Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 64
    1. #1
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Post Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Katika kuelekea kupata takwimu zao za idadi ya wauumini wa dini ya Kiislamu Tanzania baada ya serikali kugoma kuweka kipengere cha idni na ukabila katika dodoso la sensa, Waislamu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar wameanza utaratibu wa kupita nyumba kwa nyumba kuhakiki wauimini wa dini ya kiislamu.Utaratibu huo ulionekana jana katika mitaa ya Magomeni Mwinyi Mkuu ambapo baadhi ya watu wenye kujitambulisha kuwa viongozi wa dini ya kiisalamu walikuwa wakipita nyumba moja baada ya nyingine na kuulizia kama kuna waislamu na kuandika maelezo yao yakihusu jinsi,jina na umri kweny madaftari.Katika Maeneo zoezi ilo lilionekana kwenda tambarare bila fujo au misuguano pengine ni kwa sababu maeneo na wakzi wengi wa sehemu hiyo ni waislam.Pia Moja ya nyumba walioingia kuna wapangaji wakiristo na hawakuweza kuwauliza taarifa zozote.
      Angalizo Serikali iwe makini na zoezi ili maana isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,558
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      ni vyema wafanye hivyo...
      mbona wakristu kila kigango inajulikana wako wangapi
      na kila jumuia inajulikana ina waumini wangapi?

      big up....
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    4. #22
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,949
      Rep Power : 752
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By Ritz
      Waislam wanasubiri kuhesabiwa na serikali hakuna sensa ingine hizo ni porojo za mitaani..
      wataweza kufika nchi nzima?

    5. #23
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 561
      Rep Power : 469
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Watumwa wa majambazi wawili mmerudi tena, haya kaibuni osie. Mwizi wa kizungu na mwizi wa kiarabu wanawaendesha kwelikweli watumwa ninyi.

    6. #24
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,231
      Rep Power : 12571
      Likes Received
      5791
      Likes Given
      757

      Default

      Quote By Mkirua
      Mkuu Ritz, si mmeshatangaza (wameshatangaza) mgomo??
      Sijakuelewa Mkuu.

    7. #25
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 343
      Rep Power : 455
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Hili ni bomu soon litamlipukia JK na serekali yake.Wao wamekaa kimya kama vile wanaishi Somalia na sio magogoni.

    8. Miaka 50

    9. #26
      RGforever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 2,088
      Rep Power : 1131
      Likes Received
      413
      Likes Given
      103

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By mamajack
      eti wanadai wao lazima
      wawe wengi maana wanaoa wake wengi na wanazaa watoto kila mwaka.
      Hata mimi niliwasikia Jana.. Vichwa sijui huwa vinajaa nini mpaka kujisifu Unazaa Sana. Wakati Gharama za Maisha zinapanda. Zanzibar Kodi imepanda....

      Watoto wao Wadogo Ngoja waanze Kusoma Form 1 ndo watajua
      mamajack likes this.

    10. #27
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 202
      Rep Power : 400
      Likes Received
      51
      Likes Given
      5

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Binafsi nadhani wanachofanya ndugu zetu ni cha msingi ingawa utaratibu huo unaweza kuzua shida kidogo kwa watu wa dini tofauti ushauri wangu ni wajaribu kufanya kitu kama hicho wakiwa katika nyumba za ibada(misikitini) na ingekuwa rahisi zaidi kwao kwani wanaweza tumia utaratibu wa kuandaa fomu na kuwagawia waumini wajaze majina yao katika kila muumini mkuu wa kaya anaweza kupatiwa fomu hizo.Kwa kufanya hivyo mm nadhani itarahisisha sana hilo zoezi zima la kutambua idadi yao.

    11. #28
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,414
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      1170
      Likes Given
      598

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By Ritz
      Sijakuelewa Mkuu.

      Mkuu namaanisha kuwa wao wameshaigomea sensa sasa unasemaje wanasubiri kuhesabiwa na serekali??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    12. #29
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,019
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1269

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Yaani watu wana chuki sijaata kuona, juzi niliona wanasema radio imaan ifungwe kwa kuwa inapandikiza chuki sasa mnachokifanya hapa ni nini? kama wameamua kufanya hivo nyie inawadhuru kitu gani, kama hutaki wakuulzie aa kimya ndio njia ya kuishi kwa amani baina yetu! ni chuki chuki tu na maneno ya kejeli mtakufa navo vijiba vya roho !
      mtznunda likes this.

    13. #30
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,231
      Rep Power : 12571
      Likes Received
      5791
      Likes Given
      757

      Default

      Quote By kookolikoo
      wataweza kufika nchi nzima?
      Waislam wanasubiri sensa ya serikali kama serikali watakataa basi watajua cha kufanya lakini sio kujihesabu wao.

    14. #31
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 704
      Rep Power : 658
      Likes Received
      88
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Ritz
      Waislam wanasubiri kuhesabiwa na serikali hakuna sensa ingine hizo ni porojo za mitaani..
      We Ritz.! leo umekuwa msemaji wa ummati Muhamad..? Nilikuwa sijui kama mko wasemaji wengi...

    15. #32
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Ha ha ha ha ha ha ha! Mpinga Kristo ameanza kazi yake rasmi. Ole wake asiyeinama na kumwabudu "mnyama" yule. Mkiona hayo, basi jueni mwisho u karibu.

      Haya watu wa Mungu; akili kukichwa. Nyakati za mwisho hizo. Ama kuikubali chapa yake au mateso na taabu kwa uzima wa milele. Bwana Yesu na uje upesi - AMEN.

    16. #33
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By mkomatembo
      Yaani watu wana chuki sijaata kuona, juzi niliona wanasema radio imaan ifungwe kwa kuwa inapandikiza chuki sasa mnachokifanya hapa ni nini? kama wameamua kufanya hivo nyie inawadhuru kitu gani, kama hutaki wakuulzie aa kimya ndio njia ya kuishi kwa amani baina yetu! ni chuki chuki tu na maneno ya kejeli mtakufa navo vijiba vya roho !
      ni kuwapongeza tu kwa uamzi ambao ulipaswa uchukuliwe siku nyingi kuluko kelele walizokuwa wakipiga.

    17. #34
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,337
      Rep Power : 702
      Likes Received
      226
      Likes Given
      172

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By Babuyao
      Je, wanaihitaji sensa hiyo katika shughuli zao za kidini? Au mradi tu kutaka kujua idadi?!
      Ili waje na data itakayowasidia kufanya yafuATAYO:
      1. Kuanzisha movement ya kusilimisha wakristo wote
      2. kujitenga na kuanzisha mapambano ili kuwa taifa la waislam waliojitenga na wakrito
      3. kuomba upendeleo katika nafasi za utawala serikalini, bungeni, nk.
      4. kuanzisha vulrugu za kuitangaza TZ ka Islamic country
      5. sifa za kijinga (kujitapa mbele ya watu kuwa sisi waislam ni wengi TZ)
      Moja ya hoja hizo au zote inawezekana ikawa sababu ya wao kuomba kujua idadi.
      La msingi ni uthibitisho kuwa wazungu na waarabu walitupiga changa la macho na zaidi kwa waarab.
      dudus likes this.

    18. #35
      kusekwa kusekwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Post Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Dini gani Mpaka uitwe kwenda kumcha mungu. Si waamuke bila kipaza sauti.

    19. #36
      Elisha Ray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 261
      Rep Power : 414
      Likes Received
      63
      Likes Given
      51

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By MAKAH
      kama sheria inawaruhusu na wanaongozana na serikali za mitaa mbona haina tatizo kujua waumini wao ni wangapi. mbona makanisani wanahesabiwa kila jumapili.

      mchangiaji alietoa mfano kwamba "isije ikawa kama wakati wa wana wa israel kuondoka utumwani Misri na kuweka damu kwenye milango kutofautisha nyumba za wa israel na wamisir" kanivunja mbavu kweli ingawa ikijatokea hivyo we shall have to laugh at the back of our face
      kama makanisani wanahesabiwa kwa nini waislamu wasihesabiwe misikitini? ingawa mimi siamini kama ni kweli uongozi wa kiislamu unapita mitaani kuhesabu maana kwangu mimi huo ni udhaifu mkubwa kwa upande wao maana wangeweza kwa urahisi tu kuhesabiana misikitini kwa kweli.. na mie naona kama vile ndo alama zinawekwa halafu baadae ni 'booom, booom booom!!' kama wale boko nanihii.... Mungu aepushilie mbali...
      MAKAH likes this.

    20. #37
      Elisha Ray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 261
      Rep Power : 414
      Likes Received
      63
      Likes Given
      51

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Quote By BADILI TABIA
      ni vyema wafanye hivyo...
      mbona wakristu kila kigango inajulikana wako wangapi
      na kila jumuia inajulikana ina waumini wangapi?

      big up....
      hawapiti kugonga nyumba za watu kutaka kuhesabu... wanahesabiana huko huko makanisani au vigangoni..

    21. #38
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,513
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5442
      Likes Given
      3638

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      Waislamu wepi wanaohesabiwa? maana kuna waislamu wa Dubai hawa hawana sigida licha ya kwamba wana ngozi nyeupe na kuna hawa Waislamu wa Shura ya Maimamu ambao wao mpaka mtoto wa kike ana sigida kubwa juu ya paji lake la uso!!
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    22. #39
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,407
      Rep Power : 711
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Waislam Waanza Sensa yao Nyumba Kwa Nyumba Dar

      sasa kama kichwani mwao wameshaamini kwamba waislam ni wengi, hata ikitokea sensa ya kidini wanayotaka ikatokea wameonekana wachache, watayapokea matokeo?....cha ajabu hawajui kuwa, idadi kubwa ya waislam inayoweza kuwa inaongeza idadi yao kuwa kubwa, ni zanzibar, zanzibar wakijitoa kwenye muungano waislam watakuwa wachache sana hapa tz.....cha ajabu sasa, hata waislam wa bara wanasapoti zanzibar ijitenge....kuna shehe mmoja wa msikiti wa dsm hapo, ameonekana kabisa kusapoti mambo ya wanauamsho....ajabu sana.
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    23. #40
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,231
      Rep Power : 12571
      Likes Received
      5791
      Likes Given
      757

      Default

      Quote By Negembo
      We Ritz.! leo umekuwa msemaji wa ummati Muhamad..? Nilikuwa sijui kama mko wasemaji wengi...
      Mie sio msemaji wa Waislam nipo kama wewe wote tunasoma humu JF.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...