitafute ka BURONZE ka kuuzia sura
      Mike McKee likes this.

    11. #28
      Anheuser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 1,295
      Rep Power : 673
      Likes Received
      335
      Likes Given
      135

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mike McKee

      Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza kujua na kuvitumia kabla havijaanza kuwa wazi ni hawa premium members .......
      "Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza" hivyo vitu vitu gani?

      Kwa nini ununue kitu cha laki tano na hujui unapata nini?

      Kwenye public media nyingine kukiwa na michango ya lazima kama hii basi angalau mtu unapewa ka T-Shirt au kikombe chenye nembo ya JF ukanywee kahawa na utangazie jamvi. Nyinyi JF mmeshindwa hata kuchapisha T-Shirt za buku kumi kumi? Halafu mnaomba laki tano? Hebu kuweni na fund raising creativity for a change.

      BAK, Mike McKee and mpole1 like this.

    12. #29
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,687
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Tume ya katiba
      Umesomeka mkuu!

      La msingi, michango hii itumiwe kwa maendeleo mazima ya JF Only. ikiwa pamoja na kuuboresha zaidi mtandao, sometimes frame za page zinashake.

      Tupo pamoja mkuu, ina maana Precise pangolin, kachangia kilo hadi kilo 2 na nusu? du ngoja nijikongoje japo nitafute ka BURONZE ka kuuzia sura
      Mkuu ni muhimu kuchangia siyo tung'ang'anie kufanya michango ya kwenye harusi tu
      Mtumishi Wetu likes this.

    13. #30
      mfereji maringo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 843
      Rep Power : 599
      Likes Received
      138
      Likes Given
      47

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Nikitaka kuanZa kutumia jina langu halisi kwa kubadili lile lisilo halisi ambalo nimekua nikilitumia humu mnaweza kunisaidi?

    14. #31
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,307
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      406
      Likes Given
      2254

      Default

      Kwa hiyo mkuu Mac kama mtu ana miaka 5 humu ndani na hajatoa mchango wake ila anachangia post kama kawaida na ana uzoefu wa JF then hawezi kuusishwa kuombwa msaada au mawazo yoyote ila ataombwa msaada yule aliyeingia leo na kulipia amount fulani au sijaelewa??nadhani ni vizuri pia mkawafikiria na wale member wa mda mrefu zaidi kuliko kuwaweka pembeni ambapo wanaijuwa vizuri JF kuliko aliyeingia jana au leo.

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Mike McKee and MoneyMaker like this.

    15. #32
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By mfereji maringo
      Nikitaka kuanZa kutumia jina langu halisi kwa kubadili lile lisilo halisi ambalo nimekua nikilitumia humu mnaweza kunisaidi?
      Mkuu, mtumie Private Message Invisible.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    16. #33
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Papizo
      Kwa hiyo mkuu Mac kama mtu ana miaka 5 humu ndani na hajatoa mchango wake ila anachangia post kama kawaida na ana uzoefu wa JF then hawezi kuusishwa kuombwa msaada au mawazo yoyote ila ataombwa msaada yule aliyeingia leo na kulipia amount fulani au sijaelewa??nadhani ni vizuri pia mkawafikiria na wale member wa mda mrefu zaidi kuliko kuwaweka pembeni ambapo wanaijuwa vizuri JF kuliko aliyeingia jana au leo.

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Mkuu, kuchangia kwa mawazo kunatambuliwa sana, ndio maana unaona kuna junior members hadi senor expert members. Sijui hilo wazo la kuwaweka pembeni umelitoa wapi. Sorry if you were under the impression kua watatengwa, not at all.
      Mike McKee likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    17. #34
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,307
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      406
      Likes Given
      2254

      Default

      Member wengi waliongia siku chache au miezi kadhaa naona ndio wanaingia na majina yao ila mkongwe wa JF huwezi sikia anasema anataka kutumia jina lake, me still siwezi shawishika kutumia jina langu hapa hili la Papizo linanitosha sana na nitamwaga nondoz humu kama kawaida.

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    18. #35
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,052
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      je mapato na matumizi ya michango yetu itawekwa wazi? Hii itatusaidia kujua kweli michango yetu ni muhimu na inatumika kwa kazi iliyokusudiwa.
      Mike McKee and Roulette like this.

    19. #36
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Mike McKee
      Mkuu, huu ni uchangiaji wa kuwezesha JF.
      Mkuu kama una akaunti imekula BAN na sio premium mwana jf akichangia kwa akaunti hiyo itakuwa imekula kwake?
      Mike McKee likes this.

    20. #37
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,307
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      406
      Likes Given
      2254

      Default

      Quote By Roulette
      Mkuu, kuchangia kwa mawazo kunatambuliwa sana, ndio maana unaona kuna junior members hadi senor expert members. Sijui hilo wazo la kuwaweka pembeni umelitoa wapi. Sorry if you were under the impression kua watatengwa, not at all.
      Mkuu wangu umesoma hiyo paragraph nzima na Mckee aliyoandika I mean hiyo topic ya kwanza??nadhani ukisoma then utaelewa nini namaanisha au comment yangu nime maanisha nini,maana hilo swali limetoka humo ndani ukiangalia katikati hivi utaona hiyo sehemu. Nakuu amesema ushauri wataombwa JF Premium member ndio maana nikauliza hilo swali hapo juu....



      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Mike McKee and Ngosha Kitoga like this.

    21. #38
      Mtoto Wa Mbale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 420
      Rep Power : 494
      Likes Received
      143
      Likes Given
      1

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Suala la 'UsIri' kwa wale wasiotumia majina yao halisi kutokana na sababu mbalimbali mtalilinda vipi? Tunajua kuwa ukitumia malipo kwa njia ulizotaja hapo, M-pesa na Bank, lazima jina kamili litaonekana.

      Naomba ufafanuzi tafadhali.
      Mike McKee likes this.

    22. #39
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Tupo Pamoja
      Mike McKee likes this.

    23. #40
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,939
      Rep Power : 1432
      Likes Received
      1510
      Likes Given
      1619

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      OK etlist m-mezingatia mawazo yetu Watanzania!! Hasa reduction ya viwango hivi vipya!!
      Kaa la Moto and Mike McKee like this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    Page 2 of 17 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...