Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Upepo wa Kisiasa unaashiria kwamba huko tunakokwenda hali inaweza ikawa tete kiasi cha kukosekana mtu wala taasisi yoyote ya kuirudisha kwenye hali ya kawaida.

      Ushindani wa vyama hivi viwili naona kama umeingia kwenye stage ingine kabisa, kiasi kwamba hata wakati wa kujadili mambo ya msingi kabisa ya Kitaifa mambo yanabadirika na kuegemea kwenye hoja za kisiasa zaidi zenye nia ya ama kubomoa chama kingine au kujijenga.

      Mfano ni mchakato wa Katiba ambao kuanzia Bungeni, ghafla ulichukua taswira ya ushindani wa kisiasa, na sasa wakati watanzania tunategemea wabunge wetu wajadiliane na hatimaye mwisho wa siku wakubaliane kwenye mambo ambayo yana maslahi kwa watanzania, ghafla pia mjadala umeamia kwenye ushindani wa hoja za kisiasa ambazo hivi sasa matusi na moja ya kiungo chake muhimu sana.

      Nikikumbuka mauhaji yaliyojitokeza kwenye uchaguzi mdogo wa ulambo na arumeru mashariki, na namna Rais Kikwete a.k.a Mdhaifu anavyoendelea kushindwa kukabiliana na chagamoto za Muungano kutokea kisiwani Unguja akibuy time kwa sababu za kisiasa, naishiwa kabisa uwezo wa kuona uendelevu wa amani na utulivu katika taifa letu ndani ya kipindi kifupi kijacho.

      Mimi kwa nia njema kabisa, naonelea kwamba, ili tuweze kuwa na Bunge lenye kusimamia Maslahi ya Watanzania na kuwarudisha watanzania katika hali ya kuendesha siasa za kuvumiliana kuna haja ya hivi vyama viwili vifutwe sababu naamini kwamba nguvu ya mabadiriko yanayohitajika iko mioyoni mwa watanzania ama sivyo muda si mrefu tutajikuta tunachepuka kutoka kwenye hoja ya kupigania ustawi wa jamii yetu na kuanza kupigania vyama.
      MAMA POROJO and solokondo like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. BAK
      #2
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,606
      Rep Power : 44966
      Likes Received
      8360
      Likes Given
      8337

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Hakuna kuvumiliana pale ambapo Utajiri wa nchi unawanufaisha wachache ndani ya Serkali fisadi na Wageni wanaojifanya ni wawekezaji kumbe ni wezi tu. Magamba imeshajifia inasubiri kuzikwa tu. CDM haitalala mapaka kieleweke.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    4. #3
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,988
      Rep Power : 1181
      Likes Received
      1102
      Likes Given
      634

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Hoja dhaifu kama alivyo mwenyekiti wako dhaifu,
      Kichuguu likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    5. #4
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,632
      Rep Power : 5719
      Likes Received
      1067
      Likes Given
      2500

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Inaelekea kuwa watu wengi bado hawajaelewa maana na faida za vyama vya upinzani katika demokrasia. Kuna haja ya kutilia mkazo somo la siasa au uraia katika ngazi zote za elimu, hasa elimu ya watu wazima.
      Kichuguu likes this.
      Semper fi!

    6. #5
      Mwanandani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 152
      Rep Power : 389
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Hoja yaki puuzi kama sekali ya Ccm ilivo ya kipuuzi.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By Dingswayo
      Inaelekea kuwa watu wengi bado hawajaelewa maana na faida za vyama vya upinzani katika demokrasia. Kuna haja ya kutilia mkazo somo la siasa au uraia katika ngazi zote za elimu, hasa elimu ya watu wazima.
      Faida zinaeleweka, lakini wasi wasi wangu ni kwamba namna ya kuendesha mfumo huu wa kisiasa bila kuathiri amani na utulivu wetu na zaidi kuhakikisha kwamba tunanufaika nao ni weledi ambao hatunao kiasi cha kutosha.

      Kuwa na orodha ya faida za mfumo wa vyama vingi ambazo mwisho wa siku tunaziona zikipepeluka kama njiwa haisaidii kitu, kwa mfano angalia mchakato wa kujadili bajeti unaoendelea bungeni, vyama vyote viwili vimechukua extreme positions.

      Wabunge wa CHADEMA wanasema Bajeti ya Mgimwa iondolewe bungeni, maana yake hawaoni point hata moja
      Wabunge wa CCM wanasema Bajeti ya Zitto ni Rabish.

      where will they meet, na hakuna dalili za utayari wa kukubaliana kufikia makubaliano japo kwa kubuy points kutoka pande zote, mwisho wa siku kura zitapigwa budget utapitishwa na wananchi tutabaki kushangaa kwamba ni nini hasa kilikuwa kinaendelea pale.

      Kwamba vyama vya upinzani vinaisimamia serikali, we unaona dalili yoyote ya CCM kukubaliana na hili?

    9. #7
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,235
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      462

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By Sangarara
      Upepo wa Kisiasa unaashiria kwamba huko tunakokwenda hali inaweza ikawa tete kiasi cha kukosekana mtu wala taasisi yoyote ya kuirudisha kwenye hali ya kawaida.

      Ushindani wa vyama hivi viwili naona kama umeingia kwenye stage ingine kabisa, kiasi kwamba hata wakati wa kujadili mambo ya msingi kabisa ya Kitaifa mambo yanabadirika na kuegemea kwenye hoja za kisiasa zaidi zenye nia ya ama kubomoa chama kingine au kujijenga.

      Mfano ni mchakato wa Katiba ambao kuanzia Bungeni, ghafla ulichukua taswira ya ushindani wa kisiasa, na sasa wakati watanzania tunategemea wabunge wetu wajadiliane na hatimaye mwisho wa siku wakubaliane kwenye mambo ambayo yana maslahi kwa watanzania, ghafla pia mjadala umeamia kwenye ushindani wa hoja za kisiasa ambazo hivi sasa matusi na moja ya kiungo chake muhimu sana.

      Nikikumbuka mauhaji yaliyojitokeza kwenye uchaguzi mdogo wa ulambo na arumeru mashariki, na namna Rais Kikwete a.k.a Mdhaifu anavyoendelea kushindwa kukabiliana na chagamoto za Muungano kutokea kisiwani Unguja akibuy time kwa sababu za kisiasa, naishiwa kabisa uwezo wa kuona uendelevu wa amani na utulivu katika taifa letu ndani ya kipindi kifupi kijacho.

      Mimi kwa nia njema kabisa, naonelea kwamba, ili tuweze kuwa na Bunge lenye kusimamia Maslahi ya Watanzania na kuwarudisha watanzania katika hali ya kuendesha siasa za kuvumiliana kuna haja ya hivi vyama viwili vifutwe sababu naamini kwamba nguvu ya mabadiriko yanayohitajika iko mioyoni mwa watanzania ama sivyo muda si mrefu tutajikuta tunachepuka kutoka kwenye hoja ya kupigania ustawi wa jamii yetu na kuanza kupigania vyama.
      Walioko Chadema wataendelea Vizuri kuwa wananchi; Walio CCM Mmmm hatari hawata weza, Wamezoea Madaraka

      Wamezoea Ubwanyenye, Ubabe, Mfano Lau Masha kaondolewa Uwaziri lakini UCCM bado unamlinda, haendi kazini kila

      Siku kazi yake anaifanyia Bar; CCM imempa kila kitu hana Shida... Sasa utaniambia Riz1 atarukaruka Mjini bila CCM? Hao

      Vidada Vyote Wabunge wa CCM watakula wapi? Hiyo ni hatari kwa CCM utaleta JANGA LA TAIFA

    10. #8
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,632
      Rep Power : 5719
      Likes Received
      1067
      Likes Given
      2500

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By Sangarara
      Faida zinaeleweka, lakini wasi wasi wangu ni kwamba namna ya kuendesha mfumo huu wa kisiasa bila kuathiri amani na utulivu wetu na zaidi kuhakikisha kwamba tunanufaika nao ni weledi ambao hatunao kiasi cha kutosha.

      Kuwa na orodha ya faida za mfumo wa vyama vingi ambazo mwisho wa siku tunaziona zikipepeluka kama njiwa haisaidii kitu, kwa mfano angalia mchakato wa kujadili bajeti unaoendelea bungeni, vyama vyote viwili vimechukua extreme positions.

      Wabunge wa CHADEMA wanasema Bajeti ya Mgimwa iondolewe bungeni, maana yake hawaoni point hata moja
      Wabunge wa CCM wanasema Bajeti ya Zitto ni Rabish.

      where will they meet, na hakuna dalili za utayari wa kukubaliana kufikia makubaliano japo kwa kubuy points kutoka pande zote, mwisho wa siku kura zitapigwa budget utapitishwa na wananchi tutabaki kushangaa kwamba ni nini hasa kilikuwa kinaendelea pale.

      PHP Code:
      Kwamba vyama vya upinzani vinaisimamia serikaliwe unaona dalili yoyote ya CCM kukubaliana na hili
      Uzuri wa demokrasia ni kuwa wakati ukitimia wananchi ndio watakuwa na mamlaka na uwezo wa kuamua. Bila ya kuwa na vyama vya upinzani itakuwa vigumu kwa wananchi kufanya hivyo.
      Semper fi!

    11. #9
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      SANGARARA,

      kama ni maneno yaliyotoka rohoni wakati avatar yako ina picha ya Dk. Slaa ni wazo jema.

      Utakubali kupoteza huyo kipenzi chako na chama chake.??????

    12. #10
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By MAMA POROJO
      SANGARARA,

      kama ni maneno yaliyotoka rohoni wakati avatar yako ina picha ya Dk. Slaa ni wazo jema.

      Utakubali kupoteza huyo kipenzi chako na chama chake.??????
      Sijasema tuwazue viongozi wa vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa, hiyo ni haki yao ya msingi kabisa, lakini vyama hivi viwili vifutwe kama DR SLAA ataenda CUF au vipi hayo ni mambo mengine, cha msingi tutapata fursa ya kukaa na kuanza kufikiria mambo ya kitaifa kuanzia point moja na sio kama ilivyo sasa.

    13. #11
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By Dingswayo
      Uzuri wa demokrasia ni kuwa wakati ukitimia wananchi ndio watakuwa na mamlaka na uwezo wa kuamua. Bila ya kuwa na vyama vya upinzani itakuwa vigumu kwa wananchi kufanya hivyo.
      kwa hiyo wewe unaona kwamba wakati pekee wananchi wanastahili kushiriki actively kwenye mchakato wa kimaamuzi kwenye mfumo wa vyama vingi ni wakati wa kupiga kura tu?

      Umeniongezea sababu ya kuamini kwenye ulazima wa kufuta hivi vyama.
      Dingswayo likes this.

    14. #12
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,801
      Rep Power : 777
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Jifunze kwanza maana ya vyama vya siasas na umuhimu wa vyama vya upinzani. Bila migongano kama hiyo, hakuna maendeleo, maana hakuna wa kumkosoa mwenzake, wote ni NDIO MZEE.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    15. #13
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By sawabho
      Jifunze kwanza maana ya vyama vya siasas na umuhimu wa vyama vya upinzani. Bila migongano kama hiyo, hakuna maendeleo, maana hakuna wa kumkosoa mwenzake, wote ni NDIO MZEE.
      Sasa Kinachoendelea Bungeni ni Migongano au Mifarakano? hawakubalini kwa kitu chochote kile alafu wewe unasema wanagongana? kweli?

    16. #14
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Sangarara
      Upepo wa Kisiasa unaashiria kwamba huko tunakokwenda hali inaweza ikawa tete kiasi cha kukosekana mtu wala taasisi yoyote ya kuirudisha kwenye hali ya kawaida.

      Ushindani wa vyama hivi viwili naona kama umeingia kwenye stage ingine kabisa, kiasi kwamba hata wakati wa kujadili mambo ya msingi kabisa ya Kitaifa mambo yanabadirika na kuegemea kwenye hoja za kisiasa zaidi zenye nia ya ama kubomoa chama kingine au kujijenga.

      Mfano ni mchakato wa Katiba ambao kuanzia Bungeni, ghafla ulichukua taswira ya ushindani wa kisiasa, na sasa wakati watanzania tunategemea wabunge wetu wajadiliane na hatimaye mwisho wa siku wakubaliane kwenye mambo ambayo yana maslahi kwa watanzania, ghafla pia mjadala umeamia kwenye ushindani wa hoja za kisiasa ambazo hivi sasa matusi na moja ya kiungo chake muhimu sana.

      Nikikumbuka mauhaji yaliyojitokeza kwenye uchaguzi mdogo wa ulambo na arumeru mashariki, na namna Rais Kikwete a.k.a Mdhaifu anavyoendelea kushindwa kukabiliana na chagamoto za Muungano kutokea kisiwani Unguja akibuy time kwa sababu za kisiasa, naishiwa kabisa uwezo wa kuona uendelevu wa amani na utulivu katika taifa letu ndani ya kipindi kifupi kijacho.

      Mimi kwa nia njema kabisa, naonelea kwamba, ili tuweze kuwa na Bunge lenye kusimamia Maslahi ya Watanzania na kuwarudisha watanzania katika hali ya kuendesha siasa za kuvumiliana kuna haja ya hivi vyama viwili vifutwe sababu naamini kwamba nguvu ya mabadiriko yanayohitajika iko mioyoni mwa watanzania ama sivyo muda si mrefu tutajikuta tunachepuka kutoka kwenye hoja ya kupigania ustawi wa jamii yetu na kuanza kupigania vyama.
      mkuu lini uchaguzi ulifanyika urambo.? Alafu hoja yako ni dhaifu sana na inaelekea siku hizi umeshakuwa gamba ww.
      Sangarara likes this.

    17. #15
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,801
      Rep Power : 777
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By Sangarara
      Sasa Kinachoendelea Bungeni ni Migongano au Mifarakano? hawakubalini kwa kitu chochote kile alafu wewe unasema wanagongana? kweli?
      Ni kweli yanayoendelee Bungeni yanaweza kuwa sio mazuri kwa jamii kwa sababu Jamii hiyo imelelewa katika hali ya kutopinga kitu cho chote hata kama kinaleta madhara kwao, watakwambia wanamwachia Mungu. Swala la kungalia hapa ni kwamba kwa nini kuna hiyo mifarakano ? Ni nini chanzo chake, je ni maslahi ya Umma, chama au mtu binafsi. Ukiona Mbunge anayetetea maslahi yake binafsi, chama au kikundi fulani ujue huyo ndiye chanzo cha mifarakano kwa faida ya wachache. Lakini kama anatetea maslahi ya Umma, ujue ana haki ya kuanzisha huo mfarakano. Lakini nikukumbushe kitu kimoja, Umma wa Watzania unaenda unabadilika, miaka ya nyuma hakuna mtu angeweza kumsema vibaya Kiongozi wa nchi, viongozi wa nchi waliheshimiwa au kuogopwa sana, akitembelea sehemu maduka yanafungwa !!!! Ina maana kuna kitu kimeenda vibaya miaka ya hivi karibuni. Hakuna nidhamu ya uoga, watu wamekuwa wakweli na kuhoji mambo ya nchi, sasa inabidi viongozi wawe tayari kutoa uafafanuzi bila kutumia nguvu, matumizi ya nguvu yanajenga uadui miongoni mwa Serikali na Wananchi wake. watu wametawanyika sana, unaweza kuwa unaishi Bukoba, lakini matumizi ya nguvu yakifanyika Tanga, yanakuadhiri maana kuna ndugu yako huko au kwingineko.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    18. #16
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,497
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default

      Quote By Sangarara
      Upepo wa Kisiasa unaashiria kwamba huko tunakokwenda hali inaweza ikawa tete kiasi cha kukosekana mtu wala taasisi yoyote ya kuirudisha kwenye hali ya kawaida.

      Ushindani wa vyama hivi viwili naona kama umeingia kwenye stage ingine kabisa, kiasi kwamba hata wakati wa kujadili mambo ya msingi kabisa ya Kitaifa mambo yanabadirika na kuegemea kwenye hoja za kisiasa zaidi zenye nia ya ama kubomoa chama kingine au kujijenga.

      Mfano ni mchakato wa Katiba ambao kuanzia Bungeni, ghafla ulichukua taswira ya ushindani wa kisiasa, na sasa wakati watanzania tunategemea wabunge wetu wajadiliane na hatimaye mwisho wa siku wakubaliane kwenye mambo ambayo yana maslahi kwa watanzania, ghafla pia mjadala umeamia kwenye ushindani wa hoja za kisiasa ambazo hivi sasa matusi na moja ya kiungo chake muhimu sana.

      Nikikumbuka mauhaji yaliyojitokeza kwenye uchaguzi mdogo wa ulambo na arumeru mashariki, na namna Rais Kikwete a.k.a Mdhaifu anavyoendelea kushindwa kukabiliana na chagamoto za Muungano kutokea kisiwani Unguja akibuy time kwa sababu za kisiasa, naishiwa kabisa uwezo wa kuona uendelevu wa amani na utulivu katika taifa letu ndani ya kipindi kifupi kijacho.

      Mimi kwa nia njema kabisa, naonelea kwamba, ili tuweze kuwa na Bunge lenye kusimamia Maslahi ya Watanzania na kuwarudisha watanzania katika hali ya kuendesha siasa za kuvumiliana kuna haja ya hivi vyama viwili vifutwe sababu naamini kwamba nguvu ya mabadiriko yanayohitajika iko mioyoni mwa watanzania ama sivyo muda si mrefu tutajikuta tunachepuka kutoka kwenye hoja ya kupigania ustawi wa jamii yetu na kuanza kupigania vyama.
      Mkuu,ni lazima ukumbuke kuwa hata ccm na cdm vikifutwa,bado vitaibuka vyma vingine.Ninachoona mimi ni Ccm imeshindwa kujibu hoja nzito zinaz6 ibuliwa na cdm na matokeo yake ni kutumia matusi nk.
      Hata hivyo,ushindani huu wa kisiasa una matokeo chanya!
      Kumbuka katiba mpya,vita dhidi ya ufisadi hazikuwa ajenda za ccm bali wameiga cdm.

    19. #17
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,323
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      1190
      Likes Given
      1562

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Quote By sawabho
      Ni kweli yanayoendelee Bungeni yanaweza kuwa sio mazuri kwa jamii kwa sababu Jamii hiyo imelelewa katika hali ya kutopinga kitu cho chote hata kama kinaleta madhara kwao, watakwambia wanamwachia Mungu. Swala la kungalia hapa ni kwamba kwa nini kuna hiyo mifarakano ? Ni nini chanzo chake, je ni maslahi ya Umma, chama au mtu binafsi. Ukiona Mbunge anayetetea maslahi yake binafsi, chama au kikundi fulani ujue huyo ndiye chanzo cha mifarakano kwa faida ya wachache. Lakini kama anatetea maslahi ya Umma, ujue ana haki ya kuanzisha huo mfarakano. Lakini nikukumbushe kitu kimoja, Umma wa Watzania unaenda unabadilika, miaka ya nyuma hakuna mtu angeweza kumsema vibaya Kiongozi wa nchi, viongozi wa nchi waliheshimiwa au kuogopwa sana, akitembelea sehemu maduka yanafungwa !!!! Ina maana kuna kitu kimeenda vibaya miaka ya hivi karibuni. Hakuna nidhamu ya uoga, watu wamekuwa wakweli na kuhoji mambo ya nchi, sasa inabidi viongozi wawe tayari kutoa uafafanuzi bila kutumia nguvu, matumizi ya nguvu yanajenga uadui miongoni mwa Serikali na Wananchi wake. watu wametawanyika sana, unaweza kuwa unaishi Bukoba, lakini matumizi ya nguvu yakifanyika Tanga, yanakuadhiri maana kuna ndugu yako huko au kwingineko.
      Mkuu, unaweza ukaderive point yako kutokea kwenye mfano wa familia ambayo wote wawili, baba na mama wanataka agenda zao binafsi ndio ziwe muongozo wa kuendesha familia? Be sincere please.

    20. #18
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 241
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

      Unavyoongea unaonekana kuwa mbumbumbu wa siasa,au la basi umetumwa na mbatia.Lakini pia kwa mbali una ka-element ka kike kike,yaani ka uoga.Vyama vinafanya siasa,tangu mwaka 1995,tumekuwa na uchaguzi wa vyama vingi. Nyinyiemu mmekuwa mkishinda hadi mliposhindwa 2010 na kung'ang'ania.Lakini pia mmekuwa mkiwatisha wananchi mliowanyima elimu kwa muda mrefu sasa kuwa wakichagua upinzani wamechagua vita. Swali langu la msingi ni hivi,kwamba Cdm wakipewa ridhaa ya kuiongoza nchi wataanzisha vita ya nini?.Logically ni kwamba ccm ndio wako tayari kuanzisha vita kama watatolewa madarakani,na kama hawana nia hiyo basi wamewanyima wananchi elimu ili kila mara wawaendelee na hizo hoja legelege.Naomba nikwambie mwanzisha mada kuwa,huwezi kudanganya watu wote muda wote. Muda wa uongo wa ccm umefika mwisho,na siku ya kufa nyani,nyani mwenyewe huteleza na sio miti.Ccm wanateleza,cdm na wananchi tupo imara kipindi hiki.
      #19

  • style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="images/misc/unknown.gif" alt="sawabho's Avatar" />
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 25th February 2011
    Location : Miyakojima
    Posts : 1,801
    Rep Power : 777
    Likes Received
    416
    Likes Given
    121

    Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

    Quote By Sangarara
    Mkuu, unaweza ukaderive point yako kutokea kwenye mfano wa familia ambayo wote wawili, baba na mama wanataka agenda zao binafsi ndio ziwe muongozo wa kuendesha familia? Be sincere please.
    Kwa kuwa Baba na Mama ndio wenye familia hiyo, ni ruksa agenda zao za siri kuendesha familia yao, lakini haziwezi kutumika kuendesha familia nyingine kama vile ambavyo agenda za CHADEMA haziwezi kuendesha CCM na kinyume chake. Aidha, kama unaelewa ni kwa makusudi gani vyama vya upinzani vilianzishwa, huwezi kupendekeza kuwa vifutwe. Kumbuka vyama hivi vilianzishwa ili kukikosoa chama tawala chochote kiwacho na kutoa changamoto ili kiweze kuongoza vizuri kwa sababu kitakuwa na hofu kuwa kama kikifanya vibaya kitanyang'anywa madaraka. Kwa hiyo waliasisi mfumo wa vyama vingi walifahamu kuwa kutakuwepo na mitafaruku katika mfumo huu, na hiyo mitafaruku ndiyo chachu ya kujirekebisha na kuleta maendeleo. ZINGATIA WAJIBU WA VYAMA VYA UPINZANI.
    INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

  • #20
    Sangarara's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 29th September 2011
    Posts : 3,323
    Rep Power : 1202
    Likes Received
    1190
    Likes Given
    1562

    Default Re: Kuna haja ya kuvifuta vyote viwili, CHADEMA na CCM

    Quote By SAGANKA
    Unavyoongea unaonekana kuwa mbumbumbu wa siasa,au la basi umetumwa na mbatia.Lakini pia kwa mbali una ka-element ka kike kike,yaani ka uoga.Vyama vinafanya siasa,tangu mwaka 1995,tumekuwa na uchaguzi wa vyama vingi. Nyinyiemu mmekuwa mkishinda hadi mliposhindwa 2010 na kung'ang'ania.Lakini pia mmekuwa mkiwatisha wananchi mliowanyima elimu kwa muda mrefu sasa kuwa wakichagua upinzani wamechagua vita. Swali langu la msingi ni hivi,kwamba Cdm wakipewa ridhaa ya kuiongoza nchi wataanzisha vita ya nini?.Logically ni kwamba ccm ndio wako tayari kuanzisha vita kama watatolewa madarakani,na kama hawana nia hiyo basi wamewanyima wananchi elimu ili kila mara wawaendelee na hizo hoja legelege.Naomba nikwambie mwanzisha mada kuwa,huwezi kudanganya watu wote muda wote. Muda wa uongo wa ccm umefika mwisho,na siku ya kufa nyani,nyani mwenyewe huteleza na sio miti.Ccm wanateleza,cdm na wananchi tupo imara kipindi hiki.
    Unakumbuka lakini kwamba, mfumo wa kuendesha nchi kwa miongozo ya vyama vya siasa ni mfumo mgeni sana hapa kwetu, of course ulianza baada ya kupata uhuru. unataka kusema kwamba jamii zote zilizokuwapo huko nyuma zilijiendesha vipi? akili zako zimefikia mwisho wa kufikiria kwa ufahamu kwamba mfumo wa vyama vingi unaleta changamoto kwa chama tawala sio? unajua kwamba record nzuri ya uongozi wa taifa hili tunayompa baba wa Taifa inatokana na kuongoza Taifa hili chini ya mfumo wa Chama Kimoja? think out of the box.

  • Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...