Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
Wanabodi.
Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.
Kwanza Mbowe hana mtoto anaesomesha Chekechea kwa sasa hivi. Hilo la kwanza. La pili ishu hapa si kiasi gani Mbowe anatumia kusomesha wanawe bali ni vipi hizo pesa za kusomeshea amezipata.
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
By Tume ya katiba
PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
Mkuu kwa hiyo wewe Diploma yako ya CBE ndiyo inakusaidia kujua kwamba Mbowe ni Mwizi kama JK, EL, RA, AC, nk!
Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.
SOURCE: HABARI STAR TV
mkuu kutoa mapovu sio mtaji bali na ww tafuta pesa za kihalali then usomeshe wako kuliko kupinga majungu na kila siku huwa mnaambiwa elimu duniana yenyewe ina umuhimu wake ila bado mnaweka shingo ngumu.
Ni hayo tu na ninakutakia ususiaji mwema wa sensa.
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
By Ritz
Sio kila kitu cha Mbowe lazima ukijue vitu vingine ni vyake binafsi. Wewe unawajua watoto wote wa Mbowe?
MkuuRitz, Mbowe ni rafiki yangu toka nikiwa Undergraduate pale Mlimani. Familia yake na yangu zinajuana vizuri. Nakuhakikishia kabisa! Mbowe hana Mtoto anaesomesha Chekechea sasa hivi. Na ukumbuke kwamba si kila mtoto mwenye Surname ya Mbowe ni Mtoto wa Freeman Aikael Mbowe.
Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!
Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
mwanauamsho tume ya katiba. hiyo ada anayomlipia mbowe mwanae je iko kwenye bill ya cdm au ni biashara ya familia yake ambayo karithi toka kwa marhum baba yake ambaye wasira muasisi alisema kuwa walipigania uhuru na nyerere miaka ile?
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
Ni vizuri akataja huyo mtoto anasoma shule gani, na mtoto wa chekechea analipiwa ada kiasi gani. Vinginevyo yote ni mboyoyo! Mtu yeyote anaweza kuwaaminisha watu upumbavu wake, mfano anaweza kusema Mwanaasha analipiwa ada dola laki 5 hapa hapa bongo bila facts.
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
By Tume ya katiba
Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!
Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
Nchi gani hapa Duniani ina chekechea ya mamilioni hayo. Ni hadithi kwa wenye akili ndogo.
Hebu google uone watoto wa kifalme hapo UK walisoma shule gani halafu angalia kama kuna ada kama hizo.
Nchi iliyoendelea haiwezi kuwa na ujinga wa kuweka ada kama hizo. wanajua maana ya Huduma za jamii. Elimu ni Huduma kwa jamii.
Mwigulu ana akili timamu? CCM lazima wajaribu kukumbuka kwamba TZ sasa ina fomu 4, 6 na digrii nyingi mtaani tukichambua maneno yao. Hii siyo fikra za m/kiti tena!
The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle
Mwigulu na first class degree yake bado haelewi nini watu wanaongea! The issue is not about how much you have but rather how you got the money? Ni kwa mtindo wa vijicent, EPA, Deep Green? au kuwa kupitia magezeti, a night club!
Lakini kinachonichekesha ni contradiction ya CCM, wanalalamikia hela za Mbowe, lakini hapo hapo wanaponda aina ya biashara anazofanya!!! Si hawa hawa CCM wamekuwa wanaongelea biashara ya ukumbi wa disco kama biashara uchwara? Mwenzao hachagui kazi na hela kapata, tofauti na wao wanavamia bank kuu na kuiba hela!
mkuu ulichosema ni kweli kabisa maana japo wanadharau biashara zakd ndizo hizo hizo zinazowalipa mishahara kupitia kodi anazolipa!
ukiangalia elimu imeharibiwa na ccm ili mtoto wako asome vizuri inabidi ulipe hela ndefu na imefanywa hivyo makusudi ili wenye hela wasomweshe watiti wao ili wawaririthishe utawala hapo baadaye! ndio maana kuna WENGI MASAPOTA WA CCM humu wanasema PAYE SAWA HAKUNA ANAEKATAA hebu juilsime mie ninalipa 850000 kwa mwezi na ni uhakika! lakini mtoto wangu hawezi pata elimu bora inanibidi tena nilipe mioni moja katika hizo shule zinazomilikiwa na hao hao wa ccm! ili mtoto apte elimu japo bora! imagine mdogo wangu au ndugu yangu kijijini akiugua na kupelekwa hosptali ya serkali hamna dawa inanibidi niingie tena mfuko! na hapa bado ninalipa tena 70000 katika bima ya afya!! cha ajabu mmesikia NHIF wao ni kutengeza faida tu hela hizo serikali ingeziweka katika dawa ktk hosptal; zake si tungewa tumechangia kutoka mishahara yetu kuwatibia watazania wengi badala ya NHIF kuwalipa wahindi na nk!!!
Kwakweli mtu duni atanedelea kuumia tu chini ya utawala wa ccm, ninashangaa kuona watu wanahogwa 5000 wanajazana jangwani! WAKATI MWNGINE NINWAZA SI AFADHALI CHADEMA IAYAACHE HAYA MAJINGA YAENNDELEE KUUMIA TU HASA IGNORANT WA DAR NA UDINI WAO! NA AKINA MAMA! SHIDA TU LAKINI ETI NAO HAELEWI SOMO!
Wewe kiboko mkuu unamlipia mtoto wako 850000 kwa mwezi, kwa mwaka unalipa 1020000 shule gani mkuu wangu?
Mbona povu jingi na unakakamaza misuli ya shingo mpaka macho yamekuwa mekundu!? Sasa we ulitaka akamsomeshe mtoto wake madrasa?
Tatzo lenu wazenj hamnazo kabsa kwan kwenye kusomesha mnaogopa gharama alafu kwenye mitihan mnataka baraza liiwafahurishe na pia kwenye nafasi za job mnataka usawa na wakati nyie mlikimbia elimu dunia na mkaikombatia elimu ahera sasa si muende mkaajiliwe huko ahera kuliko kutoa povu jingi duniani. Eboooo....!
Aisee kula LIKE yangu. Waache waendelee na madrasa yao na gap linazidi kuwepo na akili zao zitaendelea kuwa finyu.
Nchi gani hapa Duniani ina chekechea ya mamilioni hayo. Ni hadithi kwa wenye akili ndogo.
Hebu google uone watoto wa kifalme hapo UK walisoma shule gani halafu angalia kama kuna ada kama hizo.
Nchi iliyoendelea haiwezi kuwa na ujinga wa kuweka ada kama hizo. wanajua maana ya Huduma za jamii. Elimu ni Huduma kwa jamii.
Mwigulu ana akili timamu? CCM lazima wajaribu kukumbuka kwamba TZ sasa ina fomu 4, 6 na digrii nyingi mtaani tukichambua maneno yao. Hii siyo fikra za m/kiti tena!
Mkuu hakuna haja ya ku-google kuna member mwenzetu humu JF Mkira anamsomesha mtoto wake kwa mwezi analipa 850000 kwa mwaka analipa 10200000.
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
By Tume ya katiba
PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
what is the problem here? Mbowe angekuwa ni waziri wa sheria na tunajua mishahara ya mawaziri ni kiasi gani hili lingekuwa issu. Lakini Mbowe ni mfanyibiashara. Hivi leo Bakhresa akigombea ubunge wa Ilala halafu awe na mwanaye anasoma Marekani au Uingereza, litakuwa suala kweli kwamba Bakhresa anasomesha mtoto wake Marekani. Of course not.
re: Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka
Sisi hatuna shida na mtu kumlipia mwanae hata zaidi ya 30 million,sisi hatu chukii matajiri kwan kama anazipata ki halali hakuna shida. Mwingulu nchemba hakuwa na point hapo.
Follow Us Here