Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Wana-JF, napenda kuwashirikisha alichosema Mzee Peter Kisumo kuhusu CHADEMA:

      ‘Tatizo kubwa kwenye Chadema kuna wanaharakati na si wanasiasa, na haiwezekani kuongoza serikali kwa kuwa na viongozi wanaharakati’.

      “Hawa Chadema wanachokifanya ni kuvizia makosa madogo madogo ya serikali na kisha kuwashawishi wananchi wawe upande wao,”.

      “Wapo viongozi wa Chadema na waasisi, kama Mzee Edwin Mtei na watu wengine makini ninaowafahamu ndani ya chama hicho, sijawahi kuwasikia wakiropoka hovyo kama wanavyofanya baadhi ya viongozi wa chama hicho.”

      'Ikiwa hulka hiyo itandelea, kuna hatari ya kukosa sifa ya kushika dola vinginevyo watapata shida, kwani hakuna serikali inayoweza kwenda kwa kuendeshwa na wanaharakati'.

      'Inatakiwa chama ambacho kitashinda kiwe na uwezo wa kuongoza katika hali ya amani na utulivu na si kuingia kwenye machafuko mara baada ya uchaguzi'.

      'Ili Chadema ishike dola, ni lazima wajitahidi kujenga safu ya uongozi wa kutawala na si kuwa na viongozi ambao kila wakati wanahamasisha watu kuandamana, kugoma na kuvizia makosa ya serikali iliyopo madarakani'.

      'Wanachokifanya Chadema ni sawa na wawindaji wanaokoka moto kwa ajili ya kuchoma nyama ili hali nyama yenyewe hawajaipata, ..... kazi ya kuing’oa CCM si rahisi kama inavyofikirika'.


      CHANZO: NIPASHE JUMAPILI

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Yaani CCM mmejaa watu wapuuzi sijawahi kuona mzee mtei ndiyo msemaji wa chama, hivi chama gani kati ya CCM na chadema kina cho ropoka hovyo, hivi wewe maswala kama ya richmond ni madogo kwako..ina ele kea hajuai kazi ya chama cha siasa kuwa ni kuikosoa lakini namsikitikia kwa kuwa anaita ni maswala madogo madogo wakati sisi wananchi tunayaona ni matatizo makubwa mfano mfumuko wa bei, serikali imeshindwa kuuzuia waziri mkuu anatangaza bei ya sukali isiuzwe zaidi ya 1700 wafanya biashara wana uza zaidi ya 2200 harafu unaita matatizo madomado... hebu tuwekee matati makubwa kwako wewe...........
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    4. #3
      JACADUOGO2.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 765
      Rep Power : 580
      Likes Received
      174
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Ni mtanzania yupi mwenye akili timamu anayeweza kushawishika na maneno ya kipuuzi ya hawa Mafisadi wa CCM?

    5. #4
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      [QUOTE=... hebu tuwekee matati makubwa kwako wewe...........[/QUOTE]

      Matatizo hayako Tz pekee na wala hayasababishwi na chama cha siasa bali mwenendo wa hali ya uchumi duniani.

      Hivyo kuilaumu serikali kwa bei ya sukari au petroli si sahihi, mambo mengine ni nje ya uwezo wa serikali yeyote hata kama ingekuwa ya CHADEMA.

    6. #5
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3774
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Ngoromiko
      Wana-JF, napenda kuwashirikisha alichosema Mzee Peter Kisumo kuhusu CHADEMA:

      ‘Tatizo kubwa kwenye Chadema kuna wanaharakati na si wanasiasa, na haiwezekani kuongoza serikali kwa kuwa na viongozi wanaharakati’.

      “Hawa Chadema wanachokifanya ni kuvizia makosa madogo madogo ya serikali na kisha kuwashawishi wananchi wawe upande wao,”.

      “Wapo viongozi wa Chadema na waasisi, kama Mzee Edwin Mtei na watu wengine makini ninaowafahamu ndani ya chama hicho, sijawahi kuwasikia wakiropoka hovyo kama wanavyofanya baadhi ya viongozi wa chama hicho.”

      'Ikiwa hulka hiyo itandelea, kuna hatari ya kukosa sifa ya kushika dola vinginevyo watapata shida, kwani hakuna serikali inayoweza kwenda kwa kuendeshwa na wanaharakati'.

      'Inatakiwa chama ambacho kitashinda kiwe na uwezo wa kuongoza katika hali ya amani na utulivu na si kuingia kwenye machafuko mara baada ya uchaguzi'.

      'Ili Chadema ishike dola, ni lazima wajitahidi kujenga safu ya uongozi wa kutawala na si kuwa na viongozi ambao kila wakati wanahamasisha watu kuandamana, kugoma na kuvizia makosa ya serikali iliyopo madarakani'.

      'Wanachokifanya Chadema ni sawa na wawindaji wanaokoka moto kwa ajili ya kuchoma nyama ili hali nyama yenyewe hawajaipata, ..... kazi ya kuing’oa CCM si rahisi kama inavyofikirika'.


      CHANZO: NIPASHE JUMAPILI
      Itafika mahali hata wapumbavu watanena pamoja na uhuni wao wote.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Quote By Molemo
      Itafika mahali hata wapumbavu watanena pamoja na uhuni wao wote.
      Ninaamini tunaweza kujadili bila ya kuitana wapumbavu.

    9. #7
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,400
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3774
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Ngoromiko
      Ninaamini tunaweza kujadili bila ya kuitana wapumbavu.
      Mweleze mpumbavu kwamba yeye ni mpumbavu ili aache upumbavu wake.
      only83 likes this.

    10. #8
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Wazee wengi wa CCM kwao uzee ni ugonjwa na si dawa. Matamshi kama haya yametolewa na Wasira nk. Ukweli ni kuwa uwezi kutenganisha siasa na harakati. Na mwanasiasa bora ni lazima awe mwanaharakati, awe na uwezo wa kupambana kwa mbinu za aina zote.

    11. #9
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      154
      Likes Given
      2

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Siku zote ukweli unauma, ccm hawataki kuambiwa ukweli

    12. #10
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Quote By Molemo
      Itafika mahali hata wapumbavu watanena pamoja na uhuni wao wote.

      Mkuu hakuna jina lingine la mpumbavu. Ubaya zaidi upumbavu uwa ni ngumu kutoka akilini mwa mtu.

    13. #11
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,790
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1220
      Likes Given
      542

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      mawazo mgando

    14. #12
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 619
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Ni bora wanaharakati wa chadema kuliko MAJIZI,MAUZA MADAWA YA KULEVYA,MAFISADI,WACHAWI NA WAPUMBAVU waliojaa CCM.na harakati ndio tunazotaka sio porojoporojo za kina mbayumbayu na nepi.

    15. #13
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Quote By Ngoromiko
      Matatizo hayako Tz pekee na wala hayasababishwi na chama cha siasa bali mwenendo wa hali ya uchumi duniani.

      Hivyo kuilaumu serikali kwa bei ya sukari au petroli si sahihi, mambo mengine ni nje ya uwezo wa serikali yeyote hata kama ingekuwa ya CHADEMA.

      Acheni kuwaadaa watanzania nyie wezi wa hii nchi, kazi yenu ni kung'ang'ania kuwa ni hali ya dunia. Hivi mikataba mibovu ya madini inayoipotezea nchi mabilioni ya shilingi ni hali ya dunia? Hivi mikataba mibovu kwenye sekta ya umeme inayoisababishia nchi kulipa mabilioni hewa ni hali ya dunia? Hivi misamaha ya kodi kwa kampuni za madini zinazoinyima nchi mabilioni ya shilingi ni hali ya dunia? Hivi usimamizi mbaya wa fedha za umma na kusababisha watu wachache kuchota pesa kama shamba la bibi ni hali ya dunia? Acheni kuleta siasa maji taka hapa.
      Daffi and Cha Moto like this.

    16. #14
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Quote By Molemo
      Mweleze mpumbavu kwamba yeye ni mpumbavu ili aache upumbavu wake.
      Mkuu achana na hizi thread za vichaa waliotoroka mirembe

    17. #15
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4627
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Ngoromiko
      Matatizo hayako Tz pekee na wala hayasababishwi na chama cha siasa bali mwenendo wa hali ya uchumi duniani.

      Hivyo kuilaumu serikali kwa bei ya sukari au petroli si sahihi, mambo mengine ni nje ya uwezo wa serikali yeyote hata kama ingekuwa ya CHADEMA.
      We kweli ngoromiko,na Richmond iko dunia nzima ,?epa,kagoda,wizi wa twiga na uchafu mwingine vyote viko dunia nzima? tukae kimya eti kwa sababu na kwingine yapo? kweli huo ndo upeo wako ulipoishia Great Sinker! aibu yangu mimi
      Gad ONEYA likes this.

    18. #16
      msengo2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 363
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Wazee wangu nchi hii tuna kila kitu isipokuwa tunachokosa ni kimoja tu uongozi bora na siasa safi.Tatizo hapa ni watawala ambao bila shaka ni ccm.Watawala hawa kwa miaka 50 wamekosa dira ya kuingoza nchi hii kuelekea kufaidi neema tuliyojaliwa na Mwenyezi Mungu.Wamekuwa ni wabinafsi, wamekosa uadilifu,sio wazalendo,wamekosa pia akili na uelewa wa masuala ya uchumi na hivyo kuachia raslimali za nchi hii kuchukuliwa na wageni bila huruma huku wao wakipewa kitu kidogo sana kwa ajili yao na famiilia zao.Tuache masihara ya kiitikadi ktk masuala nyeti kama haya.Ndugu zangu angalieni mfano wa vinchi vidogo kama Mauritius hawana rasilimali yeyote ni kisiwa kidogo ktk bahari ya Hindi,wanategemea utalii na kilimo cha miwa pekee,angalia walivyopiga hatua.Wana uchumi mzuri,ni mojawapo ya nchi pekee nne Africa zenye uchumi mzuri sana zingine ni Botswana,Gabon na Africa ya Kusini wana literacy rate 85% na ni moja ya nchi zenye utawala bora na democracy nzuri,wamewahi kupata nishani ya Ibrahim kuhusu utawala bora.Sasa sisi tuna tatizo gani hadi tuwe masikini kiasi hiki licha ya rasilimali lukuki na ardhi nzuri tuliyo nayo.
      Tujiulize wananchi tunahitaji kuchukua hatua,na hatua nzuri kwa sasa ni kubadilisha uongozi wa nchi kabisa tuwaone na wengine watafanya nini badala ya kutegemea walewale ambao wametuangusha kwa muda wote huo.Mbona nchi za wenzetu hubadilisha utawala mara kwa mara na wanaendelea mbele,sisi tunaogopa nini?Ni wakati muafaka wa kubadilisha watawala kwani hata wengine wakifanya vibaya si tutawaondoa tu shaka ya nini?
      Daffi likes this.

    19. #17
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      wakubwa!naombeni kufahamishwa jamani,huyu mzee ni nani na yuko wapi anafanya nini,simjui kabisa.anyways yeye anapungukiwa nini ama kuongezewa nini chadema ikiongozwd kiharakati?aseme kipi viongozi wa chadema wametudanganya wananchi juu ya chochote walichosema kwa serikali iliyo oza ya CCM?

    20. #18
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4627
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Ngoromiko
      Ninaamini tunaweza kujadili bila ya kuitana wapumbavu.
      huwi mpumbavu kwa kuitwa,ni sifa uliyonayo,hata usipoitwa utabaki hivyo!

    21. #19
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      CCM wanajitekenya alafu wanancheka wenyewe.
      Njilembera likes this.

    22. #20
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Ukweli Kuhusu CHADEMA na Harakati Zake

      Haya maneno hayawezi kueleweka kwa hawa vijana wa cdm wasiojua siasa. Ukweli ndio huo, chadema ni wanaharakati na si wanasiasa.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...