Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

    Report Post
    Page 34 of 36 FirstFirst ... 243233343536 LastLast
    Results 661 to 680 of 712
    1. #1
      frank m's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 377
      Likes Received
      49
      Likes Given
      11

      Default John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Ni kwa kutoa kauli kuwa Rais Kikwete ni dhaifu!

      Amekataa kufuta kauli yake na ametolewa nje ya Ukumbi.
      Asprin, Elli, Bebrn and 11 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #661
      abujarir's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 373
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Post Re: Mhe.JOHN MNYIKA AMEIKAMUA JIPU SERIKALI YA CCM.. NA RAIS..

      Quote By sir.JAPHET
      Katika bunge la leo .. Mheshimiwa john mnyika amesema kuwa rais jakaya mrisho kikwete kuwa ni dhaifu.. Na ccm na wabunge wake ni wazembe..kwa utendaji kazi wao.. Mi binafsi namuunga mkono asilimia mia na hamsini... Nin mtazamo wako..? Na tathmin yako? Bunge lenu kwa kuwa ni FAKE.. LIMEAMUA KUMTOA NJE MHESHIMIWA MNYIKA KWEL N HAKI?
      Mnyika ameshindwa kutumia busara na hekima za bure ktk kuchangia na kuanza kumdhalilisha kiongozi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, sikubaliani namna alivyochangia

    4. #662
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,742
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      146

      Default Re: Mhe.JOHN MNYIKA AMEIKAMUA JIPU SERIKALI YA CCM.. NA RAIS..

      Quote By abujarir
      Mnyika ameshindwa kutumia busara na hekima za bure ktk kuchangia na kuanza kumdhalilisha kiongozi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, sikubaliani namna alivyochangia
      Hajadhalilishwa ndio ukweli wenyewe hatujawahi kupata Raisi dhaifu kama huyu wa awamu ya nne tangu uhuru ,fedha alizoacha Mkapa kala zote,deni la taifa limepanda kwa asilimia 500 ni dhaiiiiiiiiiifu hakuna ku coat sugar

    5. #663
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1198
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By KALAMAZOO1
      Swali zuri ngoja tusubiri majibu,utaambiwa hapa anajadiliwa jk na si watangulizi wake as if jk invented the country
      Mbona Prof Lipumba amekaririwa wiki hii akitoa maoni kuhusu bajeti akisema heri ya Mkapa kuliko Kikwete?
      Mbona mlikaa kimya?

    6. #664
      ICHONDI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 286
      Rep Power : 590
      Likes Received
      29
      Likes Given
      2

      Default Re: Wana UBUNGO wapoteza tena nafasi 2012/2013, ni kwa Utoto wa mbunge wao MNYIKA

      Quote By Tume ya katiba
      Wadau,
      Hasa kwa wale waliopata nafasi ya kufuatilia bunge la leo.

      Ninayo masikitiko makubwa sana, kwa utoto unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge wetu, tuliowaamini na kuwakabidhi nafasi ya kutuwakilisha bungeni. Kwa hakika bunge la bajeti ni miongoni mwa mabunge muhimu sana, sio tu kwa jina lake hapana, pia ni kwa kuwa ndio linakusanya mustakabari wa taifa kwa mwaka mzima ujao

      Kwa waliosikiliza bunge la leo, watakubaliana na mimi kwamba wapo wapinzani makini na wenye lengo la kusaidia taifa hili na wapiga kura wao, na wapo waliolewa sifa/utoto kama Mnyika. nitatoa mifano michache toka kwa hoja zilizotolewa leo.
      na waheshimiwa.

      Mifano wa mpinzani mwenye nia njema
      Ndugu Augustine Mrema (TLP):
      Wadau, kwa wale waliomsikiliza mrema, alikataa kuiunga hoja bajeti ya serikali, kutokana na udhaifu aliouonyesha. Mweshimiwa mrema alisema kuna matatizo makubwa sana katika utekelezwaji ya yale yaliyokubalika katika bajeti iliyopita kutokana na WIZI na UFISADI wa baadhi ya watendaji katika halmashauri katika jimbo lake, Mrema akaendelea kusema kwa kutolea mfano, kuna pesa ambazo zilitoka hazina na zikaishia kutafunwa na hata ile kazi iliyokusudiwa haikufanyika, pia mrema amesema, katika mafungu yaliyotengewa halmashauri yake, si pesa zote zilifika nyingi hazikufika kwa wakati hadi mwaka wa bajeti ilipoisha.

      Lakini pia mrema alizungumzia kuhusu mgogoro wa ardhi ambao umeshapatiwa ufumbuzi na mahakama kuu lakini bado serikali inasita kuchukua hatua, na akaongeza kusema kwa nini kuna double standard? wakati mahakama kuu ikitoa bmaamuzi katika baadhi ya mambo serikali na vyombo husika husimamia amri mara moja na sio kule jimboni mwake?

      Kutokana na haya aliyoyorodhesha Mh. Mrema, alisema HATOUNGA mkono hoja hadi ahakikishiwe utekelezaji wa wa kile kilichokuwemo ndani ya bajeti na hao watendaji wa halmashauri kuchukuliwa hatua, pia alimuomba waziri mkuu atoe tamko juu ya hilo.

      Wakuu, ukiangalia alichofanya mrema ni kuikataa bajeti kwa hoja na ndio ilivyotakiwa, sasa tuangalie kichekesho cha leo

      Mnyika (Chadema)

      Huyu ndie alikuwa kituko cha mwaka katika bajeti yetu, takriban dakika 4-7 alizotumia kati ya dakika 10 alizopewa hakuongelea kabisa mahitaji ya wana ubungo, la ajabu alimuattack Kikwete personal, hata alipoambia afute kauli hakufanya hivyo.

      Wadau huu ni "UTOTO" wa hali ya juu, na ni dharau kubwa kwa wana ubungo, huenda hili linatokana na uwezo mdogo wa waheshimiwa katika kuichambua bajeti, au SIFA zilizowalevya hawa wabunge wetu. Binafsi nimechukizwa sana na mbunge huyu, ambaye wanaubungo walitegemea ahoji kwa niaba yao matatizo mbali mbali yanayowakumba.

      Mwisho, kama ushauri: Wabunge wa upinzani msilewe sifa,wananchi wa majimbno yenu wanaumia. Kama hamna uwezo wa kuchambua bajeti ombeni msaada kwa wanaojua. "Mwaka mwingine, wana ubungo wameupoteza kwa kuchagua WANAHARAKATI"

      By:
      Tume ya katiba
      Umeeleza yote aliyosema Mrema, lakini hukusema aliyosema Mnyika, bali umechambua alichosema. Hiyo si haki, ungesema kile alichosema chote, then utuachie sisi wengine tufanye conclusion. Lakini kuandika alichosema Mrema, na kuchambua alichosema Mnyika si ulinganifu mzuri na nadhani tu una chuki na Mnyika.

      But Mrema na Mnyika wameongelea kitu kile kile "udhaifu", tofauti ni kuwa Mrema Kalalmika bila kumbebesha mtu malalamiko yake, Mnyika kaonyesha ni nani abebe lawama. Haitoshi kulalama na kuomba matamko, bali ni vyema kuingia kwenye shina, labda shina litakumbushwa. Hatuwezi kuendelea kufanya mambo yale yale tuliyofanya miaka ya nyuma, wakati hautungoji, tutabaki hapa hapa tulipo bro

    7. #665
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1132
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Mwanandani
      We kilaza tunajua we niwali mtu.acha upuuzi kama sekali yako ya Ccm na uzaifu waki fikra kama Raisi wako.
      Bwana mdogo we si saizi yangu, hata shule hujaenda, kuandika kwenyewe taabu tupu.
      Tafuta maskani ya kupiga domo upitishe wakati.
      Yours faithfully!

    8. FemaTV & Radio

    9. bdo
      #666
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Hakuna Rais dhaifu duniani kama huyu wa kwetu, kama yupo mtajeni, huyu jamaa ni chaguo la Mungu kweli, kwa maana umeletwa ili CCM ife na ukombozi uanze
      Mamndenyi likes this.

    10. #667
      pusy monster's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 373
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Elizabeth Dominic
      Eti Ndugai atoke nje ya geti kabisa............Mnyika katoka kishujaa, watu tumelipukaje? Peeeeeeeeoples................ ...........
      powerr............

    11. #668
      Urmila's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th April 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Kikwete ni DHAIFU.

    12. #669
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,414
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      1170
      Likes Given
      598

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By FirstLady1
      Mbona amefunga kanga na kujitanda nyingine ni juu ya nini hapo?
      FirstLady1, Hawa jamaa ni wana maigizo hapo anaendeleza fani......

      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    13. #670
      chidou's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 383
      Likes Received
      19
      Likes Given
      35

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Siku zote ukitaka kujua lililofichika kwa m2 mwenye uwezo mdogo wa kufikiri,mwambie ukweli.huwezi kumwambia m2 afute kauli na wakati huohuo unamunyima asifafanue lile alilolitamuka.Kwa taarifa watanzania wa leo wanauelewa wa kutosha,uzoefu unaonyesha hata Dr Slaa alivowataja mafisadi kule mwembe yanga walichachamaa.Mnyika big up keep on it
      Mamndenyi likes this.

    14. #671
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,414
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      1170
      Likes Given
      598

      Default Re: Wana UBUNGO wapoteza tena nafasi 2012/2013, ni kwa Utoto wa mbunge wao MNYIKA

      Quote By Tume ya katiba
      Ninayo masikitiko makubwa sana, kwa utoto unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge wetu, tuliowaamini na kuwakabidhi
      Mnyika (Chadema)

      Huyu ndie alikuwa kituko cha mwaka katika bajeti yetu, takriban dakika 4-7 alizotumia kati ya dakika 10 alizopewa hakuongelea kabisa mahitaji ya wana ubungo, la ajabu alimuattack Kikwete personal, hata alipoambia afute kauli hakufanya hivyo.

      Wadau huu ni "UTOTO" wa hali ya juu, na ni dharau kubwa kwa wana ubungo, huenda hili linatokana na uwezo mdogo wa waheshimiwa katika kuichambua bajeti, au SIFA zilizowalevya hawa wabunge wetu. Binafsi nimechukizwa sana na mbunge huyu, ambaye wanaubungo walitegemea ahoji kwa niaba yao matatizo mbali mbali yanayowakumba.

      Mwisho, kama ushauri: Wabunge wa upinzani msilewe sifa,wananchi wa majimbno yenu wanaumia. Kama hamna uwezo wa kuchambua bajeti ombeni msaada kwa wanaojua. "Mwaka mwingine, wana ubungo wameupoteza kwa kuchagua WANAHARAKATI"

      By:
      Tume ya katiba
      Wewe upo chumbwini ya ubungo unayajuaje?? Sisi wana ubungo ndicho tulichomtuma....hayo ya kwako una mbunge wako anayewakilisha watu 1,500 hapo chumbwini mwambie akalisemee...Acha kufikiria toka kulia kuja kushoto...aseme yapi ya ubungo na yatekelezwe kwa bajeti ipi?? kama mpango wa maendeleo (Rais) alousaini kwa mbwembwe yeye mwenyewe amkeshindwa kuupangia budget atajali ya mnyika na ubungo??? unadhani CDM ni wapuuzi kama CCM na serekali yake waendelee kufanya maigizo ya kuainisha matatizo ya wananchi then unaounga mkono??

      Fikiria kwa kutumia kichwa na fikiria pia kwa usahihi acha kukurupuka kwa mambo yasiyokuhusu kwanza ya Tanganyika yanakuhusu nini wakati wewe uko kwenye nchi huru....Tuache na ubungo yetu na tutaendelea kumchagua.

      Mamndenyi likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    15. #672
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      adhabu imeisha na mheshimiwa mnyika anarudi MJENGOONI..BUNGENI !! MTAJIBEBA CCM.. MTAJUUTAH DC YE@R
      Mamndenyi likes this.

    16. #673
      Mjeda's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      6

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      mnaniudhi sana kwa upingaji/ungaji mkono wa matukio kama haya kwa kutumia ushabiki wa vyama vyenu badala ya kutumia busara na weledi wenu. Wasiwasi wangu kuna siku mbunge wa ccm/cdm atamwaga haja ndogo makusudi ndani ya bunge nanyi kwa akili zenu mtakuwa na mjadala kama huu, jadilini kanuni za bunge na tukio lililotokea msijadili watu EBo!

    17. #674
      Buswelu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2007
      Location : Lake Victora Gold Field.
      Posts : 1,929
      Rep Power : 990
      Likes Received
      174
      Likes Given
      142

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Borat69
      Last time I checked neno "Dhaifu" sidhani ni tusi katika jamii yetu ya Kitanzania. Ukizingatia kuna wabunge wa Chama tawala huwa wanatumia lugha Kali na maneno ya kashfa kupita maelezo.
      Mapenzi yako kwa mabadiliko na chadema yanakuponza na kukupa ukungu wa kutafakari....ka bore akubali hilo na kaka yake zito nae alilisema hilo...Kwingine neko....Badjet yao watu makini kama chadema sikutegemea ingekuwa na basic error kama zile...
      Live Life so Well That even Death Loves to see you Alive.

    18. #675
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 698
      Rep Power : 488
      Likes Received
      279
      Likes Given
      77

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Buswelu
      Mapenzi yako kwa mabadiliko na chadema yanakuponza na kukupa ukungu wa kutafakari....ka bore akubali hilo na kaka yake zito nae alilisema hilo..o.Kwingine neko....Badjet yao watu makini kama chadema sikutegemea ingekuwa na basic error kama zile...
      Hapo sijui unajaribu kusema nini? Au ndio huo ukungu wa fikra unaozungumzia. Anyway mimi sifungamani na Chama chochote cha siasa...soma Signature yangu hapo chini utaelewa. Acha kunywa Chibuku asubuhi,si nzuri kwa ubongo na afya yako.
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    19. #676
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,677
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Wana UBUNGO wapoteza tena nafasi 2012/2013, ni kwa Utoto wa mbunge wao MNYIKA

      Quote By Mkirua
      Wewe upo chumbwini ya ubungo unayajuaje?? Sisi wana ubungo ndicho tulichomtuma....hayo ya kwako una mbunge wako anayewakilisha watu 1,500 hapo chumbwini mwambie akalisemee...Acha kufikiria toka kulia kuja kushoto...aseme yapi ya ubungo na yatekelezwe kwa bajeti ipi?? kama mpango wa maendeleo (Rais) alousaini kwa mbwembwe yeye mwenyewe amkeshindwa kuupangia budget atajali ya mnyika na ubungo??? unadhani CDM ni wapuuzi kama CCM na serekali yake waendelee kufanya maigizo ya kuainisha matatizo ya wananchi then unaounga mkono??

      Fikiria kwa kutumia kichwa na fikiria pia kwa usahihi acha kukurupuka kwa mambo yasiyokuhusu kwanza ya Tanganyika yanakuhusu nini wakati wewe uko kwenye nchi huru....Tuache na ubungo yetu na tutaendelea kumchagua.

      Mbona unahasira sana mkuu, nina ndugu hapo UBUNGO na uzembe wa huyu mbunge unaathiri ndugu yangu.

    20. #677
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      mODS UNGANISHA THREAD ZA MNYIKA PAMOJA ZINABOA NA ZINA FANANA COZ WACHANGIAJI NI WALEWALE
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    21. #678
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,166
      Rep Power : 1531
      Likes Received
      758
      Likes Given
      591

      Default Re: Wana UBUNGO wapoteza tena nafasi 2012/2013, ni kwa Utoto wa mbunge wao MNYIKA

      Quote By Tume ya katiba
      Mbona unahasira sana mkuu, nina ndugu hapo UBUNGO na uzembe wa huyu mbunge unaathiri ndugu yangu.
      Mshauri arudi Zanzibar
      Ukweli utakuweka huru daima

    22. #679
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,618
      Rep Power : 1106
      Likes Received
      998
      Likes Given
      754

      Default Mtei athibitisha jk ni dhaifu!!

      Mbunge wa Ubungo, John Myika kuwa alikuwa sahihi kusema kwa Rais Jakaya Kikwete ni dhaifu, kwa kuwa kuna matukio mengi yaliyohitaji uamuzi wake na hakuutoa kwa wakati.

      Pia Mtei amelaumu Kanuni za Bunge zilizomwezesha Naibu Spika, Job Ndugai kumtoa nje ya ukumbi wa Bunge mbunge huyo.

      Juzi, Mnyika alitolewa nje ya ukumbi wa Bunge, baada ya kukukataa kufuta kauli yake kuwa ‘Rais Jakaya Kikwete ni dhaifu’.
      Akitetea kauli hiyo, Mtei alirejea baadhi ya matukio aliyodai yanaonyesha udhaifu huo, ukiwamo uamuzi ya Rais Kikwete juu ya hatua za kuwachukulia walioiba fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

      Mtei alifafanua kwamba, kitendo cha Rais Kikwete kuwataka wezi hao warudishe fedha walizoiba badala ya kuwakamata, kinadhihirisha udhaifu mkubwa wa kiongozi huyo.

      “Rais Kikwete ana udhaifu wa kuwachukulia hatua za kisheria watu ambao wanahujumu taifa kwa ufisadi…udhaifu wa Rais ni kama kutowadhibiti wezi wa fedha zetu kama fedha za EPA. Aliwaambia wezi warudishe fedha, badala ya kuwatia ndani wanabaki wanatamba kwa kuiba fedha zetu,” alisisitiza Mtei aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu.

      Alisema kibaya zaidi ni kwamba, nchi inayumba kutokana na uongozi mbovu kuanzia ngazi ya urais hadi chini, kwa kuwa tunaongozwa na watu wasiojua na kuisimamia Katiba.

      Kauli kuhusu Bajeti
      Akitoa maoni yake juu ya Bajeti ya Serikali ya mwaka huu, Mtei alisema Bajeti hiyo haina jipya kwa kuwa haishughulikii matatizo na kero za wananchi.

      Alisema Bajeti hiyo ambayo mjadala wake unahitimishwa kesho, haiwezi kukabilina na mfumuko wa bei unaolikabili taifa.

      Kuhusu suala la deni la Taifa linalofikia Sh20.2 trilioni, alisema nchi ipo njia panda, hali ambayo ni hatari kwa kuwa ni mzigo kwa taifa na linazidi kuongezeka kila mwaka.

      Mwanasiasa huyo ambaye ni Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema, aliponda vitendo vya Serikali kukopa fedha kila mara kwenye mabenki ya kibiashara nchini, na kuomba kwa wahisani.
      MBUTAIYO likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    23. #680
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Mtei athibitisha jk ni dhaifu!!

      Ahsante Baba, wenye masikio na wasikie!

    Page 34 of 36 FirstFirst ... 243233343536 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...