Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      abdulahsaf's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Posts : 860
      Rep Power : 719
      Likes Received
      123
      Likes Given
      1

      Default Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta


      Waziri wa nchi ofisi makamo wapili wa Rais Mh Mohammed Abuod

      Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezuwia maeneo yake kufanyiwa utafiti wa utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia kufuatia utafiti kama huo kufanyika katika maeno ya Tanzania bara.

      Akijibu suala katika kikao cha baraza la wawakilishi waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili wa rais Mohammed Aboud amesema suala la utafutaji na uchimbaji wa mafuta litafanywa na wanzazibari wenyewe wakati utakapofika na sio kampuni za kigeni.

      Amesema serikali imeshatoa raarifa hiyo kwa serikali ya muungano kutoyaruhusu maeneo yake kufanyiwa utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia

      Waziri Aboud serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria ya kuliondoa suala la mafuta na gesi asilia katika orodha ya mambo ya muungano.

      Amesema katika kikao kilichofanyika hivi karibuni suala la mafuta na gesi asilia lilikuwa ni miongoni mwa agenda zilizojadiliwa na ilikubaliwa suala hilo lipatiwe ufumbuzi wa haraka.

      Hata hivyo waziri Aboud amesema serikali haitambuli mikataba yoyote iliyosainiwa awali ya upande wa pili wa muungano kuyaruhusu makampuni ya kigeni kutafuta mafuta katika maeneo ya Zanzibar.

      Tamko hilo la waziri Aboud katika baraza la wawakilishi kumefuatia madai yaliotolewa na mwakilishi wa jimbo la mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu aliedai kampuni ya Petro Brass imeruhusiwa kufanya utafutaji wa mafuta na gesi asilia katika baadhi ya maeneo ya Zanzibar
      mkomatembo likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,847
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      508
      Likes Given
      0

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Msaada definition ya maeneo ya zanzibar.

    4. #3
      Mzenji73's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Posts : 203
      Rep Power : 823
      Likes Received
      33
      Likes Given
      53

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Quote By simplemind
      Msaada definition ya maeneo ya zanzibar.
      ni lile eneo lote la visiwa vya unguja na pemba, pamoja na visiwa vidogo vidogo vilivyoizunguka na bahari yake, ambapo kabla ya muungano wa tanganyika na zanaibar likijulikana kama jamuhuri ya watu wa zanzibar. hii ni kutoka katika katiba ya zanzibar

    5. #4
      Albimany's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 187
      Rep Power : 448
      Likes Received
      59
      Likes Given
      0

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Quote By simplemind
      Msaada definition ya maeneo ya zanzibar.

      Muulize Pinda atakuambia,inasema nini kifungu cha kumi (10) katiba ya Zanzibar.

    6. #5
      mtemiwao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 384
      Rep Power : 518
      Likes Received
      42
      Likes Given
      2

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      wazenj na viongozi wao no vision kabisa....

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Democracy999's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 627
      Rep Power : 477
      Likes Received
      111
      Likes Given
      30

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Baada ya kujua hamna chochote katika eneo hilo la Tanzania-Zanzibar mnajifanya mnakataa, hamna uwezo kikatiba wa kuamua mambo ya nchi kwa ikiwa Shein ni Waziri tu je huyo Abud si hewa tu? Serikali ya Zanzibar ni kujifurahisha tu

    9. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Mheshimiwa Mohamed Aboud, una uhakika na uyasemayo? Mbona Zanzibar ni Tanzania?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #8
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,210
      Rep Power : 3557
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      462

      Default Oil exploration companies restricted

      Wed, Jun 20th, 2012

      Wed,June 20th, 2012 / Tanzania |


      Zanzibar has restricted foreign companies from exploring for oil and gas, Minister of State Mohammed Aboud Mohammed told the House of Representatives on Tuesday.



      State Minister in the Second Vice-President’s Office Aboud Mohammed


      He said this after some legislators had demanded for immediate removal of oil and natural gas from the list of Union matters. He assured the law makers that the issue would soon be solved.


      During questions and answer session, legislators Ismail Jussa Ladu (CUF-Mjimkongwe), and Salmin Awadhi Salmin (CCM-Magomeni), expressed their concerns over delaying the process of removing the oil and natural gas matters from Union list in accordance with 2009 House of Representatives resolution.


      “The Government of National Unity (GNU) promised that it will solve the problem within four months. But we are in fifth month and nothing has been done. What is the problem?” wondered Mr Ladu. Responding to the concerns, the minister said that the
      Zanzibar government had sent a notification letter to the Union Government, informing it that any contract with a foreign company to explore oil and natural gas in Zanzibar territory would not be accepted.


      “I would like to assure members of the House and Zanzibaris in general that we, officers in the government, will do all it takes to safeguard the interest of Zanzibaris. We cannot act contrary to your wishes,” said Mr Mohammed. The minister said: “On several occasions President
      Jakaya Kikwete has acknowledged that there is a problem in connection with Zanzibar’s demands for oil and natural gas autonomy. This is an indication that Zanzibar’s demands will be considered.


      By ISSA YUSSUF
      , Tanzania Daily News

    11. #9
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,210
      Rep Power : 3557
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      462

      Default Re: Oil exploration companies restricted

      Why they keep on repeating this? I believe this has been stopped no one is exploiting and exploring Gas or Oil around sovereign boundaries of Zanzibar...

      Ninavyojua ndio Maana hata Tanga ambako wanasema kuna Mafuta na GAS hawajaamuka kuchimba kwasababu Tanga na

      Pemba ziko karibu sana, lazima kuwe na uelewano kati ya Tanganyika na Zanzibar kuhusu suala hilo

    12. #10
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,678
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Viongozi wangu zanzibar mnazunguka mbuyu.

      Vunjeni muungano jamani!

    13. #11
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13047
      Likes Received
      1556
      Likes Given
      1137

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Hawa nao!!!

    14. #12
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 886
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Zanzibar mbona kuna mafuta tele ya nazi? Sie hatuna haja ya kuchimba, twavuna mafuta sie.
      Bigirita and saddam like this.

    15. #13
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,682
      Rep Power : 1912
      Likes Received
      1582
      Likes Given
      676

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Muungano ndio unacheza fainali yake sasa
      mkomatembo likes this.

    16. #14
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,619
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3838
      Likes Given
      12224

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Kwa hili nawapongeza Wazanzibari. Ingawa wanamchukia Nyerere lakini ulikuwa ni msimamo wa Nyerere kuwa tusiruhusu wageni waje kuchimba madini na mafuta yetu mpaka hapo Watanzania watakapokuwa na uwezo wa kufanya hivyo wenyewe. Lakini viongozi wetu waroho wa kutajirika upesi wakakimbilia kusaini mikataba ya ajabu ajabu na sasa tunaangalia tu wakati dhahabu yetu inasafirishwa nje ya nchi kila kukicha wakati shule zetu za kata hazina madawati.
      Bigirita likes this.

    17. RMA
      #15
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Zanzibar sio nchi! Kwanza hata ukubwa wake ni sawa na wilaya ya Tarime!
      saddam and majorbuyoya like this.

    18. #16
      Olecranon's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 432
      Likes Received
      34
      Likes Given
      27

      Default

      Udhaifu wa jk ndio chanzo cha Haya yote.

    19. #17
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Hawa vilaza washaanza kelele zao. Nikiambiwa nichague kwenda kuishi Jehanamu au Zanzibar, nitachagua Jehanamu maana kuna uwezekano wa kukutana na watu wenye akili timamu kuliko Wazenji.
      Bigirita and saddam like this.

    20. #18
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,861
      Rep Power : 3307
      Likes Received
      539
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By RMA
      Zanzibar sio nchi! Kwanza hata ukubwa wake ni sawa na wilaya ya Tarime!
      Huna hoja, kajambe!!!

    21. #19
      Fatal5's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 166
      Rep Power : 432
      Likes Received
      28
      Likes Given
      134

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Quote By RMA
      Zanzibar sio nchi! Kwanza hata ukubwa wake ni sawa na wilaya ya Tarime!
      wacha longo longo zako hizo mkuu unatudharaulisha watanganyika wenzako kwa wazanzibari ukiongea

      kuna nchi nyingi tu duniani ambazo ni ndogo kuliko zanzibar...
      Zanzibar ni kubwa ki eneo kuliko nchi hizi zote
      kwa bara la Africa
      1. Mauritus
      2.Seychelles
      3.Comoros
      4.São Tomé and Príncipe
      kwa bara la nchi za ulaya
      1. Monaco
      2. Malta
      3. San Marino
      4.Liechtenstein
      5.Andorra
      na kuna nchi nyingi tu kule upande wa Caribbean na majirani wa Australia ambazo ni ndogo sana kuliko Zanzibar

      Tuiwache Zanzibar iende salama na tuwe majirani wao wema haina haja ya kupotezeana muda kwa kitu tunachokijua kuwa Muungano wetu hauna n guvu tena ni mivutano tu ndio iliyobaki....mie naona bora wasepe kinyao
      Jasusi and lum like this.

    22. #20
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,740
      Rep Power : 1919
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      962

      Default Re: Smz yakataa maeneo yake kuchimbwa mafuta

      Hongera sana Moh'd Aboud na wawakilishi kwa kuweka mambo hadharani.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...