Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

    Report Post
    Page 4 of 17 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 340
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,286
      Rep Power : 12582
      Likes Received
      5824
      Likes Given
      768

      Default Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Wanabodi.

      Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.

      SOURCE: HABARI STAR TV

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,286
      Rep Power : 12582
      Likes Received
      5824
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By TUMBIRI
      Mkuu Ritz,
      Mbowe ni rafiki yangu toka nikiwa Undergraduate pale Mlimani. Familia yake na yangu zinajuana vizuri. Nakuhakikishia kabisa! Mbowe hana Mtoto anaesomesha Chekechea sasa hivi. Na ukumbuke kwamba si kila mtoto mwenye Surname ya Mbowe ni Mtoto wa Freeman Aikael Mbowe.

      TUMBIRI (PhD, University of Hull - UK),

      [email protected]
      Kama kweli hunamjua vizuri Mbowe na jamaa yako kasoma wapi University?

    4. #62
      Mngendalyasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 138
      Rep Power : 449
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote By Tume ya katiba
      Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!

      Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
      Ila ccm wamefilisika kisera vibaya kweli, wajaribu kujenga chama kwa mbinu bunifu zaidi pengine wataeleweka. Yule anatumia hela yake tena halali kabisa. Hapa swala siyo ushabiki bali ni logic ya maneno ya Mwigulu haipo kabisa. Character assassination ya viongozi wa chadema haiwezi kuwasaidia ccm. Wao washinikize serikali yao imalize umasikini unaowatesa Watanzania.

    5. #63
      chama's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,934
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      915

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote By Mwita Maranya
      Wanashangaa kwamba inakuwaje Mbowe anamlipia mwanae pesa ndefu wakati kwenye mgao wa EPA, RICHMOND, RADAR, NDEGE YA RAIS na MISAMAHA YA KODI hayumo!?
      Mwita
      Mapenzi yamekugeuza kipofu hizi ni pesa zetu za ruzuku ndio sababu hawataki kuhojiwa matumizi ya ruzuku; mwizi ni mwizi tu iwe EPA, RADAR na vinginevyo. Chadema siku zote mnajaribu kutofautisha malaya na kahaba wote shughuli yao ni moja.

      Chama
      Gongo la Mboto DSM
      Tume ya Katiba likes this.

    6. #64
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Kwani Mbowe ni maskini?

    7. #65
      MchunguZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2008
      Posts : 1,308
      Rep Power : 819
      Likes Received
      215
      Likes Given
      76

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote"template/JamiV1/default/misc/progress.gif" alt="" />style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/buttons/viewpost-right.png" alt="View Post" />
      Mkuu hakuna haja ya ku-google kuna member mwenzetu humu JF Mkira anamsomesha mtoto wake kwa mwezi analipa 850000 kwa mwaka analipa 10200000.
      Analipa wapi huko? Kumbuka umaskini unavyowalazimisha baadhi yetu kukubali matumizi makubwa ili eti waonekane wa maana. Sijui tangu lini mtu wa maana akawa na matumizi makubwa.

      Analipa wapi? nchi gani? usikubali analosimuliwa. Kama kuna mtu anamchaji hivyo basi huyo Mkira wa ajabu! Au kahamishia maisha ya mtoto shuleni?
      The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

    8. Miaka 50

    9. #66
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      hapa ndio unapoweza kufanya upembuzi yakinifu.
      Kama kweli mbowe anafanya hayo huo ni uchoko bila kujali pesa izo amezipataje !
      Uongoz huanzia ngazi ya familia lakini kama ndo mbowe huyu anayelalamikaga serikali ina matumizi ovyo ya pesa yeye ndo atazd kwa mfano huu.
      Mr Emmy and Tume ya Katiba like this.

    10. FJM
      #67
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Huko nyuma CCM walikuja na kelele nyingi sana kuhusu malipo ya Dr Slaa, lakini walipoulizwa malipo ya katibu wao Mukama hawakutaka kutoa jibu! Sasa wanakuja na ada ya mtoto wa Mbowe lakini hawatupi details za ada za watoto wao? au wanawasomesha shule za kata?

    11. #68
      sheiza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 184
      Rep Power : 475
      Likes Received
      28
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
      WE nani kakueleza watz ni maskini...!!!umaskini wa watz unaletwa na ccm ndio maana tunataka tuing'oe..hapo kubalini mmeteleza..tafuteni hoja nyingine labda..period

    12. #69
      Original's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 325
      Rep Power : 427
      Likes Received
      66
      Likes Given
      265

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Hivi jamaa kasoma kweli?. Mbowe kumlipia mwanaye pesa hiyo bado hakutoi u uhalali wa ccm na serikali kuwaibia watanzania. Ningekuwa karibu na mpuuzi huyu ningemlamba makofi.
      Mtoto wa nzi likes this.

    13. #70
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote By Tume ya katiba
      Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!

      Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
      Unahisi anachota toka akauntiya chama cha CDM?
      Who Jah bless, No one Curse!

    14. #71
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,073
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      479
      Likes Given
      72

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote By Tume ya katiba
      PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
      Wewe kweli hutumii akili yako. Hivi kwa akili yako tu ya kawaida kama kuna shule kama hiyo unafikiri ni mtoto wa Mbowe tu ndiye anasoma huko?? Na kama ipo mbona hakuitaja jina la hiyo shule ili tujue kama akina EPA, Vijisenti watoto wao hawapo huko!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    15. #72
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Inamaana Mbowe nae kasoma UDSM ile advance Diploma yake? Maswala ya wwe kukana kuwa mbowe hana mtoto wa chekechea sio sahihi muacha mwenyewe ajitokeze majukwani kukubali ama kukanusha ukweli kuwa mamilioni ya watanzania wanalala njaa yeye anatumia 20millioni kwa kulipa ada ya chekechea kwa kinda moja, huku akihubiri usawa kwa wote amuige hata nyeyere basi;
      Quote By TUMBIRI
      Mkuu Ritz,
      Mbowe ni rafiki yangu toka nikiwa Undergraduate pale Mlimani. Familia yake na yangu zinajuana vizuri. Nakuhakikishia kabisa! Mbowe hana Mtoto anaesomesha Chekechea sasa hivi. Na ukumbuke kwamba si kila mtoto mwenye Surname ya Mbowe ni Mtoto wa Freeman Aikael Mbowe.

      TUMBIRI (PhD, University of Hull - UK),

      [email protected]
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    16. #73
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,092
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1025
      Likes Given
      2876

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      nadhani mbowe yupo kutetea maslahi ya watanzania dhidi ya utawala uliozeeka wa CCM
      kama anamsomesha mwanae kwa hela halali za jasho lake hakuna ubaya
      ila angekuwa anatuibia watanzania na kumsomesha mwanae kama wafanyavo CCM
      hapo ndio ninegona ubaya.
      ni fedha zake ana uhuru wa kuzitumia au ulitaka azigawe?
      kwanini CCM wasitugawie hizo walizouzia twiga.madini yetu, viwanja arusha wanauza kwa wageni wkt kisheria mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi lakini wengi wameuziwa tena kiholela tu?
      Ningemuona wa maana huyu mvaa skafu ya taifa anaejidai msafi
      huku tunajua aliwaibia wenzie kwa kuwazidi kete wkt wa uchaguzi wa arumeru
      anegetuambia chama chake anachokiabudu kimetutendea
      nini watanzania tangu uhuru zaidi ya ufisadi na maneno mengi ya hadaa.
      hiyo first class yake ni kudesa tu hajaisotea ndio maana akaona siasa kwake
      ndio ufunguo wake wa maisha na sio elimu alioidesa
      You may know me but you have no Idea who I am !

    17. #74
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Salute mkuu na bado tunaandaa details za shoping wanazowafanyia mahawara zao nchini France na Marekani stay tuned
      Quote By EL MAGNIFICAL
      hapa ndio unapoweza kufanya upembuzi yakinifu.
      Kama kweli mbowe anafanya hayo huo ni uchoko bila kujali pesa izo amezipataje !
      Uongoz huanzia ngazi ya familia lakini kama ndo mbowe huyu anayelalamikaga serikali ina matumizi ovyo ya pesa yeye ndo atazd kwa mfano huu.
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    18. #75
      SEBM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 3533
      Likes Received
      258
      Likes Given
      98

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Quote By Ritz
      Wewe kiboko mkuu unamlipia mtoto wako 850000 kwa mwezi, kwa mwaka unalipa 1020000 shule gani mkuu wangu?
      We Riz nakwambia madrasa na shule za kata zimekuharibu.Mkuu Mkira amesema analipa 0.85m kama PAYE na hiyo haitoshi kwenye kuweka mambo ya shule sawa na hivyo inabidi amsomeshe mwanaye kwenye shule ya 1.0m9hajasema kwa mwezi; itakuwa ni kwa mwaka) na pia anakatwa 70,000 NHIF lakini huduma bure kabisa.

      Sensa njema mkuu..unasalimiwa na HR na wanauamsho
      tweve likes this.

    19. #76
      silvemaps's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th March 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 368
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      hivi kuna viongozi wa ccm ili wapande jukwaani ni lazima wavute bange?maana hii speech ya mshikaji kama ya mtu hamnazo hivi!ukilipwa pesa bungeni unauamuzi wa kuutimia unavyotaka.mbowe kaamua kumlipia mtoto wake ada yeye kama anazihonga powa tu.CCM acheni kuargue totology stupid
      tweve likes this.

    20. #77
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Fisadi papa
      Quote By Bob G
      Kwani Mbowe ni maskini?
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    21. #78
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Powa na wanachama wa CCM wakiwasomesha watoto wao nje ya nchi msilalamike bcoz wote ni familia bora kama mboye
      Quote By silvemaps
      hivi kuna viongozi wa ccm ili wapande jukwaani ni lazima wavute bange?maana hii speech ya mshikaji kama ya mtu hamnazo hivi!ukilipwa pesa bungeni unauamuzi wa kuutimia unavyotaka.mbowe kaamua kumlipia mtoto wake ada yeye kama anazihonga powa tu.CCM acheni kuargue totology stupid
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    22. #79
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      581
      Likes Given
      10

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Watu kama Mwigulu watakuja kuvaa vitanzi na kujinyonga baada ya 2015. Kumbe kwa ushamba na ujinga wake ameamua kufa akilinda mzoga uliokwisha oza tayari!

    23. #80
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 434
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

      Bado siamini kama wafuasi wa CHADEMA ni vipofu kiasi hiki kwa swala linalogusa viongozi wao wakuu wa chama.

      Kama leo mnahalalisha na kuunga mkono jambo ambalo ni dhahiri linaiondolea heshima na Imani CDM mbele ya jamii, nina uhakika kesho CDM ikiwa madarakani wafuasi wa CHADEMA wataunga mkono na kuhalalisha Kuuza nchi mchana kweupe, hata kama pesa za mauzo watagawa kwa kila mtanzania.

      Huo ni UTUMWA WA KIFIKRA, na hamna budi kubadilika, shame on you Pro Chadema na viongozi wake wote ambao mmeshindwa kukemea ama kukubali kua Mbowe amekosea..

    Page 4 of 17 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...