Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

    Report Post
    Page 6 of 9 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 164
    1. #1
      Kijana Msomali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      68
      Likes Given
      42

      Default Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Leo kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tanzania, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo John John Mnyika aliamuriwa kutoka bungeni baada ya kukataa kufuta kauli yake tatanishi ya kuwa Rais Jakaya Kikwete ni Dhaifu...Hii ina maana ya kuwa kauli hii ya Myika itabaki katika hansard za bunge la Tanzania milele na milele.

      Je, Mnyika kumuita Rais Kikwete Dhaifu ni sawa??

      La Hasha Asilani, Mnyika alikosea sana, tena sana, kwani Rais Kikwete ni mtu (individual) na wala si serikali (executive) ama taasisi ya serikali (institution). Sote twajua moja ya majukumu makuu ya Bunge (Parliament) ni Kuisamamia serikali (Executive). Na kama Bunge ambalo Myika naye yumo ndani limeshindwa kuisimamia serikali (Executive) ambayo Myika anadai anayeiongoza ni mtu dhaifu, Je hilo bunge nalo tuliite Bunge Dhaifu?, na kama ni bunge Dhaifu lililoshindwa kusimamia Serikali Dhaifu, Je hii inamaanisha wabunge wa bunge hilo (wawe wa CCM, CDM, CUF, TLP, NCCR, UDP ama Viti Maalum awe Zitto, Mdee, Nchemba, Lembeli, Mbatia, Mwakyembe n.k) nao ni Dhaifu?.

      La Hasha Asilani, kwani na aimini ndani ya bunge hilo tuna wabunge ambao si dhaifu asilani, na kuwaita dhaifu ni kumkosea mungu, kwani wanajitahidi sana kuwasilisha kero na matatizo ya wanajamii, lakini mwisho wa siku wanaangushwa na taasisi Bunge, naamini Rais Kiwete si Dhaifu Asilani ila
      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.


      Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.
      mwongozo likes this.

    2. Study Abroad

    3. #101
      regam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 223
      Rep Power : 472
      Likes Received
      36
      Likes Given
      3

      Default

      Wewe utakuwa ni dhaifu mboma unashikilia Bango hivoooo!
      Mnyika kumwita raisi kikwete ni dhaifu ni mawazo yake na uhuru wake wa kikatiba. Mboma awamu hii hajaambiwa alete vielelezo vya kuthibitisha kwamba ****** ni dhaifu? Mara kibao wanaambiwa walete vielelezo!

    4. #102
      regam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 223
      Rep Power : 472
      Likes Received
      36
      Likes Given
      3

      Default

      Jk ni dhaifu tuu

    5. #103
      matumbo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,321
      Rep Power : 0
      Likes Received
      647
      Likes Given
      485

      Default

      Quote By zomba
      Matusi ndiyo kawaida yenu na uongo ndiyo desturi zenu.

      Nakwambia hivi, nioneshe Rais yeyote alichokifanya cha maendeleo ambacho Kikwete hajafanya zaidi. Nakuhakikishia huna!
      nyerere aliwafundisha wazee wako wa gerezani kutumia kufuli,kabla ya hapo walikuwa wanatinga misuli tu...tuambie wewe Jk kafanya nini cha maana?

    6. #104
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Hata mimi nakubali kuwa JK si dhaifu, bali ni WEAK
      Beware of a sucker punch

    7. #105
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,227
      Rep Power : 1536
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Raia Fulani
      Hata mimi nakubali kuwa JK si dhaifu, bali ni WEAK
      umenifanya nicheke kweeeli!
      Raia Fulani likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #106
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,227
      Rep Power : 1536
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      jk ni dhaifu na weak! Mnyika is right. CCCM ni silly na wapuuzi

    10. #107
      Kisoda2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 841
      Rep Power : 728
      Likes Received
      42
      Likes Given
      253

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Toooo weak!

    11. #108
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,650
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Umelipwa bei gani mkuu kupost hivo? JK ni dhaifu mno tena anakera angalia watoto wa marais waliopita linganisha na huyu, angalia kila tunu ya nchi hii inakaribia kufia kwake, iwe maadili, CCm, Muungano, anaglia wizi ulivyoshamiri, angalia ubinafsi ulivyoshamiri, angalia udini, ukanda, uzushi, uongo, maamuzi ya hovyo, kila kitu cha hovyo zaidi unakishuhudia kwenye utawala wake hata mwanae anatawala, angalia alivounda mtandao ulivo ivuruga ccm, angalia mfumuko wa bei, angalia misiba ya akina Kanumba ni aibu,angalia wasemaji wa ccm walivoongezeka, angalia waziri mkuu alivomkosesha madaraka, angalia uteuzi wa nafasi, YAAAANI kila Kitu kiko OVYO

    12. #109
      Chibidu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 353
      Rep Power : 601
      Likes Received
      31
      Likes Given
      48

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Kijana Msomali
      Leo kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tanzania, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo John John Mnyika aliamuriwa kutoka bungeni baada ya kukataa kufuta kauli yake tatanishi ya kuwa Rais Jakaya Kikwete ni Dhaifu...Hii ina maana ya kuwa kauli hii ya Myika itabaki katika hansard za bunge la Tanzania milele na milele.

      Je, Mnyika kumuita Rais Kikwete Dhaifu ni sawa??

      La Hasha Asilani, Mnyika alikosea sana, tena sana, kwani Rais Kikwete ni mtu (individual) na wala si serikali (executive) ama taasisi ya serikali (institution). Sote twajua moja ya majukumu makuu ya Bunge (Parliament) ni Kuisamamia serikali (Executive). Na kama Bunge ambalo Myika naye yumo ndani limeshindwa kuisimamia serikali (Executive) ambayo Myika anadai anayeiongoza ni mtu dhaifu, Je hilo bunge nalo tuliite Bunge Dhaifu?, na kama ni bunge Dhaifu lililoshindwa kusimamia Serikali Dhaifu, Je hii inamaanisha wabunge wa bunge hilo (wawe wa CCM, CDM, CUF, TLP, NCCR, UDP ama Viti Maalum awe Zitto, Mdee, Nchemba, Lembeli, Mbatia, Mwakyembe n.k) nao ni Dhaifu?.

      La Hasha Asilani, kwani na aimini ndani ya bunge hilo tuna wabunge ambao si dhaifu asilani, na kuwaita dhaifu ni kumkosea mungu, kwani wanajitahidi sana kuwasilisha kero na matatizo ya wanajamii, lakini mwisho wa siku wanaangushwa na taasisi Bunge, naamini Rais Kiwete si Dhaifu Asilani ila
      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.


      Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.
      Huyo Mkulo alimtoa kwa ridhaa yake? siku zote alikuwa wapi asione kuwa Mkulo hafai? huo ni udhaifu wakutoona kuwa watendaji anaowateua kuwa hawafai. Heri ya mzee ruksa tutamkumbuka kwa kutuondolea midabwada tukaonekana smart kwa kuvaa mitumba kuliko huyu muimba mashairi yasiyo na maana
      IT IS BY GROWING OLD THAT EVERYONE LEARN TO REMAIN YOUNG

    13. #110
      wanyeregete's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      no comment!!!

    14. #111
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 498
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By kelvito
      Jk si dhaifu naungana na wewe msomali, ila jk hajiwezi uwezo wake mdogo wa kuongoza!
      Ndio udhaifu huo kaka.....
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    15. #112
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Crashwise
      Kuendelea kuichekea serikali ya CCM na kiongozi wao dhaifu ni ujinga angalau Mnyika umesema ukweli na utabaki kwenye kumbukumbu kuwa Kikwete ni mdhaifu kashindwa kuiongoza nchi na hii serikali yake legelege...hivi hawa watoto wana matumaini gani?

      Attachment 56860
      CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeee
      Attachment 56861
      Dogo wabunge wako wanashinda kutukana chama cha upinzani.

      Kidumu chama Tawala CCM kwa hali hii sioni mbele,ila kinaweza kudumu kwa ubabe na wizi wa kura,ila wenye nchi wasipokubali mvutano ndio utakaoleta umwagaji damu

    16. #113
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,943
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1105
      Likes Given
      191

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Rais mdhaifu, wabunge wa CCM ni wapuuzi .... okay!!!! who fkn cares??? Jadilini mambo ya maana nyie mafala!! hamuoni kuwa mnapotezea watu muda?
      Shenzi type!!
      Keeping quiet is a war crime.

    17. #114
      MADABADA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 365
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Post Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Muulize hata Waziri Mkuu atakwambia kuwa Rais wetu ni dhaifu tena sana.Nakuomba ufute kauli yako kwamba mkuu wetu wa kaya si dhaifu.Ninachoweza kukubaliana na wewe ni kwamba Rais wetu ni rijali basi!

    18. #115
      nhassall's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 465
      Likes Received
      41
      Likes Given
      110

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Uliyeleta hii mada sidhani kama unayafahamu vizuri mapungufu na udhaifu wa serikali ya kikwete na unashindwa kuelewa mfumo mzima unaotumika kati ya raisi wako na wabunge. Umekurupuka sana na hujui ulichokiongelea hapo pengine unapewa posho au ni kati ya watu wagumu wasiopenda kuona ukweli ambao upo wazi sana.

      Kikwete ni dhaifu sana na inabidi ajitahidi hii miaka iliyobakia asiendelee kuruhusu wezi na mafisadi mawaziri anaowapa dhamana ya kusimamia mali za taifa letu badaa yake wanakuwa mstari wa mbele kuzitafuna na akiwa anawaona na hawafanyi kitu baada ya hapo, huo ni udhaifu tosha na kuna mengine mengi zaidi ya hapo yanayothibitisha ni dhaifu sana na ni legelege kwani anajikita kusimamia chama chake na kuwasahau wananchi wake

    19. #116
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2612
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Mzee
      Kama jk ni dhaifu ilikuaje wakaenda ikulu kunywa juisi na kiongozi dhaifu?. Nilidhani bunge litakuwa na busara baada ya Lema kuondolewa.

      Walienda Ikulu kumshauri baada ya kujua udhaifu wake, chama chake pamoja wa washabiki wa chama chake. Kama lengo lenu la kumuondoa Lema ndo kuweka nidhamu bungeni basi mmekosea, mlitakiwa muwaondoe kwanza wabakaji akina M.Nch.... na J. Ko...

    20. #117
      kisururu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 227
      Rep Power : 0
      Likes Received
      60
      Likes Given
      49

      Default

      Quote By Kijana Msomali
      Leo kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tanzania, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo John John Mnyika aliamuriwa kutoka bungeni baada ya kukataa kufuta kauli yake tatanishi ya kuwa Rais Jakaya Kikwete ni Dhaifu...Hii ina maana ya kuwa kauli hii ya Myika itabaki katika hansard za bunge la Tanzania milele na milele.

      Je, Mnyika kumuita Rais Kikwete Dhaifu ni sawa??

      La Hasha Asilani, Mnyika alikosea sana, tena sana, kwani Rais Kikwete ni mtu (individual) na wala si serikali (executive) ama taasisi ya serikali (institution). Sote twajua moja ya majukumu makuu ya Bunge (Parliament) ni Kuisamamia serikali (Executive). Na kama Bunge ambalo Myika naye yumo ndani limeshindwa kuisimamia serikali (Executive) ambayo Myika anadai anayeiongoza ni mtu dhaifu, Je hilo bunge nalo tuliite Bunge Dhaifu?, na kama ni bunge Dhaifu lililoshindwa kusimamia Serikali Dhaifu, Je hii inamaanisha wabunge wa bunge hilo (wawe wa CCM, CDM, CUF, TLP, NCCR, UDP ama Viti Maalum awe Zitto, Mdee, Nchemba, Lembeli, Mbatia, Mwakyembe n.k) nao ni Dhaifu?.

      La Hasha Asilani, kwani na aimini ndani ya bunge hilo tuna wabunge ambao si dhaifu asilani, na kuwaita dhaifu ni kumkosea mungu, kwani wanajitahidi sana kuwasilisha kero na matatizo ya wanajamii, lakini mwisho wa siku wanaangushwa na taasisi Bunge, naamini Rais Kiwete si Dhaifu Asilani ila
      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.


      Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.


      He is weak and stupid
      Dumelang likes this.

    21. #118
      Evarm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : totoroni
      Posts : 1,012
      Rep Power : 735
      Likes Received
      270
      Likes Given
      26

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By kelvito
      Jk si dhaifu naungana na wewe msomali, ila jk hajiwezi uwezo wake mdogo wa kuongoza!
      Mkuu umekataa nini na umekubali nini?
      Huo ndio sehemu tu ya udhaifu wenyewe unaongelewa hapa mkuu

      Simplicity is the ultimate sophistication

    22. #119
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,399
      Rep Power : 992
      Likes Received
      350
      Likes Given
      536

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Jamani hivi ni kweli ukipewa hesabu ya 1+1 Utaazima calculator?JK ni dhaifu na mtoto wa mkulima Pinda ni dhaifu,hili halipingiki na hii ni kutokana na mfumo wa siasa za chama chao cha magamba-Nyinyiemu.siasa zao si za kusaidia wanyonge na wanyonge walioko huko ambao ni washabiki wake nao wana virusi kama viongozi wao.ndio maana kuwajibishana kwao ni impossible,kwani nani hajui kuwa EL alimpasha JK na mwisho wa siku wakakausha ili kuuwa so,je leo kuna mtu anazungumzia kujivua gamba?na je kwa ufisadi ambao JK amekuwa akishiriki na watu wengi ndani ya Nyinyiemu atawezaje kuwawajibisha?na kwa kufanya hivyo hata yeye anategemea akistaafu waje wamlinde watakao mrithi,na ndio maana PM alishawahi kusema mwacheni mzee(Ben) apumnzike.hii ilikuwa kipindi cha sakata la Kiwira.
      Kwa hiyo ni kweli kwamba ni dhaifu,kuna factor nyingi mno zinazopelekea awe dhaifu.
      Hivi ni wapi mlishawahi kuona ama kusikia mwizi kabomoa mlango wa mbele na mwingine kavunja mlango wa nyuma kisha wakakutana sitting room wakitaka kuiba na mmoja akamwitia mwizi mwenzie?
      For sure JK(baba riz) ni dhaifu sana kuliko maraisi wote waliowahi kuongoza TZ
      Dumelang likes this.

    23. #120
      mwenyenguvu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 85
      Rep Power : 376
      Likes Received
      25
      Likes Given
      28

      Default Re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      ingependeza kama ikitumika hivi"jk ni kilaza nadhani vijana wengi waliopitia vyuo wataelewa vema zaidi neno kilaza!, safi sana mnyika umesema kweli
      Dumelang likes this.

    24. Miaka 50
    Page 6 of 9 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...