Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 143
    1. #1
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)

      Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=


      Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=


      degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mwanantala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th May 2010
      Posts : 75
      Rep Power : 473
      Likes Received
      7
      Likes Given
      6

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Mna haki ya kugoma. Mmenyanyaswa kiasi cha kutosha. Shikamaneni mdai haki zenu.

    4. #3
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      hawana kitu hawa wakitwa kwenye kikao cha majadiliano na kupewa sitting allowance zao inakuwa basi kuna badhi wanaamini kuwa CWT ni tawi/jumuhiya ya chama
      gfsonwin likes this.
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    5. #4
      sheky's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 175
      Rep Power : 395
      Likes Received
      38
      Likes Given
      10

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Kinachofurahisha ni kuwa kila mara Walimu huwa wanajiandaa kugoma kisha wananyong'onyea taratibu. Nilipozungumza na baadhi yao kwa nini wakasema huwa wengi wamecheza kanyanga kwenye vyeti kwa hiyo wanajua wakiweka msimamo mchujo ukaanza wataumbuka wengi.

      Hata hivyo nashauri kuwa ikiwa umeshasajiliwa, kubwa ni kusimamia haki, haijalishi vitisho ni heri kufa kishujaa. Swali ni kuwa ili kupata watu wa afya, mifugo sheria nk, je wanahitaji waalimu kuwafikisha hapo; ikiwa ndivyo basi waalimu wana mahali pa kuanzia.
      FJM and gfsonwin like this.

    6. #5
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By sheky
      Kinachofurahisha ni kuwa kila mara Walimu huwa wanajiandaa kugoma kisha wananyong'onyea taratibu. Nilipozungumza na baadhi yao kwa nini wakasema huwa wengi wamecheza kanyanga kwenye vyeti kwa hiyo wanajua wakiweka msimamo mchujo ukaanza wataumbuka wengi.

      Hata hivyo nashauri kuwa ikiwa umeshasajiliwa, kubwa ni kusimamia haki, haijalishi vitisho ni heri kufa kishujaa. Swali ni kuwa ili kupata watu wa afya, mifugo sheria nk, je wanahitaji waalimu kuwafikisha hapo; ikiwa ndivyo basi waalimu wana mahali pa kuanzia.
      point mwana jamii

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,588
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default

      Naskia kuna CWT ASILI na CWT KAMPUNI au cwt original na cwt academia...
      Mkishagawanyika namna hii sahauni habari ya kugoma, mtaambiwa ualimu ni wito

      Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
      gfsonwin likes this.

    9. #7
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Quote By Duble Chris
      hawana kitu hawa wakitwa kwenye kikao cha majadiliano na kupewa sitting allowance zao inakuwa basi kuna badhi wanaamini kuwa CWT ni tawi/jumuhiya ya chama
      mkuu umesema kweli kabisa viongoz wa cwt ndio wanaotuangusha sisi waalim but hata wao sasa hivi tutawatoa na tutadai haki yetu hadi kieleweke

    10. #8
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default

      Quote By Mwea
      HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)

      Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=


      Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=


      degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.
      nimezisambaza zaidi za 150 mpaka sms za bure zikakata.
      Mwanyasi likes this.

    11. #9
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,859
      Rep Power : 6968
      Likes Received
      2015
      Likes Given
      1551

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Tatizo la walimu ni waoga kama makondoo. Yaani tunapangana kabisa tugome, lakini mwisho wa siku tukitishiwa kidogo tu ndiyo tunaanza kukatishana tamaa. Hii sekta itabaki ya kimasikini daima kwa kuwa walimu hawana solidarity kabisa. Sasa mwaka ule mmeandaa kila kitu ilikuwaje muache mgomo eti kutokana na order ya mahakama? Who is mahakama bwana mbele ya kudai haki halali tuliyonyimwa for years?
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    12. #10
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Quote By Ulukolokwitanga
      Naskia kuna CWT ASILI na CWT KAMPUNI au cwt original na cwt academia...
      Mkishagawanyika namna hii sahauni habari ya kugoma, mtaambiwa ualimu ni wito

      Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
      kaka hii cwt ndio iliyojaa wake za makatibu wakuu, wakurugenzi na hata mawaziri so usitegeme hawa watakuwa nyuma ya mwalim mnyonge anayekatwa almost 16% ya msahara wake kwa ajili ya cwt ambayo haina manufaa kwake. yeye anaallowance mpaka za mafuta ya kumleta kazini pasi kutumia mshahara wake anaish kwa mgongo wa mume lol. siipend hata kuiskia natafuta wadau wanaotaka kujiondoa kama mimi ili kama tunakuwa mbuzi wa kafara basi kieleweke ila ni mbaya kabisa

    13. #11
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      mi nadhani walimu wawashawishi na wanafunzi wagome!

    14. #12
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Huu ni mwaka wa kujikomboa kwa Madaktari na Waalimu. Serikali yenu imekuwa ikiwaadaa kwa muda mrefu sana. Sasa ni wakati wa kuichukulia hatua!


      !
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    15. #13
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 614
      Rep Power : 487
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Walimu hatuwezi kugoma kabla Mukoba hajafungasha mikoba yake na kutuachia chama chetu, anawafanya walimu kama watoto wadogo anawaanda kwaajili ya mgomo wakisha kuwa tayali anasitisha mgomo kwa madai eti serikali inatimiza masharti walopewa, kumbe masharti yenyewe ni kukiuza chama. Sasa walimu tunaanza mgomo wa kumtoa Mkoba na katibu wake and then ndo tunaigomea serikali. TUMECHOKA KUPELEKWA PELEKWA

    16. #14
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Quote By Lukolo
      Tatizo la walimu ni waoga kama makondoo. Yaani tunapangana kabisa tugome, lakini mwisho wa siku tukitishiwa kidogo tu ndiyo tunaanza kukatishana tamaa. Hii sekta itabaki ya kimasikini daima kwa kuwa walimu hawana solidarity kabisa. Sasa mwaka ule mmeandaa kila kitu ilikuwaje muache mgomo eti kutokana na order ya mahakama? Who is mahakama bwana mbele ya kudai haki halali tuliyonyimwa for years?
      mkuu sikiliza nikwambaie wengi wa waalim ambao wameshika nafasi za uongozi huko ct ni wa shule za msingi na hawa wana experience ya miaka kama 20 au 15 hivi. waalim hawa ni wake wa wakurugenzi, makatibu wakuu mameneja wa mashirika ya umma so wako na kuwasilikiza waume zao zaid. hawa wakitoka kwenye vikao huwa wanakwenda kuwaambia na waume zao wanakwenda kuyapresent hivyo tunakuja kuwa defeated baadae.

      pia kuna kundi la waalim wa primary ambao ni waoaga na hasa ikitanguliwa na elim yao, matokeo yake ni kukwamisha kila kitu. baadhi ya waalim pia huwa wamefika kwa kuwa waalim so to them wanaresist kila kitu. wanhofia kukosa unga wa watoto.

      but kuna kundi la vijana ambao wanajivunia elimu zao katika kiwango cha elim ya juu na hawa wako tayari kwa lolote but ni wachache sana uilinganisha na makundi mengine. so po ndipo penye tatizo but mm natangaza nia wazi ya kugoma hadi kieleweke juu ya waalim jamani hata teching allowance hatuna wala overtime lol!
      Lukolo likes this.

    17. cpt
      #15
      cpt's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2010
      Posts : 134
      Rep Power : 484
      Likes Received
      22
      Likes Given
      8

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      mi nadhan wanaotakiwa kugoma kwa sasa ni wananchi!mbona walimu wapo ktk mgomo siku nyingi kama mnabisha chekini matokeo!walimu c kama madaktari ambao madhara ya mgomo ni hpo hpo,kwa wao impact ni kwa generation nzima ijayo!kiukwel ni bora mwanangu aende garage mapema kuliko shule ya kata coz walimu wapo ktk mgomo!
      Mzoamaganda and sempoli like this.

    18. #16
      Shagihilu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 33
      Rep Power : 482
      Likes Received
      5
      Likes Given
      183

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Amini usiamini taifa letu litapata mapinduzi ya kweli kama walimu hasa wa shule za msingi watatoka usingizini walimo sasa hivi. Hili ni kundi muhimu sana kwa mapinduzi ya kweli Tanzania
      24x7 available

    19. #17
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Nyakageni
      mi nadhani walimu wawashawishi na wanafunzi wagome!
      umeongea jambo jema sana, hii ndiyo fomula ya kenya, vp unaishi uko nini?

    20. #18
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 562
      Rep Power : 538
      Likes Received
      122
      Likes Given
      25

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Jamani walimu wananyonywa kweli kwenye mishahara yaani degree holder anazidiwa na wa afya ambaye ana diploma.Walimu komaeni ndo mtapata haki zenu.

    21. #19
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

      Waalimu mmepata div four zenu mkapewa kazi ili msife njaa bado mnalalamika. Ktk sekta inayoongoza kuwa na failure wengi ni ualimu. Mkifukuzwa ualimu mtaenda wapi? Wengine ni Waalimu UPE, nao wanadai fadhila. Kufundisha hamfundishi, mnadai maslahi. Gomeeni muone, tunawafuta kazi mkalime.

    22. #20
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Siwaungi mkono kwani ualimu ni wito kwa sasa,we huoni wanaosomea ualimu ni waliofeli form4&6?hilo ni chaka la vilaza,tena hyo wanayolipwa ni nying sana ingepunguzwa

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...