Tuhuma ya mkuu wa wilaya kuhongwa gari yaibukia bungeni.
Mh Meshak Opulukwa atakiwa kupeleka vielelezo kwa spika ili ishu ishughulikiwe rasmi.
Tuhuma ya mkuu wa wilaya kuhongwa gari yaibukia bungeni.
Mh Meshak Opulukwa atakiwa kupeleka vielelezo kwa spika ili ishu ishughulikiwe rasmi.
Naibu Spika apigwa kipapai na Bibi Chiku Agwao da wa Mama wengine Bwana unagusa sehemu za ukweli kabisa yaani Ndugai kajiona mdogo
Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@
Chku abwao: Mbona deni la taifa linakuwa na maisha yanaendeleo kuwa mabaya? pesa hizi na misaada inapelekwa wapi?
Watanzania tunapenda sana kupakana mafuta aisee. ukimwambia mtu dhaifu (weak) eti ni tusi!! au kumwambia mtu kafanya upuuzi (Negligence) eti ni tusi!! Kha!!!!! ndio maana hata amani yetu ni ya "Kichina"
“ Hata jua liwake vipi, haliwezi kukausha bahari.”
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Ndungai ni dictator. simpendi kabisa
''Trying is a first step to a failure!'' Homer Simpson
Chiku abwao: Nini logic ya ubinafsishaji? yaani unabinafsiha madini utegemee wageni wakupe utajiri, Kweli?
Chiku abwao: Tuzuie ubinafsishaji mpya jamani, Tumegundua gesi tz, lakini je tuna sera ya gesi?
Huyu Mama ni zaidi ya Mnyika da anamsimamo wa Kishibuda zaidi karibu CCM
Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@
Kma wapinzani wakngekuwa kama huyu chiku na mrema, basi tanzania ingepata maendeleo. Maana anaongea poit tupu.
Chiku abwao ampiga vijembe mnyika, apinga wabunge kutumia lugha chafu, asisitiza wajikite katika hoja. Hongera mama
Ndugai naona amelewa madaraka!
Sasa mtu kuambiwa chizi na mwingine kuambiwa dhaifu lipi tusi zitto?
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
tatizo ni ufupi wa ndugai
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Kangi Lugola bajeti ya Zitto ni Bajeti Giza haina mapato ya ndani du Zitto kachemka vibaya
Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@
Jamani mbunge wangu wa SIKONGE baada ya kusikia neno WASANII, limemuuma sana maana kaona katukanwa.
Mbunge Msanii kusikia wabunge wanasimama kama Wasanii, akaona ohh... huyu ananitukana.
Leo nazidi kuamini, UKWELI UNAUMA.
Mwaka jana wakati Sikonge watu wanakufa njaa, Mbunge Wa Jimbo la Sikonge Tabora Saidi Mkumba akimkabidhi Kiongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Saidi Mabera Kitata cha Shilingi Laki Tatu kwa ajili ya bendi.
Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).
Follow Us Here