Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 164
    1. #1
      Kijana Msomali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      68
      Likes Given
      42

      Default Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Leo kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tanzania, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo John John Mnyika aliamuriwa kutoka bungeni baada ya kukataa kufuta kauli yake tatanishi ya kuwa Rais Jakaya Kikwete ni Dhaifu...Hii ina maana ya kuwa kauli hii ya Myika itabaki katika hansard za bunge la Tanzania milele na milele.

      Je, Mnyika kumuita Rais Kikwete Dhaifu ni sawa??

      La Hasha Asilani, Mnyika alikosea sana, tena sana, kwani Rais Kikwete ni mtu (individual) na wala si serikali (executive) ama taasisi ya serikali (institution). Sote twajua moja ya majukumu makuu ya Bunge (Parliament) ni Kuisamamia serikali (Executive). Na kama Bunge ambalo Myika naye yumo ndani limeshindwa kuisimamia serikali (Executive) ambayo Myika anadai anayeiongoza ni mtu dhaifu, Je hilo bunge nalo tuliite Bunge Dhaifu?, na kama ni bunge Dhaifu lililoshindwa kusimamia Serikali Dhaifu, Je hii inamaanisha wabunge wa bunge hilo (wawe wa CCM, CDM, CUF, TLP, NCCR, UDP ama Viti Maalum awe Zitto, Mdee, Nchemba, Lembeli, Mbatia, Mwakyembe n.k) nao ni Dhaifu?.

      La Hasha Asilani, kwani na aimini ndani ya bunge hilo tuna wabunge ambao si dhaifu asilani, na kuwaita dhaifu ni kumkosea mungu, kwani wanajitahidi sana kuwasilisha kero na matatizo ya wanajamii, lakini mwisho wa siku wanaangushwa na taasisi Bunge, naamini Rais Kiwete si Dhaifu Asilani ila
      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.


      Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.
      mwongozo likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      mahoza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 264
      Rep Power : 415
      Likes Received
      36
      Likes Given
      309

      Default

      Ni dhaifu tena hilo neno bado ni jepesi. Ameshindwa na anawalea hao watu wake. Haoni sudani juzi watu wamewajibika wakaachia ngazi? Zaidi ya viongozi 50! Aondoke watu wenye nia na upendo wa nchi waongoze. Avunje bunge lote.

    4. #22
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,711
      Rep Power : 907
      Likes Received
      433
      Likes Given
      440

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      habari ndo hiyo,ni dhaifu hakuna cha kujadili hapa!

    5. #23
      Micha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 442
      Likes Received
      100
      Likes Given
      48

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Jamani Presidaa ni dhaifu tena sana halafu mbaya zaidi amemteua PM ambaye ni dhaifu zaid yake. Angekuwa strong wa kukemea na kuchukua hatua wote aliowateua wangejua hivyo na wangechapa kazi ipasavyo.

      Jikumbushe enzi za Edo Moringe alikuwa akitema cheche wahujumu uchumi wate wanajikojolea na wanarudisha vitu walivyopora wenyewe. leo hii anahitajika presidaa anaye tema cheche mara 10 zaid ya Sokoine kwa sababu viongozi wa leo nao wamepinda.

    6. #24
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 556
      Rep Power : 705
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Hata wewe ulieanzisha hii thread pia ni dhaifu sana. kama hao wanaTaasisi ambao wote wameteuliwa na Dr JK ni dhaifu wanawezaje kumwangusha asiekua dhaifu kuliko wao? since 2010 mnasema tu wanaomwangusha Rais ni watendaji wake. Ina maana anapowateua huwa hajui kama ni dhaifu?

      Kubali kataa Mnyika yuko sawa kabisa kuwa mkuu wa Nchi ni dhaifu thats it. Mara ngapi hapa JF hii kitu inasemwa? au kwa vile imesemwa bungeni na mbunge wangu Mnyika?

      Kiongozi anaekubali madhaifu yake na kubadilika huyo ndio kiongozi sio anaekaa kusubiria watu kama wewe wamtetee kwa kusulubisha wengine kuwa eti ndio wanamwangusha. Kama ni dhaifu basi ni dhaifu. the only way is to change sio kubishana.
      Bi. Mkora likes this.
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    7. #25
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,155
      Rep Power : 640
      Likes Received
      259
      Likes Given
      207

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By nkisumuno
      Nani asiyejua kuwa kikwete ni dhaifu? Hivi unaposema urais ni tasisi, muundaji wa tasisi hiyo si yeye anayeteua marafiki baadala ya wachapakazi. Watanzania tuache uvivu wa kufikiri. Mawaziri dhaifu nani anayewateua, hao wakuu wa mikoa anateua nani kama si rais huyo aliye dhaifu. Kuwajibisha mawaziri au watendaji hadi ashurutishwe huyo si dhaifu. Shule hazina vitabu, shule binafsi wanapandisha ada kama hakuna mwenyewe, hali ngumu ya maisha, kugawa vyandalua huku dhahabu yetu ikipotea. Niambie wewe ni sekta gani inayofanya vizuri chini ya kikwete? Fikiri sana unapoposti hapa JF. Inawezekana wewe ni mbumbu au ni kibaraka tu usiyejua unachofanya. kikwete ni dhaifu na ndiyo maana hata watendaji wanafanya madudu wanayofanya.

      Nawapa onyo ccm wasijisahau na kufikiri watanzania ni walewale na kufikiri bunge ni lao akina Ndugae, wajue cheo ni dhamana. wapo waliokuwepo hawapo. Hongera Mnyika kwa msimamo wako mhimu tuko nyuma yako na tunaamini kama unavyooamini kuwa tuna rais dhaifu kuliko wote waliomtangulia na pengine haitatokea kuwa na rais dhaifu kama Kikwete
      Heee! unanirushia mate!! hivi hakuna mwamvuli??

    8. Miaka 50

    9. #26
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,773
      Rep Power : 1629
      Likes Received
      1186
      Likes Given
      1701

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Tuanujua kusikia hujuhi, hata kuona hukuona,
      Je hata kusoma?
      soma tena!

      Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu.

      Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.

      Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba.

      Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge.

      Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

      John Mnyika
      19 Juni 2012
      Whisper, Nyange, Bi. Mkora and 1 others like this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    10. #27
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Kama jk ni dhaifu ilikuaje wakaenda ikulu kunywa juisi na kiongozi dhaifu?. Nilidhani bunge litakuwa na busara baada ya Lema kuondolewa.
      thedon likes this.

    11. #28
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.
      Tusijaribu kuficha uchungu wa klorokwini kwa kuipaka sukari juu. Hao wote uliowataja na wengine uliowaacha (Mwanasheria Mkuu, Majaji, wakuu wa Bodi......) huwa wanachaguliwa na yeye. Ng'ombe anapoharibu vipando vya mtu hushitakiwa mchunga wake na Raisi wala asingeguswa kama angekuwa anawachunga kondoo wake.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    12. #29
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Jk ni dhaifu sana.

    13. #30
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,365
      Rep Power : 13047
      Likes Received
      1556
      Likes Given
      1137

      Default

      Quote By mob
      mkuu jukumu la bunge ni kusimamia na kushauri serikali but at the end of the day ukishauriwa unaweza ukachukua maamuzi /ushauri au ukaachana nao.ok by the way yameshasemwa mangapi ya richmond hayakufanyika,madini,
      I agree 100%
      tanira1 likes this.

    14. #31
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      905

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Crashwise
      Kuendelea kuichekea serikali ya CCM na kiongozi wao dhaifu ni ujinga angalau Mnyika umesema ukweli na utabaki kwenye kumbukumbu kuwa Kikwete ni mdhaifu kashindwa kuiongoza nchi na hii serikali yake legelege...hivi hawa watoto wana matumaini gani?

      Attachment 56860

      Wa pili kutoka kushoto ni yule mbunge wetu mropokaji aka KIBAJAJI
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    15. #32
      Mundali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2010
      Posts : 689
      Rep Power : 643
      Likes Received
      144
      Likes Given
      77

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Kijana Msomali

      anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.

      Mkuu,

      Nimependa hayo maneno yako ya mwisho, kwani ndio msingi mkuu wa hoja. Woote hao uliowataja ni wateule wa rais in personal, na wanakula kiapo cha utii kwa rais na si kwa taasisi ya urais (rejea kiapo cha katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma juzi tu). Mwenye mamlaka ya kuwawajibisha ni rais mwenyewe na wala si kwa kushirikiana na mtu yoyote (Rejea wakuu wa wilaya na mawaziri umemtaja Mkulo).

      So kama mambo yanaenda mrama, mfano ubadhilifu kwenye halmashauri mbali mbali, matumizi holela ya pesa, misamaha ya kodi iliyokidhiri, ukwepaji wa kodi mkubwa, na matatizo chungu tele mwenye kauli ya mwisho kukemea na kumaliza uozo huu ni rais na si what you call taasisi ya urais. He has all the powers za kuhire na kufire mtu yoyote asiyetimiza wajibu wake, kuanzia waziri mkuu, mkuu wa majeshi, makatibu wakuu, wakurugenzi na makamishna woooooote nchi hii wanawajibika kwake. Leo kila sehemu inanuka rushwa na ufisaji, executive president anajiweka pembeni, na nyie watetezi wake mnauita huo ni udhaifu wa taasisi ya urais. President himself is weak, hata Hosea alisema hivyo.

      Bunge is weak, kwa sababu majority ya wabunge ni kutoka chama weak wanopigania chama hicho kisife.

      Bravo John John, the truth shall always stand still.

    16. #33
      Mr.Busta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 572
      Rep Power : 527
      Likes Received
      85
      Likes Given
      1

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      kama hangetumia neno Rais,basi angekuwa amemshambulia kikwete binafsi.hivyo kutumia neno Rais nikwamba anamsema yeye na serikali yake.

    17. #34
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,063
      Rep Power : 5468
      Likes Received
      3491
      Likes Given
      1910

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Kijana Msomali

      Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.
      Kama Kikwete angekuwa si dhaifu bila shaka Mgonjwa mahututi Prof Mwandosya asingekuwa waziri wa serikali yake

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    18. #35
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 566
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By endeleaaa
      hata wewe ulieanzisha hii thread pia ni dhaifu sana. Kama hao wanataasisi ambao wote wameteuliwa na dr jk ni dhaifu wanawezaje kumwangusha asiekua dhaifu kuliko wao? Since 2010 mnasema tu wanaomwangusha rais ni watendaji wake. Ina maana anapowateua huwa hajui kama ni dhaifu?

      Kubali kataa mnyika yuko sawa kabisa kuwa mkuu wa nchi ni dhaifu thats it. Mara ngapi hapa jf hii kitu inasemwa? Au kwa vile imesemwa bungeni na mbunge wangu mnyika?

      Kiongozi anaekubali madhaifu yake na kubadilika huyo ndio kiongozi sio anaekaa kusubiria watu kama wewe wamtetee kwa kusulubisha wengine kuwa eti ndio wanamwangusha. Kama ni dhaifu basi ni dhaifu. The only way is to change sio kubishana.

      tena kwa heshima na taadhima nisema hapa mhe. Mnyika ametumia lugha ya ustaraabu sana ----- mimi nasema rais kikwete na watu wake wote ni wapombavu kabisa na sasa tutaenda mtaani bali usikubali lazima kieleweke

    19. #36
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 633
      Rep Power : 550
      Likes Received
      140
      Likes Given
      44

      Default

      Ukisema Rais Kikwete ni taasisi hapo tayari sasa Serikali nzima so Dunia Nzima inajua Serikali ya Tanzania wasiwasi..kutwa kuomba hela kwa Wazungu tuna Kila kitu hapa Kodi Haikusanywi,Nchi isiyokusanya Kodi ni Corrupt...leo hii GGM,Vodacom,tiGO hazipo kwenye walipaji Kodi wakubwa wanashindwa hata na Serengeti Bia..sasa uchumi wa Tz tutegemee Kwenye Vileo...Je watanzania wakiokoka ??

      Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

    20. #37
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,106
      Rep Power : 17238
      Likes Received
      1622
      Likes Given
      1122

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Kama baba ni kichwa cha nyumba lazima uonyeshe maana ya kuwa kichwa siyo unafanana na mkia alaa!! Tuache unazi Msumari wa Mh Mnyika Umegonga mahala pake mtake msitake msg sent ccm mjitafakari yapo mengi yanakuja
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    21. #38
      thedon's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Posts : 136
      Rep Power : 441
      Likes Received
      33
      Likes Given
      49

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Mzee
      Kama jk ni dhaifu ilikuaje wakaenda ikulu kunywa juisi na kiongozi dhaifu?. Nilidhani bunge litakuwa na busara baada ya Lema kuondolewa.
      Wow! I'm blown away by your ability to think and your reasoning capacity.

    22. #39
      Nyange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2010
      Posts : 1,036
      Rep Power : 672
      Likes Received
      88
      Likes Given
      367

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Inabidi uonyeshe Rais kuwa si dhaifu!!!!!!!! ona uchumi wa nchi unavyo yumba wakati yeye kila siku anasafiri kwenda nje, bei za bidhaa unaona zinavyo ongezeka kila kukicha, umesikia bajet iliyo somwa ingiongezwa asilimia ya vinywaji, wakati tax bases zipo nyingi!

      Huwezi kuonyesha Rais wa nchi anauwezo wakati sisi tunaona hamna kitu. Amebadili mawaziri kwa kushinikizwa angekuwa strong angefukuza hao kabla ya kutishika bungeni.

      INABIDI UWE NA ROHO NGUMU KUMTETEA. WALIO WENGI WANA MRARAMIKIA WE MBONA NAWEWE NI KAMA YEYE?

    23. #40
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 255
      Rep Power : 488
      Likes Received
      83
      Likes Given
      62

      Default re: Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali.....

      Quote By Crashwise
      Kuendelea kuichekea serikali ya CCM na kiongozi wao dhaifu ni ujinga angalau Mnyika umesema ukweli na utabaki kwenye kumbukumbu kuwa Kikwete ni mdhaifu kashindwa kuiongoza nchi na hii serikali yake legelege...hivi hawa watoto wana matumaini gani?

      Attachment 56860
      CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeee
      Attachment 56861
      Dogo wabunge wako wanashinda kutukana chama cha upinzani.

      Kwa rasilimali tulizojaliwa na Mola kwa kweli ni kufuru kubwa kuendelea kuona watoto walio katika hali hii huku tukijivunia miaka 50 ya Uhuru! Tena tukaiadhimisha kwa mbwembwe na gharama ya kutisha!!

    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...