Katika kuelekea kupata takwimu zao za idadi ya wauumini wa dini ya Kiislamu Tanzania baada ya serikali kugoma kuweka kipengere cha idni na ukabila katika dodoso la sensa, Waislamu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar wameanza utaratibu wa kupita nyumba kwa nyumba kuhakiki wauimini wa dini ya kiislamu.Utaratibu huo ulionekana jana katika mitaa ya Magomeni Mwinyi Mkuu ambapo baadhi ya watu wenye kujitambulisha kuwa viongozi wa dini ya kiisalamu walikuwa wakipita nyumba moja baada ya nyingine na kuulizia kama kuna waislamu na kuandika maelezo yao yakihusu jinsi,jina na umri kweny madaftari.Katika Maeneo zoezi ilo lilionekana kwenda tambarare bila fujo au misuguano pengine ni kwa sababu maeneo na wakzi wengi wa sehemu hiyo ni waislam.Pia Moja ya nyumba walioingia kuna wapangaji wakiristo na hawakuweza kuwauliza taarifa zozote.
Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
Binafsi nadhani wanachofanya ndugu zetu ni cha msingi ingawa utaratibu huo unaweza kuzua shida kidogo kwa watu wa dini tofauti ushauri wangu ni wajaribu kufanya kitu kama hicho wakiwa katika nyumba za ibada(misikitini) na ingekuwa rahisi zaidi kwao kwani wanaweza tumia utaratibu wa kuandaa fomu na kuwagawia waumini wajaze majina yao katika kila muumini mkuu wa kaya anaweza kupatiwa fomu hizo.Kwa kufanya hivyo mm nadhani itarahisisha sana hilo zoezi zima la kutambua idadi yao.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
Yaani watu wana chuki sijaata kuona, juzi niliona wanasema radio imaan ifungwe kwa kuwa inapandikiza chuki sasa mnachokifanya hapa ni nini? kama wameamua kufanya hivo nyie inawadhuru kitu gani, kama hutaki wakuulzie aa kimya ndio njia ya kuishi kwa amani baina yetu! ni chuki chuki tu na maneno ya kejeli mtakufa navo vijiba vya roho !
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
Ha ha ha ha ha ha ha! Mpinga Kristo ameanza kazi yake rasmi. Ole wake asiyeinama na kumwabudu "mnyama" yule. Mkiona hayo, basi jueni mwisho u karibu.
Haya watu wa Mungu; akili kukichwa. Nyakati za mwisho hizo. Ama kuikubali chapa yake au mateso na taabu kwa uzima wa milele. Bwana Yesu na uje upesi - AMEN.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
By mkomatembo
Yaani watu wana chuki sijaata kuona, juzi niliona wanasema radio imaan ifungwe kwa kuwa inapandikiza chuki sasa mnachokifanya hapa ni nini? kama wameamua kufanya hivo nyie inawadhuru kitu gani, kama hutaki wakuulzie aa kimya ndio njia ya kuishi kwa amani baina yetu! ni chuki chuki tu na maneno ya kejeli mtakufa navo vijiba vya roho !
ni kuwapongeza tu kwa uamzi ambao ulipaswa uchukuliwe siku nyingi kuluko kelele walizokuwa wakipiga.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
By Babuyao
Je, wanaihitaji sensa hiyo katika shughuli zao za kidini? Au mradi tu kutaka kujua idadi?!
Ili waje na data itakayowasidia kufanya yafuATAYO:
1. Kuanzisha movement ya kusilimisha wakristo wote
2. kujitenga na kuanzisha mapambano ili kuwa taifa la waislam waliojitenga na wakrito
3. kuomba upendeleo katika nafasi za utawala serikalini, bungeni, nk.
4. kuanzisha vulrugu za kuitangaza TZ ka Islamic country
5. sifa za kijinga (kujitapa mbele ya watu kuwa sisi waislam ni wengi TZ)
Moja ya hoja hizo au zote inawezekana ikawa sababu ya wao kuomba kujua idadi.
La msingi ni uthibitisho kuwa wazungu na waarabu walitupiga changa la macho na zaidi kwa waarab.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
By MAKAH
kama sheria inawaruhusu na wanaongozana na serikali za mitaa mbona haina tatizo kujua waumini wao ni wangapi. mbona makanisani wanahesabiwa kila jumapili.
mchangiaji alietoa mfano kwamba "isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir" kanivunja mbavu kweli ingawa ikijatokea hivyo we shall have to laugh at the back of our face
kama makanisani wanahesabiwa kwa nini waislamu wasihesabiwe misikitini? ingawa mimi siamini kama ni kweli uongozi wa kiislamu unapita mitaani kuhesabu maana kwangu mimi huo ni udhaifu mkubwa kwa upande wao maana wangeweza kwa urahisi tu kuhesabiana misikitini kwa kweli.. na mie naona kama vile ndo alama zinawekwa halafu baadae ni 'booom, booom booom!!' kama wale boko nanihii.... Mungu aepushilie mbali...
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
Waislamu wepi wanaohesabiwa? maana kuna waislamu wa Dubai hawa hawana sigida licha ya kwamba wana ngozi nyeupe na kuna hawa Waislamu wa Shura ya Maimamu ambao wao mpaka mtoto wa kike ana sigida kubwa juu ya paji lake la uso!!
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar
sasa kama kichwani mwao wameshaamini kwamba waislam ni wengi, hata ikitokea sensa ya kidini wanayotaka ikatokea wameonekana wachache, watayapokea matokeo?....cha ajabu hawajui kuwa, idadi kubwa ya waislam inayoweza kuwa inaongeza idadi yao kuwa kubwa, ni zanzibar, zanzibar wakijitoa kwenye muungano waislam watakuwa wachache sana hapa tz.....cha ajabu sasa, hata waislam wa bara wanasapoti zanzibar ijitenge....kuna shehe mmoja wa msikiti wa dsm hapo, ameonekana kabisa kusapoti mambo ya wanauamsho....ajabu sana.
Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!
Follow Us Here