Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 87
    1. #1
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      wanabodi wenzangu.

      Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
      Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

      nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

      Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

      “Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
      Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
      Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
      Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
      sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?
      Last edited by Malaria Sugu; 18th June 2012 at 18:00.
      mwongozo likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Bull's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2008
      Posts : 970
      Rep Power : 571
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Mkuu thread yako ni nzuri

      kipengele cha dini kinakuwepo ktk allmost kila sensa ya nchi duniani, Tatizo la wakiristo hawataki watu wajue ukweli kuwa wao ni idadi chache hapa nchini kulingana na waislam, ukweli ukijulikana wanamini kabisa waislam watadai uwiano katika kila sehemu ya utendaji ambao wao wakiristo wamejazana

      Chakujiuliza hapa je wataficha ukweli mpaka lini ????? ilihali dunia sasa imebadilika ????

      Serikali imekataa takwimu ya wakatoliki na imekataa takwimu iliyofanya na chombo chengine chochote, Je ni Nchi gani hii isiyokuwa na takwimu ?????

      Wakae wakijua kuficha ukweli sio kutibu,

    4. #42
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By Wa Ndima
      Hivi hiyo MOU ikisitishwa halafu makanisa yakaamu kuwatibu waumini wa kikristo tu patakalika?
      MoU ikisitishwa hospitali zote zinakufa kifo cha mende... hela watatoa wapi (wamezoea kupewa kwa upendeleo)
      "Mbowe for Presidency 2015""

    5. #43
      Museven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2011
      Posts : 388
      Rep Power : 469
      Likes Received
      54
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mtznunda
      unaongelea dini hii iliyoanzishwa pale paulo alipotundikwa msalaban na wayahud wakidhani nabii issa(yesu wa ukweli)wakapigwa changa la macho na maana mpaka leo alama ya dini yao ni njia panda yaani hawajui waelekee wapi,huwezi fananisha na dini ya haki ya mwenyezi mungu yenye alama ya nyota na mwezi ikimaanisha dini iliyoumbwa kabla ya mwanaadamu(kumbuka mwenyezi mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kabla ya binaadamu)
      Maskini wee. Kweli hujui hata unachokiamini. Unaonesha usivyo na ufahamu na mambo ya dini. Uislamu unaoushobokea una superiority gani juu ya ukristo? Usilete upuuzi humu ukatibua nyongo ya watu bure. Katiba inaruhusu kila mtu kuamini dini aitakayo na si kukashfu dini za wengine.

    6. RMA
      #44
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Hivi hawa waislamu nani kawaroga?!!!! Mahakama ya kadhi wanataka waanzishiwe na serikali!!!! Sensa wanataka wafanyiwe na serikali!!! Hadi mitihani wanataka serikali iwasaidie kupass!!!! Huu nao ni uendawazimu mwingine!!

    7. #45
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,660
      Rep Power : 929
      Likes Received
      589
      Likes Given
      101

      Default

      Quote By Wa Ndima
      Hivi hiyo MOU ikisitishwa halafu makanisa yakaamu kuwatibu waumini wa kikristo tu patakalika?
      hata mimi nashangaa. Hawa watu akili zao zimekaa tenge. Wamejazana bugando,kcmc, tumaini,sauti nk aafu wanajidai hawaoni faida za mou. Tatizo wengi wanaoongea wapo temeke,mwananyamala,amana na muhimbili. Hawajui shida za ilembula, ikonda, namtumbo,ifakara ambako hospitali za serikali hazipo. Hizi ni dalili za mtindio wa ubongo wa ukubwani,mtu uliyekawaida huwezi kulinganisha huduma inayomuathiri mtu mmoja na inayoiathiri jamii nzima. Mahakama ya kadhi siyo sawa na shule,hospitali au chuo! Hizo fedha hazitumiki kuendesha makanisa,zinaendesha huduma zinazoathiri watu wote.


    8. #46
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 443
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By mtznunda
      unaongelea dini hii iliyoanzishwa pale paulo alipotundikwa msalaban na wayahud wakidhani nabii issa(yesu wa ukweli)wakapigwa changa la macho na maana mpaka leo alama ya dini yao ni njia panda yaani hawajui waelekee wapi,huwezi fananisha na dini ya haki ya mwenyezi mungu yenye alama ya nyota na mwezi ikimaanisha dini iliyoumbwa kabla ya mwanaadamu(kumbuka mwenyezi mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kabla ya binaadamu)
      BWANA YESU ANAOKOA, KWA NINI MNAUMIZA AKILI HIVI?KWA NINI MNASONONEKA?KWA NINI MNAHANGAIKA NA HII DUNIA? MPE BWANA YESU MAISHA YAKO NA KUHAKIKISHIA HUTA JUTA,roho ya hasira,chuki na mambo mabaya yataondoka nawe utakuwa mwenye furaha muda wote.KARIBU KANISA LOLOTE LILILOKARIBU NAWE LINALOAMINI WOKOVU.
      AU TUWASILIANE KWA EMAIL :[email protected] hiyo email naitumia hata facebook ukisearch kwa email hiyo utanipata.

      Ukimpokea Yesu atakusaidia utaisi maisha ya furaha na amani ,nguvu za shetani hazitakushinda.utakuwa ni mwenye furaha na kubwa zaidi utapata uzima wa milele.usikubali kuendelea kuteseka Yesu anakupenda anajua mateso unayopiti ndio maana leo ikawa nafasi kwako ,yuko tayari kuubeba mzigo unaokutesa.Tuwasiliane nawe ufurahiye Pendo la Yesu katika maisha yako.karibu

    9. #47
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By Museven
      Support. Daima mvivu ni mlalamishi na akiona mtu kafanikiwa kwa juhudi yake husema kapendelewa. Acha wakalie majungu tu, watavuna uharibifu.
      Wakristo ndio wanaongoza kwa uvivu wanasubiri kupewa na serikali, watu wakisema wasipewa bure wanaanza fitna za kijinga iko siku itafika..
      "Mbowe for Presidency 2015""

    10. #48
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13672

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      kwa sababu hii sio nchi ya kidini.
      Tanzania ni nchi isiyo na dini wala kabila, go and consults our constitution.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    11. #49
      Museven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2011
      Posts : 388
      Rep Power : 469
      Likes Received
      54
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bull
      Mkuu thread yako ni nzuri

      kipengele cha dini kinakuwepo ktk allmost kila sensa ya nchi duniani, Tatizo la wakiristo hawataki watu wajue ukweli kuwa wao ni idadi chache hapa nchini kulingana na waislam, ukweli ukijulikana wanamini kabisa waislam watadai uwiano katika kila sehemu ya utendaji ambao wao wakiristo wamejazana

      Chakujiuliza hapa je wataficha ukweli mpaka lini ????? ilihali dunia sasa imebadilika ????

      Serikali imekataa takwimu ya wakatoliki na imekataa takwimu iliyofanya na chombo chengine chochote, Je ni Nchi gani hii isiyokuwa na takwimu ?????

      Wakae wakijua kuficha ukweli sio kutibu,
      Unajua sensa za nchi ngapi kama si kubahatisha tu.

    12. #50
      Bull's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2008
      Posts : 970
      Rep Power : 571
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By Museven
      Unajua sensa za nchi ngapi kama si kubahatisha tu.
      Ndio nyie ?? Fungua Dictionary ya kila nchi unayotaka wewe duniani utaona Dini ni kati ya Profile ya Nchi, baadae unijibu Tanzania kwenye profile ya takwimu ya dini watajaza nini ??? ile takwimu ya kikatoliki ???

    13. #51
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,851
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Kipengele cha kabila muhimu, pia kiwepo.
      tpmazembe likes this.

    14. #52
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4318
      Likes Given
      1306

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Hakuna faida ya kipengele cha dini kwenye maendeleo ya taifa letu.

    15. #53
      fered mbataa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th February 2012
      Posts : 240
      Rep Power : 414
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Utamaduni
      Mimi nalitazama suala la dini kuingizwa katika sensa kuwa halina umuhimu kwani mwisho wa siku takwimu itakayopatikana haitakuwa sahii.

      Mfano hai iwapo ulisema kigoma inawaislamu 20,000 mwezi wa 5, basi leo hii sio hao tena kwani tulienda kufanya injili kuanzia mwanzo wa mwezi wa 6 na waislamu wastani wa watu 3,000 waliokoka.

      Kwa mfano hai hapo juu ni dhahiri hakutakaa kuwe na takwimu sahihi za dini as long as watu wanabadili dini kila siku kwenye mikutano ya injili hadi tanzania yote itakapokuwa kwa Yesu
      Safi sanaaa hata sisi tulifanya singida zaidi ya ishirini waislam walisalenda to Jesus

    16. #54
      mwongozo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Posts : 45
      Rep Power : 392
      Likes Received
      9
      Likes Given
      21

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By Bob G
      Uelewa Mdogo wa waislam wengi umewafanya wajenge chuki ya kijinga na wakristo. Hospitali za Rufaa Kcmc, Bugando ni mali ya CCT na TEC, Hospitali nyingi Teule za wilaya ni mali ya CCT na TEC, zahanati nyingi Tanzania zinamilikiwa na CCT na TEC, Karibu 80% ya shule zote kabla ya Uhuru na Baada ya Uhuru zilimilikiwa na CCT na TEC,Na mpaka sasa CCT na TEC ndo wamiliki wa vyuo vikuu Tanzania, Ukienda Vijijini TEC na CCT wanatoa huduma za maji, umeme,na Ujenzi wa Vyuo na Barabara, Huduma za TEC na CCT zinatolewa bila ubaguzi wa Dini wala Rangi ya mtu, waislam wanatumia sawa na watu wengine wote, Kazi zote hizi zinazotolewa na TEC na CCT zilitakiwa zitolewe na Serikari ya CCM. imeshindwa kuwahudumia watanzania ikaamua kuwapora TEC na CCT ili na ninyi waislam mtumie. Hivi kuna ubaya gani kwa serikali kutoa ruzuku kwa Taasisi hizi zinazo hudumia watanzania wote bila ubaguzi? Haya waislam hawakukatazwa kujenga shule na Hospital ili nao wapate Ruzuku hii, Kinacho nisikitisha waislamu wanatumia huduma hizi bado wanalalamika. kweli bora umfadhili mbwa anaweza akakulinda na si binadamu. toka Mkapa awape majengo ya Tanesco morogoro kiwe chuo kikuu, kimebaki hichohicho na hakuna mipango ya kuongeza kazi kulalamika 2. sasa karibu kila Dhehebu la kikristo lina miliki vyuo vikuu zaidi ya kimoja na waislam wanaotafuta elimu Dunia wanasoma wenye kulalamika hawasomeshi, kweli elimu ya mjinga ni Matusi. Ingekuwa busara waislam wakawashukuru wakristo kwa mchango mkubwa mno wanaotoa kwa umma wawa Tanzania badala yake imekuwa ni chuki hii ni ajabu sana.Na hii sensa Wakristo wanajua umuhimu wake na ndio maana hawawezi kupinga sensa na hata idadi ya wakristo inajulikana kwakua kila jumapili wanahesabiwa. Hakuna mtu makini anaeweza pinga kuhesabiwa. hata wale wanaopinga utasikia wanasababu za kizamani (mila) Na Hata kama sensa itakuwa ni lazima mtu ataje Dini ya ke kabila lake na mengine mengi ya kipuuzi hayawezi kuwafanya wakristo wakatae kuhesabiwa sensa ni mali ya serikali na serikali haina Dini

      UTANGULIZI
      ikumbukwe kuwa serikali ni baba na mama yetu sote. serikali ilikua (na hadi leo) inamiliki hospitali, zahanati na vituo vya afya. la kushangaza serikali imeamua kudhoofisha vituo vyake vya afya na kuimarisha vya taasisi za kikristo.


      KWA NINI IMEFANYA HIVYO
      ni kutokana na nguvu pamoja na shinikizo ya makanisa. serikali ina watoto wawili. inamuwezesha mtoto mmoja na kumuambia mwengine kuwa utakua unakula kwa ndugu yako. hii hali itamfanya huyu aendelee kuwa tegemezi. isitoshe, madawa na vifaa vya hospitalini vinasamehewa kodi huku ruzuku ikiongeza kwenye hizo hospitali! kwa hali hii, hatushangai kuona vyuo vikuu vya wakristo vinaongezeka! ni mtoto anaependelewa na baba. huu ndiyo ukweli uliopo.

    17. #55
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2009
      Likes Received
      1656
      Likes Given
      1634

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Hakuna atakayechangia topics za kihivi alafu asiipendelee dini yake. Hakuna humu JF.
      Mijadala kama hii ni bora ikafutwa soon tu inapoanzishwa.

    18. #56
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 443
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Sensa ya mwaka huu iwe na kipengele cha dini na kabila

      MBONA HII SERIKALI HAITAKI KUSIKILIZA WANANCHI WAKE JAMANI?juzi hapa ndugu zetu waislam walikuwa wanataka kipengele cha dini kiwepo kwenye sensa nashangaa kwa nini serikali isiwasikilize.Mimi ningependekeza kiwepo na kipengele cha kabila la mtu,ili tujue sisi wanyamwezi ni wangapi ,maana mkoa wetu uko nyuma sana na sisi kabla ya uhuru ndio tulikuwa kabila kubwa.

    19. #57
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 443
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      MBONA HII SERIKALI HAITAKI KUSIKILIZA WANANCHI WAKE JAMANI?juzi hapa ndugu zetu waislam walikuwa wanataka kipengele cha dini kiwepo kwenye sensa nashangaa kwa nini serikali isiwasikilize.Mimi ningependekeza kiwepo na kipengele cha kabila la mtu,ili tujue sisi wanyamwezi ni wangapi ,maana mkoa wetu uko nyuma sana na sisi kabla ya uhuru ndio tulikuwa kabila kubwa.

    20. #58
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,662
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Kwetu tunaamini kama hukusoma basi utakuwa mchawi wa maendeleo ya waliosoma, maana kila wakati utatawaliwa na dhiki na kuwa mtu mwenye roho mbaya hasa unapoona maenddeleo ya waliosoma. Dawa pekee ya kupunguza wachawi ni kusomesha

    21. #59
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Muwalaumu waarabu ambao baada ya kuja walituchukua utumwani. Wakaishia kujenga madrassa. Hivi wewe mtoa uzi ulishawahi enda kwenye hospitali yoyote inayomilikiwa na haya madhehebu ukanyimwa ruhusa sababu ya dini yako? Ulishaenda ktk shule za hao ukanyimwa nafasi sababu ya dini yako? Lakini ajabu katika mashule yenu huwezi kumuona mtoto wa kikiristu anasoma hapo.
      Hata pale udsm waislamu waliweka madesa yao msikitini eti wasomee kule ili wasishirikiane na makafir. Wote waliishia kupata gentle man dgree. Wacheni kulalamika fanyeni kazi.

    22. #60
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 486
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

      Quote By mtznunda
      unaongelea dini hii iliyoanzishwa pale paulo alipotundikwa msalaban na wayahud wakidhani nabii issa(yesu wa ukweli)wakapigwa changa la macho na maana mpaka leo alama ya dini yao ni njia panda yaani hawajui waelekee wapi,huwezi fananisha na dini ya haki ya mwenyezi mungu yenye alama ya nyota na mwezi ikimaanisha dini iliyoumbwa kabla ya mwanaadamu(kumbuka mwenyezi mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kabla ya binaadamu)
      Bora kumfuata PAULO ambaye alikuwa na shahada ya udaktari kuliko kumfuata MOHAMEDI asiyejua hata kuandika jina lake. Na wafuasi wa kila mmoja wao mtawatambua kwa matunda yao

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...