Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 35 of 35
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      Mimi ni mwananchi wa Tanzania ninataka kujua sababu za Marando kupokelewa CHADEMA. Hivi tuseme viongozi wa CHADEMA hawako makini? maana huyu mtu alikuwa NCCR na akasadikika kuwa ni shushu wa CCM, na wengi wa viongozi wa CHADEMA walisema hilo.

      Mimi ninataka kuelewa kwann Marando yuko CHADEMA na amepewa nyazifa za juu?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32146
      Likes Received
      4999
      Likes Given
      5173

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      Yupo CHADEMA KWA 7BU HAYUPO CCM, CUF, NCCR, NA VINGNE

    4. #22
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,836
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4672
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Barnabas Shadrack
      Yupo Chadema kwa sababu yupo huko basi.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Kumbe kuna wakati akili huwa zinakur udia??

    5. #23
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      kwa nini wewe ni wewe?
      Then how old are you??

    6. #24
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,477
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3045
      Likes Given
      1017

      Default

      Quote By Kassim Awadh
      Mkuu umemaliza,mapadre wengi Tiss na nina hakika sana na hili
      Mkuu Kassim Awadh wengi ni mashushushu tena wengine ni CIA na wengine walikuwa KGB. Hasa mapadre wa kikatoliki. Inaaminika kwamba wakoloni walikuwa wakiwatumia mapadre kipata siri wa wananchi. Kilichokuwa kinafanywa ni kutangaza dini na kuwabatiza. Wakishabatizwa wanaambiwa ukifanya kosa unatakiwa uje utubu kwa padre. Basi ukiua unaenda kutubu kwa padre na kimwambia kila kitu ukidhani unaongea na Mungu kumbe jamaa ni kachero wa serikali anatoa taarifa unayiwa nguvuni!
      quimby_joey and Kassim Awadh like this.

    7. #25
      yohane's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 357
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Cool Re: Kwanini Mab ele Marando yuko CHADEMA?

      Ama kweli asiyekujua hakuthamini. Marando ni mpiganaji wa kupigiwa mfano Miaka ya sabini se Mwanafunzi wa stashahada ya Udhamili chuo kikuu cha DSM alifanya mahojiano radio TZ kuhusu harakati za vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika na hapo Alisema Tanzania inahitaji kurejesha mfumo wa vyama vingi. Tamko Hilo lilimfanya sites ikulu na kupewa kazi maalumu jambo ambalo lilikatisha masomo yake. Alikwenda Cuba ambalo alifundishwa ujasusi wa jinsi ya kuwakabili makaburu na vibaraka wao. Anasema yeye mwenyewe aliipenda kazi hiyo japonica alijua lengo lilikuwa kumdhibiti. Baada ya vita ya Uganda ambapo alikuwa advance part (millitary intelligence) alitakiwa kutoa maelezo kwann si mwanachama wa CCM, badala ya kutoa maelezo aliwapa notice ya saa 24 ya kuacha kazi. 1984 ndiye aliyemtetea James Mapalala aliyetiwa kizuizini kwa kumwandikia Rais akitaka mfumo wa vyama vingi. 1989 aliratibu uanzishwaji wa kamati ya kuratibu maoni ya wanananchi juu ya uanzishwaji wa mfumo wa vyama vingi nchini. Kumnyamazisha Rais Mwinyi alimteua kuwa kwenye Tume ya Jaji Nyalali, alikataa huo uteuzi na kusema hayuko tayari kutumia raslimali za Watanzania kwenda kuwauliza warudishiwe haki waliokuwa wamenyang'anywa au wasirudishiwe? 1991 aliratibu kongamano la kitaifa la siku mbili Diamond jubilee ambapo azomio la kuanzishwa vyama vingi baada ya mwaka mmoja liliazimiwa na vyombo viwili vya kuratibu harakati hizo vikaundwa: Tanzania Bara (National commitee for constitutional reforms kifupi NCCR ambayo ndiyo iliyokuja kuwa chama cha nccr - mageuzi) kwa Zanzibar iliundwa KAMAHURU ambayo ndiyo CUF ya l eo. 1994 alijaribu kuunganisha NCCR MAG. EUZI na CHADEMA kuunda chama kimoja chenye nguvu kiitwe UDETA jitihada hii ilikwamishwa na vibaraka wa CCM kina Prince Bagenda. 1995 alimkabidhi Ndg Mrema uenyekiti wa Chama kwa azomio la kamati kuu. Mrema alikigeuza chama kutaka taasisi kuwa jukwaa na duka lake jambo ambalo halikuwa lento la kuanzishwa kwake ndipo aliporatibu harakati za kumwondoa Mrema na kufanikiwa. Alichafuliwa sana. James Mbatia kwa kusaidiwa na Usalama wa Taifa alifanikiwa kumzuia Marando kukiongoza tena chama na kukirudisha katika male go. Ya awali. Alikaa kimya na kurudi katika sheria. 2003 Anthony Komu alihama NCCR na kujiunga Chadema, aliendesha harakati za kuwashawishi Watu makini waliokuwa wameamua kubaki kimya ndani ya nccr Kama Marando, Baregu, Chacha Wangwe, Selasini, nk. Mh. Alitoa wito kuwa kama tumeshindwa kuunganisha nguvu za vyama basi tuunganishe watu.Hue ndio msIngi wa Marando kuwa CHADEMA?
      Hii ndiyo sababu ya Marando kuwa p
      quimby_joey likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Kirode's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 1,117
      Rep Power : 636
      Likes Received
      64
      Likes Given
      38

      Default

      Na sasa ameshaenda zake msituni kuungana na wenzake............
      Quote By Shevchenko
      Mbona Wasira yupo CCM wakati alikuwa upinzani??

    10. #27
      Shevchenko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Poland
      Posts : 66
      Rep Power : 362
      Likes Received
      22
      Likes Given
      12

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      Quote By Kirode
      Na sasa ameshaenda zake msituni kuungana na wenzake............
      Mhm kwani ameenda wapi siyupo mjengoni dom??au GOMBE?niweke sawa mkuu!
      Hate some one who hate the haters ...!

    11. #28
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Kwanini Mab ele Marando yuko CHADEMA?

      Quote By yohane
      Ama kweli asiyekujua hakuthamini. Marando ni mpiganaji wa kupigiwa mfano Miaka ya sabini se Mwanafunzi wa stashahada ya Udhamili chuo kikuu cha DSM alifanya mahojiano radio TZ kuhusu harakati za vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika na hapo Alisema Tanzania inahitaji kurejesha mfumo wa vyama vingi. Tamko Hilo lilimfanya sites ikulu na kupewa kazi maalumu jambo ambalo lilikatisha masomo yake. Alikwenda Cuba ambalo alifundishwa ujasusi wa jinsi ya kuwakabili makaburu na vibaraka wao. Anasema yeye mwenyewe aliipenda kazi hiyo japonica alijua lengo lilikuwa kumdhibiti. Baada ya vita ya Uganda ambapo alikuwa advance part (millitary intelligence) alitakiwa kutoa maelezo kwann si mwanachama wa CCM, badala ya kutoa maelezo aliwapa notice ya saa 24 ya kuacha kazi. 1984 ndiye aliyemtetea James Mapalala aliyetiwa kizuizini kwa kumwandikia Rais akitaka mfumo wa vyama vingi. 1989 aliratibu uanzishwaji wa kamati ya kuratibu maoni ya wanananchi juu ya uanzishwaji wa mfumo wa vyama vingi nchini. Kumnyamazisha Rais Mwinyi alimteua kuwa kwenye Tume ya Jaji Nyalali, alikataa huo uteuzi na kusema hayuko tayari kutumia raslimali za Watanzania kwenda kuwauliza warudishiwe haki waliokuwa wamenyang'anywa au wasirudishiwe? 1991 aliratibu kongamano la kitaifa la siku mbili Diamond jubilee ambapo azomio la kuanzishwa vyama vingi baada ya mwaka mmoja liliazimiwa na vyombo viwili vya kuratibu harakati hizo vikaundwa: Tanzania Bara (National commitee for constitutional reforms kifupi NCCR ambayo ndiyo iliyokuja kuwa chama cha nccr - mageuzi) kwa Zanzibar iliundwa KAMAHURU ambayo ndiyo CUF ya l eo. 1994 alijaribu kuunganisha NCCR MAG. EUZI na CHADEMA kuunda chama kimoja chenye nguvu kiitwe UDETA jitihada hii ilikwamishwa na vibaraka wa CCM kina Prince Bagenda. 1995 alimkabidhi Ndg Mrema uenyekiti wa Chama kwa azomio la kamati kuu. Mrema alikigeuza chama kutaka taasisi kuwa jukwaa na duka lake jambo ambalo halikuwa lento la kuanzishwa kwake ndipo aliporatibu harakati za kumwondoa Mrema na kufanikiwa. Alichafuliwa sana. James Mbatia kwa kusaidiwa na Usalama wa Taifa alifanikiwa kumzuia Marando kukiongoza tena chama na kukirudisha katika male go. Ya awali. Alikaa kimya na kurudi katika sheria. 2003 Anthony Komu alihama NCCR na kujiunga Chadema, aliendesha harakati za kuwashawishi Watu makini waliokuwa wameamua kubaki kimya ndani ya nccr Kama Marando, Baregu, Chacha Wangwe, Selasini, nk. Mh. Alitoa wito kuwa kama tumeshindwa kuunganisha nguvu za vyama basi tuunganishe watu.Hue ndio msIngi wa Marando kuwa CHADEMA?
      Hii ndiyo sababu ya Marando kuwa p
      Kwanini viongozi wa CHADEMA walipiga kelele na kusema yeye ni kibaraka wa CCM wakati alipochaguliwa kuwa mbunge wa Africa mashariki?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    12. #29
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Annael
      Mimi ni mwananchi wa Tanzania ninataka kujua sababu za Marando kupokelewa CHADEMA. Hivi tuseme viongozi wa CHADEMA hawako makini? maana huyu mtu alikuwa NCCR na akasadikika kuwa ni shushu wa CCM, na wengi wa viongozi wa CHADEMA walisema hilo.

      Mimi ninataka kuelewa kwann Marando yuko CHADEMA na amepewa nyazifa za juu?
      Acha kutoa povu jingi kiasi hiki kwan unachafua screen yako´.Ebooo.....!

    13. #30
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,477
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3045
      Likes Given
      1017

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      Mkuu yohane umenikumbusha habari za UDETA. Lakini kumbuka katika siasa ukiwa chama pinzani unaweza kupewa kila jina lakini ukijiunga na wao basi unatakaswa. Marando kweli ni mpiganaji kama ulivyosema lakini siku zote watu wamekuwa wakimshutumu kwa kuiua NCCR. Hako kadoa kanamsumbua kweli na ndio maana naona huko CDM ana play low profile.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    14. #31
      nyandaojiloleli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 196
      Rep Power : 425
      Likes Received
      13
      Likes Given
      35

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      tatizo ni nini mbona hata wassira alikuwa nccr hujahoji.

    15. RC.
      #32
      RC.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 421
      Likes Received
      30
      Likes Given
      16

      Default Re: Kwanini Mab ele Marando yuko CHADEMA?

      mkuu wewe ni noma,nafikiri hilo ndilo jibu sahihi la kwanini kamanda mabere mrando yupo CHADEMA!respect sana!

    16. #33
      yohane's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 357
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwanini Mab ele Marando yuko CHADEMA?

      Quote By Annael
      Kwanini viongozi wa CHADEMA walipiga kelele na kusema yeye ni kibaraka wa CCM wakati alipochaguliwa kuwa mbunge wa Africa mashariki?
      Sidhani kama walimjua vizuri lakini pia kumbuka aliyeongoza kelele hizo ni Kabourou ambaye ilidhihirika baadaye kuwa alikuwa kibaraka wa CCM.

    17. #34
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Kwanini Mab ele Marando yuko CHADEMA?

      Quote By yohane
      Sidhani kama walimjua vizuri lakini pia kumbuka aliyeongoza kelele hizo ni Kabourou ambaye ilidhihirika baadaye kuwa alikuwa kibaraka wa CCM.
      Sasa kunauhakika upi basi kuwa Marando si kibaraka wa CCM maana hata akina Slaa na akina Zitto walipiga kelele hizo, na mpaka sasa hawajasema chochote kuhusu Marando kwa niaba ya kumsafisha na kukiri kuwa walikuwa hawamuelewi mbele ya watu kama walivyokuwa wakidai hadharani. au wewe unasemaje?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    18. #35
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      290
      Likes Given
      36

      Default Re: Kwanini Mabele Marando yuko CHADEMA?

      Kwani mashushu hawaruhusiwi kujiunga na CDM?

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...