re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

By
Tume ya katiba
Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!
Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
Nchi gani hapa Duniani ina chekechea ya mamilioni hayo. Ni hadithi kwa wenye akili ndogo.
Hebu google uone watoto wa kifalme hapo UK walisoma shule gani halafu angalia kama kuna ada kama hizo.
Nchi iliyoendelea haiwezi kuwa na ujinga wa kuweka ada kama hizo. wanajua maana ya Huduma za jamii. Elimu ni Huduma kwa jamii.
Mwigulu ana akili timamu? CCM lazima wajaribu kukumbuka kwamba TZ sasa ina fomu 4, 6 na digrii nyingi mtaani tukichambua maneno yao. Hii siyo fikra za m/kiti tena!
The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle
Follow Us Here