Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 171
    1. #1
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      baada ya kushuhudia migomo ya madaktari kwa awamu mbili na baadaye kufuatiwa na majadiliano yalioyoisha hivi karibuni sasa kuna kila dalili ya kutokea kwa mgomo mwingine mara itakapofika tarehe 23 juni 2012.
      migomo miwili ya kwanza ilipuuzwa hivihivi lakini mwishowe tuliona viongozi wakuu wa nchi wakirudi nyuma na kuomba huruma ya mazungumnzo.
      je iwapo mgomo wa tarehe tajwa utatokea ni nani alaumiwe kwa kushindwa kutatua mgogoro huu uliodumu kwa kipindi cha nusu mwaka sasa??


      haya ni ya morogoro

      TAARIFA KWA UMMA
      Katika kikao cha madaktari na wahudumu wa afya Ifakara kilichofanyika tarehe 16.June 2012, Kwa pamoja kilikataa taarifa iliyotolewa na serikali kuhusu madai ya Madaktari na Wahudumu wa Afya. Kikao kilitoa maazimio yafuatayo
      1. Tunasikitishwa na msimamo wa serikali kutokuonyesha lengo la kutatua madai ya madaktari na wahudumu wa afya.
      2. Tunatangaza mgogoro rasmi dhidi ya serikali kuhusiana na madai yetu kudharauliwa na kutofanyiwa kazi.
      3. Tutaungana na madaktari na wahudumu wengine wa afya Tanzania katika mgomo utakaoanza tarehe 23 Juni 2012. Kama Serikali haitafanyia kazi madai yetu
      4. Tunaukumbusha umma kuwa serikali ilikuwa na muda wa kutosha kufanyia kazi na kutatua madai ya madaktari na wahudumu wa afya

      haya ni ya BUGANDO


      TAMKO:
      Kutokana na kikao cha tarehe 15/06/2012 hapa Bugando na kanda ya Ziwa kwa ujumla tunatamka kwamba:-
      1. Hatukubaliani na namna serikali ilivyo- na inavyoshughulikia suala la madaktari na wahudumu wengine wa afya hapa nchini.

      2. Ni vema serikali itoe tamko lenye tija juu ya mgogoro unaondelea kati yake na wafanyakazi wa sekta ya afya nchini

      3. Tutaungana na madakrai wote pamoja na wahudumu wengine wa afya katika mgomo utakaonza tarehe 23/06/2012 ikiwa hatua madhubuti na zenye tija hazitachukuliwa

      Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika


      na haya ni ya Dodoma karibu kabisa na mjengoni
      TAMKO LA MADAKTARI NA WAHUDUMU WA AFYA DODOMA
      Baada ya kupata muda wa kupitia na kuchambua kwa kina ufafanuzi wa serikali kuhusu madai ya madaktari. Madaktari na wahudumu wa afya Dodoma tunapenda kutoa tamko kama ifuatavyo

      1. Tunaunga mkono maamuzi ya kikao cha madaktari na wahudumu wa afya cha tarehe 9/06/2012 kwa kuukataa ufafanuzi wa madai ya msingi kwani hauna nia ya dhati wa kuleta suluhisho la kudumu katika sekta ya afya. Hivyo tupo katika mgogoro na serikali na tutaungana na wenzetu katika mgomo utakaoanza tarehe 23/06/2012.

      2. Tunaitaka serikali iache mara moja jitahada zake za kutugawa wahudumu wa sekta ya afya kwani kwa kufanya hivyo kutadhorotesha ufanisi wa utoaji wa huduma za afya katika hospitali mbalimbali nchini. Hivyo tunaitaka serikali ianze mara moja kuwalipa wahudumu wote wa afya posho mpya za kuitwa kazini.

      3. Tunawaomba wahudumu wa afya wote na popote walipo kuendelea kuwa pamoja katika kutetea huduma bora na maslahi mazuri katika sekta ya afya.

      MUNGU IBARIKI TANZANIA.

      updates;mahakama kuu divisheni ya kazi imetoa zuio la mgomo huu.
      madaktari washikilia msimamo wao na baadhi yao kusema
      "BASI NASISI HIYO TAARIFA YA SERIKALI TUNAICHAMBUA KWA KINA ,TUNAIFANYIA MPANGO MKAKAKATI KABAMBE,TUNAISHUGHURIKIA,TUTAI FANYIA UPEMBUZI YAKINIFU MBALI NA HAYA MGOMO UKO PALEPALE''

      SIKU YA KWANZA
      hospitali kadhaa zimeingia kwenye mgomo ikiwa ni pamoja na Bugando,Muhimbili,Mbeya na Amana.
      bado ni vigumu ku-assess makali ya mgomo hasa ukizingatia leo haikuwa 'siku ya kazi' tusubiri siku ya jumatatu ambayo ni siku inayohudhuriwa na wagonjwa wengi.

      SIKU YA TATU

      Mbeya,Bugando,Muhimbili,Dodoma ,amana,KCMC,mwananyamala,TMK,i fakara, wako kwenye mgomo.
      kuna tetesi kuwa Ocean road wako mbioni kujiunga.
      Vyombo vya habari mbalimbali vyaanza kuripoti madhara ya mgomo huu.baadhi ya waandishi wakataliwa kuingia hospitali ili kuhabarisha wananchi juu ya mgomo.
      Channel ten yafanya mjadala na madaktari.madaktari wajieleza vizuri kwa nini wamefikia hatua hii.kesho tutegemee mgomo kuwa mkali zaidi.

      SIKU YA NNE
      Mgomo bado unaendelea katika sehemu tajwa hapo juu.pia kuna taarifa kuwa hospitali ya hydom imeingia rasmi kwenye mgomo.
      waziri wa afya amekwepa kufanya mahojiano ya 'live kupitia star TV' ili kujibu madai ya madaktari.katika kipindi hicho kulikuwepo wawakilishi wa madaktari na wajumbe wa kamati ya bunge huduma za jamii.Mwinyi aliomba udhuru kwa kusema kuna mambo muhimu uanayashughulikia.
      huko bugando mkurugenzi wa hospitali anaelekea kurudia kosa lililofanywa na mkurugenzi mwenzake wa Muhimbili kwa kutishia kuwarudisha intern doctors wizarani.tukumbuke kosa hili ni moja ya chanzo cha mgomo huu unaoendelea mpaka leo.

      SIKU YA TANO
      Kiongozi wa jumuiya ya madaktari Dr Ulimboka steven atekwa na kupigwa hadi kupoteza fahamu.
      Madaktari waapa kuongeza mgomo.
      Mh pinda kutoa tamko la serikali kesho.

      SIKU YA SITA

      Afya ya dr ulimboka yaanza kuimarika,asema bado maumivu ni makali!
      Pinda akataa kutoa tamko.
      mgomo unaendelea huku kukiwa na ripoti ya madaktari bingwa wa MNH wamejiunga katika mgomo

      SIKU YA SABA
      Hali ya ulimboka si nzuri sana
      madaktari bingwa wa MNH,MOI,MUHAS,ORCI, Wametoa tamko rasmi la kujiunga kwenye mgomo.
      nawasilisha...
      Last edited by Jackbauer; 29th June 2012 at 20:18.

    2. Miaka 50

    3. #2
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      nadhani mnyika anapomuita mtu dhaifu aliangalia mambo mengi sana.hata hili laweza kuorodheshwa pia.

    4. #3
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      ''huu ni upepo wa muda mrefu haupiti''

    5. #4
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      duh..tujiandae kzikana tena..ila komaeni mpaka mpewe chenu mbona wao wanachukua chao na hata kisicho chao??

    6. #5
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      bajeti ya afya badala ya kuoengezwa,inapunguzwa kana kwamba yaliyotokea ni sinema.
      Kamkuki and NAKAMO like this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      naendelea kutafuta updates za matamko kutoka mikoa mingine.nikiyapata nitayarusha.
      naona hii movie imefikia patamu.probably hii itakuwa season ya mwisho!
      jouneGwalu likes this.
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    9. #7
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Once again, nasimama upande wa madaktari. Na tutawashangaa wale ambao watasema madaktari wameharakisha na wasubiri "serikali ifanyie kazi madai yao"! Serikali hii haiwezi kwenda isipokuwa kwa kulazimishwa. I support the doctors and other health workers in the country!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    10. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Once again, nasimama upande wa madaktari. Na tutawashangaa wale ambao watasema madaktari wameharakisha na wasubiri "serikali ifanyie kazi madai yao"! Serikali hii haiwezi kwenda isipokuwa kwa kulazimishwa. I support the doctors and other health workers in the country!
      atiiiiii,,,,,,,jaman,jaman.... ..

    11. #9
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 484
      Rep Power : 464
      Likes Received
      77
      Likes Given
      0

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Raisi mdhaifu,wabunge wa magamba wapuuzi wanaongozwa na uchizi. Mjinga akiongoza werevu wengi nini kitatokea. Ndio haya.

    12. #10
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 822
      Rep Power : 529
      Likes Received
      276
      Likes Given
      19

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa jk, baraza la mawaziri, wabunge, na udhaifu wa wantanzania pia. Ngoja tufe, na tuendelee, kufa na tuzidi kuwa maskini zaidi kwa sababu ya udhaifu tulionao,ndio tutie akili. Ova

    13. #11
      Evarm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : totoroni
      Posts : 1,013
      Rep Power : 736
      Likes Received
      270
      Likes Given
      27

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Ngoja na walimu pia tuanze kugoma!
      mama D likes this.
      Simplicity is the ultimate sophistication

    14. #12
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Kama majadiliano yalikuwa yanafanyika kwa siri, hatuwezi kujua nini zilikuwa contents za makubaliano hayo na for the same reason it doesnt make sense kuunga mkono mgomo. Kwanza madaktari walete details za majadiliano yao na serikali. Wamejadili nini, wameshindwana wapi?
      Fund and Daniel poul like this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    15. #13
      tungibwaga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 364
      Likes Received
      8
      Likes Given
      52

      Thumbs up re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Quote By Bajabiri
      atiiiiii,,,,,,,jaman,jaman.... ..
      kweli kabisa serikali ya ccm imezoea kufanya mambo kisanii sana

    16. #14
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Evarm
      Ngoja na walimu pia tuanze kugoma!
      Ni upepo utapita! Sidhani iwapo madaktari wana msimamo wa dhati! Watadanganywa tena watatulia!

    17. #15
      waziri/saidi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      64

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      SASA tutawazika wengi zaidi,rais real ni dhaifu na wabunge wake wa ccm maboya tu

    18. #16
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      nitawapa updates za matamko kutoka sehemu mbalimbali.
      mzaha mzaha hutumbua usaha!!
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    19. #17
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By ZeMarcopolo
      Kama majadiliano yalikuwa yanafanyika kwa siri, hatuwezi kujua nini zilikuwa contents za makubaliano hayo na for the same reason it doesnt make sense kuunga mkono mgomo. Kwanza madaktari walete details za majadiliano yao na serikali. Wamejadili nini, wameshindwana wapi?
      details za mazungumzo hazitosaidia kwa sasa.kimsingi maombi yote ya madaktari yametupwa,hata green cards za bima ya afya,chanjo n.k
      MZEE WA MCHAKATO likes this.

    20. #18
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13048
      Likes Received
      1557
      Likes Given
      1137

      Default

      Quote By Evarm
      Ngoja na walimu pia tuanze kugoma!
      Fanyeni haraka ili udhaifu wa jamaa uzidi kudhihirika!

    21. #19
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By waziri/saidi
      SASA tutawazika wengi zaidi,rais real ni dhaifu na wabunge wake wa ccm maboya tu
      waliomba muda wakapewa wa kutosha.
      Sasa ni utekelezaji tu ndio utakaowaponya.
      Mzee Mwanakijiji and swrc like this.

    22. #20
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

      Please doctors this time iwe kweeeli kabisa! Safisha njia ya fani zingine kuongezewa malipo. Kudos

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...