Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Report Post
    Page 28 of 29 FirstFirst ... 1826272829 LastLast
    Results 541 to 560 of 561
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu.

      Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.

      Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba.

      Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge.

      Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

      John Mnyika
      19 Juni 2012
      Kichuguu, BAK, Hofstede and 42 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #541
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By nyanzalapy
      Mnasema mdhaifu kwa sababu ametoa uhuru wa kujieleza,
      wakati wa awamu zilizopita kabla yake yote haya yalikuwa yanatokea nani alikuwa anaweza kuthubutu kunyanyua mdomo wake kuyaongea? Waliojitoa mhanga kuongea tulikuwa tukishuhudia kashkash walizozipata na wengine kupotelea kusikojulikana, naona ndio shukrani mnayo mpatia kwa kutoa uhuru mkubwa sana, sasa hivi kila mtu ni msemaji mkuu,hayakuwepo yote hayo huko nyuma otherwise jf ingekuwa imeshafungiwa zamani sana, pia magazeti tulikuwa tukiona yanafungiwa baada ya either kuandika vibaya kuhusu serikali au la, waswahili husema shukrani ya punda ni .........
      Uhuru wa maoni ni haki ya kikatiba, jei kei hana la kujisifu hapo. Ila pia,suala la watu kue-xercise huo uhuru lazima lipatikane kwa njia moja ama nyingine,leo ama kesho..watu hawawezi kuvumilia shida milele. Ngoma ikilia sana hupasuka mjomba,umesahau???

      Hata Hosni Mubarak alilazimika kuhakikisha uhuru wa maoni kwa wamisri mwaka jana...ukombozi ni suala la muda muafaka tu..muda wetu ni sasa.
      ***********To Do is to Know***********

    4. #542
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By nginda
      Kumbe hata hiyo avantar yako inadhihirisha kuwa una rotten mind. Huoni aibu peke yako kujikomba kwa mtu kama JK ambaye ni janga la taifa? Unahitaji akili gani kuliona hilo? nakushauri uende mirembe mwenyewe ukapate afaya ya ubongo wako.
      Chadema-Kata bana kwa hiyo wewe kujikomba kwa Mbowe ni sawa?
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    5. RMA
      #543
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

    6. #544
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 456
      Rep Power : 483
      Likes Received
      120
      Likes Given
      31

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Ritz
      Kama Mnyika sio dhaifu waletee maji wakazi wa ubungo, Kimara Bonyokwa, Kimara Suka, Kimara Temboni, pamoja na barabara.
      acha utoto , tayari wewe mtu mzima sasa,hujitambui , mnyika kafuatilia sana dawasa na dawasco na ndo kaibua mradi mkubwa wa maji ambao tayari pesa zake ziko tayari mradi utaanza kutekelezwa septmber mwaka huu utaanza kutekelezwa huo ndo utakuwa ufumbuzi
      Mtumishi Wetu likes this.

    7. #545
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By SILENT WHISPER
      alete maji kwani yeye ni Mungu..? kama presida ni DHAIFU barabara zitatoka wapi..?? maendeleo kutokana na kodi zetu 0%? unadhani barabara inajengwa kwa kinyesi..??
      Wewe hunajua kama Mnyika kapewa millioni 15 za mfuko jimbo kutoka bunge kamuulize kazifanyia nini hizo pesa.
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    8. RukaaJuu Final

    9. #546
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Angel Msoffe
      mnyika amegonga msumari kwenye donda bichi

      Asee mpaka mwili umenisisimka...nimemkumbuka Jesus...ila ni kweli kabisa.hii ndiyo tafsiri sahihi ya alichofanya..
      ***********To Do is to Know***********

    10. #547
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By kupelwa
      acha utoto , tayari wewe mtu mzima sasa,hujitambui , mnyika kafuatilia sana dawasa na dawasco na ndo kaibua mradi mkubwa wa maji ambao tayari pesa zake ziko tayari mradi utaanza kutekelezwa septmber mwaka huu utaanza kutekelezwa huo ndo utakuwa ufumbuzi
      Sasa sijui mie na wewe nani mtoto
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    11. #548
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 961
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Sikonge
      Sikonge walituahidi kutuletea MELI. CCM tukawauliza mbona huku hakuna Mto, Ziwa au Bahari?

      Wakatujibu kuwa hata Mto au Ziwa ikibidi watatuletea.....

      Mbunge wetu hata hivyo anatetea Wasanii wa Tanzania na si Wanyamwezi wa Sikonge.
      Duh! Mi sijawasikia hiyo ahadi HEWA, mna haki ya kumshataki mtoa ahadi
      Sikonge likes this.

    12. #549
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,048
      Rep Power : 917
      Likes Received
      572
      Likes Given
      159

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Ritz
      Wewe hunajua kama Mnyika kapewa millioni 15 za mfuko jimbo kutoka bunge kamuulize kazifanyia nini hizo pesa.
      unajua kilometa moja ya barabara milion ngapi..?? mil 15 kitu gani..? halafu ati wewe ni Gold member..! shame!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    13. #550
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By SILENT WHISPER
      unajua kilometa moja ya barabara milion ngapi..?? mil 15 kitu gani..? halafu ati wewe ni Gold member..! shame!
      Ni wapi nimekuambia milioni 15 zinajenga barabara? Kweli nimeamini kauzu ni zaidi ya dagaa.

      Nilichosema nyie Chadema muulizeni Mnyika, milioni 15 za mfuko wa bunge kazipeleka wapi zinatosha kuchimba hata kisima kimoja cha maji Bonyokwa.

      Halafu mie kuwa Gold Member wala sio kitu cha kujivunia hata wewe hunaweza kuwa JF ni yetu wote.

      JF Daima

    14. #551
      Edwin Mtei's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 13th December 2008
      Location : Arusha at my farm.
      Posts : 133
      Rep Power : 6081
      Likes Received
      202
      Likes Given
      104

      Default Re: Mnyika live channel ten


      Inaonekana WanaJF kadhaa wanawapa wabunge majukumu wasiostahili.

      Jukumu la Mbunge, hata kama ni wa Upinzani kama Mhe. John Mnyika, ni kuhakikisha Serikali inatoa huduma na kuleta maendeleo katika jimbo lake kwa kutumia fedha wananchi na wapiga kura wanazolipa kama kodi. Pia anahakikisha kwamba miradi ya maendeleo inaletwa ktk jimbo lake na inatekelezwa, na hapa fedha za mikopo toka ng-ambo mara nyingi hutumika.

      Wakati mwingine Mbunge anaweza kuwa na wahisani wake binafsi watakao lipia miradi kama kuchimba kisima cha maji au kutengeneza Shule ya Msingi, kujenga upya au kukarabati zahanati n.k. Yeye mwenyewe pia anaweza kujitolea au kufanya harambee ili jamii ichangie, miradi hiyo.

      Wakati wa kuandaa bajeti ya mwaka Mbunge ana-lobby katika Wizara akizungumza na Maafisa Maendeleo ili miradi inayowekwa kwenye Mpango wa Maendeleo itekelezwe, hususan ktk jimbo lake.

      Naamini Mbunge shupavu kama John Mnyika anaweza. Hata alipokuwa bado kuchaguliwa alikuwa ana-initiate miradi huko Ubungo. Hongera Mheshimiwa!!!!!!!

    15. #552
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Mbali ya Mnyika watanzania wengi wana jua kuwa Jk ni kiongozi Dhaifu zaidi kupata kutokea may be Duniani, muulize yeyote mwenyeakili timamu atakuambia JK ni Dhaifu, labda Ritz pekee, kwahiyo kama nikujimaliza kisiasa basi watanzania ndo wanajimaliza
      Quote By Ritz
      Mnyika yeye aendelee kusisitiza lakini ajue anazidi kujipoteza kwenye siasa.

    16. #553
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1660
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      191

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Edwin Mtei

      Inaonekana WanaJF kadhaa wanawapa wabunge majukumu wasiostahili.

      Jukumu la Mbunge, hata kama ni wa Upinzani kama Mhe. John Mnyika, ni kuhakikisha Serikali inatoa huduma na kuleta maendeleo katika jimbo lake kwa kutumia fedha wananchi na wapiga kura wanazolipa kama kodi. Pia anahakikisha kwamba miradi ya maendeleo inaletwa ktk jimbo lake na inatekelezwa, na hapa fedha za mikopo toka ng-ambo mara nyingi hutumika.

      Wakati mwingine Mbunge anaweza kuwa na wahisani wake binafsi watakao lipia miradi kama kuchimba kisima cha maji au kutengeneza Shule ya Msingi, kujenga upya au kukarabati zahanati n.k. Yeye mwenyewe pia anaweza kujitolea au kufanya harambee ili jamii ichangie, miradi hiyo.

      Wakati wa kuandaa bajeti ya mwaka Mbunge ana-lobby katika Wizara akizungumza na Maafisa Maendeleo ili miradi inayowekwa kwenye Mpango wa Maendeleo itekelezwe, hususan ktk jimbo lake.

      Naamini Mbunge shupavu kama John Mnyika anaweza. Hata alipokuwa bado kuchaguliwa alikuwa ana-initiate miradi huko Ubungo. Hongera Mheshimiwa!!!!!!!
      So far .... not so good.
      Keeping quiet is a war crime.

    17. #554
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Bob G
      Mbali ya Mnyika watanzania wengi wana jua kuwa Jk ni kiongozi Dhaifu zaidi kupata kutokea may be Duniani, muulize yeyote mwenyeakili timamu atakuambia JK ni Dhaifu, labda Ritz pekee, kwahiyo kama nikujimaliza kisiasa basi watanzania ndo wanajimaliza
      Mkuu umepata wapi mamlaka ya kuwa msemaji wa Watanzania?

      Hata mie naona Mbowe ni kiongozi dhaifu sana na siyo mkweli kawadanganya Watanzania kuwa karudisha gari la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kumbe bado analo...

      Tundu Lissu ni zaidi ya dhaifu yeye anasema hataki kuchukuwa posho lakini anashangaa wanamuwekea kwenye account yake na anazitumia kama kawaida.

      Mtu ambaye sio dhaifu ndani ya Chadema ni Zitto Kabwe, anachosema ndicho anachokisimamia kasema hataki posho na kweli hataki kweli achukui.

    18. #555
      sahini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 360
      Likes Received
      3
      Likes Given
      10

      Default Re: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      Shida watu hatupendi kuambiwa ukweli,ila huo ndio ukweli na ujumbe umefika.Endelea siku zote kusema ukweli siku zote utakuwa huru

    19. #556
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,929
      Rep Power : 1029
      Likes Received
      759
      Likes Given
      333

      Default Re: Mnyika live channel ten

      Quote By Ritz
      Kama Mnyika sio dhaifu waletee maji wakazi wa ubungo, Kimara Bonyokwa, Kimara Suka, Kimara Temboni, pamoja na barabara.
      mkuu mwambie mchumi wenu numberi one asiyejua athari za mapato na matumizi ndani ya serikali pamoja na degree zake za madesa, nina uhakika mapepo yakitoka kichwani kwake basi anaweza kabisa kuleta maji katika jiji na dar es salaam pamoja na nyumbani kwako.

      mnyika hajawahi kuchukua hata senti tano ya kodi ya mlala hoi, ni wewe, lusinde, komba na kaka yako mchumi mzee wa kuiba wake za watu......tena kwa kutumia heka za kampeni.............

    20. #557
      MWANAIDEA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 351
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      mnyika alikua sahihi kwani alisema haya wakati raisi yumo ndani ya bunge,kwa mtizamo wangu udhaifu wa raisi kwa kutembeza bakuli kwa wale anaowaita wahisani hajiamini hata kidogo na ndiye anayetuongezea deni la taifa kwa kukopakopa bila sababu ya msingi kwani sisi tunamtuma huko anakozunguka

    21. #558
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      278
      Likes Given
      286

      Default Re: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      Hivi kuna woga katika mazungumzo ya Mnyika hapo juu?
      Kufafanua hoja si kujitetea.
      Kama aliropoka ni vipi alipo banwa na kuambiwa atoe hoja yake kwa Jakaya Mrisho Kikwete ni DHAIFU alitamka wazi wazi kwa hanampango wowote wa kuiondoa hoja hiyo?

      Kufafanua jambo si woga wala dalili ya woga.
      Hali ya hewa imechafuka kweli, kisa mkuu kamegewa vipande vyake na wapambe wanahaha kumsetiri, lakini sioni woga wala ulegevu katika msimamo wa Mnyika.

      Nionacho kuna watu hapa jamvini kwa desturi ya utii bila maswali,wanajifunika viganja nyusoni kwa woga wa kujikomba hawaamini hata kidogo kwmba dogo kampa ukweli mkuu mchana kweupe.

      Watanzania walio wengi wanajua kwamba Rais wao ni Dhaifu na wamekuwa wakiuongeleaa udhaifu wake kila kona ya nchi. Kimsingi wanashukuru kweli dogo kulisema hili hadharani. KWa wale wenye itikadi ya Mwenzetu hoja ya kumwita Kikwete ni dhaifu ni jiwe zito la kuwavunja nguvu mabegani na akili mwao.

      Quote By majebere
      Ameshaanza kujitetea, hii ndio faida ya kuropoka. Sasa woga wa nini wakati umesha chafua hali ya hewa?
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    22. #559
      Sun Tzu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2010
      Posts : 75
      Rep Power : 593
      Likes Received
      20
      Likes Given
      10

      Default Re: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      Quote By Kiganyi
      Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu.

      Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.

      Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba.

      Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge.

      Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

      John Mnyika
      19 Juni 2012
      Tatizo la kuwa na wabunge ambao hawajasoma na wala hawaelimika kwasababu wanapita njia za uongo uongo matokeo yake ndiyo haya.......!

      Inahitajika political maturity ukiwa Bungeni vinginevyo 'Shape up or ship out' Siasa siyo Matusi:-)
      "In time of war, when truth is so precious, it must be protected by a bodyguard of lies." Winston Churchill

    23. RMA
      #560
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

      Jipe moyo Kamanda!!! Sie makamanda wa kesho tupo pamoja!!!


    Page 28 of 29 FirstFirst ... 1826272829 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...