Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 64
    1. #1
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 729
      Rep Power : 569
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Post Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Katika kuelekea kupata takwimu zao za idadi ya wauumini wa dini ya Kiislamu Tanzania baada ya serikali kugoma kuweka kipengere cha idni na ukabila katika dodoso la sensa, Waislamu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar wameanza utaratibu wa kupita nyumba kwa nyumba kuhakiki wauimini wa dini ya kiislamu.Utaratibu huo ulionekana jana katika mitaa ya Magomeni Mwinyi Mkuu ambapo baadhi ya watu wenye kujitambulisha kuwa viongozi wa dini ya kiisalamu walikuwa wakipita nyumba moja baada ya nyingine na kuulizia kama kuna waislamu na kuandika maelezo yao yakihusu jinsi,jina na umri kweny madaftari.Katika Maeneo zoezi ilo lilionekana kwenda tambarare bila fujo au misuguano pengine ni kwa sababu maeneo na wakzi wengi wa sehemu hiyo ni waislam.Pia Moja ya nyumba walioingia kuna wapangaji wakiristo na hawakuweza kuwauliza taarifa zozote.
      Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 694
      Likes Received
      209
      Likes Given
      81

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      mbombo ngafu.

    4. #3
      Nzenzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      155
      Likes Given
      38

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Pumba zao zimezidi.

    5. #4
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,049
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Hapo ndio uwezo wao unapoonekana!! Mimi kwangu bila kibali cha serikali wasifike kabisa, kwani nitawaitia polisi kwa kuvunja katiba - freedom of movement but not everywhere na privacy. Kwa kifupi hii ni fujo!!! Pia hii inaonesha Islam system of communication is very poor!!!
      Dangire and patriq like this.

    6. #5
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2720
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Halafu watupe na statistics za kodi wanazolipa
      A compliment is something like a kiss through a veil




    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,617
      Rep Power : 3337
      Likes Received
      1231
      Likes Given
      466

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      kumbe wanajua mbinu mbadala sasa kwa nini wanatishia kugomea sensa.?
      palalisote and Kipaji Halisi like this.

    9. #7
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,719
      Rep Power : 850
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Je, wanaihitaji sensa hiyo katika shughuli zao za kidini? Au mradi tu kutaka kujua idadi?!
      God writes straight with crooked lines.

    10. #8
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By kanga
      Katika kuelekea kupata takwimu zao za idadi ya wauumini wa dini ya Kiislamu Tanzania baada ya serikali kugoma kuweka kipengere cha idni na ukabila katika dodoso la sensa, Waislamu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar wameanza utaratibu wa kupita nyumba kwa nyumba kuhakiki wauimini wa dini ya kiislamu.Utaratibu huo ulionekana jana katika mitaa ya Magomeni Mwinyi Mkuu ambapo baadhi ya watu wenye kujitambulisha kuwa viongozi wa dini ya kiisalamu walikuwa wakipita nyumba moja baada ya nyingine na kuulizia kama kuna waislamu na kuandika maelezo yao yakihusu jinsi,jina na umri kweny madaftari.Katika Maeneo zoezi ilo lilionekana kwenda tambarare bila fujo au misuguano pengine ni kwa sababu maeneo na wakzi wengi wa sehemu hiyo ni waislam.Pia Moja ya nyumba walioingia kuna wapangaji wakiristo na hawakuweza kuwauliza taarifa zozote.
      Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.
      na kweli serikali iwaruhusu kufanya hiyo sensa yao msikitini, sio nyumba kwa nyumba , ina leta bugudha kwa wengine.

    11. #9
      mbalu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Ntuzu
      Posts : 214
      Rep Power : 395
      Likes Received
      98
      Likes Given
      68

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Kosa mali upate elimu wanadhani waislam wote ni maamuma?
      Ong'wizukuru Shimba nawe Shimba.

    12. #10
      RGforever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 2,089
      Rep Power : 1131
      Likes Received
      413
      Likes Given
      105

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Ahahahahahaha WAISLAM BWANA...,... Watakuwa Zero sijui mpaka lini..[si wote]

    13. #11
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,076
      Rep Power : 2042
      Likes Received
      938
      Likes Given
      3844

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      wakija kwako waambie out! waliambiwa wafanyie msikitini huko majumbani kwa watu wanahitaji nini?

    14. #12
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 953
      Rep Power : 539
      Likes Received
      305
      Likes Given
      87

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By idawa
      kumbe wanajua mbinu mbadala sasa kwa nini wanatishia kugomea sensa.?
      Wanatishia tu, hakuna mwanaume wa kugomea sensa, labda agome akiwa mombasa tayari keshajiandikisha ukimbizi
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    15. #13
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      nia yao kubwa ni kwamba waonekane wengi ili uwasaidie kuagiza mabaibui na kanzu.
      pia eti wanadai wao lazima wawe wengi maana wanaoa wake wengi na wanazaa watoto kila mwaka.
      nimmemsikia shekhe mmoja anadai wakristo lazima wawe wachache maana kuna wengine hawazai kabisaa,wanajitoa kuwa watawa.yaani kweli kila mtu na uwezowake wa kufikiria.
      sweke34 likes this.

    16. #14
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,296
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Waislam wanasubiri kuhesabiwa na serikali hakuna sensa ingine hizo ni porojo za mitaani..

    17. #15
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,296
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By August
      na kweli serikali iwaruhusu kufanya hiyo sensa yao msikitini, sio nyumba kwa nyumba , ina leta bugudha kwa wengine.
      Waislam wanalipa kodi kama raia wengine kwa hiyo wanasubiri kuhesabiwa na serikali kwa kodi zao wanazolipa...kila Mtanzania mwenye dini yoyote ana haki kuhesabiwa na serikali yake.

    18. #16
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,727
      Rep Power : 910
      Likes Received
      435
      Likes Given
      440

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      kumcha mungu ni chanzo cha maarifa

    19. #17
      RGforever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 2,089
      Rep Power : 1131
      Likes Received
      413
      Likes Given
      105

      Default

      Quote By Ritz
      Waislam wanalipa kodi kama raia wengine kwa hiyo wanasubiri kuhesabiwa na serikali kwa kodi zao wanazolipa...kila Mtanzania mwenye dini yoyote ana haki kuhesabiwa na serikali yake.
      Serikali haina Dini. Inawahesabu watu wenye Dini tofauti tofauti

      Mipango yake si kwa sababu ya Dini fulani ila kwa Wote

      Inafanya Kama inavyotaka si kwa sababu watu fulani wanataka

    20. #18
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By Ritz
      Waislam wanasubiri kuhesabiwa na serikali hakuna sensa ingine hizo ni porojo za mitaani..
      Mkuu Ritz, si mmeshatangaza (wameshatangaza) mgomo??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    21. #19
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      679

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      kama sheria inawaruhusu na wanaongozana na serikali za mitaa mbona haina tatizo kujua waumini wao ni wangapi. mbona makanisani wanahesabiwa kila jumapili.

      mchangiaji alietoa mfano kwamba "isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir" kanivunja mbavu kweli ingawa ikijatokea hivyo we shall have to laugh at the back of our face
      Kipaji Halisi likes this.

    22. #20
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By mamajack
      nia yao kubwa ni kwamba waonekane wengi ili uwasaidie kuagiza mabaibui na kanzu.
      pia eti wanadai wao lazima wawe wengi maana wanaoa wake wengi na wanazaa watoto kila mwaka.
      nimmemsikia shekhe mmoja anadai wakristo lazima wawe wachache maana kuna wengine hawazai kabisaa,wanajitoa kuwa watawa.yaani kweli kila mtu na uwezowake wa kufikiria.
      Wenyewe wanakuambia kila mtoto anakuja na riziki yake...lakini maji yanapozidi unga utasikia ni 'Mfumo Kristo' ndiyo unatudhulumu sisi waislam. Kuna kijana(muislam) mdogo tu jirani yetu...hana kazi au shughuli ya maana sana lakini ndani ya miaka minne ameshazaa na kuwapa talaka wasichana wawili...sasa ameoa kasichana kengine tena katatu...trend ni hiyo kwa maustadhi wengi tu...Ndiyo maana wengine tunasema haya malalamiko ya wenzetu hayatakuja kuisha hivihivi tu kwa sababu kimsingi wenyewe ndiyo wanayo yatengeneza na hakuna wa kuwasiaidia zaidi ya wao wenyewe kuelimishana
      mamajack likes this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...