Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JamiiForums Premium Member Subscription

    Report Post
    Page 11 of 18 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast
    Results 201 to 220 of 344
    1. #1
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 338
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      627
      Likes Given
      810

      Default JamiiForums Premium Member Subscription

      Ndugu wana JF

      Awali ya yote, niwashukuruni nyote!

      Tumeliongelea hili jambo kwenye andiko hii, Na sasa ni utekelezaji wake.

      Lengo kubwa la kuanzisha utaratibu huu ni kuiwezesha JamiiForums kujiendesha kwa ufanisi zaidi ndani na nje ya Tanzania.

      Tunayo mikakakati tuliyoianda ya jinsi gani tunafikiri JF inatakiwa iende, na tunaahidi kuwashirikisha kwanza "Premium Members" wetu kabla haijaanza kutekelezwa.

      Hizi alama maalumu zitadumu kwa mwaka moja.

      Baada ya mazungumzo marefu ya jinsi ya kupanga hii michango tulikubaliana hivi


      Annual Membership Subscriptions

      JF Bronze Member 20,000 - 99,000

      JF Gold Member 100,000 - 249,000

      JF Platinum Member 250,000 - 490,000

      JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...





      Utaratibu wa Malipo



      M-Pesa

      Tumefanikiwa kupata utaratibu mzuri sana wa kulipia kupitia M-Pesa. Utalipia Subscription Fee kama vile unavyonunua Luku au DSTV na kutuma kwenda kwenye number 888 888


      Jinsi ya Kutuma


      1. *150#

      2. Bonyeza 4 (Pay Bill)

      3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)

      4. Weka 888888

      5. Enter Reference No. (tumia 1234)

      6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma)

      7. Weka password yako na kisha utume.

      Ukishatuma, tuma PM kuja kwangu Mike McKee ukituambia receipt no. uliyoweka na jina lako unalotaka liwekewe Premium Member au tuma email kwenda [email protected] ukituambia receipt number.


      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront


      Ukishaweka pesa tuma SMS kwenda number hii 0755 642 929 kutuambia jina gani umetumia wakati unaweka hela, na nikiasi gani umeweka, na kutuambia jina unalotaka liwekewe alama maalumu (premium membership).

      Sisi tutaithibitisha kwa alama maalum (icon) na kukuwekea kwa hilo jina.

      Kwa wale watakaotumia malipo kwa njia ya mtandao (online transfer) ya CRDB, wanaweza wakatutumia receipt kwenda kwenye email ya [email protected]


      WesternUnion

      Name: Mike Mushi
      Address: P.O.BOX 4203 Dar es Salaam
      Phone: 0755 642 929
      Email: [email protected]


      PayPal

      Tuma kwenda kwenye email hii [email protected]



      Maswali na Majibu


      Alama maalumu kwa mtumiaji(Verified User) ni nani?

      Verified Users ni wale wanachama wa JF wanaotumia majina yao halisi. Sisi tuna hakikisha kujua kwamba yale majina ni yao kweli na kuwawekea alama maalumu inayoonesha kweli anayeandika kwa jina hili ni yeye halisi.

      Naweza kulipia kwa kidogokidogo?

      Malipo kidogokidogo yanaruhusiwa kwa wale Platinum na Tanzanite members na zinatakiwa kukamilishwa ndani ya miezi minne.

      Nataka kuchangia ila sitaki kuwekwa kwenye makundi

      Unaweza ukachangia kwa kutumia viwango hapo juu na usiwekwe kwenye hayo makundi ila ukawekewa “alama” ya premium member inayoonekana hapo juu.

      Kuna faida gani nikiwa Bronze Member na nikiwa Tanzanite Member?

      Lengo la hii program ni kuwezesha JF, hapa kinachofanywa ni uchangiaji na sisi tunachofanya ni kukutunuku “badge” kutoka na ulichochangia ili kutambua na kuthamini uchangiaji wako.

      Lengo letu ni mwakani tuweze kutoa packages nzuri kwa kila package. Na sisi pia inatupa mwangaza wa kutambua ni watu kiasi gani wapo, na wenye nia ya kuchangia na kununua hizo packages zitakapoanza.

      Kwa kipindi cha mwaka mzima kuna vitu vingi vitakuwa vinaanzishwa na vingi mtakuwa mnatuambia “premium members” mnataka nini.

      Hivyo vitu watakaokuwa wa kwanza kujua na kuvitumia kabla havijaanza kuwa wazi ni hawa premium members wetu. Maana yake maoni, ushauri unaanza kutolewa na hawa kwanza.

      Kuchangia JF na kuwa premium member kunakupa nafasi wewe kuwa mmoja ya wanachama muhimu watakaoongoza mabadiliko na kuwa mmoja wa watakaoshuhudia mabadiliko hayo ya JF.

      Je Subscption fee yangu ya mwaka mzima inaanza lini?

      Subscription fee yako ya mwaka mzima inaanza pale utakapolipia. Kama utalipa July, itakwisha july mwaka kesho.

      Kwanini hakuna malipo ya TigoPesa na Airtel Money?

      Utaratibu kama tulioupata Mpesa ndio tulikuwa tunautaka kama huo TigoPesa, sasa TiGo wamesimamisha hiyo huduma mpaka mwezi wa nane. Hatuna tunachoweza kufanya ni kusubiri mpaka mwezi wa nane. Njia ya kawaida ya kuchukua line ya tigopesa na kuiweka hapa sio salama na wote tunafahamu hii, mtu anaweza kudurufu laini na akaenda kuchukua hiyo pesa.

      Airtel Money bado tupo kwenye mchakato wa kupata utaratibu mzuri, na itakapokamilika itawekwa hapa.

      Je, inamaana nisipolipia premium members sitoweza tena kuipata JF?

      Hapana, JF itaendelea kuwepo kama kawaida.

      Hamuoni kuweka hizi “levels” mtaleta matabaka ya waliokuwanacho na wasiokuwa nacho na wachangiaji watawaogopa Tanzanite au Platinum members?

      Kwanza lazima tuelewe kwamba “levels” zipo kama “incentive” ya kuwapa hao waliochangia na kiasi gani wamechangia pia kuvutia wengine wachangie. Hii ni kama harambee hivi. Na pia unaweza ukachangia na pia usitake kuwekewa hiyo “alama” ya premium member wala hizo “badge” za levels ukabaki kama kawaida.

      Na pia kama kweli utaogopa username ya mtu yenye “alama” ya tanzanite na utashindwa kuongea au kubishana kwenye mada kwasababu unaogopa labda anapesa, sasa hapo tatizo ni kwako wewe. Inakuwaje unaogopa username ya mtu na inakunyima wewe uhuru?

      Na kama kweli italeta matabaka na itaondolea watu uhuru wa kuongea, basi itakuwa haina faida na hatutasita kuitasitisha.

      Mwisho wa siku, kama wewe ni tanzanite member na hufuati sheria za JF, unapata BAN kama kawaida.


      .......


    2. #201
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : beacon hills
      Posts : 1,570
      Rep Power : 3797
      Likes Received
      1105
      Likes Given
      411

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mike McKee View Post
      Ndugu wana JF
      .........

      Utaratibu wa Malipo



      M-Pesa

      Tumefanikiwa kupata utaratibu mzuri sana wa kulipia kupitia M-Pesa. Utalipia Subscription Fee kama vile unavyonunua Luku au DSTV na kutuma kwenda kwenye number 888 888


      Jinsi ya Kutuma


      1. *150#

      2. Bonyeza 4 (Pay Bill)

      3. Bonyeza 1 (Enter Business Number)

      4. Weka 888888

      5. Enter Reference No. (tumia 1234)

      6. Enter Amount (Weka kiasi unachotaka kutuma)

      7. Weka password yako na kisha utume.

      Ukishatuma, tuma PM kuja kwangu Mike McKee ukituambia receipt no. uliyoweka na jina lako unalotaka liwekewe Premium Member au tuma email kwenda [email protected] ukituambia receipt number.


      ...........
      hapo red, business number ni nini?
      sorry kama imeshaulizwa, sijasoma post zote kwenye hii thread na mie sio mzoefu wa M-pesa


      Mike McKee and Amosen like this.
      the worst is yet to come

    3. #202
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 338
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      627
      Likes Given
      810

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By blaine n kurt View Post
      hapo red, business number ni nini?
      sorry kama imeshaulizwa, sijasoma post zote kwenye hii thread na mie sio mzoefu wa M-pesa


      Business Number ni 888 888. Unaitumia hii unapotaka kutuma pesa kwetu.
      Support JamiiForums and Become a JF Premium Member -----> Click here for details

    4. #203
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Mkuu, Tutaanza mkakati wa muda mrefu kwaajili ya hiyo kitu. Hii ya premium member ilikuwa ya muda mfupi.
      Mike McKee mkakati wangu binafsi ni kuanza kuchangia Tshs 200, 000/- kwa mwaka kuanzia January next year. I hope that will be more than just being a Premium Gold Member................ought to be a Tanzanite one kutofautisha aliyechangia hela kiasi hicho without kuchangia posts...........
      Mike McKee likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    5. #204
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 338
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      627
      Likes Given
      810

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Mike McKee mkakati wangu binafsi ni kuanza kuchangia Tshs 200, 000/- kwa mwaka kuanzia January next year. I hope that will be more than just being a Premium Gold Member................ought to be a Tanzanite one kutofautisha aliyechangia hela kiasi hicho without kuchangia posts...........
      Mkuu. Tunashukuru sana. Ila chochote utakachoweza kuchangia sasa hivi ni safi tuu.
      Support JamiiForums and Become a JF Premium Member -----> Click here for details

    6. #205
      MSEZA MKULU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 435
      Likes Received
      64
      Likes Given
      221

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      ahsante,

      Ila nashauri kama inawezekana kwa sababu hii forum ni kwa watu wote wasio na kipato, wenye vipato vya wastani na wenye nazo. Mini nashauri pamoja na kwamba tutalipia lakini kuwe na some motivations either kwa member atakeye changia sana kuliko wote au kufanya jambo lololote humu ambalo kw aupeo wenu na sisi members tunalikubali kama ni la kipekee, kwa vigezo vitakavyo wekwa apewe OFFER YA MWAKA UJAO KUWA NA TITLE YA EITHER GOLD, BLONZE AU YOYOTE MTAKAYO PANGA BURE.

      Kwa maoni yangu hii pia inaweza kusaidia na kumotivate watu waweze kuinteract zaidi asiye nacho atatumia njia hiyo nae kuwa recognized.


      AHSANTE, NI MAONI MAWAZO MBADALA YANAKARIBISWA.
      Mike McKee likes this.
      The most powerful moral influence is example


    7. #206
      Mpui Lyazumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Location : Matemanga to Tunduru
      Posts : 1,373
      Rep Power : 724
      Likes Received
      162
      Likes Given
      67

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Ntachangia siku chache zijazo
      Mike McKee likes this.
      "A Country which lacks its own culture is no more than a collection of people without the spirit which makes them a nation".(Freedom & Unit-JKN)

    8. #207
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Hivi hiyo red or damu ya mzee JF premium memba ni shilling ngapi?
      Mike McKee likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    9. #208
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 338
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      627
      Likes Given
      810

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By FirstLady1 View Post
      Hivi hiyo red or damu ya mzee JF premium memba ni shilling ngapi?
      Premium Member ya Red au Damu ya mzee anawekewa member yeyote anayechangia na hataki kuwekwa kwenye makundi. Ina replace ile premium member ya zamani ya blue.
      Support JamiiForums and Become a JF Premium Member -----> Click here for details

    10. #209
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mike McKee View Post
      Premium Member ya Red au Damu ya mzee anawekewa member yeyote anayechangia na hataki kuwekwa kwenye makundi. Ina replace ile premium member ya zamani ya blue.
      Basi mie nikaona ina rangi nzuri sana
      nitachangia ..mambo ya bure mmh
      Mike McKee likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    11. #210
      MedokGync's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 352
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Massage

      It completely agree with told all above.
      Mike McKee likes this.

    12. #211
      mmaroroi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2008
      Posts : 2,297
      Rep Power : 1026
      Likes Received
      116
      Likes Given
      79

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      ushauri kwa hatutaki tujulikane ni vema muweke utaratibu wa namba za kutumia kulima kwa jina linalotumika JF.Sababu ni kuwa ukitumia Tigopesa na zingine inabidi utumie jina halisi. ukitumia benki halikadhalika. Kwa mfano nitafanyaje ili nipie mnitambue kwajina linalotumika JF bila kutumia jina halisi popote.Hii ni usalama wa wana JF wasije wakawaulimboka.
      Mike McKee likes this.

    13. #212
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1252
      Likes Given
      538

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mike McKee View Post
      Premium Member ya Red au Damu ya mzee anawekewa member yeyote anayechangia na hataki kuwekwa kwenye makundi. Ina replace ile premium member ya zamani ya blue.
      Kwa hawa ambao hawataki kuwa katika makundi je nao wanatakiwa kulipa kiasi gani? Na je kila mwaka ni lazima walipe? Kwa mfano mimi nilikuwa Premium member wa zamani na sasa I am just a JF Expert Member, hopeful baada ya deadline uliyoweka by 15th July tuwe tumelipa ili tupate offer ya kuwa Gold member. I did not bit the deadline and nimerudi kundi la kawaida.
      Mike McKee likes this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    14. #213
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1252
      Likes Given
      538

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By mmaroroi View Post
      ushauri kwa hatutaki tujulikane ni vema muweke utaratibu wa namba za kutumia kulima kwa jina linalotumika JF.Sababu ni kuwa ukitumia Tigopesa na zingine inabidi utumie jina halisi. ukitumia benki halikadhalika. Kwa mfano nitafanyaje ili nipie mnitambue kwajina linalotumika JF bila kutumia jina halisi popote.Hii ni usalama wa wana JF wasije wakawaulimboka.
      Nilishawahi kulipa huko nyuma kupitia benki ila sikuweka jina langu nilitumia la bandia na mara baada ya kutuma niliwasiliana na wahusika nikawapa jina nililitumia and it worked out. Kwa sasa heby Micke atupe tena jinsi gani ya kutuma kutumia benki maana hata mimi sitaki kabisa kutuma kwa simu, marufuku kwangu!!! Can we still use fake name bank ila baadaye nakupa anonym yangu ya hapa!!!???
      Invisible and Mike McKee like this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    15. #214
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,336
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      5035
      Likes Given
      5926

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Maane View Post
      Nilishawahi kulipa huko nyuma kupitia benki ila sikuweka jina langu nilitumia la bandia na mara baada ya kutuma niliwasiliana na wahusika nikawapa jina nililitumia and it worked out.

      ...Micke atupe tena jinsi gani ya kutuma kutumia benki maana hata mimi sitaki kabisa kutuma kwa simu, marufuku kwangu!!! Can we still use fake name bank ila baadaye nakupa anonym yangu ya hapa!!!???
      YES, inawezekana.

      Check acc yenyewe:

      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront
      Mike McKee likes this.
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    16. #215
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1252
      Likes Given
      538

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Invisible View Post
      YES, inawezekana.

      Check acc yenyewe:

      CRDB Bank

      Account Name: Jamii Media Company Limited
      Account Number: 0150413278400
      Branch: CRDB Waterfront
      Poa mkuu. Iliyobaki ni utekelezaji tu. Will let you know.
      Invisible and Mike McKee like this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    17. #216
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Binafsi nimewasoma vizuri sana, tutaenda sawa. Ni muhimu sana kuchangia hii ni kutokana na gharama za ku-run server na mambo mengine ambayo pengine si rahisi ikaelezwa kila kitu. Ingawa nilitamani hizi alama maalumu zingedumu kwa japo miaka miwili kwa kiwango hicho cha pesa kilichopangwa.
      Mike McKee likes this.

    18. #217
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,970
      Rep Power : 6579
      Likes Received
      2572
      Likes Given
      2525

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By mzurimie View Post
      Ninapenda kuuliza tu, pesa hizi zinachangia kufanya nini?
      yaani nikitoa hiyo laki... ni kupata jina tu kwa mwaka basi, baada ya hapo nisopolipa narudi kuwa nani?

      najua forums zenye members (Africa) karibu millioni na hawaombi pesa wala kujali hizi status. Kwa nini nyie na members wachache? matangazo hayawapi income ya kutosha?

      nauliza tu labda nitavutiwa kutoa zaidi ya hiyo 20k nikitaka.

      je mtaongeza vipengele zaidi? maana naona issue nyingi zinachanganyika sana humu tabu kutafuta topic, marudio mengi sana mngeweka ziwe tofauti eeeh inakuwa rahisi kwa members na wanje kuingia na kusoma threads.

      Pia nimezoea kuona kwingine mods wanakuwa wa sehemu fulani, yaani wanakuwa namba fulani wanafuatilia topics fulani sio hapa kila kitu kinaendeshwa na mod yoyote, na at times kupendelea walio JF prem kwa kulalamika na kuanza kunyanyasa wengine kupata ban etc bila issue kubwa. topics kutolewa bila mtu kuambiwa kwanini etc.

      nitashukuru ukinielewesha.
      Mkuu,
      Pesa hizo pamoja mambo mengine zinachangia mafuta ya gari zao wakati wanafuatilia masuala ya Jf na mengine yanayohusu maisha yao binafsi. Sisi wengine tunaandika JF kila siku lakini kufikisha JF hapo ilipo kwa wengine ni kazi yao kila siku.

      Sasa sisi wengine mwisho wa mwezi tunakinga kwa waajiri wetu. Wamiliki wa JF waende kwa nani kama michango ya hizo kampuni hazitoshelezi kila kitu?

      Tukumbuke na wao wana mahitaji kama sisi. Hizo kampuni zingine wasiohitaji fedha toka wanachama wake haiwezi kuwa kigezo kwa sababu kila mtu anajua siri ya biashara yake. Hopefully, mwisho wa mwezi nami nitachangia kwa jina langu halisi ninalotumia Jf.
      Mike McKee and King'asti like this.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    19. #218
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,849
      Rep Power : 29101
      Likes Received
      12262
      Likes Given
      4931

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Suala la uchokozi: wale wenye multiple id wanaweza kutumia mchango mmoja kupata vibonzo kwa maji na yote?
      Mike McKee likes this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    20. #219
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,849
      Rep Power : 29101
      Likes Received
      12262
      Likes Given
      4931

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By Mikael P Aweda View Post
      Mkuu,
      Pesa hizo pamoja mambo mengine zinachangia mafuta ya gari zao wakati wanafuatilia masuala ya Jf na mengine yanayohusu maisha yao binafsi. Sisi wengine tunaandika JF kila siku lakini kufikisha JF hapo ilipo kwa wengine ni kazi yao kila siku.

      Sasa sisi wengine mwisho wa mwezi tunakinga kwa waajiri wetu. Wamiliki wa JF waende kwa nani kama michango ya hizo kampuni hazitoshelezi kila kitu?

      Tukumbuke na wao wana mahitaji kama sisi. Hizo kampuni zingine wasiohitaji fedha toka wanachama wake haiwezi kuwa kigezo kwa sababu kila mtu anajua siri ya biashara yake. Hopefully, mwisho wa mwezi nami nitachangia kwa jina langu halisi ninalotumia Jf.
      Well said mkurugenzi. Wengine hata u-moderator hatuuwezi tunakimbizana na upepo. They deserve excess, Ngoja nisubirie ongezeko la mshahara nitoe japo kamilioni.
      Mike McKee likes this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    21. #220
      Mike McKee's Avatar
      JF Founder Array
      Join Date : 10th February 2006
      Posts : 338
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      627
      Likes Given
      810

      Default Re: JamiiForums Premium Member Subscription

      Quote By King'asti View Post
      Suala la uchokozi: wale wenye multiple id wanaweza kutumia mchango mmoja kupata vibonzo kwa maji na yote?

      Hahaha.. Tutakufikiria ka Bronze kwa ID yako ingine..
      King'asti likes this.
      Support JamiiForums and Become a JF Premium Member -----> Click here for details

    Page 11 of 18 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...