Re: Msigwa afunga goli la kisigino dhidi ya Mwigulu Mchemba

By
Candid Scope
Si hilo tu, bali kila anakopita wenye wake zao wako makini kutokana na tabia yake aliyoonyesha alipokuwa kwenye kampeni kule Igunga ingawa funikafunika haiachi harufu na inzi kurukia mzoga.
....Mkuu huyo Mwigulu Machemba ni fundi sana wa kuchukua wake za watu eh!? Maana kila siku anaonekana yeye ndio kijogoo...hebu mwabieni aje huku kwetu ajaribu hata kumtongoza mama muuza mchicha sokoni aone anaweza kupatiwa mume mchana jua linawaka watu tunamvesha shanga....Mnamlegezea huyo!
To get something you never had, you need to do something you never did
Follow Us Here