Kutokana na umahiri wa Mwigulu Nchemba wa kunukulu matheories na theorists kibao, kukandia bajeti ya upinzani, kuiita rubbish na kuitupa; nakusudia kupeleka hoja binafsi kwa mkuu wa kaya ili amteue awe waziri wa Fedha. Kwa Wananiunga mkono tafadhali changieni hoja zenu zenye mshiko hapa . Nafikiri atatufaa huyu kijana kuliko yule mzee wa kihehe.

Reply With Quote



Follow Us Here