Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 105
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"





      Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.

      Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    2. Miaka 50

    3. #41
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,511
      Rep Power : 19791
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1290

      Default

      Quote By Barnabas Shadrack
      Vichwa kwa Pumba kama hiyo? Kama ni hivyo bora tu kusiwe na Upinzani hapa Tanzania.
      The unseen is illustrated by the seen.
      nawewe ina bidi uombewe kabisa lasivyo utachanganyikiwa
      Kaa la Moto likes this.

    4. #42
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Quote By Ben
      Hahahahahah....Naona mchungaji ameamua kujishusha kwa Level ya wana-CCM ili wamuelewe.
      Bahati mbaya sana na kujishusha kote kule sidhani kama magamba wamemwelewa. "Theories" alizotoa Mchungaji leo ni balaa. Ameeleza vizuri sana, in a very layman language, na kwa mifano jinsi wenzetu huko Ulaya walipitia hatua zipi hadi kufika hapo walipo leo.

      Amesema, tusitegemee watu wale wale waliosababisha hali hii ya mkwamo tuliyo nayo kama taifa tuwategemee walete mabadiliko tofauti. Never! Ni lazima kuwepo na mabadiliko ya kifikra na mgongano wa mawazo na hii ndio hasa kazi ya upinzani lakini kwa mshangao wake CCM inaelekea hawaelewi hili.

      Anasema, kabla ya kuingia Bungeni ilikuwa akiwaona "waheshimiwa" wakivaa masuti yao alikuwa anawaona watu wa maana sana lakini baada ya kuingia humo ni mambo ya aibu hadi profesa anauweka uprofesa wake pembeni! Bungeni badala ya kujadili namna ya kulikwamua taifa imebaki kujipendekeza kwa vyama (CCM) na kwa wakubwa. Badala ya ku-discuss issues imekuwa umbea; eti mbunge anasimama anaanza kuongelea khanga na vitenge - so what!

      Yaani huyu jamaa ni kichwa balaa! Hivi CDM huwa wanatoa wapia hawa watu?

    5. #43
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Ukweli mtupu
      haya basi kichwa ni lusinde'mitusi' komba'mbakaji'mwigulu'mzizi' jk'dhaifu' wassira 'kusinzia' na yule mbunge wa dole kule uamsho
      Kwa mtazamo wako, na mawazo yako hayana budi kuheshimiwa.
      The unseen is illustrated by the seen.

    6. #44
      Mtundu Kisu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 676
      Rep Power : 524
      Likes Received
      147
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Uswe




      Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.

      Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
      Hiyo clip youtube umeipa jina gani?Mana natumia simu naitafuta siipati na siwezi kufungua link uloweka hapo directly kwa simu yangu

    7. #45
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,511
      Rep Power : 19791
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1290

      Default

      Quote By Radhia Sweety
      Hili Bunge la mwaka huu la kipuuzi sana.
      nawewe inabidi uombewe kwa kutukana bunge.

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      debito's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 151
      Rep Power : 417
      Likes Received
      27
      Likes Given
      9

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      da bunge la saiv ctaki kulimiss hata kidogo, very interesting

    10. #47
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      nawewe ina bidi uombewe kabisa lasivyo utachanganyikiwa
      Kwani mimi siwezi kujiombea? au haujui kuwa mkiomba lolote kwa jina langu(Yesu) aminini mtapat?. Kama hujui basi wewe nahisi umefungwa na Shetani katika kweli ya Mungu.
      The unseen is illustrated by the seen.

    11. #48
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Uswe




      Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.

      Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
      igunga????iramba?????

    12. #49
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By debito
      da bunge la saiv ctaki kulimiss hata kidogo, very interesting
      kwa mipasho,,,,si lengo,,,,lengo ni bajeti je inajadiliwa???MWISHO WATAIPITISHA,,,,NANI ATAUMIA????

    13. #50
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,084
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      941
      Likes Given
      3858

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      ningekuwa mbunge wa ccm leo ningejiuzuru maana hayo maneno na Rev. Msigwa ni makubwa mno lakini kwa kuwa upeo wa ccm kufikiri ni mdogo wao wataona ni kawaida tu.

    14. #51
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Absolutely ukweli mtupu. Mpaka bunge la bajeti linaisha lazima mtu afe hapa.

    15. #52
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mzee wa njaa
      Anyway hayo ni maoni yake. Mi nafikiri Mwigulu anataka publicity ili apewe Uwaziri na JK. Tuone mwisho wake. Hizi ni magumashi za siasa za bongo.
      bora abaki WASSIRA

    16. #53
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mzee wa njaa
      Absolutely ukweli mtupu. Mpaka bunge la bajeti linaisha lazima mtu afe hapa.
      kwa pressure

    17. #54
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,511
      Rep Power : 19791
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1290

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Mwigulu alidhani yeye ni mchumi peke yake,baada ya kujua aliyekuwa anamponda na yeye ni mchumi povu lilimtoka na kuanguka chini.
      "mwingulu ata mimi ni mchumi nime fundishwa na walimu waliokufundisha,nilicho ongea ni sahihi kabisa"

      msigwa : hawa wanao jiita wachumi na kufanya kazi BOT ndio walifikisha taifa lilipo kwa sasa.

      "Hii serikali ya ccm ime pooza"

      mnyika: jk ni dhaifu.

      Tundulisu: this is silly budget.

      Kafulila: je watu wakiokoka mapato yatatoka wapi?
      Kaa la Moto likes this.

    18. #55
      Pangaea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 377
      Likes Received
      36
      Likes Given
      72

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Huyu Kamanda ni yuko "VERY SMART" hebu soma nukuu hii "Problems can not be solved by the same level of thinking of the people who created them"...........ha ha ha a.....;"Knowledge will govern forever....................."( Madson)

    19. #56
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,084
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      941
      Likes Given
      3858

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Quote By Mtundu Kisu
      Hiyo clip youtube umeipa jina gani?Mana natumia simu naitafuta siipati na siwezi kufungua link uloweka hapo directly kwa simu yangu
      bofya hapa utaipata youtube

      Mhe. Msigwa akifyatuka Juni 20, 2012 - YouTube

    20. #57
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,084
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      941
      Likes Given
      3858

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      Quote By ruttashobolwa
      Mwigulu alidhani yeye ni mchumi peke yake,baada ya kujua aliyekuwa anamponda na yeye ni mchumi povu lilimtoka na kuanguka chini.
      "mwingulu ata mimi ni mchumi nime fundishwa na walimu waliokufundisha,nilicho ongea ni sahihi kabisa"

      msigwa : hawa wanao jiita wachumi na kufanya kazi BOT ndio walifikisha taifa lilipo kwa sasa.

      "Hii serikali ya ccm ime pooza"

      mnyika: jk ni dhaifu.

      Tundulisu: this is silly budget.

      Kafulila: je watu wakiokoka mapato yatatoka wapi?
      mwenzangu mbona wanalo mwaka huuu

    21. #58
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      chemba jamani siyo nchemba!

    22. #59
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,789
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: Mch. Mwesiga afyatuka... "Matatizo hayawezi kutatuliwa na watu wenye fikra zilizoyasababisha!"

      kama chadema ni timu basi ni barcelona....inazalisha vichwa balaa......another jembe hili aisee......yaani haya maneno hata shetani yamemwingia na ameahidi kujirudi......
      Kaa la Moto and palalisote like this.
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    23. #60
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,838
      Rep Power : 737
      Likes Received
      180
      Likes Given
      0

      Default

      Kwani akili yake na chemba havina tofauti mwate aitwe mwigulu chemba
      Quote By Nyakageni
      chemba jamani siyo nchemba!

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...