Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JamiiForums Premium Member Subscription

    Report Post
    Page 12 of 17 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast
    Results 221 to 240 of 328
    1. #1
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 332
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      590
      Likes Given
      759

      Default JamiiForums Premium Member Subscription

      Ndugu wana JF

      Awali ya yote, niwashukuruni nyote!

      Tumeliongelea hili jambo kwenye andiko hii, Na sasa ni utekelezaji wake.

      Lengo kubwa la kuanzisha utaratibu huu ni kuiwezesha JamiiForums kujiendesha kwa ufanisi zaidi ndani na nje ya Tanzania.

      Tunayo mikakakati tuliyoianda ya jinsi gani tunafikiri JF inatakiwa iende, na tunaahidi kuwashirikisha kwanza "Premium Members" wetu kabla haijaanza kutekelezwa.

      Hizi alama maalumu zitadumu kwa mwaka moja.

      Baada ya mazungumzo marefu ya jinsi ya kupanga hii michango tulikubaliana hivi


      Annual Membership Subscriptions

      JF Bronze Member 20,000 - 99,000

      JF Gold Member 100,000 - 249,000

      JF Platinum Member 250,000 - 490,000

      JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...





      Utaratibu wa Malipo



      M-Pesa

      Tumefanikiwa kupata utaratibu mzuri sana wa kulipia kupitia M-Pesa. Utalipia Subscription Fee kama vile unavyonunua Luku au DSTV na kutuma kwenda kwenye number 888 888


      Jinsi ya Kutuma


      1. *150#

      2. Bonyeza 4 (Pay Bill)

      3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)

      4. Weka 888888

      5. Enter Reference No. (tumia 1234)

      6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma)

      7. Weka password yako na kisha utume.

      Ukishatuma, tuma PM kuja kwangu Mike McKee ukituambia receipt no. uliyoweka na jina lako unalotaka liwekewe Premium Member au tuma email kwenda [email protected] ukituambia receipt number.


      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront


      Ukishaweka pesa tuma SMS kwenda number hii 0755 642 929 kutuambia jina gani umetumia wakati unaweka hela, na nikiasi gani umeweka, na kutuambia jina unalotaka liwekewe alama maalumu (premium membership).

      Sisi tutaithibitisha kwa alama maalum (icon) na kukuwekea kwa hilo jina.

      Kwa wale watakaotumia malipo kwa njia ya mtandao (online transfer) ya CRDB, wanaweza wakatutumia receipt kwenda kwenye email ya [email protected]


      WesternUnion

      Name: Mike Mushi
      Address: P.O.BOX 4203 Dar es Salaam
      Phone: 0755 642 929
      Email: [email protected]


      PayPal

      Tuma kwenda kwenye email hii [email protected]



      Maswali na Majibu


      Alama maalumu kwa mtumiaji(Verified User) ni nani?

      Verified Users ni wale wanachama wa JF wanaotumia majina yao halisi. Sisi tuna hakikisha kujua kwamba yale majina ni yao kweli na kuwawekea alama maalumu inayoonesha kweli anayeandika kwa jina hili ni yeye halisi.

      Naweza kulipia kwa kidogokidogo?

      Malipo kidogokidogo yanaruhusiwa kwa wale Platinum na Tanzanite members na zinatakiwa kukamilishwa ndani ya miezi minne.

      Nataka kuchangia ila sitaki kuwekwa kwenye makundi

      Unaweza ukachangia kwa kutumia viwango hapo juu na usiwekwe kwenye hayo makundi ila ukawekewa “alama” ya premium member inayoonekana hapo juu.

      Kuna faida gani nikiwa Bronze Member na nikiwa Tanzanite Member?

      Lengo la hii program ni kuwezesha JF, hapa kinachofanywa ni uchangiaji na sisi tunachofanya ni kukutunuku “badge” kutoka na ulichochangia ili kutambua na kuthamini uchangiaji wako.

      Lengo letu ni mwakani tuweze kutoa packages nzuri kwa kila package. Na sisi pia inatupa mwangaza wa kutambua ni watu kiasi gani wapo, na wenye nia ya kuchangia na kununua hizo packages zitakapoanza.

      Kwa kipindi cha mwaka mzima kuna vitu vingi vitakuwa vinaanzishwa na vingi mtakuwa mnatuambia “premium members” mnataka nini.

      Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza kujua na kuvitumia kabla havijaanza kuwa wazi ni hawa premium members wetu. Maana yake maoni, ushauri unaanza kutolewa na hawa kwanza.

      Kuchangia JF na kuwa premium member kunakupa nafasi wewe kuwa mmoja ya wanachama muhimu watakaoongoza mabadiliko na kuwa mmoja wa watakaoshuhudia mabadiliko hayo ya JF.

      Je Subscption fee yangu ya mwaka mzima inaanza lini?

      Subscription fee yako ya mwaka mzima inaanza pale utakapolipia. Kama utalipa July, itakwisha july mwaka kesho.

      Kwanini hakuna malipo ya TigoPesa na Airtel Money?

      Utaratibu kama tulioupata Mpesa ndio tulikuwa tunautaka kama huo TigoPesa, sasa TiGo wamesimamisha hiyo huduma mpaka mwezi wa nane. Hatuna tunachoweza kufanya ni kusubiri mpaka mwezi wa nane. Njia ya kawaida ya kuchukua line ya tigopesa na kuiweka hapa sio salama na wote tunafahamu hii, mtu anaweza kudurufu laini na akaenda kuchukua hiyo pesa.

      Airtel Money bado tupo kwenye mchakato wa kupata utaratibu mzuri, na itakapokamilika itawekwa hapa.

      Je, inamaana nisipolipia premium members sitoweza tena kuipata JF?

      Hapana, JF itaendelea kuwepo kama kawaida.

      Hamuoni kuweka hizi “levels” mtaleta matabaka ya waliokuwanacho na wasiokuwa nacho na wachangiaji watawaogopa Tanzanite au Platinum members?

      Kwanza lazima tuelewe kwamba “levels” zipo kama “incentive” ya kuwapa hao waliochangia na kiasi gani wamechangia pia kuvutia wengine wachangie. Hii ni kama harambee hivi. Na pia unaweza ukachangia na pia usitake kuwekewa hiyo “alama” ya premium member wala hizo “badge” za levels ukabaki kama kawaida.

      Na pia kama kweli utaogopa username ya mtu yenye “alama” ya tanzanite na utashindwa kuongea au kubishana kwenye mada kwasababu unaogopa labda anapesa, sasa hapo tatizo ni kwako wewe. Inakuwaje unaogopa username ya mtu na inakunyima wewe uhuru?

      Na kama kweli italeta matabaka na itaondolea watu uhuru wa kuongea, basi itakuwa haina faida na hatutasita kuitasitisha.

      Mwisho wa siku, kama wewe ni tanzanite member na hufuati sheria za JF, unapata BAN kama kawaida.


      .......

    2. FemaTV & Radio

    3. #221
      Mkaguzi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Posts : 218
      Rep Power : 638
      Likes Received
      22
      Likes Given
      71

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Mkuu tunaweza kukutumia kwa CRDB cardless pia?

    4. #222
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 332
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      590
      Likes Given
      759

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mkaguzi
      Mkuu tunaweza kukutumia kwa CRDB cardless pia?
      Ruksa..
      Support JamiiForums and Become a JF Premium Member -----> Click here for details

    5. #223
      hendeboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 150
      Rep Power : 463
      Likes Received
      12
      Likes Given
      5

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      mimi nahitaji kufamu tofauti iliyopo kati ya member, senior member and JF expert member
      Shaycas likes this.

    6. #224
      Mkaguzi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Posts : 218
      Rep Power : 638
      Likes Received
      22
      Likes Given
      71

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      mike kesho nakutumia kk
      naomba no yako ntakayoitumia

    7. #225
      Hayajamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Location : Utopia
      Posts : 606
      Rep Power : 467
      Likes Received
      166
      Likes Given
      387

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Tumekusoma mkuu, tutawajibika

    8. Miaka 50

    9. #226
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By hendeboy
      mimi nahitaji kufamu tofauti iliyopo kati ya member, senior member and JF expert member
      Changia kwanza ww

    10. #227
      True Leader's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th August 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Helloooooooooo jamiiii nzima!!!!!!!!!!!!
      Asanteni sana kwa kunipokea!
      I am very impressed with topics[threads] and everything in our JF because intentional it is to shape our entire society for good.
      Love you all!!!!!!!!!!!!

    11. #228
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 545
      Likes Received
      93
      Likes Given
      13

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      ni nini hatma ya wale ambao hawatachangia chochote humu utawaweka kundi gani .
      kitwala likes this.

    12. #229
      Jangakuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 426
      Likes Received
      127
      Likes Given
      238

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      hata mimi

    13. #230
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 606
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Nami ningependa kujua hatma ya ambaye hatachanga kabisa Sio kwamba hii ni survival for the fittest??

    14. #231
      Mkwe21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 912
      Rep Power : 758
      Likes Received
      212
      Likes Given
      165

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      On our own we are supposed to make JF rolling - Poa umesomeka and payment procedure have been simplified!!

    15. #232
      kitwala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st August 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 345
      Likes Received
      7
      Likes Given
      6

      Cool Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      mpango mzuri tutarespond effectively

    16. #233
      Amavubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Kigali-Rwanda
      Posts : 5,400
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      2325
      Likes Given
      1948

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Najipanga kuchangia kabla ya mwisho wa mwezi huu...
      Ukipepeta Pumba Tunachagua Chuya

    17. #234
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,691
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      535
      Likes Given
      146

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      ni wakati na mimi kuwa Premium !

      Sooon natuma mzigo mzito , kisha mnipe TANZANITE MEMBERSHIP
      The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed

    18. #235
      benno buto's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th October 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      hi,jamii forum im very happy for joining with ur team.thanks

    19. #236
      Baba Hellen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Location : TANGA
      Posts : 381
      Rep Power : 422
      Likes Received
      27
      Likes Given
      13

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      sawa mkuu ufanisi uwende sawa a mafanikio

    20. #237
      mnyamiwono's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th October 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 335
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      dada ester wassira umeonyesha ukomavu wako katika siasa za kijamaa kuliko hata baba yako ambaye ni waziri, sure the man is mchumia tumbo.......

    21. #238
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 693
      Rep Power : 729
      Likes Received
      752
      Likes Given
      134

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Hongera sana.

      Please tuwekee namna ya kutumia VISA on line.

      Thx.
      Zaburi 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda katika shahuri la wasio haki;wala hakukusanyika katika njia ya wakosaji;wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    22. #239
      licky's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th October 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      mambo yote yameeleweka kilicho bakia ACTION

    23. #240
      rkyaruzi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2009
      Posts : 12
      Rep Power : 516
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Swali la msingi: Hizo packages unazosema ni nini?

    24. Study Abroad
    Page 12 of 17 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...