Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

    Report Post
    Page 21 of 36 FirstFirst ... 11192021222331 ... LastLast
    Results 401 to 420 of 712
    1. #1
      frank m's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 381
      Likes Received
      49
      Likes Given
      11

      Default John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Ni kwa kutoa kauli kuwa Rais Kikwete ni dhaifu!

      Amekataa kufuta kauli yake na ametolewa nje ya Ukumbi.
      Asprin, Elli, Bebrn and 11 others like this.


    2. #401
      Yo Yo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,895
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1355
      Likes Given
      2594

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      kunahitajika semina,warsha,elimu ya chuo kikuu kujua kama kikwete ni dhaifu???
      Yummy likes this.

    3. #402
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,044
      Rep Power : 14668
      Likes Received
      2953
      Likes Given
      2093

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Matola
      Sasa kama Zungu ni toto la Kariakoo, mbona wamepigwa chini yeye na Abuu Juma wake kwenye uchaguzi wa Meya wa manispaa ya ilala na mtoto mdogo kabisa tena wakuja Jerry Silaa!!??......licha ya kapeni zao za udini na uzawa lakini wamechambishwa sime?
      Lini Zungu aligombea umeya? kwi kwi kwi teh teh teh!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #403
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 990
      Rep Power : 703
      Likes Received
      212
      Likes Given
      82

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Jason bourne
      Sijaelewa imani ya Zitto Kabwe ipo upande upi, nimeona akishangili kitendo cha kutolewa nje Mh Mnyika, ame RT moja ya TWEET kama hii:

      Zittokabwe: RT @Vannmoo: Nidhamu ni kigezo kimojawapo katika siasa za kiungwana,alichokifanya Mnyika sio hekma na sikutegemea kabisa kutoka kwake.
      mkuu jason bouurne,
      kwa faida ya wadau wengi ambao hawajui kuwa mhe zito nae alishawahi kutolewa nje bungeni na sita juu ya buzwagi, hebu wape ilikuwaje.

    5. #404
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,264
      Rep Power : 1513
      Likes Received
      244
      Likes Given
      251

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Speedy
      dada ana Una kasaut kazur twaweza onana Rose garden mara moja
      Unaongelea katikati ya makalio yako mawili.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    6. #405
      Tanganyika50's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 31
      Rep Power : 386
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Annael
      Toa mawazo yako hapa. Usidhani kila unachofikiria wewe wote wako hivyo. Rudi shule kijana au nenda kalima uyoga mtwara.
      Na hilo haswa ndio tatizo lako na lenu wana magamba.....kudhani kwamba nyinyi ndio peke yenu wenye hati miliki ya kufikiri na kujenga mustakabali wa nchi hii....hayo ni mawazo mgando kwa sababu kila raia wa nchi hii ana haki na wajibu sawa wa kuchangia katika kuleta mstakabali mwema kwa nchi hii....na hilo linaanza kwa kuwa wakweli na wawazi....na wote tunajua udhaifu wa Rais wetu na serikali anayoiongoza.....sasa kama hapakuwa na wa kusema hadharani kijana amewasaidia ili muache kusema upenuni na kwenye shuka zenu.


    7. #406
      KALAMAZOO1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 405
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Huyu dogo bana sijui nini! Barabara ya kutokea Kimara mwisho kuelekea Bonyokwa imejaa mashimo hadi sasa daldala haziendi,wapiga kura tunateseka yeye anatafuta umaarufu kunuka.Enzi za Keenje kila baada ya miezi mitatu walikuwa wakipitisha greda.Sasa tokea mwaka huu uanze hakuna cha greda wala nini.Sasa tuseme huu ni udhaifu au nini?

    8. #407
      Marcel_Mich's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Mhe.JOHN MNYIKA AMEIKAMUA JIPU SERIKALI YA CCM.. NA RAIS..

      Udhaifu ni neno zuri tena la kawaida lakini ni tusi kwa mtu anayeujua, na huku akiuficha kwa maslahi binafsi. Lakini kwa watu wenye hekima, ukiambiwa una udhaifu katika maeneo 1,2,3 basi unachukua muda wa kujitafakari na kupanga kujirekebisha, baada ya kumshukuru aliyekuambia. CCM wamekaa kulinda maslahi binafsi ndiyo maana wakiona unaelekea kwenye chungu wanalipuka.
      CETICT

    9. #408
      KALAMAZOO1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 405
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Khakha
      mkuu jason bouurne,
      kwa faida ya wadau wengi ambao hawajui kuwa mhe zito nae alishawahi kutolewa nje bungeni na sita juu ya buzwagi, hebu wape ilikuwaje.
      Umaarufu wa Zito unatokana na kuitoa jasho serikali kwa mambo ya msingi,hautokani na matusi kama huyu dogo

    10. #409
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,044
      Rep Power : 14668
      Likes Received
      2953
      Likes Given
      2093

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Kifulambute
      ikifika wakati tukaruhusu akili kama za kina Nape, luinde na kina Komba kuongoza nchi basi tumekwisha
      Turuhusu akili za mapato "0" kuongeza mishahara ndio ziongoze nchi? kwi kwi kwi teh teh teh, umeisoma bajeti "kiza"? Jana niliainisha hicho kifungu humu na leo kuna Mbunge kakiona, kakimwaga bungeni.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #410
      kine's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 408
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      mnyika pamoja sana.wapasukie hao.ubungo yote 2po pamoja nawe.na ww ndugaye umekurupuka na maamuzi,kuwa udhaifu ni tusi jana wabunge wa ccm wamelopoka sana ulijua hautakuwepo ili umkatishe mnyika asiongee kwa taarifa yako tunafahamu kuwa RAIS NA NDUGAYE NI DHAIFU.endelea kutoa quotations za spika wa ukweli SITA.

    12. #411
      introvert's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 209
      Rep Power : 485
      Likes Received
      94
      Likes Given
      72

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      JK ni dhaifu na pia ni a threat to the national security. "Something" should be done.

      Rais hajui why we are poor? Dhaifu na mpuuzi. Aliomba huo urais wa nini? Hafai hata kidogo.

      Rais anasema wezi warudishe billions wasamehewe? Huu udhaifu unahoji labda na yeye kahusika na huu wizi. Si bure.

      Rais anawasifu na kuwabariki mafisadi wanaoshtakiwa na serikali anayosimamia. Huu si udhaifu tu na upuuzi juu yake.

      Rais anayeogopa presidential debate? Anaonyesha hana debating skills and nothing to show nor say. Dhaifu.

      Rais anayesema angepewa $1bn angeifanya Tanzania heaven ni a joke. Si dhaifu tu, huyu mtu ni empty kichwani. You are the darn president, stop making wishes.

      Rais anayegeuza taasisi ya Urais kuwa ya PR. Miaka saba sasa, maneno tu. Maisha hovyo.

      Rais anayeacha makampuni ya gesi na mafuta kufanya kazi wakati hakuna sheria za kusimamia gesi. Huyu hajaongwa kweli. Huu udhaifu unaibua maswali.

      Tusikatae ukweli. Rais ni dhaifu na zaidi ya hapo. History will be the judge. Bravo Mnyika. Nyoka anapaswa apigwe kichwa.

    13. #412
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,369
      Rep Power : 958
      Likes Received
      521
      Likes Given
      333

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By Takalani Sesame
      Ndiyo Rais ni dhaifu, wabunge ni wazembe na ccm ni wapuuzi. Nitoeni nje ya mtandao.
      Kwa mamlaka niliyojipa ya U-Mod nakupa kinga ya kutokutolewa nje ya mtandano. Nitaruhusu uondolewe ikiwa tu kuna rufaa itakatwa ikiwa na hoja zinazojitosheleza za kuthibitisha kuwa hayo yaliyosemwa hapo juu ni uongo.

    14. #413
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By KALAMAZOO1
      Huyu dogo bana sijui nini! Barabara ya kutokea Kimara mwisho kuelekea Bonyokwa imejaa mashimo hadi sasa daldala haziendi,wapiga kura tunateseka yeye anatafuta umaarufu kunuka.Enzi za Keenje kila baada ya miezi mitatu walikuwa wakipitisha greda.Sasa tokea mwaka huu uanze hakuna cha greda wala nini.Sasa tuseme huu ni udhaifu au nini?
      Unaumwa na kichaa cha mbwa wewe! Hivi unayajua vizuri majukumu ya mbunge?!!!
      Kizotaka likes this.

    15. #414
      jjj2be's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2009
      Posts : 11
      Rep Power : 522
      Likes Received
      0
      Likes Given
      11

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By spika
      Msiwe bendera fuata upepo.mtaikumbuka ccm kwa kushabikia msichokijua!
      Ni KWELI .... USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA .... MTAKUMBUKA SHUKA KUKIWA KUMEKUCHA ....

    16. #415
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,044
      Rep Power : 14668
      Likes Received
      2953
      Likes Given
      2093

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Quote By peoples power
      Zomba Zomba jaribu kuwa karibu na ukweli kwani kweli mara nyingi hutuweka huru.kama alikunywa juisi ya ukwaju ndio vimfanye asiseme ukweli.acha penye ukweli pasemwe ukweli.
      Ukweli au uzushi?

      Wewe anza kwa kusema ukweli, kuna lipi la maendeleo ambalo Kikwete hajafanya zaidi ya Rais yeyote wa kabla yake.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    17. #416
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,652
      Rep Power : 4020
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5067

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Kumfukuza nje kunasaidia nini tena? Mi nimesahau
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    18. #417
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,916
      Rep Power : 830
      Likes Received
      540
      Likes Given
      8

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Nyoka anapaswa apigwe kichwa.
      seniorgeek likes this.

    19. #418
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Kikwete is a weak president ever! Anafaa kuwaongoza watu wa Pwani na Mirembe.

    20. #419
      adolay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 1,777
      Rep Power : 803
      Likes Received
      537
      Likes Given
      525

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Tulikuwa na Kamanda Lema alithubutu kumkemea waziri mkuu kuudanganya uma wa watanzani.

      Tunahitaji wapiganaji wengi wa aina ya Mnyika na Lema kukemea mazezeta wanaodhani inchi hii ni yao na wanaoweza kuamua na kufanya chochote wapendacho hatakama ni cha kijinga. Rais ni Dhaifu haihitaji PhD hata asiye na elimu yoyote anatambua hivyo.


      Kikosi kazi kinajengeka na muda si mrefu matunda yataonekana ni kwa njia ya kokosoana na kuambiana ukweli ndio pekee italiokoa taifa na maafa ya kuficha-ficha matatizo.


      1. Mikataba inasainiwa kwa siri (siri kwa nini na ni kwa manufaa yetu watanzania tunaficha nini kama sio udhaifu na wizi)


      2. makosa yakitokea bungeni (ccm wanaitana kuwekana sawa huu ndo udhaifu na sasa ndugai karuka na mnyika vipi asiruke na lusinde?) wanaingia chemba kufumbana midomo huku wakifahamu wanaicha njia iwapasayo kupita (ukumbi wa bunge) kuwaokoa watanzania.


      Double standard bungeni ni udhaifu mwingine???

    21. #420
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,381
      Rep Power : 35805
      Likes Received
      6785
      Likes Given
      20987

      Default Re: John Mnyika atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

      Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika.



      Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika.
      Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini Mpango wa Taifa wa miaka mitano kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri Jeshi Mkuu. Na yeye ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, bajeti hii iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa imepita kwenye baraza alilloliongoza, pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya udhaifu wa taasisi ya Urais.
      Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye ambaye anapeleka bajeti bungeni, Waziri mwenye dhamana anapeleka tu kwa niaba. Rais amepewa mamlaka makubwa juu ya bajeti ibara ya 99 imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo huku ibara ya 90 inasema bunge likikataa bajeti rais ana mamlaka ya kuvunja bunge. Hivyo Rais Kikwete anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!
      Asprin, Katavi, Mkirua and 2 others like this.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    Page 21 of 36 FirstFirst ... 11192021222331 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...