Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Message ya kugomea sensa

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 124
    1. #1
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Message ya kugomea sensa

      Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
      my take
      message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote

    2. Study Abroad

    3. #2
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,663
      Rep Power : 0
      Likes Received
      536
      Likes Given
      272

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Leta na ile message ya uchaguzi 2010!
      zomba, Invarbrass and MZIMU like this.

    4. #3
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Tume ya katiba
      Leta na ile message ya uchaguzi 2010!
      Mkuu Tume ya katiba mbona uchaguzi ulishaisha zamani sana na rais aliyeshinda anajulikana pia Rais aliyetangazwa na Tume ya ccm anajulikana pia
      Jasusi and SMU like this.

    5. #4
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Tanzania ina utulivu na haina amani.

    6. #5
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Precise pangolin
      Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
      my take
      message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
      msg ya kihuni Allah hawezi kumuonesha Mwanadamu cha Moto kwa kuheshimu Mamlaka za Duniani
      Jabulani and sweke34 like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Mr.Mak's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 1,145
      Rep Power : 650
      Likes Received
      156
      Likes Given
      84

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Precise pangolin
      Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
      my take
      message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
      Kaka msg umeisoma ukiwa na mtizamo hasi, na hili ni tatizo siyo kwako tu bali hata kwa wenzako wengi. Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, wewe kama siyo muislam hiyo msg haikuhusu na wewe jipange kuendelea na sensa. madai ya waislam ni ya kimsingi na hakuna hoja ya kuyafanya yaonekane kama hivyo unavyodhani. acha msg serikali imesha pewa taarifa ya kimaandishi kuwa kama sensa haitoweka vipengele muhimu basi mhesabiane nyinyi wenyewe wengi wakristo. Ni aibu kubwa sana kwenu kwani mitandao yenu mnajitangaza mko wengi sasa mwahofia nini kwa kipengere cha dini kuwekwa? Mrudieni Mungu, otherwise mtapotea.
      Ponera likes this.

    9. #7
      petrol's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 438
      Likes Received
      45
      Likes Given
      0

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Serikali iendelee na sensa. Takwimu zitakapotoka watu wasije kulalamika kuwa hawakuhesabiwa au kwa huduma hjazitoshelezi kwa sababu serikali itakuwa inatumia takwimu zisizojumlisha baadhi ya watu bila kujali ni madhehebu gani. Tunaingia kwenye mchazo mchafu kwa vigezo vyovyote vile.
      Jasusi and Black Rhino like this.

    10. #8
      kanganyoro's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 417
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?

    11. #9
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Waislam bana...

    12. #10
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 685
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      upumbafu tuu.

    13. #11
      komredi ngosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 360
      Rep Power : 492
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      binafsi ni mkristo ila SITASHIRIKI sensa.!
      serikali imekua ikipuuzia kitengo cha takwimu na haipangi shughuli za maendeleo kupitia takwimu hizi za sensa na nyinginezo.
      Sensa ingetumiwa vizuri:
      1. Kusingekua na ukosefu wa walimu na vifaa vya elimu
      2. Kusingekua na ukosefu wa huduma za afya
      3. Kusingekua na ongezeko kubwa la ukosefu wa ajira
      4. Kusingekua na mgao wa umeme
      5. Kusingekua na foleni na msongamano ktk jiji la Dsm
      etc

      binafsi naona ni upuuzi kushiriki jambo kwa ajili ya kuombea mikopo na misaada ambapo haininufaishi kwa chochote
      TZ biashara likes this.

    14. #12
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,247
      Rep Power : 3039
      Likes Received
      3030
      Likes Given
      4113

      Default

      Waliyaleta wenyewe!!
      Waliyachekea wakati wanaambiwa huu mchezo ni mbaya!!

      Wakachekelea wakifikiri wanawakomoa chama pinzani!!

      Sasa ngoja wanadhalilishwa!!
      mchonga likes this.

    15. #13
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6330
      Likes Given
      2831

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Ni aibu kubwa iwapo Waislamu watakubali kugomea sensa kwa kwa kufuata akili ya mastermind mmoja-Issa Ponda. Je kitendo cha kugoma kwao kinashawishi vipi Jamii ya watanzania waelewe msingi wa madai yao?

    16. #14
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7367
      Likes Received
      6150
      Likes Given
      22265

      Default

      Quote By petrol
      Serikali iendelee na sensa. Takwimu zitakapotoka watu wasije kulalamika kuwa hawakuhesabiwa au kwa huduma hjazitoshelezi kwa sababu serikali itakuwa inatumia takwimu zisizojumlisha baadhi ya watu bila kujali ni madhehebu gani. Tunaingia kwenye mchazo mchafu kwa vigezo vyovyote vile.
      Mkuu Petrol, zoezi la sensa ni la lazima sio option kama uchaguzi, its a must hakuna room ya kusema anayetaka!.

      Mimi nawaunga mkono ndugu zetu Waislamu ili kikiongezwa hicho kipengele cha dini na cha kabila tutakipenyeshea hapo hapo angalau tujue wale Wahdzabe waliokuwa 250 sasa wamebaki wangapi. Miaka ya 80 iliwachukua kinguvu watoto wao 4 na kuwasomesha boarding mpaka la 7 hakuna aliyefaulu, lakini wote wanne wakapelekwa Pugu na kusomeshwa mpaka form four, wote walipata Div. 0!. Wakarudishwa kwao msituni ili kupeleka civilization kwa ndugu zao ikiwa ni pamoja kuwajengea nyumba za kisasa na kupewa nguo na vifaa vya kisasa!. Baada ya mwezi mmoja serikali ilirudi kuwatrace ilikuta vile vitu vyote walivyowapa viko pale pale walipoviacha na yale makazi yakiwa kama yalivyo na more surprising hata zile nguo za wale wasomi 4 nazo walizivua na kuziacha!.

      Hivi tutaendelea kuwategemea wazungu mpaka lini?. Wazungu watuhesabie tembo wetu, Mama Jane Goodhall atuhesabie sokwe wetu!, sasa hata makabila yetu nayo ndio tusuburi wazungu watuhesabie?!.

      Tulipopata uhuru tulikuwa na makabila milioni 12 na makabila 120, kwa wastani wa watu laki moja kila kabila, sasa tunaenda milioni 50 kwanini tusijue na makabila!.

      Mfano wangejua kabila linaloongoza kwa procreation ni kabila gani ili elimu ya uzazi wa mpango iwe concetrated huko na makabila gani yana hatari ya kufutika ili yaingizwe kwenye 'endagered species' ili kuyalinda!.

      Wangapi kati yenu mnajua Watindiga wamebaki wangapi?, Wahadzabe, Wasandawi, Wataturu Wabalungi, Wakonongo etc. etc.

      Kuna ubaya gani kujua tunawapagani wangapi, Hindu, Budha, Bahai, Baniani, Waislamu wa Ahamadiya, Waislamu wa Shia, Waislamu wa Sunni, Waislamu wa Ismailia, Waislamu Makadiani etc?. Kuna ubaya gani?.

      Kama rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa Mkatoliki, Mkapa nae ni Mkatoliki, Membe, Dr. Slaa na Magufuli nao ni Wakatoliki wanaosubiria kupangishwa pale nyumba nyeupe!, kuna ubaya gani tukiwajua wako wangapi, na Anglicana wangapi, Walutheri, Waadvetisti Wasabato, Memonite, Walokoke etc. etc. Hivi kuna ubaya gani?.

    17. #15
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2278

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Precise pangolin
      Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
      my take
      message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
      Hakuna Rais nchi hii wala serikali.Mimi nilistaajabika pale walipoanza kubishana na tume ,kwamba yale waliokuwa wanatoa sio maoni yao bali wanaagiza serikali.Kesho na kesho kutwa wataiagiza serikali fedha zote za walipakodi zipelekwe madrasa kwanza.
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    18. #16
      sheky's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 175
      Rep Power : 394
      Likes Received
      38
      Likes Given
      10

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Siku zote nashangaa watu wanaodhani kuwa kwa kujikita kwenye udini kuna mafanikio kwa shida zao za kidini na za kibinafsi. Ila kama watu wanafikiri kuwa kwa kugoma ni kuleta mafanikio kwa jambo lao binafsi, basi nawaendelee, mipango ya serikali iendelee na kisha kwa wakati wao watahesabu hasara ya maamuzi yasiyopima na kuona mbali. Hata hivyo huu ni ujumbe toka mtu mmoja, Waislamu zaidi ya kuwa na itikadi ya umma, bado tuna uamuzi wa kufanya kama mtu mmoja mmoja, maana mbele za Allah atakayesimama sio anayeshawishi kwa niaba ya anayeshawishiwa, kila mtu atasimama kivyake kwa hukumu binafsi.

    19. #17
      nsimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 761
      Rep Power : 589
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Mr.Mak
      Kaka msg umeisoma ukiwa na mtizamo hasi, na hili ni tatizo siyo kwako tu bali hata kwa wenzako wengi. Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, wewe kama siyo muislam hiyo msg haikuhusu na wewe jipange kuendelea na sensa. madai ya waislam ni ya kimsingi na hakuna hoja ya kuyafanya yaonekane kama hivyo unavyodhani. acha msg serikali imesha pewa taarifa ya kimaandishi kuwa kama sensa haitoweka vipengele muhimu basi mhesabiane nyinyi wenyewe wengi wakristo. Ni aibu kubwa sana kwenu kwani mitandao yenu mnajitangaza mko wengi sasa mwahofia nini kwa kipengere cha dini kuwekwa? Mrudieni Mungu, otherwise mtapotea.
      Bro, massege haina maana yeyote ni upotoshaji mtupu kwa umma wa kiislamu. Hatuhesabu watu ili kujua idadi ya waslamu na wakristo,wagogo au wanyamwezi, wachaga au ... bali ni kujua idadi ya watu kwa mipango ya maendeleo. Huu ushindani kwa kiimani hautasaidia bali kuongeza mvutano usio wa lazima ktk jamii yenye kuvumiliana hasa tz.
      ENOCK TUTU likes this.

    20. #18
      nsimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 761
      Rep Power : 589
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By sheky
      Siku zote nashangaa watu wanaodhani kuwa kwa kujikita kwenye udini kuna mafanikio kwa shida zao za kidini na za kibinafsi. Ila kama watu wanafikiri kuwa kwa kugoma ni kuleta mafanikio kwa jambo lao binafsi, basi nawaendelee, mipango ya serikali iendelee na kisha kwa wakati wao watahesabu hasara ya maamuzi yasiyopima na kuona mbali. Hata hivyo huu ni ujumbe toka mtu mmoja, Waislamu zaidi ya kuwa na itikadi ya umma, bado tuna uamuzi wa kufanya kama mtu mmoja mmoja, maana mbele za Allah atakayesimama sio anayeshawishi kwa niaba ya anayeshawishiwa, kila mtu atasimama kivyake kwa hukumu binafsi.
      nakubaliana nawe! Ni maono ya mtu mmoja au kikundi cha watu ambao ni wadini sasa wanadhani watawafanya wa tz nao wawe wafia wadini, laaaaaaaaaa!!! haya ni mambo ya afganistani, soundia siyo tz, kwetu twavumiliana na kusonga mbele!!

    21. #19
      nsimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 761
      Rep Power : 589
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Mwakalinga
      Hakuna Rais nchi hii wala serikali.Mimi nilistaajabika pale walipoanza kubishana na tume ,kwamba yale waliokuwa wanatoa sio maoni yao bali wanaagiza serikali.Kesho na kesho kutwa wataiagiza serikali fedha zote za walipakodi zipelekwe madrasa kwanza.
      I am sorry to say, they are brain washed!!
      Mwakalinga Y. R likes this.

    22. #20
      Sungurampole's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 17th November 2007
      Posts : 704
      Rep Power : 728
      Likes Received
      121
      Likes Given
      555

      Default Re: Message ya kugomea sensa

      Quote By Pasco
      Mkuu Petrol, zoezi la sensa ni la lazima sio option kama uchaguzi, its a must hakuna room ya kusema anayetaka!.

      .............................. . Hivi kuna ubaya gani?.
      Mkuu, Hakuna ubaya!! kuna woga ambao hauna msingi wowote..
      There is a higher court than courts of justice and that is court of conscience.

      It supersedes all other courts.
      Mohandas Gandhi

    23. Miaka 50
    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...